KAIMATI. Jinsi ya kupika kaimati tamu za shira nje / How to make sweet dumplings no 2
Vložit
- čas přidán 4. 05. 2019
- Kaimati za shira ndani: • Kaimati - Sweet dumplings
sweet dumplings: • Kaimati - Sweet dumplings
________________________
More videos to watch - Shuna's Kitchen
katlesi za nyama/Mince potato chop: • Katlesi za nyama - Min...
katlesi za samaki/Potatoe and tuna kebab: • Katlesi za nyama - Min...
kachori/Potato balls: • Kachori za viazi - Pot...
Jinsi ya kutengeneza manda za kufungia sambusa/Homemade samosa wrapper: • Jinsi ya kutengeneza m...
Jinsi ya kutengeneza manda za kufungia spring rolls/Homemade spring rolls wrapper: • Jinsi ya kutengeneza m...
Jinsi ya kutengeneza sambusa za viazi/Vegetables samosas: • Sambusa za viazi kwa k...
Jinsi ya kutengeneza mikate ya mofa/Muufo bread: • Mikate ya mofa - Muufo...
Jinsi ya kupika mikate ya ufuta/Sesame bread: • Mikate ya ufuta - Sesa...
Jinsi ya kupika chapati za kuchambuka bila kukanda unga sana/No knead soft chapatis: • Jinsi ya kupika chapat...
Vipopoo vya nazi/Mini sweet dumplings in coconut cream: • Vipopoo/Vitobwesha - M...
Jinsi ya kuandaa shawarma ya kuku/Chicken shawarma: • Jinsi ya kuandaa shawa...
Jinsi ya kupika maandazi ya iliki malaini/Cardamom fried bread: • Jinsi ya kupika maanda...
Rolls za chapati na kuku/Chicken Chapati rolls: • Chicken Chapati Rolls ...
Jinsi ya kupika fish sticks/Fish stick kebabs : • Fish sticks - Tuna sti...
Jinsi ya kutengeneza masala ya chai/Tea masala powder: • Jinsi ya kutengeneza m...
Banzi za samaki na cheese/Tuna and cheese buns: • Jinsi ya kupika banzi ...
Mchuzi wa nazi wa kuku/Chicken breast in coconut milk: • Mchuzi wa nazi wa kuku...
Kuku wa sekela/ Sekela grilled chicken: • Kuku wa Sekela - Sekel...
Maandazi ha ufuta/Sesame fried bread: • Maandazi/Mahamri ya uf...
Mapishi ya vitumbua kwa kutumia unga wa mchele/ Rice flour mini cakes: • Mapishi ya vitumbua kw...
Jinsi ya kupika jicho la mke mwenza/Egg tuna kebab: • Mapishi ya vitumbua kw...
Viazi karai/Spicy fried potatoes: • Viazi karai - Spicy fr...
Muhogo wa nazi na samaki/Cassava in coconut cream: • Muhogo wa nazi - Cassa...
Uji wa shurba/Shourba/Oats and meat soup: • Uji wa shurba - Oats a...
Maharage ya nazi/Red kidneys beans in coconut milk: • Jinsi ya kupika mahara...
Uji wa ngano nzima:Whole wheat porridge: • Uji wa ngano - Whole w...
Mishkaki ya nyama/lamb skewers: • Video
Vibibi vya tui juu/Pancakes with coconut sauce: • Vibibi vya tui juu / r...
Jinsi ya kupika pilipili ya kukaanga/Hot chilli paste : • Jinsi ya kupika pilipi...
Chicken pockets: • Chicken pockets - Pock...
Jinsi ya kupika mikate ya bwana/Baked sesame bread: • Mikate ya bwana
#kaimat #sweetdumplings #shunaskitchen
Hawa wenye kuweka unlike nt fair.mtu anatoa ujuzi wake kutupa ilimu na hapo hapo unaweka unlike.Ramadhan kareem tuweni na utu kidogo.
Fisad Hana sababu
MashaAllah. Nakuombea mazuri. Mapishi yako fantastic. Killa ukijaribu wafaulu na kufrahia. Allah akubarikie.
Shuna, you are a genius! Your recipes are so easy to follow and execute. Jaazak Allahu Kheir for sharing with us! Well done
Mashaallah tabarakallah nimependa kweli shukran habibty and Ramadan Mubarak
Naj
Kukubali sana mumy tunashkuru kwa kutuelimisha tunaomba mapishi zaidi hasa ktk mwezi mtukufu wetu asantee sana
Mashallah 👌,, Ramadhan Kareem
Maelezo mazuri umenifundisha mapishi mengi sana Mungu akujaalie Inshaa Allah 🥰
Maa shaa Allah,kupika kipaji dadaty... Allah akuongezee in shaa Allah
I have tried it today and it was perfect thank you soo much Shuna.. May Allah bless you.
Mashaallah ramadhani mubarrak♥
Ma sha Allah 👌🏼
Wa alaikum salaam warahmatullah nimependa mashaa Allah ahsante sana
masha Allah ntapika kesho in shaa Allah jazakallahu khair
Ahsante sana dada tunajifunza
Mungu akulipe kheri
I love it very simple thenkyou
Thanx so much sster. May Allah bless u.
Jazakallah khayran sis
Mashaa Allah
Shape sio hoja hoja ni ulaini na kupika vizuri 😘
Allaah barik thanks for the recipe.al remember u in my dua
Masha Allah so nice.
Wow zinakaa tu utamu.. napenda mapishi yako sana @shuna's
Mambo mazuri Allah akubarikie
Asante Sana kwa video hii
Tumeipenda sana tu shukran habbty
Masha Allah
Mashallah 😍😍
maashaallah MUNGU akubarik
MashaAllah. Nzuri. Asante. 👏🏼🙌🏽👌🏽👍🏼
Mashaallah
Yummy mashaallah
maa shaa Allah
MashaaAllah
❤maa Sha Allah
Shukran nice recipe
MASHA ALLAH ❤❤❤
Allha akubarik shukria
Masha Allah the look nice
Masha Allah tabalaqa Allah
Mashallah 👌👌👌👍👍👍💝💝💛💛💥
Nzuri sana, asante.dadah
Asante bby wangu
thank you asante sana
Nimeipenda shoga
mashaallah 👌👌😋😋
Jazakalah kheir dadang nimeipenda na vyenye ni ramadhan sasa natamani nizipike sa hi kama futur
Maasha alah
Ramadan Kareem dear
Tunakupenda
Mashaallah
Nice I tried another recipe it didn't work they well but this one is so niiice
Asante ramadhan kareem sis
Ramadhan mubarak dear
Mashallah
Wow
MASHAALLAH
MashaAllah
asante dada mm nimejaribu jana kama ulivyo elekeza alhamdulillah nikaweza shukran sana 🤲Allah akuzidishie ujuzi wavyengine pia👍😘😘
Shukran dear kwa feedback
Mashaalah
Jazzakallakheir sister
Asante habibty m/mungu akuzidishie afya njema l
Ameen kwa sote. Shukran dear
Manshallah 😅😘
Wonderful
Tamu tamu na miss kaimati
Thank you for putting English subtitles
My pleasure 🙂
Excellent
Vzr
Mashallah am going to try this recipe today
Dashuu ukieka mtindi huez kueka nazi .haloo bibi apa andazi lanyama nalitaka vp au lishachukuliwa hahaha.
Iko Sawa dear 😘😘
MashaAllah, Ramadhan kareem
Ramadhan Mubarak dear
asante sana kwa elimu nzuri
Mashaallah Hongera sana
GOOD JOB👍🏾👍🏾👌🏽👌🏽
Mashallah very nice Ramadhan Kareem
Wao penda sana
Jmn tamu 😋
Tamu sana Shukran habibty
Afwan dear
Blessed
Nice 😍
Ahsante mungu akubariki dear
Hutii mafuta ama samli kwa kaimati zako? Naona recipe nyingine waeka mafuta
ntajaribu.hizooo
Asante
Vitu vingi nimekua fundi kupitia wewe da shuu ❤️❤️❤️❤️❤️thank you
Asante my dear
Wow! Thank you,I'll try this recipe,nakumbuka nyumbani ,kaimati! 😃👍
You are welcome sis please let me know how it goes 😉
@@ShunasKitchen I'll let you know😃
MashaaAllah....nimeshajaribu mara mbili surely mara ya 3 vitatoka perfectly... Ni vile haviwi laini sana kama navyotarajia
Nakukubali sana😋😋😋,unaelekeza taratibu na asiekuelewa atakua ni bashite tu.😃😃
😁😁😁
Mom Mary sana MashaAllah
🤣🤣
😂😂😂Kabisaaaa
Mashallah. Ramadan Mubarak dada
Mashallah aftari nimefata maangizo yko 👌
Yummmy😚😚👌
Asante
Thante😍😍😍😍
dada unasauti kama ya Faiza Ally
Asant mamy
vizuri sana dada. ena pole kidogo hai jui kiswahili visuri
Asante sana 🙂
Kama huna yogurt unaweza kutumia maziwa mala?
Hi shuna naomba recipe ya lasagna
Ramadan Kareem love... Nimeipenda hii recipe yako nitaitumia hii badala ya ile ninayoitumia kila siku.. Kama sina mtindi nitumie nini mpenzi?
Tumia nazi au maziwa ya unga,vyote vinalainisha
Asalam aleikum do u use Custer sugar ama normal one
🤗😘💙
tamu balaaa 😙😙😙
Asante 😋
Kindly help...Mbona Shira yangu kila wakati haishiki ama kuganda?
jakallahukheira
Shukran
Is that icing sugar
Unaweza tumia yoghurt badala ya maziwa ya mtindi
Assalam Aleykum, shira unaacha ipoe kwanza ndio unachanganya na kalimati au unachanganya ikiwa ya moto?
Nimefurahia kwamba umeeleza kwa lugha