TRENI YA SGR GUMZO: BODABODA DODOMA WAJIPANGA KUMPOKEA RAIS, RC AFUNGUKA ATAKACHOKIFANYA RAIS SAMIA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024

Komentáře • 18

  • @allyngitu4584
    @allyngitu4584 Před měsícem +2

    Chuma hicho safi sana mh rais samia kwakuendeleza miradi ya mweza wako kiukweli ubarikiwe sana hii kweli kazi iendelee

  • @rosekapingu-hs5rd
    @rosekapingu-hs5rd Před měsícem

    Hongera sana mkuu wa mkoa kwa Elimu nzuri

  • @herizotemunguwamajeshi8826
    @herizotemunguwamajeshi8826 Před měsícem

    Safi kabisa❤

  • @mnyamacollection
    @mnyamacollection Před měsícem +1

    Aya nimekuwa wa kwanza leo wanangu nipeni maua yangu ase

  • @mopalmo5818
    @mopalmo5818 Před měsícem

    bana train ilizimika ... How sure are we haitakuwa inazimika kila siku

  • @kareisindilo2776
    @kareisindilo2776 Před měsícem

    thesheni😂😂😂😂

  • @mopalmo5818
    @mopalmo5818 Před měsícem

    😂😂 yani nitoke kwenye train full AC nipande Boda... Dodoma as capital City inafaa kuwa na BRT system acheni mchezo

  • @VanShayokviewshoursago
    @VanShayokviewshoursago Před měsícem

    Njia ya reli yote dar to Dom watajaa secret service wanajesh tupu

  • @mmarandu2417
    @mmarandu2417 Před měsícem

    Tuweke Treni ndogo ya umeme yakuzunguka mjini.

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 Před měsícem

    Mngejenga light train au Metro hapo Dodoma ikaunganishwa Na stesheni ya sgr Na uwanja wa ndege wa msalato Na stendi ya mabasi , karne hii bodaboda Na bajaji sio usafiri acheni kufikiria kimasikini ! Ile mpango ya kujenga light train dodoma imeishia wapi mkianza kuijengq dodoma kienyeji mtaiharibu! Muwe Na uthubutu kama JPM!!

  • @hassnsalim5156
    @hassnsalim5156 Před měsícem

    MUNGU AKULAZE PAHALA PEMA PEPONI MZEE BABA MAGUFULI HIZI ZILIKUWA NDOTO ZAKO NA MAAMUZI YAKO WAPO WALIO BEZA HONGERA JOHN POMBE MAGUFULI

  • @IsayaSosolo-nx8zk
    @IsayaSosolo-nx8zk Před měsícem

    Mpendwa kwako kakupa ukuu Mimi sijapewa Sasa Mimi nitampenda vp?

  • @MgetaYohana
    @MgetaYohana Před měsícem

    Pongezi rais lkn pia kwa mzalendo kadogosa ni mtanzania kweli kweli

  • @sir_ENOCKMACHA
    @sir_ENOCKMACHA Před měsícem

    RC ANA KITHETHE

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 Před měsícem

      Mkuu sio mtu wa kumdhihaki huyo dada ni msomi sana huyo

  • @romulusmarcus5534
    @romulusmarcus5534 Před měsícem

    RC Dodoma, usafiri wa bodaboda na bajaji hauendani ni treni ya mwendokasi, emagine unashuka kwenye full Ac unapanda boda. Ina maana Samia atapanda boda kwenda Ikulu?
    RC ni vyema Dodoma ikajipanga kuwa na usafiri wa mabasi toka stesheni ya treni kwenda ktk viunga vya Jiji la Dodoma. Wekeni mipango inayoeleweka na inayokwenda na wakati tulio nao.
    Kwanza mmeshachelewa mlistahili kuweka mpango huo toka 2016 serikali ilipohamia rasmi Dom. Habari za makao makuu ya nchi kutumia boda na bajaji ni aibu, tupilia mbali kitu hiyo kabisa.

    • @mopalmo5818
      @mopalmo5818 Před měsícem

      Bana ... it doesn't make sense ... BRT inafaa kuwa installed Dodoma as the capital city