Mngejenga light train au Metro hapo Dodoma ikaunganishwa Na stesheni ya sgr Na uwanja wa ndege wa msalato Na stendi ya mabasi , karne hii bodaboda Na bajaji sio usafiri acheni kufikiria kimasikini ! Ile mpango ya kujenga light train dodoma imeishia wapi mkianza kuijengq dodoma kienyeji mtaiharibu! Muwe Na uthubutu kama JPM!!
RC Dodoma, usafiri wa bodaboda na bajaji hauendani ni treni ya mwendokasi, emagine unashuka kwenye full Ac unapanda boda. Ina maana Samia atapanda boda kwenda Ikulu? RC ni vyema Dodoma ikajipanga kuwa na usafiri wa mabasi toka stesheni ya treni kwenda ktk viunga vya Jiji la Dodoma. Wekeni mipango inayoeleweka na inayokwenda na wakati tulio nao. Kwanza mmeshachelewa mlistahili kuweka mpango huo toka 2016 serikali ilipohamia rasmi Dom. Habari za makao makuu ya nchi kutumia boda na bajaji ni aibu, tupilia mbali kitu hiyo kabisa.
Chuma hicho safi sana mh rais samia kwakuendeleza miradi ya mweza wako kiukweli ubarikiwe sana hii kweli kazi iendelee
Hongera sana mkuu wa mkoa kwa Elimu nzuri
Safi kabisa❤
Aya nimekuwa wa kwanza leo wanangu nipeni maua yangu ase
bana train ilizimika ... How sure are we haitakuwa inazimika kila siku
thesheni😂😂😂😂
😂😂 yani nitoke kwenye train full AC nipande Boda... Dodoma as capital City inafaa kuwa na BRT system acheni mchezo
Njia ya reli yote dar to Dom watajaa secret service wanajesh tupu
Tuweke Treni ndogo ya umeme yakuzunguka mjini.
Mngejenga light train au Metro hapo Dodoma ikaunganishwa Na stesheni ya sgr Na uwanja wa ndege wa msalato Na stendi ya mabasi , karne hii bodaboda Na bajaji sio usafiri acheni kufikiria kimasikini ! Ile mpango ya kujenga light train dodoma imeishia wapi mkianza kuijengq dodoma kienyeji mtaiharibu! Muwe Na uthubutu kama JPM!!
MUNGU AKULAZE PAHALA PEMA PEPONI MZEE BABA MAGUFULI HIZI ZILIKUWA NDOTO ZAKO NA MAAMUZI YAKO WAPO WALIO BEZA HONGERA JOHN POMBE MAGUFULI
Mpendwa kwako kakupa ukuu Mimi sijapewa Sasa Mimi nitampenda vp?
Pongezi rais lkn pia kwa mzalendo kadogosa ni mtanzania kweli kweli
RC ANA KITHETHE
Mkuu sio mtu wa kumdhihaki huyo dada ni msomi sana huyo
RC Dodoma, usafiri wa bodaboda na bajaji hauendani ni treni ya mwendokasi, emagine unashuka kwenye full Ac unapanda boda. Ina maana Samia atapanda boda kwenda Ikulu?
RC ni vyema Dodoma ikajipanga kuwa na usafiri wa mabasi toka stesheni ya treni kwenda ktk viunga vya Jiji la Dodoma. Wekeni mipango inayoeleweka na inayokwenda na wakati tulio nao.
Kwanza mmeshachelewa mlistahili kuweka mpango huo toka 2016 serikali ilipohamia rasmi Dom. Habari za makao makuu ya nchi kutumia boda na bajaji ni aibu, tupilia mbali kitu hiyo kabisa.
Bana ... it doesn't make sense ... BRT inafaa kuwa installed Dodoma as the capital city