Hodhi la Mahaba - East African Melody

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 02. 2019
  • Singer - Sabah Salum
    Lyrics - Mlamali Adam
    Music - Mlamali Adam
  • Hudba

Komentáře • 8

  • @abdulhamidsuleiman4953
    @abdulhamidsuleiman4953 Před 4 lety +1

    Kwenye hodhi la mahaba nimezama sijioni
    Kwangu no kubwa haiba kunipokea mwandannhh
    Mwenyewe nimemshiba sighair Abadan
    Yaasalaam!! Yaasalaam!! Yaasalaam!!

  • @abdulhamidsuleiman4953
    @abdulhamidsuleiman4953 Před 4 lety +2

    Moyo ulishindwa hila ukanasa mapenzi
    Kwa mapenzi ya ghafula yalonivaa kwakan
    Habib kanitawala kanitwalaaahh
    Kanijaa fuwadin kanijaa fuwadini

  • @abdulhamidsuleiman4953
    @abdulhamidsuleiman4953 Před 4 lety +2

    Nimezama nimerowa nimerowa
    Kwenye hodhi la mahaba mpenzi wangu
    Nishatua nimepowa nimepowa
    Mwenyewe nimemshiba

  • @abdulhamidkificho5768
    @abdulhamidkificho5768 Před 4 lety

    Kwangu alijitokeza,Nuru kutoka angani
    Mapenzi akayakuza ahadi akabaini
    Milele atanitunza na katu hato nighini
    Milele atanitunza na katu hato nighini

  • @abdulhamidsuleiman4953
    @abdulhamidsuleiman4953 Před 4 lety +1

    Macho yake yanasema anienzi kwa thaman
    Jangwan nimesimama kaniweka kivulinii
    Penye jua la kuchoma,Huwa kama barafuni
    Ahsante Shangaz Sabah Muchacho
    Ahsante Dada Nuru Muchacho

  • @fadhilmnyamwezi5037
    @fadhilmnyamwezi5037 Před 3 lety

    Hataari Sana iyo dah

  • @sabuhsaid1567
    @sabuhsaid1567 Před 5 lety

    Mashallah