Amen amen,asante Mungu wangu kwakuwa unatengeneza njia ya maisha yangu,nipe kupambana binafsi nisiaangalie maisha ya wengine najua vyakwangu bipo,amen tena,asante mtumishi wa Mungu kwamafundisho munatupa kwa kila siku,Mungu azidi kuwalinda mahali mulipo,amen amen❤❤
Amina Ashate Yesu nibe nguvu nibambane adi mwisho hii kazi naiweke mikononi mwako posi wangu aniogeshe pesa na masiku nienderee na kazi adi nitimishe doto zangu kwa jina la yesu
Jana sikuingia online toka majuzi nakufatilia mtumishi kiukweli neema ya Mungu izid kuwa na wewe akupe maono zaid na zaid kwa maana somo la toka jumatano nahisi ulitumwa kwa ajili yangu nilikuwa na wakati mgumu mno ila hakika umeniimarisha had leo nimeimarika nafanya kazi kwa amani na imani yote ni kwaajili ya mafundisho yako. Nimejifunza vingi mno asante na Mungu azid kukuinua. Nakupenda sana mtumishi
Amina, Asante sana Yesu Kwa kunipa nguvu mpya ya kusonga mbele sitaka tamaa Tena acha vita iendelee nitashinda tu Kwa sababu nipo kwenye ratiba ya Mungu baba
ee, Mungu usinipite wakati huu...unapo fungua orodha mpya kwa yule baba/mama/mtoto usiniache..ndani yangu nina huduma nipe mwelekea,,nikienenda kwa akili zangu Nita,fail...nakuitaji roho mweleke ndio nahitaji...Asante kwa kipundi hii na mafunzo haya mlinde mtumishi wako ni kwajili ya nafasi zile anakomboa....mwezi huu wa September,unapozuru na wale usiniache...too much delays in my life/family..nipe nguvu ya ujasiri nashindwa na hofu..uwoga ..nahitaji mwanzo mpya ee Mungu wangu...nina Imani mi nimshindi na ushuhuda ni wako. In Jesus Name.. Amen 🙏
BWANA MUNGU NAKUSHUKURU NA LA WA MAISHA HAYA NALETA KILA LINALONISUMBUA UWE SULU HUU ILI SHO BABA,WALA USINITUPE ,MAGUMU YANGU UNAYAONA ,NISIHADHIRIKE JEHOVA NAOMBA MBINGU Z INIKUMBUKE
Mungu Nisaidie nikoe mimi na wanangu na mifugo yangu yote Mungu nisaidie❤❤
Amen amen,asante Mungu wangu kwakuwa unatengeneza njia ya maisha yangu,nipe kupambana binafsi nisiaangalie maisha ya wengine najua vyakwangu bipo,amen tena,asante mtumishi wa Mungu kwamafundisho munatupa kwa kila siku,Mungu azidi kuwalinda mahali mulipo,amen amen❤❤
Amina Ashate Yesu nibe nguvu nibambane adi mwisho hii kazi naiweke mikononi mwako posi wangu aniogeshe pesa na masiku nienderee na kazi adi nitimishe doto zangu kwa jina la yesu
Ee Mungu nisaidie kupata nguvu ya kukomaa nisaidie Mungu nifundishe kupitia watumishi wako uwalinde uwabariki watumishi wako
Amina sofa na utukufu Kwa:Bwana
Bwana uliye baba wa yatima na Mume wa wajane usinipite nyoosha mkono wako ukaniguse
Yes bwana,,,,,,🙏🙏
Nakupenda mno mtumishi wa BWANA,,,kwani MUNGU ameniona kupitia neno lake
Mtumishi MUNGU ameniona,, asante YESU
Iyo neno n langu Santi mwenyezi mungu 🙏🙏🙏🙏
Asante kwa kunipa moyo. Ndani ya mapambano yangu. Uniombeye nishindane katika vita hii.
Nasema asante mingu kwa kunitia nguvu masaa.haya kuweza kusikilizamaombi pamoja na pastor nisaidia baba asante baba amin🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
QQQQQ
Asanteee mungu kwamaombi yako yananipa nguvu kupitiya maombi hay sitokuwa dhaifu🙏🙏🙏
Amen 🙏🙏🙏🙌,kwa kunipa mwanzo mpya wa ujasiri,barikiwA
Ameen 🙏🙏🙏🙏🙏
Ameen
AMINA
Amen sitakata tamaa mpaka nitakapopokeà vyangu
Asante asante MUNGU kwa neno lako
Nakuelewa mtumishi wa BWANA
Fungua milango iriofungwa kwangu bwana Amen
MUNGU nisaidie ,nakutaka MUNGU na nguvu zako🎉
Amen,🙏🙏🙏
Amen amen tunakupenda pia pastor
Jana sikuingia online toka majuzi nakufatilia mtumishi kiukweli neema ya Mungu izid kuwa na wewe akupe maono zaid na zaid kwa maana somo la toka jumatano nahisi ulitumwa kwa ajili yangu nilikuwa na wakati mgumu mno ila hakika umeniimarisha had leo nimeimarika nafanya kazi kwa amani na imani yote ni kwaajili ya mafundisho yako. Nimejifunza vingi mno asante na Mungu azid kukuinua. Nakupenda sana mtumishi
Ubarikiwe
Sifa na Utukufu vina ww Mungu🙏
Ni kweli kabisa hata kwenye kuchukiwa na watu Kuna kupeleka kwenye mafanikio yangu
Asante yesu
Amen amen
Amina. Mungu akubariki
🙏🙏
Amina
Mmh .. MUNGU ameniona ,,nasonga mbele
Neno hili ni lakwangu me kabisa
Be blessed pastor 🙏🙏🙏🙏
Asante mutumishi
Amina, Asante sana Yesu Kwa kunipa nguvu mpya ya kusonga mbele sitaka tamaa Tena acha vita iendelee nitashinda tu Kwa sababu nipo kwenye ratiba ya Mungu baba
Ahsante Pastor kwa neno la Faraja,.Ninachangamoto kazni kwangu Mungu anisaidie
ee, Mungu usinipite wakati huu...unapo fungua orodha mpya kwa yule baba/mama/mtoto usiniache..ndani yangu nina huduma nipe mwelekea,,nikienenda kwa akili zangu Nita,fail...nakuitaji roho mweleke ndio nahitaji...Asante kwa kipundi hii na mafunzo haya mlinde mtumishi wako ni kwajili ya nafasi zile anakomboa....mwezi huu wa September,unapozuru na wale usiniache...too much delays in my life/family..nipe nguvu ya ujasiri nashindwa na hofu..uwoga ..nahitaji mwanzo mpya ee Mungu wangu...nina Imani mi nimshindi na ushuhuda ni wako. In Jesus Name.. Amen 🙏
Merci beaucoup
BWANA MUNGU NAKUSHUKURU NA LA WA MAISHA HAYA NALETA KILA LINALONISUMBUA UWE SULU HUU ILI SHO BABA,WALA USINITUPE ,MAGUMU YANGU UNAYAONA ,NISIHADHIRIKE JEHOVA NAOMBA MBINGU Z INIKUMBUKE
Amen