Velikost videa: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Zobrazit ovladače přehrávání
Automatické přehrávání
Přehrát
Mimi siyo msabato ila kuna nondo unashusha nazikubali sana....Mungu wa mbinguni aendelee kukutunza na kukupa maono mapya kila siku.
Wewe mwalimu unafundisha vizuri sana mm nasali TAG ila napenda mafundisho yako
AMEN mchugaji zidi kuniombea na watoto wangu kwa yale napitia
Amen pr ubarikiwe
Hivi vitu Ni roho Mungu angilie kati.maana watwaao wengi wateule wachache
Asante kwa mafundisho manzuri ambao inatujenga kiroho ubarikiwe mchungaji
AMEN wacha mungu azidi kukuongoza kwa neno lake
Asante kwa ukweli mchungaji,mungu azidi kkupa hekima zaidi
Maombi haya yenye nguvu sana.
God bless you mtumishi and your family amina.
Huyo ndiye Pster Mbaga
Amen nabarikiwa sana Kila naposkia mafundisho haya naona waz milango ya kubarikiwa ikifunguka.... Amen
God bless you mtumishi.
Mungu akubariki sana mchungaji kwa ajili ya mafundisho haya ya ajabu
Mahubiri haya yamebuniwa sina shaka !
Mungu akuonysshe njia
Amen 🙏
pastor kwo ukiitwa na mkatoriki kwenda kanisan utaeenda? maana kule kuna sanam ndani
Utakua kwansia tarehe 6 mwezi ujao?Naomba kupata mafundisho yako na MUNGU akupe ngufu
Amen
Rhonda.
Mimi siyo msabato ila kuna nondo unashusha nazikubali sana....Mungu wa mbinguni aendelee kukutunza na kukupa maono mapya kila siku.
Wewe mwalimu unafundisha vizuri sana mm nasali TAG ila napenda mafundisho yako
AMEN mchugaji zidi kuniombea na watoto wangu kwa yale napitia
Amen pr ubarikiwe
Hivi vitu Ni roho Mungu angilie kati.maana watwaao wengi wateule wachache
Asante kwa mafundisho manzuri ambao inatujenga kiroho ubarikiwe mchungaji
AMEN wacha mungu azidi kukuongoza kwa neno lake
Asante kwa ukweli mchungaji,mungu azidi kkupa hekima zaidi
Maombi haya yenye nguvu sana.
God bless you mtumishi and your family amina.
Huyo ndiye Pster Mbaga
Amen nabarikiwa sana Kila naposkia mafundisho haya naona waz milango ya kubarikiwa ikifunguka.... Amen
God bless you mtumishi.
Mungu akubariki sana mchungaji kwa ajili ya mafundisho haya ya ajabu
Mahubiri haya yamebuniwa sina shaka !
Mungu akuonysshe njia
Amen 🙏
pastor kwo ukiitwa na mkatoriki kwenda kanisan utaeenda? maana kule kuna sanam ndani
Utakua kwansia tarehe 6 mwezi ujao?Naomba kupata mafundisho yako na MUNGU akupe ngufu
Amen
Rhonda.
Amen 🙏
Amen
Amen