1ON1 na Barbara Gonzalez | Mipango, mikakati, malengo na ndoto kubwa za Simba SC (Exclusive)
Vložit
- čas přidán 6. 05. 2021
- Ni mahojiano ya ana kwa ana na Afisa Mtendaji Mkuu wa Simba, Barbara Gonzalez ambaye ameeleza kwa kina mipango, malengo na ndoto kubwa alizonazo kuipelekea Simba 'next level' (viwango vya juu) .
Hapa anazungumza na Philip Cyprian na miongoni mwa mambo aliyoweka wazi ni kuhusu mchakato wa mabadiliko, usajili, mipango ya kufanya vizuri kimataifa pamoja na matarajio yake kuelekea mechi ya watani wa jadi, Simba vs Yanga Mei 8, 2021.
Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:-
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz - Sport
Nakukubali Sana sister Barbara wew ni mchapa kazi mtu wa kazi Simba nguvu moja ❤️🤍💪🏼
Dada km dada maashaallah Allah akusimamie ktk kila hatua yko ila umependeza na ulivyojistiri umebadilika
Wanasimba tumepata kiongozi mwenye weledi wa uongozi kiujumla kisoka, kibishara kwa modern ya soka ya sasa hivi big up ceo wetu wengi tunakukubali sana
Hongera sana CEO wetu Mungu akupiganie
Hongera Sana madame,upo vzr sana,Mungu akujaalie na pia azidi kuijalia SSC
NAomba mungu simba ishinde kumuheshimisha huyu dada wallah wanawake wanaweza wakiwezeshwa
Hawa ndo watu wa kusikikiza sio.kina lulu diva🤣🤣
Umependeza mrembo uko tofaut xana,xhungi umefunga vizury xana washa moto me nakupenda sana kwakua hauna asil ya dharau
Hongera sana mungu akuzidishie utashi katika Maisha yako na uongoz wako katika timu big up Madame💯💪
Asant
Tunakupenda CEO wetu uko vizuri unasifa zote
Mi ni mwananchi damu damu ila huyu dada namkubali kwa kweli, kichwaaa sana.
Ilike barbra the way of talk and answer question she confident keep it up
Yes Barbara...you're a real Simba suporter,leader,fun,organizer...wooow! Im really apreciating yo views mydear sister. Yo'so smart Barbara. This is Simba the next level!
Mashallah dada wewe mzuri na umependeza kweli ulivyo vaa hijab yaani muislam kamil badil dini basi nikuowe
Endelea kujistiri unapendeza na niheshima kwa kwako na simba sc
Mtangazaji umeshindwa kuuteka wigo wote wa Madam, she is so smart nahisi ungeandaa maswal mazur zaidi angetoa elimu nzuri sana🙏🏿👌
Kasoma ist huyo
Mashaallah
This is what i call cool interview......beauty n brains .....All Africa giant magazines should meet madam C.E.O......
ME:wakenya munasemaje?
Kenyans:madam C.E.O ni mkenya🤦🏿♂️
Mwashi kitoko ya Simba arobi makambo ya bien Toujour makambo Madam Gonzalez ZAMBE pesa lupemba
Nice interview,,,Bab u know how to talk
Madam CEO 🔥🔥
Kwani nini kirefu cha CEO
Ceo wetu akili mingi big up mom
Uko vizuri
dada
🙏🙏
Madame good
Umependeza San ushungi CIO wetu tunakupenda
Safi sana Babra
Nice 👍👍
Wewe dada unapendeza sana ukiwa umevaa ushungi kuliko ukiwa wazi. Utanisamehe bure binafsi nakuona mpya sana na nakupenda kwa ajili ya ALLAH unapokua umejistiri kama hivo. Hongera sana na mungu akupe imani ya kuvaa hivo muda wote. Ufate modality ya mama yetu RAIS SAMIA.
💘💘💘💘💘💘💘💘💘
Huyu n mkristo
@@edsonndomba1049 Nani kakwambia
Muislam hyu
Stara huwa hawaitaki sijui kwann....na stara huwa haimuangushi mtu....stara ni njema na inawawawekea heshima kubwa wanawake lkn hawaitaki.... I kiwaambia wajistir wanakwambia urmbo wao hautaonekana.....stara ndio inayomtunza mwanamke
Toa uislamu wako haoa
Ongera mama
Bgp sister
Eti kuna wahuni wanasema babra sio mtu wa mpira watuache kidogo
Tu es vraiment jolie# Barbara Gonzalez
My C.O
Madamu umependeza sana na ushngi
Naam
Она очень красивая и говорите хорошая speech
🙏🙏🙏🙏
Mr madamu wetu PGA kelele zakeeeee
Rudi shule utopolo huku simba hatuna majina ya kidibwi kivile
Maswali yako ni ya kisomi wote nawaelewa kila LA heri simba
Azam medea:nini maana ya 10N1
One on one. Or 1 on 1
SIMBA BABA LAIO
Wachezaji wetu wamevaa kapulata
Shule ni kitu kizuri
Huyu mchumba ana akili kubwa sanaaaaa.
Mwanamke mwenye akili nyingi ngumu sana kuishi nae. Huwa hawana muda wa kumjali mume. They always focus about money and business.
@@abbyadams8691 Not always the case, though you are somehow correct.
There should be a room for flexibility in everything you believe. Some women of this nature are , purely a blessing to their men and family.
Mwanamke ni stara, lau wangejua kuwa uzuri wa mwanamke ni kujifunika asionekane mwili wake na thamani yake ilivyo basi wanawake wangelikataa kujiachia na kuonekana na kila mtu.
Uᴍᴇᴘᴇɴᴅᴇᴢᴀ ᴅᴅ ᴜsᴠᴜᴇ ᴜxʜᴜɴɢɪ
Kuufunika moyo nitija Sana kuliko hili kasha linaloenda kuoza kaburini kwa funza kulitafuna
Babra Gonzalez ni zaidi ya CEO yaan anajua mpk anakera dah Simba raha sna miaka mitano mbele hakika kitaumana
Yaani leo kawa mpya kabisa amependeza mpakabasi
Barbra nimependa sana majibu yako dada yameenda shule siyo wakukurupuka hasa ulivyo malizia kwawatani upo vizuli sana mama
Eti kuna wahuni wanasema babra sio mtu wa mpira watuache kidogo