#TBC
Vložit
- čas přidán 10. 12. 2023
- Fuatilia habari na matukio mbalimbali kwa saa 24 kupitia tovuti yetu, www.tbc.go.tz au App yetu ya “TBC Live”
TBC Live : tbc.go.tz/wp-content/uploads/...
App Store (iOS): apple.co/31Yxjta
Tufuatilie pia kwenye kurasa zetu za mitandao ya kijamii;
Twitter:
/ tbconlinetz
Instagram:
/ tbc_online
Facebook:
/ tbconlinetz
Mko vizur sana jiungeni tuwe wengi jaman
Naomba kujua zaid jamani
Je n lin naman itafunguliwa? N miaka mingi naona
Mnashawishi watu ujinga
Msiwe kama kitenge
Pi moja no sawa na tshsngap
Jamaaa anajua zaidi kuhusu hiii nipe nmba tuongee
NIMEFURAHI KUKUONA LIVE HAPO NILIKUWA NA KUSIKIA TU NA MATIRIAL UNAYO TOA KWENYE MAGROUP YA WASAP.SASA
ABOGAST NAOMBA LINK ZA HAYO MAKAMPUNI KWA ANILI YA KUFANYA MANUNUZI ONCE OPEN MINATE IKO HEWANI. TAFADHALI
ASANTE SANA!!💪🙏
Nahitaji kujiunga nifanyaje
Kujiunga ni simple, download app yao then fuata maelekezo yao kujiunga simple then invitation weka ProFadiz
Ivi hizo Pai ni hela mpya au namnasema tutakuwa hatutembei nahela mkononi zitaku ni hizo pai ziko kwenye cm je cm ikiibiwa je itakuwaje misiweki hela yangu Kwa cm Tanzania ni nchi yenye tabia ya wizi selikali haijaweza kulizibiti tatizo hilo Kwanza mtuonyeshe hiyo safu mpya ya pai
Hakuna shida yoyote ata kama ukipoteza simu yako maana password yako haijui
Apo badae watu watakuja kujuta na kusaga meno watakapo iyelewa pi
Why
Oyaaa.. hii pi network Sio mchezo mchezo!! Itakua ni aarafu yenye nguvu hadi sio poa... Saivi inapatikana tu bure ila kuna siku zitafika watu watasaga meno kuzipata Pi 😂
Nimamshukuru Mungu ninazo pie 700😂😂😂
Hii pi bado haijawa sarafu hii ni Airdrops.acheni kudanganya watu aisee
Usichokijua ni Bora ukae kimya
POLE SANA WISE!!! ENDELEA NA UPOFU HUO
Airdrop ni nini mjombaa? 😂😂😂 Mbona mimi ninafanya mining
Na in actual sense wewe unazo pie ngapi ulizopata kwenye airdrop ya pie ?
🎉@@ezekielmwadomba4675