GB 64 APAGAWA NA USHINDI WA YANGA vs VITAL OLEO (6-0 ) / CHAMA AMEZALIWA UPYA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024

Komentáře • 56

  • @RajabuHasan-w8w
    @RajabuHasan-w8w Před 19 dny +1

    Nakukubali xna gb lakn mwanao mzur

  • @IssaShaban-y7h
    @IssaShaban-y7h Před 18 dny

    Huyu jamaa Kawa mpole baada ya kusema wachezaji wa Yanga wanatumia madawa Baada ya kuambiwa alete ushahidi akababaika

  • @allysaidlyambange4500
    @allysaidlyambange4500 Před 18 dny

    USISEME WE UOGOPI BWANAAAA,SEMA UBAYA.....

  • @mmewaswida
    @mmewaswida Před 18 dny

    Simba ni waongo sana. Wasichosema ni kwamba wamebadilishana na US Algier Fred na Ateba. Hakuna cha kufanya kuvunja mkataba.

  • @joachimisack5834
    @joachimisack5834 Před 17 dny

    Nyoka wa kijani hawang'ati

  • @Fadhilitolinga
    @Fadhilitolinga Před 18 dny

    Kaka gb64 nakukubalee haxa chasambi mbona achezeshwiii

  • @hassanimeja4344
    @hassanimeja4344 Před 18 dny

    Kama Kawa kaka tunakukubali

  • @joachimisack5834
    @joachimisack5834 Před 17 dny

    Hiyo chezi yako kola imetanuka ndio maana na na maneno yako yanatanuka hovyo hovyo

  • @hekimaoscar6527
    @hekimaoscar6527 Před 18 dny

    Mbona hauja vaa sanda mzee

  • @mmewaswida
    @mmewaswida Před 18 dny

    Hamjui kusajili ndio sababu Manadanganya. Hamjui mchezaji mzuri na kocha mzuri. Mnaacha wachezaji wazuri mnadhani wataachwa?

  • @gervas58
    @gervas58 Před 18 dny

    Nani anamuona Dada anamwangalia Gb64 akabwabwaja kama kituko..gonga like

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 Před 18 dny

      Binti yake huyo..amemleta kwenye mitandao... mwenye kisu kikali ajitokeze..mafisi wanamsubiria chuo..

  • @hekimaoscar6527
    @hekimaoscar6527 Před 18 dny

    Tunza kauli ya kuwapiga makonzi

  • @rachelsamwel5359
    @rachelsamwel5359 Před 18 dny

    Yaani simba wana mashabiki wa hivyo hili nalo kupiga kelele tu hana point yoyote

  • @user-zj8ks2or2p
    @user-zj8ks2or2p Před 19 dny

    Nyoo leo umeongea kwa adabu kwakuwa upo na mwanao

  • @AshaShariff-lr6ry
    @AshaShariff-lr6ry Před 18 dny

    Nawashangaa hao wanaosifia sana wanatofauti gani hao vital,O na asas na zalan mpk yule miraji kuongea sana hizo timu zote ni madaraja ya kina pamba natimu nyingine za ligue ya nbc zinazochukua nafasi ya11 mpk. 16 la ajabu lipi ht singida ipo bora klk zote

  • @user-eq3nn6tp3k
    @user-eq3nn6tp3k Před 19 dny

    Asee kumbe una katoto kazuri hivyo, barikiwa saana

  • @NassoroSipemba
    @NassoroSipemba Před 19 dny

    Wewe baba Aisha wacha maneno mengi tulia dawa iwaingie.

  • @SonyDavid-do6pg
    @SonyDavid-do6pg Před 18 dny

    Mbona hamkufunga yanga kama mnavitoto

  • @user-nv9to8cq6d
    @user-nv9to8cq6d Před 18 dny

    Haka kasichana ni BOMBA Mashllahu

  • @AshaNchira
    @AshaNchira Před 19 dny

    Ndy maana nakukubari gb 64

  • @mmewaswida
    @mmewaswida Před 18 dny

    Kwani mchezaji hawezi kupata game exposure akiwa Tanzania?

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 Před 19 dny

    HAO WARUNDI HAWANA TOFAUTI NA SALATAN YA SUDANI KUSINI UTUMBO MTUPU.

    • @jimmyhabarugira4232
      @jimmyhabarugira4232 Před 18 dny

      Simba alikula 5, Azam 4 wote hao ni wabovu?? Tafuta sababu zingine

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Před 18 dny

      @@jimmyhabarugira4232 SIMBA 10 BORA YA CAF WAPO YA 7 HAYA NYIE VIBOVU MPO WA NGAPI???

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Před 17 dny +1

      @@jimmyhabarugira4232 TANO WAKATI WA MADUKA YENU YAPO KWA SASA HIVI UTAUFYATA TU MACHOGOOOOOOOOO

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 Před 19 dny

    VITAL,O BURUNDI NJAA NA UTOPOLO MATAPELI MECHI IMEPANGWA WAMTAPELI MAMA SAMIA PESA.

    • @user-ch2it3qt5z
      @user-ch2it3qt5z Před 18 dny

      Punguza wivu unaiona YaNGa ipo vzr unakalia wivu tu ata kwa macho uone kwl YaNGa ipo Vzr japo unajitoa akili tu,et Yanga wazee je kapombe kumb kijana eeh

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Před 18 dny

      @@user-ch2it3qt5z WOTE VIBOVU SIMBA BABA LENU

    • @user-kk5hq4sk5d
      @user-kk5hq4sk5d Před 18 dny

      😂😂😂 utakuwa kanda bongo man ww

  • @salmamakweta1198
    @salmamakweta1198 Před 19 dny

    GB 64 KAPATA KIBOKO YAKE

  • @KasparyKaspary-z9f
    @KasparyKaspary-z9f Před 19 dny +2

    Mbona jezi moja kilasiku iyoiyo japo kiki kilasiku

    • @omarymwenebatu
      @omarymwenebatu Před 18 dny

      Tumachezi ulizonazo tuzione wewe ambae unazo nyingi na mbona nawewe ahujabadilisha kichwachako kilasiku unaonekana na kichwahichohicho kilasiku?

  • @user-oc3jf3ts5i
    @user-oc3jf3ts5i Před 18 dny

    Huna lolote! ni kwamba unajua Mzize ni tishio kwa Makolo hivyo unasisitiza aondoke ili upate nafuu!! Shame on you!!

  • @IbrahimMmanda
    @IbrahimMmanda Před 19 dny

    Gb 64 nakukubali kwa kuongea vizur bg up

  • @OmaryAthumani-db3vp
    @OmaryAthumani-db3vp Před 19 dny

    Wewe GB huyo mwanao unawatangazia waandish wa habari ili wamtongoze kiufup umemuweka sokon Sasa subir uone

  • @WakiliHaule
    @WakiliHaule Před 19 dny

    Mamae leo kakaa na mtoto wake kisu aongei utumbo shuaini wewe

  • @paulotemba8881
    @paulotemba8881 Před 19 dny

    GB 64 ni mnafki tuu hana lolote

  • @josephmathayo5139
    @josephmathayo5139 Před 18 dny

    GB 64 Taarifa zako kuhusu uwanja si za kweli Uwanja wa Mkapa upon ktk matengenenezo makubwa hasa eneo la Kuchezea Katibu Mkuu Wizara ya Michezo amethibitisha hilo Jana.

  • @AshaNchira
    @AshaNchira Před 19 dny +2

    Wamewaonea vitalo

    • @kunsule9261
      @kunsule9261 Před 19 dny +2

      Ni kweli usemavyo. Kwanz Walianza kuwaonea simba hlf Waliwaonea azam kisha vital'o.

    • @jumannemsengi2195
      @jumannemsengi2195 Před 19 dny

      Hujasema utasema tu!! Wenzio wameaga 😂😂

    • @jumannemsengi2195
      @jumannemsengi2195 Před 19 dny

      Mwanaio anapokuwa karibu unanyoosha maneno c ulisema wanatumia dawa

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Před 19 dny

      ​@@kunsule9261HAMPO KATIKA TOP 10 YA RATIBA YA CAF VIBOVU MMEKUTANA WALE NI KAMA SALATAN YA SUDAN TU.

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Před 19 dny

      ​@@jumannemsengi2195WALE WENZENU NYIE HAMPO TOP 10 YA CAF

  • @Fadhilitolinga
    @Fadhilitolinga Před 18 dny

    Kaka gb64 nakukubalee haxa chasambi mbona achezeshwiii