JIFUNZE KUTENGENEZA SABUNI YA MAJI | MULTIPURPOSE SOAP
Vložit
- čas přidán 26. 03. 2021
- Jifunze Urembo inapenda kukuletea mambo ya ujasiliamali wa vitu mbalimbali kutoka Zamora Brands na leo hii nakuletea jinsi ya kutengeneza sabuni ya maji ya kufulia , kuoshea vyombo pamoja na kudekia (Multipurpose Soap)
Ungana na mimi mwanzo hadi mwisho na pia uanweze kutufuatilia kwenye page zetu zote mbili Instagram @zamora_brands na @jifunze_urembo - Jak na to + styl
Asante sana dada mwenyezi mungu akuongoze,nakuzidishiye ufahamu
Ahsante dada nimekifunza na nitakua mfuasi wako😊🙏
Asante sana somo lizuri nimeelewa vema
Asante Sana nimejifunza kitu kipya na nitakifanyia kazi
Daaah nimeelewa aisee asante
Asante dada Kwa msaada wako mungu akubariki
unaiacha wazi au unaifunika baada ya kumaliza kuchanganya huo mchanganyiko , asante
Asante my stika za biashara napataje kwagharama nafuu
Be blessed my dear nitakupigia
woooow nice
Nzur sanaaaa
Unafundisha vizur sana
Waaaoo nimependa san
asante kwa mafunzo dada yupo pmoja
Nmependa video. Je! Gharama ya reajents za Lita Tano ni sh. Ngap?
Ni sabuni mazuri,
Vipimo vya awalinna kwenye vitendo ni tofauti, sasa tufuate vipimo vipi?
Nice
shukrani sana miminaitamami hiyo mradi hivo vitu nitavipata wapii au nipe no yako tafadhali
Hello Niko Arusha napata wapi vifaa
Safi sana
Bei jumla zinaweza kosti shingapi?
Nimeipenda video yako
Safii dada
Japo kufundisha unajua
Somo Zuri
Good
❤️❤️
Vifaa vinapatikana wapi?
Samahani dada jinsi ya kupata vifaa asa hizo chupa za kupakia sabuni
Dada mimi ana taka lita 30 jisi kutegenoza
Ahsante sanaaa nakutafuta ili nijue jinsi ya kupata hizo malighafi na mengine zaidi
Natamn kujua Zaid dada angu
Safi Sana video yako iko Safi
Naomba utuwekee video ya sabuni ya magadi kwa vipimo sahihi
Asante sana
Dada ruhusu basi video kudalod
🙏
habari dada naitaji kujifunza nitakupataje
Unamaneno mengi ya awali
Sulphuric acid umesema 125 mwanzo afu mwishoni umesema 250mil sasa ipi ndo sahihi
Ni MLs 250 Kwa sababu Kwa fomular hiyo hiyo kwa Lita Kumi sulphonic Acid utatumia gram 500 ambayo ni robo Kwa Lita 10 Lakini . KO jibu lako ni 250 MLs
video nzuri lakin jitahid kupunguza maneno yasiyo na msingi
Anaongea Sana had analeta mda mwingine
OK dada ongela kwa kufanikisha kila unacho kifanya ila sio mbaya tungejuana naitwa athanas January kutokea Kaliua tabola na umli miaka 23 ivyo bas nilikuwa nataman xan kufanya ujaxiliamali kama wako sasa Dada unanisaidiaje miye wala sio tapeli niamua kufanya ujasiliamali dada naomb unsaide kwa ilo
😂
Chemical zinapatikana wap
Number yako sister
Nahitaji kujifunza kama unadarasa
Kazi ya STPP ni nini
Hizo chemical zinapatikana wapi?
Ziko wap
Naomba no yako
Bei za hizo maligafi
Ruhusu download
🙏🇹🇿🙋
Izo chemical znapatkana wap
Unaongea San bwan wengine MB ni chache,unatakiwa kutoa maelezo wakati unaendelea na kazi
Naomba namba yako kama hutojali
Naomba namba nataka nijue Zaid
Asante kwa somo namba yako dada
Naitaji kijifunza zaidi unapatikana wap
Nahitaji mzani dada wa kemikali napataje?
Watu wapi hamuelewi. Angalia mpaka mwisho utaona no yake hapo
Mm Natkatuwasilianekwanjiayacm.ntapatawapnambazako
Unaongea sna sis tutashindwa kufocus