HAKUNA KUPOA! CHAMA, WACHEZAJI WENGINE WALIVYOFANYA MAZOEZI GYM BAADA YA KUMCHAPA VITAL'O 6-0

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024

Komentáře • 110

  • @mrrockboy9508
    @mrrockboy9508 Před 18 dny +36

    Tujitaidi kujisajili ili kuendelea kupata wachezaji wazuri daima mbele nyuma mwiko🇹🇿🔰✔️

  • @michaelkapaya7164
    @michaelkapaya7164 Před 18 dny +13

    IPO SIKU KUNA TIMU KUBWA AFRICA HII ITAKUJA KUPATA AIBU KUTOKA KWENYE HILI JESHI LA GAMOND IPO SIKU 👏👏

  • @AdeniKasalile
    @AdeniKasalile Před 18 dny +10

    Yanga daima nyuma mwiko hongera wachezaji wote kwa ushindi 1 rais wa yanga 👏👏👏👏👏👏

  • @abdunnurahmedsilim7456
    @abdunnurahmedsilim7456 Před 18 dny +6

    I do like this attitude and spirt! Keep it up boys till we reach finals and bring CAF TROPHY to TZ. For us every team we face is a tough opponent and a stumbling block on our way towards achieving our goals

  • @emmilemalewa4257
    @emmilemalewa4257 Před 18 dny +8

    Kweli Yanga wapo kiuwelred zaidi, na Wana jambo zito msimu huu.
    Mungu akubali dhamira na malengo yetu yatimie aamin

  • @user-zu9gk8il3p
    @user-zu9gk8il3p Před 18 dny +4

    Mungu ibariki yanga baba inshallah tutashinda daima mbele nyuma mwiko

  • @user-it2pz1hf9t
    @user-it2pz1hf9t Před 18 dny +3

    Allah awanusur n madua mabay y mahasid kwa uwez wa Allah tutaimaliz safar salam.

  • @Papycon22_
    @Papycon22_ Před 18 dny +5

    Yanga kama Real Madrid 🔥🔥

  • @claratango9262
    @claratango9262 Před 18 dny +2

    Mungu Ibariki Yanga Mungu Ibariki Tanzania 🙏🙏🙏

  • @AgenesMugema
    @AgenesMugema Před 18 dny +1

    Nawaombea mje na Ushindi, mpambane kweli Kagera uwa inakomaa sana.👍👍👍

  • @marympemba6378
    @marympemba6378 Před 18 dny +2

    Ndio maana mnashinda sana, mbajiandaa vizuri kila wakati. Pongezi kwenu💚🇹🇿🇹🇿💛

  • @blackwarrior-animations593

    Safi sana Jeshi Langu
    Hakuna Kucheka na Kima

  • @radhiamussa1629
    @radhiamussa1629 Před 18 dny +4

    Ila wachezaji waache ubinafsi kwenye mechi ya vital o tungefunga zaidi ya nane ila kunasehemu ya kutoa pasi wachezaji wanalazimisha kufunga mfano kwa Aziz ki na max nafasi walipata zakumtoa pasi ambazo zingekuwa magoli ila wakataka wafunge wenyewe ushirikiano ukiwepo magoli mengi sana yatafungwa na msipo lizingatia Hilo huko club bingwa michezo migumu inayofatia ubinafsi utaicost team

    • @josephmapesa71
      @josephmapesa71 Před 18 dny

      uko sawa, ila wakati mwingine huwa ni tofauti kama timu ishapata matokeo na ikiwa inatafuta matokeo. pia unakuta timu imezidiwa sana hasa ktk kutengeneza nafasi, hapo ndo utahisi ni ubinafsi ila wao wanacheza pata potea aone labda goli linaweza kupatikana

  • @Aviwamwadin-so3vy
    @Aviwamwadin-so3vy Před 18 dny +3

    Leo wa kwanza🎉🎉🎉

  • @mwajumampokileomckapela7541

    All the best chama langu💚🖤💛

  • @pacomezouzoua9175
    @pacomezouzoua9175 Před 18 dny +1

    Mzize ni drogba mtupu🎉🎉

  • @babuumaeda7671
    @babuumaeda7671 Před 18 dny +2

    BALEKE 🎉🎉🎉🎉

  • @AshamiBoy
    @AshamiBoy Před 18 dny +1

    Timu hii ni Bora sana

  • @user-zj4ks7nk6j
    @user-zj4ks7nk6j Před 18 dny +6

    Chama baba chamaaaaaaa🎉🎉🎉💛💛💚💚🔰

  • @user-qm5un9yc8r
    @user-qm5un9yc8r Před 17 dny

    Love yanga

  • @innocentmmandago3029
    @innocentmmandago3029 Před 18 dny +1

    Good luck!

  • @rukaya-jg7hj
    @rukaya-jg7hj Před 18 dny +2

    My team 😂🎉

  • @elikindomondo3569
    @elikindomondo3569 Před 18 dny +3

    jamani tuji sajili na uana chama

  • @danielbenard9053
    @danielbenard9053 Před 17 dny

    Let us proud of our team

  • @joojombi2341
    @joojombi2341 Před 18 dny +1

    Ndo kazi yao, hakuna kulala wanasafari ndefu sana bado kabisa

  • @selemanisalum7685
    @selemanisalum7685 Před 18 dny +5

    Hangalia sehemu ya mazoezi timu km za mbele wanavyolelewa alafu mtu anapigwa 10 mnasema wanatumia madawa unakili kweli weee

  • @Youtuber-Tanzania
    @Youtuber-Tanzania Před 18 dny

    keep building the greatest Team ever seen in our Country

  • @hajiali1572
    @hajiali1572 Před 18 dny +1

    Madawa ya wachezaj wetu yanaazia hapa

  • @MalinoKadwame-u1c
    @MalinoKadwame-u1c Před 18 dny +1

    Jamn I yanga au ipo free masoni

  • @songombingo108
    @songombingo108 Před 18 dny +2

    Hizi mambo huzikuti kwa Madunduka😂😂

    • @selemanisalum7685
      @selemanisalum7685 Před 18 dny

      Takiri yao anaelewa ya kuwaweka kambi km hiyo alafu hao viongozi wao wanaueledi wa mpira

  • @innocentmmandago3029
    @innocentmmandago3029 Před 18 dny

    Mungu awabariki sana!

  • @user-kf8hj8yg1t
    @user-kf8hj8yg1t Před 18 dny

    Ongeran San from USA 🇺🇸

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 Před 18 dny +1

    Huu ndo uchawi wenyewe sasa! Hakuna uchawi ktk mpira wa kisasa kama huu!

  • @chollejr_
    @chollejr_ Před 17 dny

    Ili zoezi walilomalizia kina aucho unaweza kufa mapaja😂😂😂

  • @IsayaMasele
    @IsayaMasele Před 17 dny

    Tujisajili jamani tunapenda wachezaji wazuri awaji bila kuwa na pesa

  • @aishabakari8040
    @aishabakari8040 Před 18 dny +1

    Chama langu 😇🔰🔰🔰🔰🔰

  • @proisolution7166
    @proisolution7166 Před 18 dny

    HII NI ISHARA KWAMBA MAONI YETU MNAYAFANYIA KAZI,KEEP IT UP ,WE PRAY AND PLEDGE IF THERE IS ANY MEANS OR WAY OF PHYSICAL IMPROVEMENT TO HAVE A LEVEL OF EUROPEAN TEAMS STANDARD WE WILLSURELY WIN AFRICAN CLUB CHAMPIONS LEAGUE CUP,AS WE ALWAYS FAIL LACKING PHYSICAL BATTLES MENTALY NOT QUALITY. KEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEP IIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIT UUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUP,TIMU KAMA HAYA MA FOUNTAIN NA TABORA NOT OUR STANDARD .

  • @ibrahimmzito390
    @ibrahimmzito390 Před 17 dny

    kila atua dua daima mbele nyuma mwiko

  • @malietamaliet
    @malietamaliet Před 18 dny +1

    Jmn mngewaacha wapumzike ata Leo tu kuna timu hazitakuja uwanjani😂

  • @user-vf5pp2wn1f
    @user-vf5pp2wn1f Před 18 dny

    Yanga laha San mazoezi mazuli san

  • @MwanaidiJuma-z8x
    @MwanaidiJuma-z8x Před 18 dny +1

    Mm nampenda boka nipo Kenya ukweli msinishangae

  • @MzeewaYanga-hm8jq
    @MzeewaYanga-hm8jq Před 18 dny +1

    🙏🙏🙏💪💪💪

  • @Alinda-ot4no
    @Alinda-ot4no Před 18 dny

    my team 👊

  • @patrickndizeye2190
    @patrickndizeye2190 Před 18 dny +1

    Mabingwa balaa tupu❤

  • @user-fb9yd9vn2w
    @user-fb9yd9vn2w Před 18 dny +2

    Aziz ki where are you

  • @user-iz3hs8jl5p
    @user-iz3hs8jl5p Před 17 dny

    oneni watu wanavomwaga jasho alafu m2 ukipigwa hamsa mnallalamika kaeni kwa kwa ku2lia wapinzani wa yanga

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles9920 Před 17 dny

    Sanda huku wanapiga kelele sana jamani

  • @maliadii4829
    @maliadii4829 Před 18 dny

    ALISEMA ANAOGOPA WACHEZAJI 2 ENGINEER HERSI NA ALI KAMWE 😂😂😂HAKUKOSEA 💚💛💚💛

  • @georgepewa9624
    @georgepewa9624 Před 18 dny

    Tukajisahiri tupate kadi ya uwanachama ili club ipate wachezaji bora

  • @shaftmrutu7962
    @shaftmrutu7962 Před 18 dny

    Background music ni nzuri sana ila mpunguze kidogo sauti ili tuburudike.vizuri zaidi. Yanga raha jamani.

  • @justinathanas6783
    @justinathanas6783 Před 18 dny

    🔥🔥🔥

  • @youngshisha6115
    @youngshisha6115 Před 18 dny

    Mazoezi ya yangu sio mchezo jasho lazima likutoke la kutoshaa 😅😅😅😅

  • @user-iz3hs8jl5p
    @user-iz3hs8jl5p Před 17 dny

    sidhani kama haya mazoezi yako kwa madunduka hua nawaona wanarukaruka 2 kule kwenye mashamba ya mpunga

  • @innocentmmandago3029
    @innocentmmandago3029 Před 18 dny

    Daima mbele, nyuma mwiko!

  • @user-rh1mx3yg6l
    @user-rh1mx3yg6l Před 18 dny

    ❤❤❤

  • @danfordmwangesile9043
    @danfordmwangesile9043 Před 18 dny +2

    Yanga taifa kubwa. Daima mbele nyuma mwiko. MNYAKYUSA toka ZANZIBAR

    • @hemedbakari8997
      @hemedbakari8997 Před 18 dny

      YANGA inaitwa Umoja wa Mataifa mikia ndio inaitwa taifa kubwa hata zamani kulikua na kanga zimeandikwa hivyo

    • @barikilangoy4737
      @barikilangoy4737 Před 18 dny

      Rudi nyumban zanzibar akuna kabila,wanajiita waswahili

  • @zuberihassan3629
    @zuberihassan3629 Před 18 dny

    Faridi Musa sioni hat kucheza

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles9920 Před 17 dny

    Anzeni kumnoa Baleke aive na yy

  • @MwamvuaMwita
    @MwamvuaMwita Před 18 dny

    A ziz ki. Hayupo

  • @jairatu688
    @jairatu688 Před 18 dny

    Halafu kuna mwehu mmoja anasema yanga wanatumia madawa ya kuongeza nguvu ......hivi hawaoni mazoezi mnayoyafanya

  • @jambia4515
    @jambia4515 Před 18 dny

    Aya ndio mambo tiliyakosa muda mrefu tuwashukuru walowekeza

  • @MasterG-dc1tx
    @MasterG-dc1tx Před 18 dny

    Viva yanga

  • @ushiwamarandu7433
    @ushiwamarandu7433 Před 18 dny

    hawa ndiyo watu wakazi sasa...!

  • @amanilupembe9788
    @amanilupembe9788 Před 18 dny

    Daima mbele

  • @YusuphBupamba
    @YusuphBupamba Před 18 dny

    Ibrahim bacca unategea komaa mwamba wetu

  • @JaphetMasalu-n9d
    @JaphetMasalu-n9d Před 18 dny

    Hakuna kupowa

  • @IyumbuMartine
    @IyumbuMartine Před 18 dny

    Hakuna kupoa,,, next stop kaitabaaaaaaaaaaa wahaya twaja huko

  • @morningstarartproduction8436

    𝐘𝐚𝐧𝐠𝐚 𝐟𝐚𝐜𝐢𝐥𝐢𝐭𝐢𝐞𝐬 𝐤𝐚𝐦𝐚 𝐭𝐢𝐦𝐮 𝐳𝐚 𝐮𝐥𝐚𝐲𝐚 𝐭𝐮

  • @user-vj6py9tq9v
    @user-vj6py9tq9v Před 18 dny

    Anatokea mjinga mmoja Anasema wachezaji wa Yanga wanatumia madawa yakuongeza nguvu

  • @tevintevin6254
    @tevintevin6254 Před 18 dny

    Kwani kibwana kafiwaa????😂😂😂😂

  • @dengahmediatz1230
    @dengahmediatz1230 Před 18 dny

    Ipo siku yanga tutawapiga 5 -0 alafu chama mzee

  • @mjinjasagamambi7531
    @mjinjasagamambi7531 Před 18 dny

    Mkude kamwagika maji😅

  • @athumaninyituki7011
    @athumaninyituki7011 Před 18 dny

    Yang

  • @edithajohn9600
    @edithajohn9600 Před 18 dny

    Wanaume wanamwaga jasho tu,,,

  • @barakawabuge5285
    @barakawabuge5285 Před 18 dny

    Khee shekani yupo ?😂

  • @OmarOmar-gq5tk
    @OmarOmar-gq5tk Před 18 dny

    EXPENSIVE TRAIN FOR BRING CAF TRAPHOY IN TZ. DONT LISTEN WHAT THEY SAY JUST LOOK FORWAD. ONE DAY YOU" LL READ MY COMMENT.AFTER MISSION ACCOMPLISHED.

  • @FredyCharles-sz4gr
    @FredyCharles-sz4gr Před 18 dny

    Mbon kam kibwan shomar anaraa shida nn

  • @IyumbuMartine
    @IyumbuMartine Před 18 dny

    Ila sijamuona Max

  • @LukaKisoka
    @LukaKisoka Před 18 dny

    Nani kamuona chama akisema mabululu

  • @rukaya-jg7hj
    @rukaya-jg7hj Před 18 dny

    Kwaio pacome anajua kisawhili

  • @MomadeMudimoz70-cs2ud
    @MomadeMudimoz70-cs2ud Před 18 dny

    🙏🙏🔰🔰💚💚💛💛💛🔥🔥🏆

  • @fatmaally7252
    @fatmaally7252 Před 18 dny

    Watu wanakula tizi uku la kuuwa mtu

  • @ushiwamarandu7433
    @ushiwamarandu7433 Před 18 dny

    KWANAMANA HII NI LAZMA WASEME WANATUMIA MADAWA DADEK...!

  • @himanmwalwala7569
    @himanmwalwala7569 Před 18 dny

    WAACHE tu kutumia

  • @amanizavala
    @amanizavala Před 18 dny

    Utopolo

    • @abdunnurahmedsilim7456
      @abdunnurahmedsilim7456 Před 18 dny +1

      Kolokwinyo zavala! Hakikisha unaendelea kumeza panadol za kutosha ili angalau upunguze maumivu lakini tambua Panadol haziondoshi mateso.. kwa hiyo endeleeni kuteseka kisha go to hell!😂😂😂😂😂

    • @aishabakari8040
      @aishabakari8040 Před 18 dny

      Kolo

    • @gracemtonga3263
      @gracemtonga3263 Před 18 dny

      Ubaya ubwela ndo huu Sasa! Kolozidad mpo!

    • @Abuu-gs1yi
      @Abuu-gs1yi Před 18 dny

      Unasemaje bibie Deborah

  • @fatmasuleiman3885
    @fatmasuleiman3885 Před 18 dny

    Watu.ktk kusajiri ndio km wazito furaha wanaitaka jitahidini kuwa wana chama kamili

  • @vestinamartin8570
    @vestinamartin8570 Před 18 dny

    💚💛💚💛🫶🏻

  • @joshemman520
    @joshemman520 Před 18 dny

    yao hakumsalimia baka na baka ni kama alijua like hawakosawa

  • @user-lm6wc8gw3z
    @user-lm6wc8gw3z Před 18 dny

    𝑴𝒚 𝒇𝒂𝒗𝒐𝒓𝒊𝒕𝒆 𝒕𝒆𝒂𝒎

  • @mgenikhalfan9258
    @mgenikhalfan9258 Před 18 dny +1

    𝙖𝙢𝙖𝙣 𝙬𝙬 𝙠𝙬𝙚𝙡𝙞 𝙣𝙜𝙪𝙧𝙪𝙬𝙚 𝙛𝙘 𝙢𝙖𝙖𝙣𝙖 𝙠𝙞𝙡𝙖 𝙨𝙞𝙠𝙪 𝙪𝙣𝙖𝙪𝙢𝙞𝙖 𝙬𝙬 𝙩𝙪 𝙮𝙖𝙣𝙜𝙖 𝙮𝙚𝙩𝙪 𝙠𝙚𝙣𝙜𝙚 𝙬𝙬 𝙨𝙖𝙣𝙙𝙖 𝙛𝙘

    • @MwanaidiJuma-z8x
      @MwanaidiJuma-z8x Před 18 dny

      Haki mm nikwambie ukweli atanikifa Leo but nipo Kenya ila nampenda sana boka mwambieni namanisha