Tupo sehemu ya tatu ya simulizi ya kijana mvuvi,ushuhuda wa kweli wa maisha ya kijana ambaye alipitia misukosuko mingi sana maishani mwake.Karibu tuendelee simulizi hii bado ni ndefu
Ooh pole sana kijana,yaani mitihani juu ya mtihani,kwa kweli matatizo yanaweza kukuandama mpaka ukajiuliza hivi kweli kuna wengine pia au ni mimi tuu,mbona nimekosa bahati jamani.23.02.19.
Dah n nzuri
Mdau nimekukubali
uwa nainjoy sana na kufurah kuona muusika anajibu coment zetu daaah asante sana Jacktan mtoto wa mwalimu bebe bin tichaaaa
Asante pia na wewe Abedi
Waiting! Waiting! Waiting 🙏
Ooh pole sana kijana,yaani mitihani juu ya mtihani,kwa kweli matatizo yanaweza kukuandama mpaka ukajiuliza hivi kweli kuna wengine pia au ni mimi tuu,mbona nimekosa bahati jamani.23.02.19.
Duuu haya ni zaid ya mateso yaani mpka utajuta kwa nn ulikuja dunia hii maana mhhh!
Part 3 time ya ushuhudaaa. Watoto wote kulala. Sitaki kelele. Naitaji utulivu.
Sawa bebe bin ticha
Ooh No .. how can life be so unfair to him😪😪
Balikiwa Sana mtenda kazi wa Bwana kwa shuhuda za kweli. Hakika zinaelimisha, zinatufundisha. Endelea kutuletea kila siku. Tuko pamoja.
Ameen, pamoja sana
Nice
Hakika duniani kunapito mengi
Jamani cjui nicomment nn😭😭😭
Ya husuni kweli
Rafiki
Rafiki watokea wapi
Napenda tujuwane zaidi tuwe marafiki
@@patrickmgata9574 kenya
Upo kenya basi sio mbaya mie nipo Tanzania