BILA YA KUFICHA "DKT MWINYI" ATOA MAAGIZO YATEKELZWE HARAKA SANA
Vložit
- čas přidán 5. 03. 2021
- Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 625 323 932
Ktv Tz Online Journalists
cc: Sadia Rashid
cc: Sauti Byego
cc: Maryam Busara
cc: Masoud Maganga
Camera Department"
Dadi Ali
Omar (OJ)
Nassor Shaibu
Abdallah Juma
Editors:
Juma Maulid
Dadi Ali
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
- Ali Kiba akiwa Oman
• ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
• NI KWELI ALI KIBA AMNU...
Mh Dkt Hussein hongera sana sana sana🙏🙏🙏Naamin umeyamark maneno ya baba ako mzee wetu Mh Mzee Ally Mwiny😓😓🙏...Wallah Mh Rais kwa mwendendo Allah yupo pmj na ww wala Hakufedhehesh InshaAllah .......,MAISHA YA MWANAADAMU NI HISTORIA NDUGU IFANYE HISTORIA YKO KUWA MZURIII......🙏🙏🙏
Haijawah kutokea Allah awahifaz na kila maovu awape subra na moyo huu huu wa kujal watu wao/Zanzibar kwanza✌️♥️
Hakika zanzibar tumepata raisi mungu akupe maisha marefu na akupe nguvu na busara uweze kutuongoza
Huyu siye Rais wa WANYONGE TUU HUYO NI RAIS WA WANANCHI WOTE.
oyeeeee mwinyi piga kazi.makufili namba2
Sisi mh Rais kazi yetu nikukuombea dua na kukutakia kheri na mafanikio ya kazi zako allah akuhifadhi na atakulipa jazaa kubwa na utaandika historia katika uongozi wako mwema
Nimependa zaid kuwa anapokea ushauri na kuutolea maamuzi papo hapo ,
Hivi ndivyo anatakiwa kua kiongozi
Mhe Mbunge umeongea vzr kuhusu pale tubo la pili yani tunateseka sana raia .
Kweli sawa sawa wapunguze kodi 🤲🏻🤲🏻👍🔥
serekali hiiii 🔥🔥🔥🔥
Mambo alo kuwa haya pendi lissu u kitaka kunya kwa rais sass na uliza hao wabuge wana kaz gani Sifahamu
Mashaallah mashaallah mashaallah
pongezi kwako mkuu
Mungu akuekee Raisi wetu mfano wako Zanzibar hajawahi tokeaa ww kweli unaonesha nia ya kuibadilisha zanzibar. Allah akujaze imani na nia njema daima
mheshimiwa tunatamani.uje tu mji mkongwe Allah akuwezeshe
Raisi unafanyakazi na mkeo? Apumzike safari nyengine🤣🤣🤣🤣🤣
Muheshimiwa raisin ile sehemu ya michezani si sehemu nzuri ya kuifanya kituo cha dala dala mji umekua unazogo na mchafu Ahsante
Kweli Michenzani siyo pahala pa DALA DALA.
Basi kituo kirudi kulekule darajani.
@@jambo3751 kituo bora kipelekwe welezo kwa mujibu wa geographical ya mji
🙏🙏🙏
Hungera sana
Mwinyi mashallah
Rais wa wanyonge ina maana gani?, Wanyonge wamefanya maamuzi ya kumchaguwa kiongozi wanayemtaka jeshi likapindua Uamuzi wao.
tutabaki kukuombea dua zaid na zaid
Muheshimiwa Rais Tunaomba Kipande kiwe elfu Ishirini kwa mwaka. Tunaomba sana Mheshimiwa.
elfu 30 kwa mwaka ufikiriwe nini tena apo unachangia taifa 2500 kwa mwezi kwa siku moja sw na shilingi 84 hata shilingi mia kwa siku haijafikia
Hujamuelewa, Elfu 30 ameridhika nayo na yupo tayari kulipa.
Mh. MWINYI Njoo na PEMBA
Zanzibar hatujawahi kupatwa raisi , lkn sasa tumepata! Walikua wanajifaidisha wenyewe na familia yako.
Sister spika vipi tamu naona huchoki kusema
Nyie punguzeni kwanza vyakula bei na spitali kuwa na matibabu mazuri na maji kuwa kwa wing mkupiga makelele yu
Huyu mwanamke mbona kiswahili hajui au mgeni
Mhesimiwa rais tunaomba na ss tusokazi bc utuwezeshe
Kwenye Nia pana njia a jamaaa nimekuona juzi kibanda maiti Apo bababrani alitoa mawazo ili othmaan Omar kuwa makomo was rais,mueshimiwa Zanzibar ipo pamoja na ww tayari umetefanya mengi ndani ya muda mdogo tu ambao umekamata madaraka,mueshimiwa tutakuombea sua m mungu ili akujaalie umri mrefu na akujaalie hekma busara na kwa wananchi wako ,wewe Ni really rais sio rahisi.
Huyu mzungumzaji wa Pili kajitahidi kuongea kama Mzanzibari lakini ra na la imekuwa ngumu, afanye mazoezi. 😷
Acha zko ndio zenu kujifanya ndio waswahili sana kumbe nyoko
@@zainabrajab9608 Nimefulaayi 👏👏
Matar huna mapenzi na watu hata kidogoo huna unaemtetea pengine upo apo kwa maslahi yako too,ila kwa mapenzi na watu huna kabisaa!!
Ana mapenzi na mbwa mana kila mnacho tetewa sicho nyinyi ungesema ww mwenye mapenzi na watu