BILA YA KUFICHA "DKT MWINYI" ATOA MAAGIZO YATEKELZWE HARAKA SANA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 03. 2021
  • Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
    Follow Ktv Tz Online
    Facebook | KTV TZ ONLINE
    INSTAGRAM |@ktv_tz_online
    Wasiliana nasi kupitia number
    +255 625 323 932
    Ktv Tz Online Journalists
    cc: Sadia Rashid
    cc: Sauti Byego
    cc: Maryam Busara
    cc: Masoud Maganga
    Camera Department"
    Dadi Ali
    Omar (OJ)
    Nassor Shaibu
    Abdallah Juma
    Editors:
    Juma Maulid
    Dadi Ali
    Video Zingine:
    Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
    - Ali Kiba akiwa Oman
    • ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
    • NI KWELI ALI KIBA AMNU...

Komentáře • 40

  • @mohdsuleiman1445
    @mohdsuleiman1445 Před 3 lety +10

    Mh Dkt Hussein hongera sana sana sana🙏🙏🙏Naamin umeyamark maneno ya baba ako mzee wetu Mh Mzee Ally Mwiny😓😓🙏...Wallah Mh Rais kwa mwendendo Allah yupo pmj na ww wala Hakufedhehesh InshaAllah .......,MAISHA YA MWANAADAMU NI HISTORIA NDUGU IFANYE HISTORIA YKO KUWA MZURIII......🙏🙏🙏

  • @pizzo1morestart840
    @pizzo1morestart840 Před 3 lety +3

    Haijawah kutokea Allah awahifaz na kila maovu awape subra na moyo huu huu wa kujal watu wao/Zanzibar kwanza✌️♥️

  • @fahmihaji4944
    @fahmihaji4944 Před 3 lety

    Hakika zanzibar tumepata raisi mungu akupe maisha marefu na akupe nguvu na busara uweze kutuongoza

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 Před 3 lety +7

    Huyu siye Rais wa WANYONGE TUU HUYO NI RAIS WA WANANCHI WOTE.

  • @zeyanaalhabsi8636
    @zeyanaalhabsi8636 Před 3 lety +3

    oyeeeee mwinyi piga kazi.makufili namba2

  • @mohammednassor3081
    @mohammednassor3081 Před 3 lety

    Sisi mh Rais kazi yetu nikukuombea dua na kukutakia kheri na mafanikio ya kazi zako allah akuhifadhi na atakulipa jazaa kubwa na utaandika historia katika uongozi wako mwema

  • @saidadammussa7514
    @saidadammussa7514 Před 3 lety +2

    Nimependa zaid kuwa anapokea ushauri na kuutolea maamuzi papo hapo ,
    Hivi ndivyo anatakiwa kua kiongozi

  • @jumamatao3628
    @jumamatao3628 Před 3 lety +3

    Mhe Mbunge umeongea vzr kuhusu pale tubo la pili yani tunateseka sana raia .

  • @sampachino5184
    @sampachino5184 Před 3 lety +1

    Kweli sawa sawa wapunguze kodi 🤲🏻🤲🏻👍🔥

  • @albassambakili3757
    @albassambakili3757 Před 3 lety +6

    serekali hiiii 🔥🔥🔥🔥

    • @tim5hos846
      @tim5hos846 Před 3 lety

      Mambo alo kuwa haya pendi lissu u kitaka kunya kwa rais sass na uliza hao wabuge wana kaz gani Sifahamu

  • @muliksuleiman1633
    @muliksuleiman1633 Před 3 lety +1

    Mashaallah mashaallah mashaallah

  • @sultannassor9756
    @sultannassor9756 Před 3 lety +2

    pongezi kwako mkuu

  • @yassafal-kondo961
    @yassafal-kondo961 Před 3 lety +2

    Mungu akuekee Raisi wetu mfano wako Zanzibar hajawahi tokeaa ww kweli unaonesha nia ya kuibadilisha zanzibar. Allah akujaze imani na nia njema daima

    • @abubakarsalum6307
      @abubakarsalum6307 Před 3 lety

      mheshimiwa tunatamani.uje tu mji mkongwe Allah akuwezeshe

  • @mamamuu8217
    @mamamuu8217 Před 3 lety

    Raisi unafanyakazi na mkeo? Apumzike safari nyengine🤣🤣🤣🤣🤣

  • @rahimasaid4702
    @rahimasaid4702 Před 3 lety +2

    Muheshimiwa raisin ile sehemu ya michezani si sehemu nzuri ya kuifanya kituo cha dala dala mji umekua unazogo na mchafu Ahsante

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 Před 3 lety +1

      Kweli Michenzani siyo pahala pa DALA DALA.

    • @jambo3751
      @jambo3751 Před 3 lety +1

      Basi kituo kirudi kulekule darajani.

    • @salhasaamar9815
      @salhasaamar9815 Před 3 lety

      @@jambo3751 kituo bora kipelekwe welezo kwa mujibu wa geographical ya mji

  • @ebrahimosman5477
    @ebrahimosman5477 Před 3 lety +1

    🙏🙏🙏

  • @sultannassor9756
    @sultannassor9756 Před 3 lety +3

    Hungera sana

  • @suleimanmohamed4367
    @suleimanmohamed4367 Před 3 lety

    Mwinyi mashallah

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 Před 3 lety +1

    Rais wa wanyonge ina maana gani?, Wanyonge wamefanya maamuzi ya kumchaguwa kiongozi wanayemtaka jeshi likapindua Uamuzi wao.

  • @abdulghaniy1926
    @abdulghaniy1926 Před 3 lety +1

    tutabaki kukuombea dua zaid na zaid

  • @msemakweli371
    @msemakweli371 Před 3 lety

    Muheshimiwa Rais Tunaomba Kipande kiwe elfu Ishirini kwa mwaka. Tunaomba sana Mheshimiwa.

  • @kheirmbarouk8373
    @kheirmbarouk8373 Před 3 lety +1

    elfu 30 kwa mwaka ufikiriwe nini tena apo unachangia taifa 2500 kwa mwezi kwa siku moja sw na shilingi 84 hata shilingi mia kwa siku haijafikia

    • @jabirnext
      @jabirnext Před 3 lety

      Hujamuelewa, Elfu 30 ameridhika nayo na yupo tayari kulipa.

  • @ishamjaka1278
    @ishamjaka1278 Před 3 lety

    Mh. MWINYI Njoo na PEMBA

  • @mamamuu8217
    @mamamuu8217 Před 3 lety

    Zanzibar hatujawahi kupatwa raisi , lkn sasa tumepata! Walikua wanajifaidisha wenyewe na familia yako.

  • @mohdshebe5640
    @mohdshebe5640 Před 3 lety

    Sister spika vipi tamu naona huchoki kusema

  • @MohamedAli-ds8uz
    @MohamedAli-ds8uz Před 3 lety

    Nyie punguzeni kwanza vyakula bei na spitali kuwa na matibabu mazuri na maji kuwa kwa wing mkupiga makelele yu

  • @utaani1
    @utaani1 Před 3 lety

    Huyu mwanamke mbona kiswahili hajui au mgeni

  • @MaryamMaryam-hd7es
    @MaryamMaryam-hd7es Před 3 lety

    Mhesimiwa rais tunaomba na ss tusokazi bc utuwezeshe

  • @hassankhamis9920
    @hassankhamis9920 Před 3 lety

    Kwenye Nia pana njia a jamaaa nimekuona juzi kibanda maiti Apo bababrani alitoa mawazo ili othmaan Omar kuwa makomo was rais,mueshimiwa Zanzibar ipo pamoja na ww tayari umetefanya mengi ndani ya muda mdogo tu ambao umekamata madaraka,mueshimiwa tutakuombea sua m mungu ili akujaalie umri mrefu na akujaalie hekma busara na kwa wananchi wako ,wewe Ni really rais sio rahisi.

  • @sharifjuma1220
    @sharifjuma1220 Před 3 lety

    Huyu mzungumzaji wa Pili kajitahidi kuongea kama Mzanzibari lakini ra na la imekuwa ngumu, afanye mazoezi. 😷

    • @zainabrajab9608
      @zainabrajab9608 Před 3 lety +1

      Acha zko ndio zenu kujifanya ndio waswahili sana kumbe nyoko

    • @sharifjuma1220
      @sharifjuma1220 Před 3 lety

      @@zainabrajab9608 Nimefulaayi 👏👏

  • @omarmuhunzi5612
    @omarmuhunzi5612 Před 3 lety +1

    Matar huna mapenzi na watu hata kidogoo huna unaemtetea pengine upo apo kwa maslahi yako too,ila kwa mapenzi na watu huna kabisaa!!

    • @alimaulid1752
      @alimaulid1752 Před 3 lety +1

      Ana mapenzi na mbwa mana kila mnacho tetewa sicho nyinyi ungesema ww mwenye mapenzi na watu