KISA CHA YUSUFU KUUZWA NA NDUGUZE | MKE WA P0TIFA ATAKA KUZINI NAE | YUSUFU GEREZANI

Sdílet
Vložit

Komentáře • 99

  • @irenejecinta6104
    @irenejecinta6104 Před 3 lety +2

    Mungu atusaidie sisi wanawake,,,,,, wa!

  • @salomengussa5897
    @salomengussa5897 Před 2 lety

    Hongera kwa kisa Kama kitabu kitakatifu Biblia kinavyoeleza hata wiki hii nimesoma story hii,uko vizuri hongera sana kaka

  • @stanleychamhene5876
    @stanleychamhene5876 Před 2 lety +1

    Mungu atusaidie tuwe wenye afya njema 2

  • @stanleychamhene5876
    @stanleychamhene5876 Před 2 lety +1

    Aminaaa

  • @exuperkamili1789
    @exuperkamili1789 Před 4 lety +1

    Nashukuru kwa neno la uzima

  • @khadabbashiir5818
    @khadabbashiir5818 Před 4 lety +2

    Masha allah

  • @teddymwageni1763
    @teddymwageni1763 Před 4 lety +3

    Haya masomo ni mazuri sana hasa kwa kujifunza watoto

  • @sebastiansimonkabelwa8212

    Ahsante kwa story

  • @bungemwinuka8528
    @bungemwinuka8528 Před 2 lety +1

    Mungu hamuachi mwanakondoo wake

  • @dorothydali3460
    @dorothydali3460 Před 4 lety +2

    Kuna bibilia n kuna Qur'an xx kila kitabu kinasema kivyake acheni kumlaumu m2 wa wa2

  • @ebenezerykimendo115
    @ebenezerykimendo115 Před 4 lety +6

    Je naweza pata kisa cha kaini na Abeli

  • @ebenezerykimendo115
    @ebenezerykimendo115 Před 4 lety +3

    Napenda sna na ninajifunza mengi sana

    • @johnsonjuma112
      @johnsonjuma112 Před 4 lety

      czcams.com/video/QE9Dt4oLM0I/video.html asante, pata somo LA Leo tena kaka, ni subscribe ukipenda kwa support

    • @SIMULIZIBIBLIA
      @SIMULIZIBIBLIA  Před 4 lety

      Amen Mungu akubariki

  • @kakuzekakuze7564
    @kakuzekakuze7564 Před 4 lety +2

    Mwendelezo

    • @johnsonjuma112
      @johnsonjuma112 Před 4 lety

      czcams.com/video/QE9Dt4oLM0I/video.html asante, pata somo LA Leo tena kaka, ni subscribe ukipenda kwa support

  • @husseinrajabu705
    @husseinrajabu705 Před 4 lety +2

    Yan ww ndio hujui kabisa naelimu juu ya hilo jambo huna

  • @janenjenga5639
    @janenjenga5639 Před 4 lety +1

    Mafundisho mema na yenye imeabatana na mandiko mpunzi ya mungu

  • @uusseafajagfduka6155
    @uusseafajagfduka6155 Před rokem

    Which chapter

  • @surahyaraphn8026
    @surahyaraphn8026 Před 4 lety +1

    Yan wanawake sisi eee MWENYEZI MUNGU tusamehe bure maana hasira yako ni kali sana hatutoweza izuiya pind ishukapo

  • @mudyxhumedmudy5888
    @mudyxhumedmudy5888 Před 4 lety +7

    Hiyo story soma sana qur an utaiyelezea vizuri.

    • @tolumnyama3935
      @tolumnyama3935 Před 4 lety

      It means kwmb Quran inaelzea kisa hiki tofaut zaid ya alvyo simulia bro hapo.

    • @amanducmatupa708
      @amanducmatupa708 Před 4 lety

      @@tolumnyama3935 uyu jamaa anataka kuleta udini tu hana lolote.....

    • @asmamsagati1546
      @asmamsagati1546 Před 4 lety

      mambo

  • @giftsalum6913
    @giftsalum6913 Před 4 lety +2

    Asante

    • @johnsonjuma112
      @johnsonjuma112 Před 4 lety

      czcams.com/video/QE9Dt4oLM0I/video.html asante, pata somo LA Leo tena kaka, ni subscribe ukipenda kwa support

  • @calvincemcokoth6493
    @calvincemcokoth6493 Před 4 lety

    How do I download this??

    • @kabest4475
      @kabest4475 Před 4 lety

      download vidmate.. such it google then download it. it will help to download any video through youtube

  • @fabianmainchanyangachika5017

    Hivi ni kwanini picha zenu zinakuwa za watu weupe? Hamjui kwamba wetu weusi ndio walifanyiwa ya utumwa?

  • @salomengussa5897
    @salomengussa5897 Před 2 lety

    usiposoma Biblia huwezi jua chochote wapendwa someni neno la Mungu

  • @ltlmedia8480
    @ltlmedia8480 Před 4 lety

    Huwa nashindwa kuelewa historia zako tafahdali simulia taratibu basi kaka pia uwe unaanza hata na utambulisho mkuu...huu ni ushauri wangu tu!.

    • @SIMULIZIBIBLIA
      @SIMULIZIBIBLIA  Před 4 lety +1

      Asante kwa maoni yako,tunaomba radhi kwa hilo,tutarekebisha hivi karibuni.

    • @ltlmedia8480
      @ltlmedia8480 Před 4 lety

      @@SIMULIZIBIBLIA wala hupaswi kuniomba radhi nimetoa maoni tu kaka pia nashukuru sana kwa uelewa wangu japo ni mdogo ila umenielewa vizuri na kunijibu vizuri asante na jina la bwana libarikiwe

    • @lucysamsonmoza3964
      @lucysamsonmoza3964 Před 4 lety +1

      Andrew hii anatueleza kwa wale ambao hatusomi biblia ila kama tunasoma hii inaeleweka kwa marudio anayotipatia mazur

    • @ltlmedia8480
      @ltlmedia8480 Před 4 lety

      @@lucysamsonmoza3964 nimeelewa ila pia elewa nilicho shauri

  • @mackmillan9040
    @mackmillan9040 Před 3 lety

    Eeh mung uwe nami siku zote

  • @aisheaishe8114
    @aisheaishe8114 Před 4 lety +2

    Ume tafisili.sivyo

  • @sadaramadhani787
    @sadaramadhani787 Před 4 lety +2

    Uongo mtupu 😂😂😂😂😂

    • @SIMULIZIBIBLIA
      @SIMULIZIBIBLIA  Před 4 lety +4

      Ukweli utageuzwa uongo siku za mwisho.

    • @tolumnyama3935
      @tolumnyama3935 Před 4 lety

      Embu tuletee ukweli baba, kama huu ww umeona ni uongo.!

  • @sibiromallya5894
    @sibiromallya5894 Před 4 lety

    Nzrr ila bado kuielezea vyemaa badoo rudia

  • @rilkabuya6519
    @rilkabuya6519 Před 4 lety

    Hio tafsiri mbaya jisalmishe dini ya haki ni uislam

  • @chegalii6464
    @chegalii6464 Před 4 lety +3

    Enyi mlio amin embu achan kubisha na watu wacokua na dini wala nabii hata kitabu hawana wanadandia tu hao

  • @hashimbitagera3555
    @hashimbitagera3555 Před 4 lety

    Kiongo hiki km hujui cbora ukae kimya make unaongea usichokijua

  • @stanleystanleyclemence2918

    Bible

  • @jeremiahmashaka8621
    @jeremiahmashaka8621 Před 4 lety +2

    Yaan me nawachukiaga sana binadamu wanaohamini dini zao ndoo bora kuliko Zingne mna huakika gani wakati umezaliwa na dini umezikuta na Istoshe wengi wetu tumelithishwa dini ebu acheni tabia hzo za Ajabu mbingu mtaisikia 2

    • @friziafanila2916
      @friziafanila2916 Před 4 lety

      Nikwekikabisa alakini kilamtu anateteyaga diniyake

    • @jenniferpastory8239
      @jenniferpastory8239 Před 3 lety

      Huwa wanajiona wao ndo miungu watu kuhukumu dini za wenzao huwa nawachukia sana

  • @marwajuma6478
    @marwajuma6478 Před 4 lety

    Nzuri sana

  • @mudichiki2603
    @mudichiki2603 Před 3 lety

    mawaidha

  • @mwajumamohamedi3534
    @mwajumamohamedi3534 Před 4 lety +2

    Muongo ww unaadisia tofati na kisa chenyewe jaribu kufatilia vizuli kisha ndo uje kutuadisia ss pumbavu zako

    • @SIMULIZIBIBLIA
      @SIMULIZIBIBLIA  Před 4 lety

      Sawa asante kwa maoni yako.

    • @sixteenonline9811
      @sixteenonline9811 Před 4 lety

      uongo upi sasa wakati anasom biblia

    • @dicksondavid9919
      @dicksondavid9919 Před 4 lety

      Angalia na pa kutukana sawa Neno la Mungu s la kudhiakiwa wew bnt

    • @honorathakamba2554
      @honorathakamba2554 Před 4 lety

      Msamehen bure siyo kosa lake
      nkosa la mwarabu anaanzia kusoma kulia anaenda kushoto na ndomaana wao bado wapo miaka yanyuma uko bdo hawajagka 2020 so msbshane naye

    • @sigfridaslumpa3176
      @sigfridaslumpa3176 Před 4 lety

      Wew Nina unatoa wapi huo ujasiri wakumtukana MTU anaye tagaz neno lamgu we ushaw kutaga lipi

  • @mwajumamohamedi3534
    @mwajumamohamedi3534 Před 4 lety +5

    Bibilia muna geuza maneno khaaa nendeni katk kitabu kitukufu cha Quani ukweli mzm upo mule unaadisia mbele nyuma nyuma mbele

    • @SIMULIZIBIBLIA
      @SIMULIZIBIBLIA  Před 4 lety +5

      Hapa hatuongelei kama ilivyoandikwa katika QURAN TUKUFU hapa ni maalumu kwa hadithi kama zilivyoandikwa katika BIBLIA TAKATIFU.Asante kwa maoni yao.

    • @mwajumamohamedi3534
      @mwajumamohamedi3534 Před 4 lety

      @@SIMULIZIBIBLIA atakama hadidhi ila jalibu kuongea ukweli ss mana hiyo adisi haina ata ukweli mmoja umo ndani unavyo simulia

    • @neemapemmanuel2681
      @neemapemmanuel2681 Před 4 lety +1

      @mwajuma Mohamedi soma biblia sio Quran,historia ni ya kweli Mungu akuokoe tu

    • @kundiluhende9013
      @kundiluhende9013 Před 4 lety

      Hujakimalizia hichi kisa kwann maana kingali kinaendelea mpaka yusuph kumiliki maghala ya vyakula

    • @adamsinga7137
      @adamsinga7137 Před 4 lety

      Mmh......kwa kisa hiki umechemka kaka

  • @adrophstephano4416
    @adrophstephano4416 Před 4 lety +1

    Kwahiyo historia ikaishia hapo?

  • @ntabantumbaye8502
    @ntabantumbaye8502 Před 4 lety +1

    Hcho nikitabu chakale kwasasa nimwendo wa Qur'an nakama yupo ambae hajawa muislam bas asilim haraka kabla hajafa hatakua nakhofu wala hatahuzunika ile siku nzito

    • @eliashibundabalinze670
      @eliashibundabalinze670 Před 4 lety +2

      Mathayo 11:28
      Njooni kwangu ninyi nyote msumbukao na wenye kuelemewa na mizigo ya dhambi nami nitawapumzisha..
      Yesu ndiye njia ya kwenda mbinguni Yohana 14:1---
      Mpe Yesu maisha acha kukumbatia mafundisho ya Dini isiyojua pa kwenda

    • @ntabantumbaye8502
      @ntabantumbaye8502 Před 4 lety

      Hayo nimaneno yasiyo nahoja wala dalili acha ushabiki wadini fuata haki uislam ndio dini yahaki ifuateni kabla hamjatiwa mkononi adhabu nikali mno

    • @ntabantumbaye8502
      @ntabantumbaye8502 Před 4 lety

      Pia hata usipotaka kusilim haumdhuru chochote Muumbaji nihasara yako mwenyewe

    • @manenoagrey1090
      @manenoagrey1090 Před 4 lety

      Iliupone mfuate yesu tu

    • @moteswafwalu1655
      @moteswafwalu1655 Před 4 lety +1

      @@ntabantumbaye8502 Naww acha ushabiki toa reference ya kitabu chako unachodai ni cha haki

  • @jasminswedi1573
    @jasminswedi1573 Před 4 lety

    Umetafsir civoooooo

  • @boxingluqman1624
    @boxingluqman1624 Před 4 lety

    Yakoub uyo izraili unamjuwa ww