@@SIMULIZIBIBLIA wala hupaswi kuniomba radhi nimetoa maoni tu kaka pia nashukuru sana kwa uelewa wangu japo ni mdogo ila umenielewa vizuri na kunijibu vizuri asante na jina la bwana libarikiwe
Yaan me nawachukiaga sana binadamu wanaohamini dini zao ndoo bora kuliko Zingne mna huakika gani wakati umezaliwa na dini umezikuta na Istoshe wengi wetu tumelithishwa dini ebu acheni tabia hzo za Ajabu mbingu mtaisikia 2
Msamehen bure siyo kosa lake nkosa la mwarabu anaanzia kusoma kulia anaenda kushoto na ndomaana wao bado wapo miaka yanyuma uko bdo hawajagka 2020 so msbshane naye
Hcho nikitabu chakale kwasasa nimwendo wa Qur'an nakama yupo ambae hajawa muislam bas asilim haraka kabla hajafa hatakua nakhofu wala hatahuzunika ile siku nzito
Mathayo 11:28 Njooni kwangu ninyi nyote msumbukao na wenye kuelemewa na mizigo ya dhambi nami nitawapumzisha.. Yesu ndiye njia ya kwenda mbinguni Yohana 14:1--- Mpe Yesu maisha acha kukumbatia mafundisho ya Dini isiyojua pa kwenda
Mungu atusaidie sisi wanawake,,,,,, wa!
Hongera kwa kisa Kama kitabu kitakatifu Biblia kinavyoeleza hata wiki hii nimesoma story hii,uko vizuri hongera sana kaka
Mungu atusaidie tuwe wenye afya njema 2
Aminaaa
Nashukuru kwa neno la uzima
Masha allah
Haya masomo ni mazuri sana hasa kwa kujifunza watoto
Hata kujifunza wewe ni mazuri
Ahsante kwa story
Mungu hamuachi mwanakondoo wake
Kuna bibilia n kuna Qur'an xx kila kitabu kinasema kivyake acheni kumlaumu m2 wa wa2
Je naweza pata kisa cha kaini na Abeli
Mimi nataka kisa caadamu naeva
Napenda sna na ninajifunza mengi sana
czcams.com/video/QE9Dt4oLM0I/video.html asante, pata somo LA Leo tena kaka, ni subscribe ukipenda kwa support
Amen Mungu akubariki
Mwendelezo
czcams.com/video/QE9Dt4oLM0I/video.html asante, pata somo LA Leo tena kaka, ni subscribe ukipenda kwa support
Yan ww ndio hujui kabisa naelimu juu ya hilo jambo huna
Mafundisho mema na yenye imeabatana na mandiko mpunzi ya mungu
Which chapter
Yan wanawake sisi eee MWENYEZI MUNGU tusamehe bure maana hasira yako ni kali sana hatutoweza izuiya pind ishukapo
Hiyo story soma sana qur an utaiyelezea vizuri.
It means kwmb Quran inaelzea kisa hiki tofaut zaid ya alvyo simulia bro hapo.
@@tolumnyama3935 uyu jamaa anataka kuleta udini tu hana lolote.....
mambo
Asante
czcams.com/video/QE9Dt4oLM0I/video.html asante, pata somo LA Leo tena kaka, ni subscribe ukipenda kwa support
How do I download this??
download vidmate.. such it google then download it. it will help to download any video through youtube
Hivi ni kwanini picha zenu zinakuwa za watu weupe? Hamjui kwamba wetu weusi ndio walifanyiwa ya utumwa?
usiposoma Biblia huwezi jua chochote wapendwa someni neno la Mungu
Huwa nashindwa kuelewa historia zako tafahdali simulia taratibu basi kaka pia uwe unaanza hata na utambulisho mkuu...huu ni ushauri wangu tu!.
Asante kwa maoni yako,tunaomba radhi kwa hilo,tutarekebisha hivi karibuni.
@@SIMULIZIBIBLIA wala hupaswi kuniomba radhi nimetoa maoni tu kaka pia nashukuru sana kwa uelewa wangu japo ni mdogo ila umenielewa vizuri na kunijibu vizuri asante na jina la bwana libarikiwe
Andrew hii anatueleza kwa wale ambao hatusomi biblia ila kama tunasoma hii inaeleweka kwa marudio anayotipatia mazur
@@lucysamsonmoza3964 nimeelewa ila pia elewa nilicho shauri
Eeh mung uwe nami siku zote
Ume tafisili.sivyo
Uongo mtupu 😂😂😂😂😂
Ukweli utageuzwa uongo siku za mwisho.
Embu tuletee ukweli baba, kama huu ww umeona ni uongo.!
Nzrr ila bado kuielezea vyemaa badoo rudia
Tutaboresha hilo,asante kwa maoni yako.
Hio tafsiri mbaya jisalmishe dini ya haki ni uislam
Enyi mlio amin embu achan kubisha na watu wacokua na dini wala nabii hata kitabu hawana wanadandia tu hao
Kiongo hiki km hujui cbora ukae kimya make unaongea usichokijua
Bible
Yaan me nawachukiaga sana binadamu wanaohamini dini zao ndoo bora kuliko Zingne mna huakika gani wakati umezaliwa na dini umezikuta na Istoshe wengi wetu tumelithishwa dini ebu acheni tabia hzo za Ajabu mbingu mtaisikia 2
Nikwekikabisa alakini kilamtu anateteyaga diniyake
Huwa wanajiona wao ndo miungu watu kuhukumu dini za wenzao huwa nawachukia sana
Nzuri sana
mawaidha
Muongo ww unaadisia tofati na kisa chenyewe jaribu kufatilia vizuli kisha ndo uje kutuadisia ss pumbavu zako
Sawa asante kwa maoni yako.
uongo upi sasa wakati anasom biblia
Angalia na pa kutukana sawa Neno la Mungu s la kudhiakiwa wew bnt
Msamehen bure siyo kosa lake
nkosa la mwarabu anaanzia kusoma kulia anaenda kushoto na ndomaana wao bado wapo miaka yanyuma uko bdo hawajagka 2020 so msbshane naye
Wew Nina unatoa wapi huo ujasiri wakumtukana MTU anaye tagaz neno lamgu we ushaw kutaga lipi
Bibilia muna geuza maneno khaaa nendeni katk kitabu kitukufu cha Quani ukweli mzm upo mule unaadisia mbele nyuma nyuma mbele
Hapa hatuongelei kama ilivyoandikwa katika QURAN TUKUFU hapa ni maalumu kwa hadithi kama zilivyoandikwa katika BIBLIA TAKATIFU.Asante kwa maoni yao.
@@SIMULIZIBIBLIA atakama hadidhi ila jalibu kuongea ukweli ss mana hiyo adisi haina ata ukweli mmoja umo ndani unavyo simulia
@mwajuma Mohamedi soma biblia sio Quran,historia ni ya kweli Mungu akuokoe tu
Hujakimalizia hichi kisa kwann maana kingali kinaendelea mpaka yusuph kumiliki maghala ya vyakula
Mmh......kwa kisa hiki umechemka kaka
Kwahiyo historia ikaishia hapo?
Hcho nikitabu chakale kwasasa nimwendo wa Qur'an nakama yupo ambae hajawa muislam bas asilim haraka kabla hajafa hatakua nakhofu wala hatahuzunika ile siku nzito
Mathayo 11:28
Njooni kwangu ninyi nyote msumbukao na wenye kuelemewa na mizigo ya dhambi nami nitawapumzisha..
Yesu ndiye njia ya kwenda mbinguni Yohana 14:1---
Mpe Yesu maisha acha kukumbatia mafundisho ya Dini isiyojua pa kwenda
Hayo nimaneno yasiyo nahoja wala dalili acha ushabiki wadini fuata haki uislam ndio dini yahaki ifuateni kabla hamjatiwa mkononi adhabu nikali mno
Pia hata usipotaka kusilim haumdhuru chochote Muumbaji nihasara yako mwenyewe
Iliupone mfuate yesu tu
@@ntabantumbaye8502 Naww acha ushabiki toa reference ya kitabu chako unachodai ni cha haki
Umetafsir civoooooo
Hatujatafsir chochote.
Yakoub uyo izraili unamjuwa ww