Wakaazi wa Kisii watoa hisia zao baada ya mahakama kubatilisha uteuzi wa manaibu wa mawaziri

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 3. 07. 2023
  • Wakenya wameendelea kutoa hisia mbalimbali kufuatia uamuzi wa hapo jana wa mahakama kuu uliobatilisha uteuzi wa manaibu waziri 50 uliokuwa umefanywa na rais william ruto. Huku kukiwa na wale waliofurahia uamuzi huo wakisema utapunguza mzigo wa gharama kwa wakenya, kuna wale waliokosoa wakitaka serikali kuwachwa kufanya kazi yake.
  • Zábava

Komentáře • 6