Bright Ft Best Naso -Umasikini Mbaya (official Music video)

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 01. 2024
  • #Bright Ft. #bestnaso - #UmasikiniMbaya
    Audio Produced By Bright & S. M. G
    Video Production By MAREYS
    Follow Us
    / brightmusictz
    / brightmusictz
  • Hudba

Komentáře • 1,9K

  • @barakamgimba5706
    @barakamgimba5706 Před měsícem +12

    Tunaokubaliana nyimbo kuwa Ina ujumbe mzurii sana gonga like apa❤

  • @neaboy4032
    @neaboy4032 Před 6 měsíci +181

    Ngoma zangono zinakaa no 1 on trending afu Ngoma zinazo elimisha zinapuuzwaaa. Jamani tutokomezeee hii kitu tuipandishee hii kaziiii❤

    • @bright_tz
      @bright_tz  Před 6 měsíci +13

      🙏🙏🙏

    • @abdulikinyata8649
      @abdulikinyata8649 Před 6 měsíci +3

      Kweli hata sijui kwa nn🎉🎉❤

    • @abdulikinyata8649
      @abdulikinyata8649 Před 6 měsíci +2

      Noma sana❤🎉🎉 @bright @bestnaso#bright#bright

    • @tetetvlamu9224
      @tetetvlamu9224 Před 6 měsíci +7

      Mm kinachonishangaza kwanini huyu best nasso anaimba vizuri na ajabu hatoki watanzania shida ni nn lakini

    • @mrbrighttz
      @mrbrighttz Před 6 měsíci

      ​@@bright_tz😢😢😢

  • @KachamsodokkZahabu
    @KachamsodokkZahabu Před 6 měsíci +43

    Ngoma ipo kwa hewaaaaa jamani naomba like 10 zinanitosha wana mara tunajua saaana❤❤❤❤

  • @johnshimuda8331
    @johnshimuda8331 Před 5 měsíci +22

    Umasikini mbayaa bright ft best nasso nyimbo isiyochosha kusikiliza kama umeusikiliza zaidi ya mala 1 gonga like tuondoke na ngoma

  • @TurkanaDigitalMedia
    @TurkanaDigitalMedia Před 6 měsíci +48

    Shoka moja safi linalo kata vizuri. Nipeni likes za Bright tz pamoja bestnaso....this guys never disappoints

  • @estomiailomo7844
    @estomiailomo7844 Před 6 měsíci +23

    Nilisha wai sema huyu kijana ni muimba mziki mzuli unao elimisha ila sisi mashabiki tunapenda ngoma za mapenzi kuliko hizi zinazo elimisha hongera sana kijana Songa mbele bila kujali maneno ya wapinzani wako mashabiki tubadilike hizi ndo nyimbo ❤❤❤❤

  • @kidogojento5368
    @kidogojento5368 Před 6 měsíci +31

    Bright we ni favorite kwangu miaka yote una melody moja nzur sana 🙌🏽 sijawahi ku comment lkn leo nime comment 🥰 hongera Bright

  • @RACHIDDOG-SINATAS666
    @RACHIDDOG-SINATAS666 Před 2 měsíci +3

    Wimbo huu ni pamu yenye onyo kweli kweli Ila nipeni liké yangu djameni

  • @goodluckkigwenenge8953
    @goodluckkigwenenge8953 Před 6 měsíci +10

    Wasaniii wa tz hakika wameanza kubadilika kama hawa aiseeeh ujumbe safi hauna ata doa nimependa sana ngoma hii❤❤❤❤

  • @alyne7710
    @alyne7710 Před 6 měsíci +25

    Kwanza nikupongeze sana yani ile kuwaza tu ufanye kazi na Best Nasso nimekupa 100% huyu ndugu nimoja ya wasanii walio amini mziki wao na kuupa heshima best nasso anajuwa nini anafanya mmeimba vizuri sana hongereni sana miyamba❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

    • @bright_tz
      @bright_tz  Před 6 měsíci +2

      Thank you

    • @abdulikinyata8649
      @abdulikinyata8649 Před 6 měsíci

      ​@@bright_tzumeua sana kaka ukiwa na best naso hakuna jambo lina feki ni utamu juu ya utamu

    • @philipomvanga2450
      @philipomvanga2450 Před 5 měsíci

      @@bright_tz 💥💥💥💥songs 🎵 la moto sana

  • @Felista_tz
    @Felista_tz Před 6 měsíci +20

    Sinaga kawaida ya ku comment ila hii imebid nyimbo nzur sn very creative

  • @sautilive
    @sautilive Před 6 měsíci +14

    Mziki wa Maisha Huu 🔥🔥🔥❤️😘 @simpho star✨

  • @user-mm9hs3qf5h
    @user-mm9hs3qf5h Před 5 měsíci +6

    Good song bright nabubali sana mwananangu uku Burundi tunakupata 100%

  • @goodlucktemu3149
    @goodlucktemu3149 Před 5 měsíci +15

    Uyu ndio bright ninayemjua sasa 🙌, Sound good 🔥

  • @user-uv5rf5zn3v
    @user-uv5rf5zn3v Před 6 měsíci +9

    Ndio tatizo la tz ngoma za maana azipewe sapoti kabisa Ila matusi wanaojifanya mziki wawawakati ndio wanapewa sapoti bongo akuna sapoti ktk mziki mzuri

  • @edwardnelison7485
    @edwardnelison7485 Před 6 měsíci +44

    Best nasso vocal👏👏👏💥💥💥💥💥

    • @bright_tz
      @bright_tz  Před 6 měsíci +4

      Katisha Sana

    • @cheedyclassicKenya
      @cheedyclassicKenya Před 6 měsíci

      Janet Khayosa czcams.com/video/DinAnx5aMyM/video.htmlsi=8lTht-SIaHo5bctR

  • @niyorukizaelias8142
    @niyorukizaelias8142 Před 6 měsíci +24

    Naso your songs will never get old big up .Burundi tunakusoma

  • @NicksonKamwela-pi4sn
    @NicksonKamwela-pi4sn Před 6 měsíci +6

    Bright mbona kipaji kingiiiii brooo, afu unakuaga kimyaaa sanaaa❤❤❤

    • @bright_tz
      @bright_tz  Před 6 měsíci

      Sasahivi ni ngoma baada ya ngoma Inshaallah

  • @hdtv2167
    @hdtv2167 Před 5 měsíci +2

    Nimeitazama mala tano. Naombeni liki ili kama ume upende huuu wimbo

  • @Johmadinitz
    @Johmadinitz Před 6 měsíci +10

    STAR KID🎉 UMASKINI MBAYA SEMA GOMA KALI.

    • @bright_tz
      @bright_tz  Před 6 měsíci

      Asante Sana

    • @cheedyclassicKenya
      @cheedyclassicKenya Před 6 měsíci

      Janet Khayosa czcams.com/video/DinAnx5aMyM/video.htmlsi=8lTht-SIaHo5bctR

  • @ADRIANLUSASI
    @ADRIANLUSASI Před 6 měsíci +8

    GOOD SOUND BROOOO NENDA KING MUSIC MWAMBA

  • @NeymarBruno-ed1hh
    @NeymarBruno-ed1hh Před 2 měsíci +1

    Ngoma kali sana ndug mungu awape nguvu kila kukucha ❤❤❤❤❤

  • @user-kp5dv5gd8k
    @user-kp5dv5gd8k Před měsícem +1

    Hii ngoma huwa ina ni inspire Sana shout out kwa mwanangu Bright Tz × Best naso 👊

  • @nyantuubilo2477
    @nyantuubilo2477 Před 6 měsíci +6

    Ngoma kalii sana imenipa hamasa ya kutafuta kwa haki

  • @tourforallzanzbartz.9442
    @tourforallzanzbartz.9442 Před 6 měsíci +13

    Very nice song,, big up bright & best naso

  • @kaditokenya6873
    @kaditokenya6873 Před 6 měsíci +9

    Bright and best naso le me give your flowers because you made it 🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺

  • @fidelwajoma8742
    @fidelwajoma8742 Před 6 měsíci +10

    Bonge la ngoma aseee
    Let's gather here and support this guys

  • @davidkasala5727
    @davidkasala5727 Před 6 měsíci +4

    Nice Song,,,,,,,,kwa Vijana wa sasa hivi wanaotaman mafanikio inaelimisha sana

  • @J2Boy-tp5ek
    @J2Boy-tp5ek Před 5 měsíci +4

    Anae kubaliana namm gonga like tuondoke nayo gomahii inamafuzo kwavijana tunao jitafuta, shere video hii washikaji wajifuz

  • @Smart_melody_music255
    @Smart_melody_music255 Před 6 měsíci +3

    Sasa hapa hom boy wangu hcho kitengo kilimkaa Ni hatari ogopa mi nipo tayari kuwaongezea views zaidi ili ngom uende alaf bro bright gem bado inakuhtaji usikae kimy Tena nimefurahi kuiona hii korabo SEMA him boy fungua Basi hcho kijiwe HTA like kwetu alaf umuajri mtu. Kiufupi mmetishaaaaaa mi ntaipushi ngoma yaaan ntashare

  • @Marsemo
    @Marsemo Před 5 měsíci +3

    Nyimbo ina elimu kweli,hongera kaka zangu

  • @herychami9717
    @herychami9717 Před 5 měsíci +4

    Ssfiii sana ameimba vzur zaid

  • @medlucas5686
    @medlucas5686 Před 5 měsíci +4

    Uko vizur shida dunia imetingwa na mapenzi

  • @EliasBonifac
    @EliasBonifac Před 18 dny +1

    Nyimbo yenye ujumbe mzuri sanaa

  • @dennydenny3665
    @dennydenny3665 Před 5 měsíci +3

    Nice song,awesome background keep it up Bright and Naso!!

  • @lakaspamedia
    @lakaspamedia Před 6 měsíci +5

    Nyimbo itaishi miaka bukuuuuuu

  • @elvismasinde5476
    @elvismasinde5476 Před 6 měsíci +12

    Ngoma kali sana we appreciate from Kenya 🇰🇪 🔥🔥🔥

  • @user-ri1fg6iw5n
    @user-ri1fg6iw5n Před 5 měsíci +2

    Ngoma Kali sana hii nmekubalii brighty

  • @reymathomas1562
    @reymathomas1562 Před 3 měsíci +1

    Hiri goma kaliii mnooooooooo aisee linujumbe haswaaaaaaaaaaaa❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @Jay_Khan_tz
    @Jay_Khan_tz Před 6 měsíci +3

    Ngoma Kali Sana 🎧💪👊

  • @barakamusanailon1465
    @barakamusanailon1465 Před 6 měsíci +3

    Nawakubali sana Yani big up

  • @user-tr8mh2bx6r
    @user-tr8mh2bx6r Před 6 měsíci +2

    Ngoma kali sana brother

  • @mwambazmazoyah4628
    @mwambazmazoyah4628 Před 3 měsíci +2

    Hongera kwa nyimbo nzuri yenye jumbe nzuri sana🔥👏

  • @Ezamamadtz88869
    @Ezamamadtz88869 Před 6 měsíci +4

    🚴🚴best Naso sauti nzur, Unajua kazi nzur Ngoma qalii kinoma noma yaani
    Kwelii umaskini mmbaya

    • @bright_tz
      @bright_tz  Před 6 měsíci +1

      Nomaaa

    • @Ezamamadtz88869
      @Ezamamadtz88869 Před 6 měsíci

      Siku moja nitaomba kufanya kazi na wewe bright WA mazonge sasa umaskini mmbaya

    • @cheedyclassicKenya
      @cheedyclassicKenya Před 6 měsíci

      Janet Khayosa czcams.com/video/DinAnx5aMyM/video.htmlsi=8lTht-SIaHo5bctR

  • @abditari7998
    @abditari7998 Před 5 měsíci +2

    hongereni sana fantastic song best naso

  • @philipomvanga2450
    @philipomvanga2450 Před 5 měsíci +2

    nawakubal toka long time vocal iko pow kbx sipingi🙏🙏🖋🖋

  • @MussaKingu255
    @MussaKingu255 Před 6 měsíci +2

    Mmeturudisha kwenye ujumbe safi sana, kazi nzuri

    • @bright_tz
      @bright_tz  Před 6 měsíci

      Fire be blessed Asante Sana

  • @sumadashsumadash-yx8eb
    @sumadashsumadash-yx8eb Před 6 měsíci +7

    Hii hapa Sasa kazi yakimaisha..wimbo wa wataftaj Wimbo wenye ubora na ladha Kwa wapambanaj kimaisha... Wabongo tulivo eti Hiz nyimbo za hivi ndio tunazibania Milango yakuingilia mjini.
    Bright umelenga sana kumpa kolabo Best naso

  • @Delightson48
    @Delightson48 Před 6 měsíci +5

    Bright. Never Give up Keep it fight your time is coming soon. Amini katika Mungu ndy kakupa kipaji. Kila mutu na muda wake ni swala la Muda. Nakukubali your talented

  • @Gregoire-2006
    @Gregoire-2006 Před 6 měsíci +1

    Kweli umaskini mbaya wacha zangu niende kazini

  • @dhahabufilmsmedia
    @dhahabufilmsmedia Před 6 měsíci +2

    Bongo hili❤❤❤❤❤❤ welcome again Best Naso

  • @willsonmanyuka4021
    @willsonmanyuka4021 Před 6 měsíci +3

    Bonge la wimbo hongera sana

  • @polycarpherrera3121
    @polycarpherrera3121 Před 6 měsíci +6

    Sema bright na besti naso,,,wametisha sana hawa malejendi❤,,Umaskini mbaya sio matani aiseeeh

  • @icyoung8950
    @icyoung8950 Před 6 měsíci +2

    I Love Best Nasso❣️Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @Shine_Football_Tv1
    @Shine_Football_Tv1 Před 6 měsíci +1

    🎉🎉🎉 Pesaaa Fumbo sana Mungu Pekee ndio Hutoa pesa za Bila Masharti

  • @alexalfredi7912
    @alexalfredi7912 Před 5 měsíci +3

    Bright pamoja sana brother aise ngoma yako nimeielewa mno

  • @josephobado7725
    @josephobado7725 Před 6 měsíci +3

    Ngoma hii ipo vizuri sana

  • @mafanikio2803
    @mafanikio2803 Před 5 měsíci +1

    Real bongo imerudi. Tumechoka Na sarakasi.

  • @monicamsile2284
    @monicamsile2284 Před 6 měsíci +2

    ngoma ni kali sana, wasanii imbeni kuwaonya watu na kuelimisha, siyo mapenzi kila siku, ngoma kali siyo poa.

  • @goddamwakimi5889
    @goddamwakimi5889 Před 6 měsíci +2

    Oya hawa wana wameumiza sana hii ngoma daàh

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 Před 6 měsíci +3

    Hii ndio kazi nzuri ya kisasa ya sanaa ya muziki haya tuwaone wabongo wataipa thamani gani basi hata wadau wa muziki waachane na maslahi waangali vipaji kwa faida ya kesho ya vizazi vyao

  • @MackImelda
    @MackImelda Před 2 měsíci +1

    Nyimbo inagusa sana hi

  • @ibrahimally1126
    @ibrahimally1126 Před 6 měsíci +2

    We mkali Sana Bright big up

  • @mariasixmund7964
    @mariasixmund7964 Před 5 měsíci +3

    Wasanii wangu niwapendao kwenye nyimbo moja hatar🔥🔥🔥

  • @JOZZELMEDIAOFFICIAL
    @JOZZELMEDIAOFFICIAL Před 6 měsíci +9

    I love your vocal and lyrical, hapana brooooooh...

  • @bballowklibaiss8
    @bballowklibaiss8 Před 6 měsíci +2

    Fanya kaz kwa bidii tyu unajua sana nyimbo nzur ujumbe mzur mmetisha sana

  • @johnesmshighati
    @johnesmshighati Před 6 měsíci +2

    bright and best nawakubali sana
    bonge la song ujumbe mkali

  • @ChenchiKing
    @ChenchiKing Před 6 měsíci +17

    Nasoro Never Dissapoint 🎉🎉🎉🎉

  • @pc_boy426
    @pc_boy426 Před 6 měsíci +9

    Good Music❤🎹

  • @SukaDmGuy
    @SukaDmGuy Před 6 měsíci +2

    Umasikini mbaya sana tena zaidi ya sana

  • @radicalljinari3863
    @radicalljinari3863 Před 6 měsíci +5

    Bonge la ngoma from Qatar much love

  • @joomoney8003
    @joomoney8003 Před 6 měsíci +8

    nakubali hii combination nomas🔥🎧

  • @KeliKenya
    @KeliKenya Před 3 měsíci +2

    Kaka hapa unyama saana bright nakubali sana toka 254 kenya 🇰🇪

  • @jeniphachabili
    @jeniphachabili Před 6 měsíci +2

    Mbarikiwe sana!
    kweli umasikin mbaya

  • @terrigan2967
    @terrigan2967 Před 6 měsíci +2

    Delivery 😊

  • @user-bw2yi6sq8h
    @user-bw2yi6sq8h Před 6 měsíci +3

    Nasoo ft bright🔥🔥

  • @Chrisblaze-beats
    @Chrisblaze-beats Před měsícem

    We jamaa kuna wakati ulifanya vizuri kweli, sjui ulienda wapi tena. Tatizo mziki ukiupa space unakusahau kabisa

  • @NTEMI-OBURUDANI
    @NTEMI-OBURUDANI Před 6 měsíci +2

    Uko vizuri sana ndugu ya ujumbe mzuri hongera sana kaka ❤❤

  • @MbwamboBoy
    @MbwamboBoy Před 5 měsíci +3

    Nakubali Sana hii nyimbo❤❤❤

  • @opinyemoses8470
    @opinyemoses8470 Před 6 měsíci +12

    It's sad that such songs don't get the credit that they deserve. Kazi nzuri.

  • @husnamohamedy4132
    @husnamohamedy4132 Před 3 měsíci +1

    Dogo hapa umeuaaaa Ngoma yamoto 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 had inaunguza❤❤❤❤

  • @user-ri1fg6iw5n
    @user-ri1fg6iw5n Před 4 měsíci +1

    Huu wimbo dah umetishaaa sana

  • @ADRIANLUSASI
    @ADRIANLUSASI Před 6 měsíci +5

    🙏🙏🙏 God baliki vipawa vyako aiseeeeee nimeielewa goma kali kinomaaa au mnaonaje wadau

  • @mrdawaofficial
    @mrdawaofficial Před 6 měsíci +8

    Bonge la goma

  • @abdibilali4186
    @abdibilali4186 Před 6 měsíci +1

    Bright you are bright broo wewe umeniimbia mm upo vizuri sana

  • @theopisterjovent3483
    @theopisterjovent3483 Před 4 měsíci +1

    Wasanii wangu hawa❤Bright na Naso 🔥🔥🔥 asante kwa kutupa ushari nasaha ama kweli umaskini mbaya😢 ngoja tupambane kwa haki tupate pesa🎉🎉

  • @redmistmusiq
    @redmistmusiq Před 6 měsíci +3

    Ukweli

  • @OneMore-255
    @OneMore-255 Před 6 měsíci +4

    Voco zimetulia

  • @papafikiri
    @papafikiri Před 2 měsíci

    Bright ni kipaji kikubwa sana nchi hii. Hana wimbo mbaya. Nakuombea ikawe heri kwako zaidi na zaidi naamini unapotaka kufika utafika. Usikate tamaa wewe ni hazina kubwa ya dunia hii. Una watu kama mimi hutujui lakini tunakusupport.

  • @AliJoao-pe2ur
    @AliJoao-pe2ur Před 6 měsíci +1

    Moja kali Mr Nay..ungetutaja tuuu kwn uliogopa nini..kenyaaa

  • @lelomellowtz
    @lelomellowtz Před 6 měsíci +5

    Hongera kwa mziki mzuri Kuanzia Bila Mungu sitoboi, Ungesubiri na Nitakukumbuka umekua na idea kali sana za kimziki. Keep up with the hustle ubarikiwe mzazi.

  • @hashimmpolemilolankin2834
    @hashimmpolemilolankin2834 Před 6 měsíci +3

    Nyimbo kubwa

  • @DuniaKalenga-hr2lz
    @DuniaKalenga-hr2lz Před 4 měsíci +2

    Ndogo umeuwa hata hapa USA 🇺🇸 kilasiku naupiga nikiwa kwenye gari

  • @hussenmayagi9642
    @hussenmayagi9642 Před 5 měsíci +2

    Fresh sana

  • @EdgeAmir
    @EdgeAmir Před 6 měsíci +6

    Both of my favorite artist from TZ on the same song.

  • @dirryanart24
    @dirryanart24 Před 6 měsíci +5

    Kali much love from Malawi 🇲🇼

    • @bright_tz
      @bright_tz  Před 6 měsíci

      Asante Sana be blessed brother

  • @petermaroaofficial
    @petermaroaofficial Před 6 měsíci +2

    Ushauri mzuri sana🎉🎉

  • @h.mau9989
    @h.mau9989 Před 5 měsíci +1

    Kali sana hiz best naso anazipayia sana

  • @sbboymkaliofficial9108
    @sbboymkaliofficial9108 Před 6 měsíci +4

    Kazi safi 1 trending tunaiyombea ngoma yetu pendwa ifike 🔥🔥

  • @KhadijahRamadhani-mw3wh
    @KhadijahRamadhani-mw3wh Před 3 měsíci +4

    Naomba like 3 kwajili yapongezi kwao❤❤❤