Nilisha wai sema huyu kijana ni muimba mziki mzuli unao elimisha ila sisi mashabiki tunapenda ngoma za mapenzi kuliko hizi zinazo elimisha hongera sana kijana Songa mbele bila kujali maneno ya wapinzani wako mashabiki tubadilike hizi ndo nyimbo ❤❤❤❤
Kwanza nikupongeze sana yani ile kuwaza tu ufanye kazi na Best Nasso nimekupa 100% huyu ndugu nimoja ya wasanii walio amini mziki wao na kuupa heshima best nasso anajuwa nini anafanya mmeimba vizuri sana hongereni sana miyamba❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Ndio tatizo la tz ngoma za maana azipewe sapoti kabisa Ila matusi wanaojifanya mziki wawawakati ndio wanapewa sapoti bongo akuna sapoti ktk mziki mzuri
Sasa hapa hom boy wangu hcho kitengo kilimkaa Ni hatari ogopa mi nipo tayari kuwaongezea views zaidi ili ngom uende alaf bro bright gem bado inakuhtaji usikae kimy Tena nimefurahi kuiona hii korabo SEMA him boy fungua Basi hcho kijiwe HTA like kwetu alaf umuajri mtu. Kiufupi mmetishaaaaaa mi ntaipushi ngoma yaaan ntashare
Hii hapa Sasa kazi yakimaisha..wimbo wa wataftaj Wimbo wenye ubora na ladha Kwa wapambanaj kimaisha... Wabongo tulivo eti Hiz nyimbo za hivi ndio tunazibania Milango yakuingilia mjini. Bright umelenga sana kumpa kolabo Best naso
Bright. Never Give up Keep it fight your time is coming soon. Amini katika Mungu ndy kakupa kipaji. Kila mutu na muda wake ni swala la Muda. Nakukubali your talented
Hii ndio kazi nzuri ya kisasa ya sanaa ya muziki haya tuwaone wabongo wataipa thamani gani basi hata wadau wa muziki waachane na maslahi waangali vipaji kwa faida ya kesho ya vizazi vyao
Bright ni kipaji kikubwa sana nchi hii. Hana wimbo mbaya. Nakuombea ikawe heri kwako zaidi na zaidi naamini unapotaka kufika utafika. Usikate tamaa wewe ni hazina kubwa ya dunia hii. Una watu kama mimi hutujui lakini tunakusupport.
Hongera kwa mziki mzuri Kuanzia Bila Mungu sitoboi, Ungesubiri na Nitakukumbuka umekua na idea kali sana za kimziki. Keep up with the hustle ubarikiwe mzazi.
Tunaokubaliana nyimbo kuwa Ina ujumbe mzurii sana gonga like apa❤
B2k
Ngoma zangono zinakaa no 1 on trending afu Ngoma zinazo elimisha zinapuuzwaaa. Jamani tutokomezeee hii kitu tuipandishee hii kaziiii❤
🙏🙏🙏
Kweli hata sijui kwa nn🎉🎉❤
Noma sana❤🎉🎉 @bright @bestnaso#bright#bright
Mm kinachonishangaza kwanini huyu best nasso anaimba vizuri na ajabu hatoki watanzania shida ni nn lakini
@@bright_tz😢😢😢
Ngoma ipo kwa hewaaaaa jamani naomba like 10 zinanitosha wana mara tunajua saaana❤❤❤❤
Umetisha
@@bright_tz💥💣💥💣
Umasikini mbayaa bright ft best nasso nyimbo isiyochosha kusikiliza kama umeusikiliza zaidi ya mala 1 gonga like tuondoke na ngoma
🙏🙏🙏
Shoka moja safi linalo kata vizuri. Nipeni likes za Bright tz pamoja bestnaso....this guys never disappoints
Thank you for support
Nilisha wai sema huyu kijana ni muimba mziki mzuli unao elimisha ila sisi mashabiki tunapenda ngoma za mapenzi kuliko hizi zinazo elimisha hongera sana kijana Songa mbele bila kujali maneno ya wapinzani wako mashabiki tubadilike hizi ndo nyimbo ❤❤❤❤
Asante Sana Kaka mkubwa
Tunashukuru sana,Songa mbele
Bright we ni favorite kwangu miaka yote una melody moja nzur sana 🙌🏽 sijawahi ku comment lkn leo nime comment 🥰 hongera Bright
Mungu akubariki sana
Nakubali xana
Wimbo huu ni pamu yenye onyo kweli kweli Ila nipeni liké yangu djameni
Wasaniii wa tz hakika wameanza kubadilika kama hawa aiseeeh ujumbe safi hauna ata doa nimependa sana ngoma hii❤❤❤❤
🙏🙏
@@bright_tz ❤❤ kazi nzuri sana good job
Kwanza nikupongeze sana yani ile kuwaza tu ufanye kazi na Best Nasso nimekupa 100% huyu ndugu nimoja ya wasanii walio amini mziki wao na kuupa heshima best nasso anajuwa nini anafanya mmeimba vizuri sana hongereni sana miyamba❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Thank you
@@bright_tzumeua sana kaka ukiwa na best naso hakuna jambo lina feki ni utamu juu ya utamu
@@bright_tz 💥💥💥💥songs 🎵 la moto sana
Sinaga kawaida ya ku comment ila hii imebid nyimbo nzur sn very creative
Asante Sana
Mziki wa Maisha Huu 🔥🔥🔥❤️😘 @simpho star✨
Nomaaa
Good song bright nabubali sana mwananangu uku Burundi tunakupata 100%
🙏
Uyu ndio bright ninayemjua sasa 🙌, Sound good 🔥
🙏🙏🙏
Nakukubali dogo ngoma kali ni hatar
Ndio tatizo la tz ngoma za maana azipewe sapoti kabisa Ila matusi wanaojifanya mziki wawawakati ndio wanapewa sapoti bongo akuna sapoti ktk mziki mzuri
🙏
Best nasso vocal👏👏👏💥💥💥💥💥
Katisha Sana
Janet Khayosa czcams.com/video/DinAnx5aMyM/video.htmlsi=8lTht-SIaHo5bctR
Naso your songs will never get old big up .Burundi tunakusoma
Be blessed Asante Sana
Bright mbona kipaji kingiiiii brooo, afu unakuaga kimyaaa sanaaa❤❤❤
Sasahivi ni ngoma baada ya ngoma Inshaallah
Nimeitazama mala tano. Naombeni liki ili kama ume upende huuu wimbo
🙏
STAR KID🎉 UMASKINI MBAYA SEMA GOMA KALI.
Asante Sana
Janet Khayosa czcams.com/video/DinAnx5aMyM/video.htmlsi=8lTht-SIaHo5bctR
GOOD SOUND BROOOO NENDA KING MUSIC MWAMBA
Insha Allah
Ngoma kali sana ndug mungu awape nguvu kila kukucha ❤❤❤❤❤
Hii ngoma huwa ina ni inspire Sana shout out kwa mwanangu Bright Tz × Best naso 👊
Ngoma kalii sana imenipa hamasa ya kutafuta kwa haki
Yesssss
Very nice song,, big up bright & best naso
🙏🙏🙏
Bright and best naso le me give your flowers because you made it 🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺
Be blessed 🙏
Bonge la ngoma aseee
Let's gather here and support this guys
Asante Sana
Nice Song,,,,,,,,kwa Vijana wa sasa hivi wanaotaman mafanikio inaelimisha sana
Blessed
Anae kubaliana namm gonga like tuondoke nayo gomahii inamafuzo kwavijana tunao jitafuta, shere video hii washikaji wajifuz
🙏
Sasa hapa hom boy wangu hcho kitengo kilimkaa Ni hatari ogopa mi nipo tayari kuwaongezea views zaidi ili ngom uende alaf bro bright gem bado inakuhtaji usikae kimy Tena nimefurahi kuiona hii korabo SEMA him boy fungua Basi hcho kijiwe HTA like kwetu alaf umuajri mtu. Kiufupi mmetishaaaaaa mi ntaipushi ngoma yaaan ntashare
🙏🙏🙏
Nyimbo ina elimu kweli,hongera kaka zangu
🙏
Ssfiii sana ameimba vzur zaid
Asante Sana
Uko vizur shida dunia imetingwa na mapenzi
🙏🙏🙏
Nyimbo yenye ujumbe mzuri sanaa
Asante Sana
Nice song,awesome background keep it up Bright and Naso!!
🙏
Nyimbo itaishi miaka bukuuuuuu
🙏
Ngoma kali sana we appreciate from Kenya 🇰🇪 🔥🔥🔥
Asante Sana
Ngoma Kali sana hii nmekubalii brighty
🙏
Hiri goma kaliii mnooooooooo aisee linujumbe haswaaaaaaaaaaaa❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
🙏
Ngoma Kali Sana 🎧💪👊
Asante Sana
Nawakubali sana Yani big up
🙏🙏🙏
Ngoma kali sana brother
🙏🙏🙏
Hongera kwa nyimbo nzuri yenye jumbe nzuri sana🔥👏
🙏
🚴🚴best Naso sauti nzur, Unajua kazi nzur Ngoma qalii kinoma noma yaani
Kwelii umaskini mmbaya
Nomaaa
Siku moja nitaomba kufanya kazi na wewe bright WA mazonge sasa umaskini mmbaya
Janet Khayosa czcams.com/video/DinAnx5aMyM/video.htmlsi=8lTht-SIaHo5bctR
hongereni sana fantastic song best naso
Asante Sana
nawakubal toka long time vocal iko pow kbx sipingi🙏🙏🖋🖋
🙏
Mmeturudisha kwenye ujumbe safi sana, kazi nzuri
Fire be blessed Asante Sana
Hii hapa Sasa kazi yakimaisha..wimbo wa wataftaj Wimbo wenye ubora na ladha Kwa wapambanaj kimaisha... Wabongo tulivo eti Hiz nyimbo za hivi ndio tunazibania Milango yakuingilia mjini.
Bright umelenga sana kumpa kolabo Best naso
Asanteee
Bright. Never Give up Keep it fight your time is coming soon. Amini katika Mungu ndy kakupa kipaji. Kila mutu na muda wake ni swala la Muda. Nakukubali your talented
🙏🙏🙏
Kweli umaskini mbaya wacha zangu niende kazini
😁😁😁🙏
Bongo hili❤❤❤❤❤❤ welcome again Best Naso
🙏🙏🙏
Bonge la wimbo hongera sana
🙏🙏🙏
Sema bright na besti naso,,,wametisha sana hawa malejendi❤,,Umaskini mbaya sio matani aiseeeh
Thank you
Janet Khayosa czcams.com/video/DinAnx5aMyM/video.htmlsi=8lTht-SIaHo5bctR
I Love Best Nasso❣️Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪
🙏🙏🙏
🎉🎉🎉 Pesaaa Fumbo sana Mungu Pekee ndio Hutoa pesa za Bila Masharti
Sure
Sure
Bright pamoja sana brother aise ngoma yako nimeielewa mno
🙏🙏🙏
Ngoma hii ipo vizuri sana
🙏🙏🙏
Real bongo imerudi. Tumechoka Na sarakasi.
🙏
ngoma ni kali sana, wasanii imbeni kuwaonya watu na kuelimisha, siyo mapenzi kila siku, ngoma kali siyo poa.
🙏🙏🙏
Oya hawa wana wameumiza sana hii ngoma daàh
🙏🙏🙏
Hii ndio kazi nzuri ya kisasa ya sanaa ya muziki haya tuwaone wabongo wataipa thamani gani basi hata wadau wa muziki waachane na maslahi waangali vipaji kwa faida ya kesho ya vizazi vyao
🙏
Nyimbo inagusa sana hi
We mkali Sana Bright big up
🙏🙏🙏
Wasanii wangu niwapendao kwenye nyimbo moja hatar🔥🔥🔥
🙏
I love your vocal and lyrical, hapana brooooooh...
🙏🙏🙏
Fanya kaz kwa bidii tyu unajua sana nyimbo nzur ujumbe mzur mmetisha sana
Be blessed Asante Sana
bright and best nawakubali sana
bonge la song ujumbe mkali
Be blessed
Nasoro Never Dissapoint 🎉🎉🎉🎉
Noma
Janet Khayosa czcams.com/video/DinAnx5aMyM/video.htmlsi=8lTht-SIaHo5bctR
Good Music❤🎹
❤🙏
Umasikini mbaya sana tena zaidi ya sana
🙏🙏
Bonge la ngoma from Qatar much love
One love be blessed
@@bright_tz cool Brazzah
nakubali hii combination nomas🔥🎧
One love
Kaka hapa unyama saana bright nakubali sana toka 254 kenya 🇰🇪
Asante sana
Amin
Mbarikiwe sana!
kweli umasikin mbaya
Be blessed Asante Sana
Delivery 😊
Asante
Nasoo ft bright🔥🔥
Fireee
We jamaa kuna wakati ulifanya vizuri kweli, sjui ulienda wapi tena. Tatizo mziki ukiupa space unakusahau kabisa
Uko vizuri sana ndugu ya ujumbe mzuri hongera sana kaka ❤❤
Asante Sana Kaka
Nakubali Sana hii nyimbo❤❤❤
🙏🙏🙏
It's sad that such songs don't get the credit that they deserve. Kazi nzuri.
Thank you for support
Dogo hapa umeuaaaa Ngoma yamoto 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 had inaunguza❤❤❤❤
🙏
Huu wimbo dah umetishaaa sana
🙏
🙏🙏🙏 God baliki vipawa vyako aiseeeeee nimeielewa goma kali kinomaaa au mnaonaje wadau
Janet Khayosa czcams.com/video/DinAnx5aMyM/video.htmlsi=8lTht-SIaHo5bctR
Nomaaa
Bonge la goma
Asante Sana
Bright you are bright broo wewe umeniimbia mm upo vizuri sana
🙏🙏🙏🙏
Wasanii wangu hawa❤Bright na Naso 🔥🔥🔥 asante kwa kutupa ushari nasaha ama kweli umaskini mbaya😢 ngoja tupambane kwa haki tupate pesa🎉🎉
🙏
Ukweli
🙏🙏🙏
Voco zimetulia
Nomaa
Bright ni kipaji kikubwa sana nchi hii. Hana wimbo mbaya. Nakuombea ikawe heri kwako zaidi na zaidi naamini unapotaka kufika utafika. Usikate tamaa wewe ni hazina kubwa ya dunia hii. Una watu kama mimi hutujui lakini tunakusupport.
Moja kali Mr Nay..ungetutaja tuuu kwn uliogopa nini..kenyaaa
📌📌📌
Hongera kwa mziki mzuri Kuanzia Bila Mungu sitoboi, Ungesubiri na Nitakukumbuka umekua na idea kali sana za kimziki. Keep up with the hustle ubarikiwe mzazi.
Asante Sana Kaka
Nyimbo kubwa
Ameen
Ndogo umeuwa hata hapa USA 🇺🇸 kilasiku naupiga nikiwa kwenye gari
Asante sana
Fresh sana
🙏
Both of my favorite artist from TZ on the same song.
Thank you for support
Kali much love from Malawi 🇲🇼
Asante Sana be blessed brother
Ushauri mzuri sana🎉🎉
🙏🙏🙏
Kali sana hiz best naso anazipayia sana
Nomaaaaa
Kazi safi 1 trending tunaiyombea ngoma yetu pendwa ifike 🔥🔥
🙏🙏🙏
Naomba like 3 kwajili yapongezi kwao❤❤❤
🙏