USTADHI SHAFII NA MCH. NDACHA WAKUTANA, WAAHIDI KUTOA UTETEZI WA MAADA MPAKA MMOJA AHAME DINI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024
  • LEO KUELEKEA MDAHALO MKUBWA WA KIIMANI KATI YA WAALIMU WA KIKRISTO NA WAHADHIRI WA DINI YA KIISLAMU, MCH. NDACHA NA USTADHI SHAFII WAMEKUTANA

Komentáře • 126

  • @samxx411
    @samxx411 Před 22 dny +10

    Ila Ndacha nampenda yupo friendly sana, inshallah Allah amuoneshe haki.

  • @mamawamuya
    @mamawamuya Před 22 dny +9

    Ma sha Allah,sheikh shafi

  • @idrissmutinda6243
    @idrissmutinda6243 Před 22 dny +9

    Shafii kweli napenda madundisho yako kwanza namna unavyocheka na kutoa point.👍.

    • @abasmwika3432
      @abasmwika3432 Před 22 dny

      @@idrissmutinda6243 ila sasa asilete makuzi kwenye hiyo mijadala. Kuhusu maandiko sina Shaka nae yuko vizuri na uzuri Qur'an anaijua. Apunguze utani utani kwenye hiyo mijadala inataka usiriasi mwingi.

  • @abdillahmchia8557
    @abdillahmchia8557 Před 22 dny +10

    Dah shafii ostdh Wang utatoboa kwel kwa hili jamaa lilivyo bishi kweny majibu...nakuombea kwa mung ostdh wang

    • @hamisimwagarashi9501
      @hamisimwagarashi9501 Před 22 dny +1

      Ninaimani na uislamu kwamba ni DINI ya haki.
      Na ninaimani na mwalimu shafi.
      Na kadhalika nafahamu shetani anaweza mpa mtu ujasiri nakuweza kujiamini hata kufikia mtu kujisahau kama ndacha.

    • @0badiaMwasongwe-rt1wr
      @0badiaMwasongwe-rt1wr Před 22 dny

      ​@@hamisimwagarashi9501Tuanzie hapo kwanza shetani na majini ni Dini ganii??

    • @0badiaMwasongwe-rt1wr
      @0badiaMwasongwe-rt1wr Před 22 dny

      ​@@hamisimwagarashi9501ni nabii gani aliwasilimishaa majini na shetani????

    • @0badiaMwasongwe-rt1wr
      @0badiaMwasongwe-rt1wr Před 22 dny

      ​@@hamisimwagarashi9501Muhammad alipewa utume na nanii?? MUNGU alieumba mbingu na nchi akakupe ufaham ili uijue kweli na kwelii ikuweke HURU.

    • @hamisimwagarashi9501
      @hamisimwagarashi9501 Před 22 dny

      @@0badiaMwasongwe-rt1wr
      Assante sana ndugu yangu kwa swali hili kwani huenda KWELI wataka kujua.
      MIMI NI MUISLAMU.
      JINI SIFAHAMU DINI YAKE.
      SHETANI SI FAHAMU DINI YAKE.
      HEBU NI SAIDIE NDUGU YANGU KWANI JINI NA SHETANI DINI YAO IPI?
      PIA NAOMBA UNIJUZE WEWE DINI YAKO IPI?

  • @abdallahhanafi6963
    @abdallahhanafi6963 Před 22 dny +6

    Ewe allah tunakuomba udhihirishe haqi na batili uidhihirishe na washindwe walio ktk upotovu

  • @Jabir-y7m
    @Jabir-y7m Před 21 dnem +1

    Ass w w, naaam Innshaallah, Allah Awajalieni kheri na baraka zake . Maanshaallah Sheikh Wng Allah Akujalie Kila lakheri na baraka 👏

  • @user-nq2np6de6l
    @user-nq2np6de6l Před 22 dny +2

    In sha Allah Ipo Siku Ndacha atakuwa Muislam Sababu Ni Miongoni mwa watu Muhimu snaa Ktk Ulimwengu wa leo hasa akiwa ktk Dini Ya Kiislam In Sha Allah

  • @abdallahjuma2608
    @abdallahjuma2608 Před 22 dny +5

    Naimani sheikh shafi atamufundisha uyu mzee ndacha inshallah ❤

  • @faridahalwaily85
    @faridahalwaily85 Před 22 dny +5

    Mwenyezimngu Akuongozee ndacha walekezwaaa huleekeeezeki badoo hujapataa hedayaaa ya mwenyezimngu.

  • @elifasinimpagaritse7902
    @elifasinimpagaritse7902 Před 22 dny +2

    Yaani kuoa tumejifunza kwa mudi 😂😂😂 kwani alie Umba mke na msaidizi wake alikuwa mudi 😂😂😂

  • @shyneafya2468
    @shyneafya2468 Před 22 dny

    Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu Mchungaji Ndacha

  • @jamilaomari2444
    @jamilaomari2444 Před 22 dny +2

    Ndacha kitakuramba! 😂

  • @aziziabdulrahman3914
    @aziziabdulrahman3914 Před 22 dny +1

    Mwalim shafii me natokea tunduma na lor nimetoka Zambia ila naomba mungu anikirm nifike mapema wallah naomba niwepo hii couple nilitaka sana ndacha kapata recture asiye na papara kwenye maandiko wallah mwalim Allah akuongoze

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 Před 22 dny +2

    Hatimaye Shafii ameingia kwenye 18 za Ndacha.

  • @mosesthuranira6553
    @mosesthuranira6553 Před 22 dny

    mashalllah tuna subiri sana mr ndancha na mr Shafi kutachimbika tumesubiri sana kwa hamu na ghamu

  • @henrymutabari
    @henrymutabari Před 22 dny +1

    Nimependa venye nyote mnavyo jieleza congratulations 👏 shaffi na ndacha

  • @user-qo2xd3hb8l
    @user-qo2xd3hb8l Před 22 dny

    Bwana yesu aliondoka duniani akawacha wanafunzi sasa mtamjuwaje MUHAMMAD

  • @funakoshtadash6163
    @funakoshtadash6163 Před 22 dny

    Bwana awabariki sana na atajitwalia utukufu katika hili

  • @SeifSeif-gw3zc
    @SeifSeif-gw3zc Před 22 dny +1

    Ila shekh shafii nomaaa jamaa anajua kuongea😂😂😂ananifurahisha

  • @aliyyuhibu3561
    @aliyyuhibu3561 Před 22 dny +1

    haya sasa tuone na shafii nae je ataweza moto wa ndacha

  • @AlsonBayah
    @AlsonBayah Před 22 dny

    eagerly waiting for the debate

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rv Před 22 dny

    INSHA ALLAH tufike salama ❤

  • @francisjoseph1074
    @francisjoseph1074 Před 22 dny +8

    Kwakweli Yesu kulinganisha na Muhammad nikufuru tena kufuru kubwa Mungu kumliganisha na mtu tena MTU mpagani kama Muhammad 😢😢 , Muhammad hana uwezo hata chembe ya kuwafikia watu kama kina Martin Luther, John karvin, William miller na wanamatengenezo wengine , Muhammad anatakiwa kufananishwa na kina mwamposa, na kinagwajima

    • @halidimgonza5945
      @halidimgonza5945 Před 22 dny +5

      ni UKAFIRI unakusumbua ngoja utapokufa ndo utamjua Muhammad ni nani kwako

    • @francisjoseph1074
      @francisjoseph1074 Před 22 dny +2

      @@halidimgonza5945 Muhammad yupo kaburini anasubiri hukumu yakuupotosha waarabu wenzie na hao waarabu wakawaambukiza nyie watanganyika ujinga

    • @aishahazary4097
      @aishahazary4097 Před 22 dny +3

      ​@@francisjoseph1074 Musa Ibahim na wengineo wapo nyumbani kwako?

    • @samxx411
      @samxx411 Před 22 dny +3

      Wewe akili huna ...yesu Mungu??? unamaanisha kuna watu walimuona Mungu yaani yesu??? wakati hata malaika hamjamuona, hivi mbona mnakufuru sana nyie...hivi Mungu ana mama???😅😅😅😅😅

    • @jonasdaniel1025
      @jonasdaniel1025 Před 22 dny

      Eti Muhammad ninani! Kwani sinimarehemu tu Kama marehemu wengine,,​@@halidimgonza5945

  • @henrymutabari
    @henrymutabari Před 22 dny +1

    Tuna msubiri siku ya ijumaa,ndacha ninakukubalia unaenda kuchangamsha uwanja, wacha nione kama nitafika bongo kwa sababu nko 🇰🇪 🇰🇪

  • @njokynjuguna
    @njokynjuguna Před 22 dny +1

    Yesu ni neno la Mungu 😂. But sio yesu unafikilia wa wazungu

  • @hazalioinvester3362
    @hazalioinvester3362 Před 20 dny

    Aal-e-Imran 3:7
    هُوَ ٱلَّذِىٓ أَنزَلَ عَلَيْكَ ٱلْكِتَٰبَ مِنْهُ ءَايَٰتٌ مُّحْكَمَٰتٌ هُنَّ أُمُّ ٱلْكِتَٰبِ وَأُخَرُ مُتَشَٰبِهَٰتٌۖ فَأَمَّا ٱلَّذِينَ فِى قُلُوبِهِمْ زَيْغٌ فَيَتَّبِعُونَ مَا تَشَٰبَهَ مِنْهُ ٱبْتِغَآءَ ٱلْفِتْنَةِ وَٱبْتِغَآءَ تَأْوِيلِهِۦۗ وَمَا يَعْلَمُ تَأْوِيلَهُۥٓ إِلَّا ٱللَّهُۗ وَٱلرَّٰسِخُونَ فِى ٱلْعِلْمِ يَقُولُونَ ءَامَنَّا بِهِۦ كُلٌّ مِّنْ عِندِ رَبِّنَاۗ وَمَا يَذَّكَّرُ إِلَّآ أُو۟لُوا۟ ٱلْأَلْبَٰبِ
    English - Sahih International
    It is He who has sent down to you, [O Muḥammad], the Book; in it are verses [that are] precise - they are the foundation of the Book - and others unspecific.[1] As for those in whose hearts is deviation [from truth], they will follow that of it which is unspecific, seeking discord and seeking an interpretation [suitable to them]. And no one knows its [true] interpretation except Allāh. But those firm in knowledge say, "We believe in it. All [of it] is from our Lord." And no one will be reminded except those of understandings.

  • @FrankNzombo-k3j
    @FrankNzombo-k3j Před 21 dnem

    Ndacha nakukubari bahati mbaya umelala na linguruwe linalo sema wamasai si watanzania ni Moja ya kuliaibisha taifa kwanza lichunguzwe na mdahalo huu hautanoga kwa kusimama na linguruwe bora angekuwa shekhe mwingine wapo mashekhe wazuri siyo hilo likafili

  • @SeifSeif-gw3zc
    @SeifSeif-gw3zc Před 22 dny +2

    Huyu ndacha ukweli anaujua vyema🤣🤣

  • @user-kz7pl4js8i
    @user-kz7pl4js8i Před 17 dny

    Nikama kusema mchawi Wacha uchawi Ndacha ni kazi ngumu lakini Mungu akupe nguvu

  • @mtwaharutwahily4034
    @mtwaharutwahily4034 Před 22 dny +1

    Hata mkiujua ukwel hamuwez kuufata ,, uache sadaka.kirahis rah's

  • @kautharBihaki-wv7kd
    @kautharBihaki-wv7kd Před 21 dnem

    Ndacha ata mimi namuweza sjaona hoja yke yoyote ya kuutikisa uislam

  • @halidimgonza5945
    @halidimgonza5945 Před 22 dny +2

    ustadh shafii mfundishe huyo ndacha aijue haki

    • @martinmkoba361
      @martinmkoba361 Před 21 dnem

      Kama wameshindwa kina sule na mazinge shaafii yeye ni nani mbele ya ndacha

  • @mush337
    @mush337 Před 22 dny

    Watu waache kujiita wakristo,wajiite tu na dini zao maana Imani zetu ni tofauti

  • @haymanobonyo8829
    @haymanobonyo8829 Před 22 dny +1

    KESHO KUTWA SIO MBALI ...MBATISHE HUYU USTADHI

    • @moshantoj
      @moshantoj Před 22 dny

      Ni vile tu hataki kuwa ndugu ya majini na sijui ni kwanini

  • @jumahenriquesgeraldo9837
    @jumahenriquesgeraldo9837 Před 22 dny +1

    Habari kwa Mungu na kwa Yesu. Sasa luna mjadala tena apo?

  • @ibrahimadab9151
    @ibrahimadab9151 Před 22 dny

    Huyu NDACHA ATAWASILIMU INSHAA ALLAH

  • @MusinHamad
    @MusinHamad Před 22 dny +1

    Ww shafii unavijineneo vitami ww

  • @Abdallah-p6i
    @Abdallah-p6i Před 18 dny

    Hapo ndacha kagusa pabaya uyo mtu hafai hata kwa kulumagia anaitwa ostadh shafii.

  • @hazalioinvester3362
    @hazalioinvester3362 Před 20 dny

    The belief that Prophet Muhammad is a prophet from God is central to Islam and is strongly supported in the Qur'an and even the bible as Muhammadan
    Qur'an;
    The Qur'an explicitly states that Muhammad is a prophet sent by God:
    - Surah Al-Ahzab 33:40 - "Muhammad is not the father of any of your men, but he is the Messenger of Allah and the Seal of the Prophets. And Allah has full knowledge of all things."
    -Surah Al-A'raf 7:157 - This verse refers to a prophet "whom they find written in what they have of the Torah and the Gospel," interpret as a reference to Muhammad in earlier scriptures.
    Bible Interpretations;
    While some certain passages may directly refer to him:
    - Deuteronomy 18:18 - "I will raise up for them a prophet like you from among their brothers; I will put my words in his mouth, and he will tell them everything I command him."a prophet like you" (referring to Moses) as Muhammad pbuh
    - John 14:16 - And I will ask the Father, and he will give you another advocate to help you and be with you forever." "the advocate" (often translated as the Holy Spirit in Christian theology) refers to Prophet Muhammad

  • @shepherd1x84
    @shepherd1x84 Před 22 dny +1

    Hivi kupitia kwa mafunzo haya sina shaka kabisa kuhusu ibilisi amejificha wapi ...makao yake makuu imo ndani ya dini fulani

    • @0badiaMwasongwe-rt1wr
      @0badiaMwasongwe-rt1wr Před 22 dny

      Wala sio kufichaa Muhammad alipotoka kwenye mapango alisema ametokewa na shetani na vitabu vyao Muhammad aliwasilimishaa majini na shetani wakawa waislamu so hapo unajua kabisaa dini ya shetani ni ipiiiii

  • @abasmwika3432
    @abasmwika3432 Před 22 dny +1

    Sasa Shafii mbona unamaliza maandiko yenyewe

  • @martinmkoba361
    @martinmkoba361 Před 21 dnem

    Mbona shafii anamawazo sana au ndio haamini kama kaingia kwenye 18 za ndacha😅😅

  • @user-ps9ml3lb6b
    @user-ps9ml3lb6b Před 22 dny +1

    Mugaatakujaliyashfi

  • @muliamadi859
    @muliamadi859 Před 22 dny

    Ndacha mimi ni mcongo mani ,nakwambia ahuna myaka tano lazima utasilim tu,kula ela za Sabato kwanza ,vigogo kuliko weye walisilim subiri tu.

  • @abdallahhanafi6963
    @abdallahhanafi6963 Před 22 dny +1

    Hiyo mada ya mwisho ni tam saana

  • @smsharji50
    @smsharji50 Před 22 dny +1

    I Luis pia yuko hai mpaka kiyama inamaana ni mtt wa mungu? Huyo ndacha vp?

  • @user-fs7bs6gy4z
    @user-fs7bs6gy4z Před 22 dny +1

    Ndacha kabeba pempas kwnye bag lake

  • @basilejuma
    @basilejuma Před 22 dny +1

    Ndacha alianza na mazinge,akagaragaraza dr sulle na wenzake,sasa shaffi ni nani kwa ndacha, wabatizwe wote

    • @AbasHabimana
      @AbasHabimana Před 22 dny

      Ndacha hana lolote nilicho gundua Kwa Ndacha anatafuta umaarufu kupitia waaziri mbalimbali wakiislam akiwemo professa mazinge Docter sule na wengineo alafu huyo Ndacha tafsiri ya kor'ani ajui anapotosha aya za kor'ani kwa maslai yake

    • @AbasHabimana
      @AbasHabimana Před 22 dny

      Haluna mkristo yoyote yule ulimwenguni anaweza kumshinda mwislam kwa hoja kwa sababu mwislam anayo imani sahihi imani ya kikristo imepangua tu na wazungu kwa maslai yao wenyewe

    • @basilejuma
      @basilejuma Před 21 dnem

      @@AbasHabimana Imani ya waislam imeletwa na wa arabu

    • @SukariSukari-sq9tf
      @SukariSukari-sq9tf Před 20 dny

      Siku Zote ulimwnguni people convert to Islam...not to christian . Go just randomly to any debate on CZcams you will agree with me.

  • @SwahibuAthuman-yv2mn
    @SwahibuAthuman-yv2mn Před 22 dny

    Shafi yuko vizuri

  • @tsumamartin6878
    @tsumamartin6878 Před 22 dny

    Ndacha twataka hiyo ya majini

  • @WazainaKigomaboy
    @WazainaKigomaboy Před 20 dny

    Ndacha umewatimba😂😂

  • @Dominant97
    @Dominant97 Před 22 dny

    Mi niseme tu wote mbarikiwe na mtoa baraka mkuu mmenia vyema wote kwa pa1

  • @tsumamartin6878
    @tsumamartin6878 Před 22 dny

    Jembe letu ndacha ,lima hayo magugu

  • @samwelingasa1638
    @samwelingasa1638 Před 22 dny

    Muhammad ni mtume wa Mungu je ndo aliwafundisha kuabudu jiwe jeusi pale makka na kufanya Saudi Arabia iwe tajiri kuchukua kina Ronaldo

  • @basilejuma
    @basilejuma Před 21 dnem

    Kama msemaji mkuu dr sulle alishindwa sasa huyu hajui lolote atafanya nini kwa ndacha,jiulize ni nani anaezana na ndacha kwa mada

    • @SukariSukari-sq9tf
      @SukariSukari-sq9tf Před 20 dny

      Ndacha Hana chochote Kila debate wakristo wanasilimu wakiona haki .

  • @LuisFaustinoLuis
    @LuisFaustinoLuis Před 22 dny

    Ndacha usiniyangushu

  • @LuisFaustinoLuis
    @LuisFaustinoLuis Před 22 dny

    Ndacha Paulo amekuja?

  • @UserGooduser-k5u
    @UserGooduser-k5u Před 22 dny +1

    Ndacha ujanjaujanja mwingi huyo ache

  • @bobnthia
    @bobnthia Před 22 dny +1

    Amani ya bwana iwe nanyi

  • @FadhiliMagana
    @FadhiliMagana Před 20 dny

    Uyu kafiri kamfunze ukweli awache ubishi ju ya sadaka za wakristo wanyonge, wapo mapastor walisilimu

  • @SeifSeif-gw3zc
    @SeifSeif-gw3zc Před 22 dny

    😂😂😂ndacha kaoaa bana kamfata muhammad.

    • @petermabada5628
      @petermabada5628 Před 22 dny

      Kwani aliyeumba mtu na msaidizi wake mke ni Mudi?😂😂😂

  • @profs.a5412
    @profs.a5412 Před 22 dny

    😂😂😂

  • @harrisoncharo-qz3vz
    @harrisoncharo-qz3vz Před 21 dnem

    Waslam nimusiba eti muhamad alioa kwani ndie wakwanza kuoa nimusiba

  • @andrewnjuguna688
    @andrewnjuguna688 Před 22 dny +1

    Kama muhamad ni mtume wa Allah,,je kuna mahali allah alijisema yakwamba muhamad ni mtume wangu?

    • @0badiaMwasongwe-rt1wr
      @0badiaMwasongwe-rt1wr Před 22 dny

      Muhammad anajisemea mwenyewe

    • @andrewnjuguna688
      @andrewnjuguna688 Před 22 dny

      @@0badiaMwasongwe-rt1wr kama nikujisemea,so ata kesho kwa mfano kama ni ww ukijiita mtume wa allah,watu watkwamini tu?..