Inakuwaje polisi awe mkusanyaji deni kutoka Kwa mtuhumiwa Kwanini mtuhumiwa alivyo towa maelezo yake asiwapeleke Mahakamani au Baraza lausuluhishi la biashara
nimejifunza kitu bro kupitia hiki swala lakonmaana binadam ss niatali mtu anakuletea pesa kwa mafungubafu anazunguka anataka yy avunje mkataba na laipwe oesa keshi weli dunia hii
Yeye anampa Oder ya kulipa kama nani,,Mbona sisi wengine tukienda police kama tunamdai mtu tnaambiwa tuende mahakamani,,Mbona leo Muniro kwawa hakimu,mwanasheria na kila kitu
Kwanini Huyo Kamanda Asimwambie Mdai aende Mahakamani. Anaingilia Mitandao ya Simu na Kukamata Magari na Mali kwa hukumu gani? Kama Ni Taprli Mahakama Iseme
Allah hafanyi wepesi Kwa matapeli ww umepewa pesa Toka mwezi wanane mpk mwezi wa3 miezi 6 hujaleta magari gari ukiagiza miezi 2 ishafika unamhusisha mungu na wizi
Hapa nimegundua kitu Uyu jamaa mbabaishaji Utajiri wake anawazulum Sana wafanya biashara wadogo Wadogo sasa siyo mchongo Lipa kwanza pesa za watu Halafu ayo magar yaliyopo chin Yawateja wako yatakuwa yako Unaonaje hapo hili hao raiya Walio kuagizia magar 2 au ma3 Wasiwe wanakuriport kuwa unawazungusha kuwa unataka Uwazulum fanya ivyo kama Siyo tapeli walipe kisha wasikuzoe Kuwa kalibu yako ususan Kwenye uwagizaji wa magar Ya maroli na mabasi
Ila RPC unasema mnachunguzaga mambo?unamjua Mr KUKU Afande, analiza watu wa nchi hii na bado anadunda jumla ya 8billions kawapiga watu takribani 4000,sasa mbona hilo hulichunguzi mkuu.
@@samuelemmanuel3400 hahahah maana kisheria hakuna mtu anaruhusiwa kukusanya fedha kwa umma kama hujawa registered mayb banks au capital markerts etc so mjinga mmoja akija danganya watu njooni tuweke hela tufanye hvi mtapata faida ujue kikiaribika hakuna pa kukimbilia
@@zedekiahjulius6 ni kweli najua but wangefanya yafatayo 1. Wangetoa elimu kwa uma 2. Wange zuia hizo shuguli(upati usio rasmi) 3. Wange simamia sheria Sio uhuni wanaofanya maana huyo mr kuku alikuwa anatangaza kabisa kwenye media na mitandao yakijamii kwa uhuru, waliamuatu kufumbia macho iliwaje kupiga hizo hela
@@samuelemmanuel3400 unachezea akil ya binadam human stupidity will never end bongo watu washatapeliwa sana tu kuna jamaa mbongo alitoka USA katangaza fursa za wafanya biashara wanaotaka ku export bidhaa america akawajaza watu ukumbia jk nyerere wafanyabiashara wakubwa kutoka mikoa yote nchini na walitoa pesa za connection imagine kuna media house hapa kubwa nchini ililipwa mil 300 kufanya promo ya hùyo jamaa mwisho wasiku jamaa kapiga mpunga kasepa
Very Good question Kwa ni ni polisi ishufhulike na Madai ya Muhindi, Mimi namdai Suleiman Msomali mamilioni ya hela mbona Jeshi la Polisi limekataa kunisaidia?
Dah awa police police 🚔 🤔 😑 wa Tanzania mungu anawaona dah vitu vya ovyo vinafanyika na wakubwa viongozi wao wamenyamaza wanasifia RIP 🙏 magufuli wanyonge wanalia
Matapeli yanapiga pesa watu yakitamani kupelekwa mahakamani yakalipe kidogokidogo. Hilo sio deni ni Utapeli jamaa limeshindwa kuleta magari na Na alidangaynya anafanya na Howo jama wameangapiga hogo hawalijui tapeli
Kuchukua pesa za watu si mfanya biashara mkubaliano ya wateja walipe kidogo kidogo mwishowe wamegaili sasa yeye afanyeje wakati kashatoa oda China. Na anafanya kaz na kampuni lazima aendane nao vizur asijihalibie civ zake huko akakosa kuaminika
@@ScopionScopion-zj9cd huu ndio ukilaza tunaozungumza,kama hujui kitu nyamaza! Kazi ya polisi ni kukamata Kisha kupeleka mtuhumiwa mahakamani,sio kutoa hukumu! Kama huelewi kitu usidandie comment yangu
@@ScopionScopion-zj9cd nabishana na mtu pengine la pili b,Kwa mifano hiyo ya kipuuzi inaonesha upeo wako,hivyo relax don't waste my time,bishana na la pili b wenzio tu
Rushwa Rushwa Rushwa adui wa haki, Polisi inahusikaje na madai? badala ya mdai ndio aende mahakamani amwite Shammy kujibu shtaka la madai? na kwanini wamtishe? hizi zama tulishazipita naona akina kamanda Muliro wanataka kuturudisha nyuma wakati Mama Mh.Samia Suluhu hataki kuona wala kusikia mtu akionewa.
Maelezo ya yule muhundi ni sensitive na maelezo ya huyu sammy pia ni sensitive ilikuwa ni swala la kumpa muda sammy kulipa thats correct maana tiar alishaingia mkataba na wachina .
Kifupi jamani hapa ni hivi mnaumiza kichwa bure Kama pesa alizopewa kama kweli ni mfanya biashara na mi muadilifu anyooshe story liishe lakin kama ni longolongo awe wazi . Ila kama kapewa pesa na kalipa huko china awaambie wajue waendelee kwa sababu china ukitoa advance ndio wanaanza kutengeza wakimaliza wanakuambia malizia pesa gar iende porty hujamaliza hawapakii sasa awaachie wao wamalize
Mulilo anatumika vibaya, mbona jamaa kajieleza vizuri na kaeleweka, na mpk kasema ana mikataba na hao jamaa na risiti zote za kutuma pesa hata polisi mmlipewa.. taratibu za kudaiana kisheria zifwatwe na sio kutishiana tishiana.
Kamanda mulilo unajua kujibu maswali ya papo kwa papo kwahili hatuwezi kuhukumu chochote Mungu ndio anejua kama ukweli kwa police au mfanya biashara daaaa jamaa kapanda baskeli 🤣🤣🤣
Inakuwaje polisi awe mkusanyaji deni kutoka Kwa mtuhumiwa Kwanini mtuhumiwa alivyo towa maelezo yake asiwapeleke Mahakamani au Baraza lausuluhishi la biashara
Hujawahi kudhulumiwa wewe ndio maana unasema ivo
Iyo tumeshazoea polis ni benki
Tuwe na Hofu ya Mungu. Mzee mwinyi katuhusia maisha ni hadithi. Tuache hadithi nzuri kwa wasomaj watakaohadithia
Pole sana mwanangu shammy!!Kuna kitu hauko hivyo aiseeeh!!
Askari wanataka hela kwako
Pole sana kk yameshanikuta mm hawa jamaa dah!
Hawa sio wa kuwa zungumzia nikuwa tendea sawa sawa na matendo yao
Home boy hamzah alikuwa sahihi
😂😂😂😂😂😂😂 Alikula kishujaaa
@@barbarasara4033 yaana hii nchi Heri lawama 2
Kuna mtu wangu wa karibu ilimkuta issue km hii,pole kaka,,jeshi la polisi lazima lijirekebishe Kwa kweli
Yani hio ni chupuchupu kutekwa mwenye kisu kikali ndio anae kula nyama kapuku huna nguvu kwa mtu mwenye pesa
Atali tupu
Ndivyo wanavyofanya kazi
Kazi kweli kweli😂😂😂😂😂😂😂😂
Pole broo. Shammy his very innocent.. namjua since yupo kimara.
Jamaa wa arusha huyo
😂😂😂😂😂
nimejifunza kitu bro kupitia hiki swala lakonmaana binadam ss niatali mtu anakuletea pesa kwa mafungubafu anazunguka anataka yy avunje mkataba na laipwe oesa keshi weli dunia hii
Yeye anampa Oder ya kulipa kama nani,,Mbona sisi wengine tukienda police kama tunamdai mtu tnaambiwa tuende mahakamani,,Mbona leo Muniro kwawa hakimu,mwanasheria na kila kitu
kweli.. anayedai kawaonga ama ni kiongozi mkubwa
Hapo sasa
Kwanini Huyo Kamanda Asimwambie Mdai aende Mahakamani. Anaingilia Mitandao ya Simu na Kukamata Magari na Mali kwa hukumu gani? Kama Ni Taprli Mahakama Iseme
Polisi tunaotakiwa tuwakimbilie ili watulinde wanafanya uharamia😢 Mambo ya ajabu kabisa. Mahakama zipo kwa nini wasiende huko?
Police ndiyo majambazi wakubwa nchini, na kumbambikizia watu case, ila Mungu ndiyo hakimu
Sawa sisi ni majambazi amna noma
😂😂😂@@adudeswalehe8724
@@adudeswalehe8724tena wauaji wakubwa mbwa nyie
Hahaha unakubali kama Sifa@@adudeswalehe8724
@@adudeswalehe8724tena ninyi sio majambazi ni wauwaji kabisa
Ukiwa MASKINI nchi hii ni matatizo na ukiwa TAJIRI matatizo , ....POLISI hawana tofauti na MASHETANI..!..Huyu jamaa ameongea kitu kilichonyooka..!
Huyu Mrilo ajuwe atakuja kusitaafu haya ni maisha tu
Aombe mwisho mwema. Uwizi sio mzuri
Mwamba anaongea point sana
R.I.P MAGUFULI
Magufuli mwenyewe ndo alianza huu ujambazi
Hatowe pesa za watu magufur kafany nn atowe pesa bwan
Marehemu hamza alikuwa sahihi
😅😅😅
Kabisa
Af wakajidai kuumda tume yao na uwonqo km wote
😅😅😅
🇦🇱
Doh pole sana
Pole bro Mungu yupo
Kamanda Mulilo nikushauri tuu achana na maswala haya yanakutia doa
Mambo ya madai iachie mamlaka inayohusika ni aibu
Hujazulumiwa wewe kaa kimya
@@adudeswalehe8724kwani Nani kazirumiwa hapo? Kwenda huko
@@anastaziamathias8861 kwahiyo hizo pesa anazoambiwa alipe ni wanamuibia au alipewa ??
@@adudeswalehe8724 wote tumedhulummiwa.. Taratibu zifuatwe.. mahakamani
Kwa nini Muliro akusanye hizo fedha?? ,Hapo tu kuna ukakasi wa wazi kabisaa!!
Muliro amelamba asali!!
Amekua kijumbe sasa anakusanya marejesho😅
Kijumbe😂
Mdaiwa hafungwi 😅😅😅😅
Wakubwa duh inchi hii.
Kumbe wakubwa wa inchi hii niwafanya biashara wakubwa. 😢😢😢😢
Serikali ikihitaji pesa inakopa kwa hao wakubwa.
Pole sana ALLAH akufanyie wepesi
Allah hafanyi wepesi Kwa matapeli ww umepewa pesa Toka mwezi wanane mpk mwezi wa3 miezi 6 hujaleta magari gari ukiagiza miezi 2 ishafika unamhusisha mungu na wizi
Pole sana kaka!
Jamn maisha haya Sina hela lakn Kuna shida
Kmbe polisi ck iz😂😂 nd waksanyaji hela duuuh this country pole sana brother 😢
Wanasema usingizi wa maskini ni mtamu
HAhaha acha mambo yako ndg tafuta pesa umasikini ni mbaya zaidi
Tafuta Pesa umaskini sio sifa
😅😅😅😅
Pole sana kaka.
Hapa nimegundua kitu
Uyu jamaa mbabaishaji
Utajiri wake anawazulum
Sana wafanya biashara wadogo
Wadogo sasa siyo mchongo
Lipa kwanza pesa za watu
Halafu ayo magar yaliyopo chin
Yawateja wako yatakuwa yako
Unaonaje hapo hili hao raiya
Walio kuagizia magar 2 au ma3
Wasiwe wanakuriport kuwa unawazungusha kuwa unataka
Uwazulum fanya ivyo kama
Siyo tapeli walipe kisha wasikuzoe
Kuwa kalibu yako ususan
Kwenye uwagizaji wa magar
Ya maroli na mabasi
kama huelewi tulia subiri sikiliza
Mmmh haya maisha yako hatal
Kwa sasa ni bora niwamin mgàmbo kuliko polis wa 🇹🇿
Polis hawaaminiki tena tanzania%
Ila RPC unasema mnachunguzaga mambo?unamjua Mr KUKU Afande, analiza watu wa nchi hii na bado anadunda jumla ya 8billions kawapiga watu takribani 4000,sasa mbona hilo hulichunguzi mkuu.
Serikali ili chukua huo mpunga ponzi scheme zote serikali ikichukua hairudish kwa investors
Serekali ni matapeli
@@samuelemmanuel3400 hahahah maana kisheria hakuna mtu anaruhusiwa kukusanya fedha kwa umma kama hujawa registered mayb banks au capital markerts etc so mjinga mmoja akija danganya watu njooni tuweke hela tufanye hvi mtapata faida ujue kikiaribika hakuna pa kukimbilia
@@zedekiahjulius6 ni kweli najua but wangefanya yafatayo
1. Wangetoa elimu kwa uma
2. Wange zuia hizo shuguli(upati usio rasmi)
3. Wange simamia sheria
Sio uhuni wanaofanya maana huyo mr kuku alikuwa anatangaza kabisa kwenye media na mitandao yakijamii kwa uhuru, waliamuatu kufumbia macho iliwaje kupiga hizo hela
@@samuelemmanuel3400 unachezea akil ya binadam human stupidity will never end bongo watu washatapeliwa sana tu kuna jamaa mbongo alitoka USA katangaza fursa za wafanya biashara wanaotaka ku export bidhaa america akawajaza watu ukumbia jk nyerere wafanyabiashara wakubwa kutoka mikoa yote nchini na walitoa pesa za connection imagine kuna media house hapa kubwa nchini ililipwa mil 300 kufanya promo ya hùyo jamaa mwisho wasiku jamaa kapiga mpunga kasepa
Very Good question Kwa ni ni polisi ishufhulike na Madai ya Muhindi, Mimi namdai Suleiman Msomali mamilioni ya hela mbona Jeshi la Polisi limekataa kunisaidia?
Kama kweli unadai mbona hiyo kazi ndogo
hio kampuni itakuwa inamkono wa public official tena senior ,yaani hakuna usawa hadi uwe kigogo?
MPELEKE MAHAKAMANI. SHORT AND CLEAR
😂😂
Daaah, nimemsikikiza jamaa ameeleza vizuri sanaaa... Kuna muda watendaji ndo tuna m-let down Mama😢😢😢😢😢😢
Kabisa
Duu pole my brother hii nchi naona niyaviongozi maana hata madeleva wanauwawa namatajili halafu jeshi la police linamtetea tajili.
Mhindi na polisi wanapenda sana na hz mambo.
Hii nchi inahatari sana
Dah awa police police 🚔 🤔 😑 wa Tanzania mungu anawaona dah vitu vya ovyo vinafanyika na wakubwa viongozi wao wamenyamaza wanasifia RIP 🙏 magufuli wanyonge wanalia
Utapeli kibao
Kaka shammy mungu akusaidie pesa yako wasiikodolee macho tunachotaka maendeleo na kutafuta kihalali tu
Kwenye kesi kama hii. Huwezi kumuamini polisi wala mfanya biashara. Polisi wahuni wapo, na wafanya biashara wahuni wapo. Ao wanajuana.
Murilo ujue mungu anakuona!
Si kazi ya police kuendesha kesi,kwanini wasimpeleke mahakamani?
Matapeli yanapiga pesa watu yakitamani kupelekwa mahakamani yakalipe kidogokidogo. Hilo sio deni ni Utapeli jamaa limeshindwa kuleta magari na Na alidangaynya anafanya na Howo jama wameangapiga hogo hawalijui tapeli
So, sad 😭😭..... Pole sana brother coz hakuna kikubwa chini ya juA
Kwann ukubar kulipa pesa wakat wamesitisha wenyewe mkataba
Si ameshakwambia alitishiwa kwamba ni dili la kiongoz wa Serikali tena na kamanda. Kwahyo alifanya hvyo kwa uoga
Kuna sababu ya msingi ya kujua majukumu na kazi ya polisi tofauti na hapo raia mtaumia
Jumanne mliro Kwanini ww unasisitiza alipe ela na sio mahakama?
Kuchukua pesa za watu si mfanya biashara mkubaliano ya wateja walipe kidogo kidogo mwishowe wamegaili sasa yeye afanyeje wakati kashatoa oda China. Na anafanya kaz na kampuni lazima aendane nao vizur asijihalibie civ zake huko akakosa kuaminika
bongo sio nchi ya kuishi kaka
Sure kabsaa
Ni nchi ya kuishi ila sio nchi ya kuwekeza😂
Ila kamanda ulikuwa unampressuarize huyu mtu amlipe huyo mfanyabiashara aletoa pesa kwani we ni mahakama?? Kwanini hukumpeleka mahakamani???
we nae huna unachojua kwani kama mtu ukitapeliwa unaendal kwanza police au mahakamani
@@ScopionScopion-zj9cd huu ndio ukilaza tunaozungumza,kama hujui kitu nyamaza! Kazi ya polisi ni kukamata Kisha kupeleka mtuhumiwa mahakamani,sio kutoa hukumu! Kama huelewi kitu usidandie comment yangu
nyinyi ndio wale anakuja mtu anakuvua nguo akubake unaona ila humzuii mpaka anakubaka unasubili upate ushahidi wakwenda mahakamani mwenyewe hajakataa amekubali kwamba kweli nimepatiwa pesa alipe2 mahakamani kufanya Nini mahakama zenyew vitu ambavyo nivyakumaliza viishie police2
@@ScopionScopion-zj9cd nabishana na mtu pengine la pili b,Kwa mifano hiyo ya kipuuzi inaonesha upeo wako,hivyo relax don't waste my time,bishana na la pili b wenzio tu
sio lapili2 fanya bx sijasoma bx ila Nina akili zakutosha zakuchambua jambo unaweza ukiwa msomi harafu vision ukawa huna ndio mana wasomi wengi ndio wanakua mashoga
Jamaa anaeleza openning sana tz ipo shida
Police police police mungu anawaona
Hata linavyoongea tu hilo li kamanda Muliro jambazi kubwa, mbwa kabisa
Africa polisi lazima wafate Sheria. Sasa kesi kama hii polisi wanaingiliya wapi..
8:45
Hapo kuna shida kubwa sana ,
Ningekuwa mkuu wa jeshi la polisi huyu mlilo ningemfukuza kazi mara moja.
Jeshi la baba ako labda
@@adudeswalehe8724wewe utakuwa ni police Na ushenzi wenu
@@Kabwela776 sawa mimi ni mshenzi
Ndio maana wakistafu wanapalalaiz
Na IGP WAMBURA HAPENDI UONEVU KABISAAA AINGILIE KATI
Yee kamanda sio mahakama yee kama nan?
Pole sana brother
KAMANDA YUKO SAHIHI, kama hujazulumiwa huwezi kuelewa
Ipo siku Moja kazi hiyo kwake itaisha atende mema mulilo Apache story nzury
Moliro kaisha pewa hongo ndomana kesi kaisimamia anashindwa kusaidia watu dar kahongwa maliro
Kaichukulia kesi personal Sana.. Kama kampuni yake, kama hakukuwa na jinai wangeawacha waende mahakamani
Sio kitu kigeni hichi, wazungu au wahindi wakishtaki wakuwa na haki hata kama wao ndio wenye makosa, tunahitaji ukombozi
Ukweli inabidii tuwasikilize upande wa 2 tujuwe nan mkweli
Upande wa pili ndo kina murilo sasa😂😂 c wamelipwa ili wawe mahakimu
Rushwa Rushwa Rushwa adui wa haki, Polisi inahusikaje na madai? badala ya mdai ndio aende mahakamani amwite Shammy kujibu shtaka la madai? na kwanini wamtishe? hizi zama tulishazipita naona akina kamanda Muliro wanataka kuturudisha nyuma wakati Mama Mh.Samia Suluhu hataki kuona wala kusikia mtu akionewa.
Kwani nani aliyekuwa anapenda kuona na kusikia mtu kaonewa? Kila kitu Siasa tu!
Siro watu wanakukumbuka sana
Siro ni wale wale
Siro yupi unamzungumzia?
murilo yeye anamadaraka gani yakusema hivyo yeye ni mahakama?sio sawa jamani
Ndani ya siku sita ushafanya hadi booking ya meli , daaaaah😂😂😂
Mmi sielewi aseee wakat malipo Yalikua ya kusua sua.
Alaf SI mteja Angelina 50% Ili aagize Kwa feza zake mana ni bilionea huyu au mmi sielewi
Hii nchi rushwa kila maali jamani munatuumiza sana mungu atawalipa 😭😭🙏
Pole sana boss, mtafute Makonda tu atakusaidia
Kweli, jamaa amtafute Makonda
Muigizaji yule amsaidie nini
Makonda hana uwezo wa kumsaudia mtu ni uigizaji
😂😂 maigizo Yale na nyie mmeingia kingi system nzm ya Nchi ni mbovu😂
Makonda kwa hili siyo rahisi
Pole mchizi wangu Shammy
Kosa Kubwa Simu Zimewekwa Rekodi Kwanini Umeacha Kurekodi Ukiwa Unaongea Na Watu Kama Mfano Wa Hao Wapenda Vya Bule Kwa Kutumia Nguvu
Kaka hutakufa bali utaishi MUNGU mwenye mamlaka atakulinda popote usiogope vitisho
Dah pole sana, hapa police
Pole sana kaka mkubwa
Jeshi la police ni pasua kichwa yaani ata hamza alikuwa sahii
You right bro pole chamy ,,kwa hiyo hawo police ndio walikuwa hiyo kampuni anadai alitoa pesa kimashinikizo ????
Hiii nchi inachangamoto sana
Hiko hivi uzifanye biashara na kampuni unayohisi ina uwezo wa kuifanya hiyo biashara yenyewe wala usichukue tenda ya serikali bila cash hawalipagi
Mfanyabiashara na pesa ni kitu cha kawaida tafuteni suluhu wahusika msiwape tamaa wengine
Soja chelewa ila naomba muni follow ❤
Maelezo ya yule muhundi ni sensitive na maelezo ya huyu sammy pia ni sensitive ilikuwa ni swala la kumpa muda sammy kulipa thats correct maana tiar alishaingia mkataba na wachina .
Kifupi jamani hapa ni hivi mnaumiza kichwa bure
Kama pesa alizopewa kama kweli ni mfanya biashara na mi muadilifu anyooshe story liishe lakin kama ni longolongo awe wazi .
Ila kama kapewa pesa na kalipa huko china awaambie wajue waendelee kwa sababu china ukitoa advance ndio wanaanza kutengeza wakimaliza wanakuambia malizia pesa gar iende porty hujamaliza hawapakii sasa awaachie wao wamalize
Hawa jamaa wanajifanya wananguv wanadhani wanaweza kufanya chochote sasa sio kila mahali kuna mahali lazim washikike
Hatari sana
Mulilo anatumika vibaya, mbona jamaa kajieleza vizuri na kaeleweka, na mpk kasema ana mikataba na hao jamaa na risiti zote za kutuma pesa hata polisi mmlipewa.. taratibu za kudaiana kisheria zifwatwe na sio kutishiana tishiana.
Kuna mwingine amejipiga risasi kudai Mali zake kw miaka saba
Rushwa Rushwa Rushwa Rushwa
Polisi kama huwajui utawatetea
Duh 😢😢😢😢
PETER KIBATARA ILI UJALIONA😮😮😮😮
😂😂😂eti kapanda boda kapanda baskeli ivyo nivichekesho kaamua kumchekesha muandisi wa habari kamanda umenivunja mbavu zangu
Jaman.kwelea kwelea ni wadudu wabaya sana
Kamanda mulilo unajua kujibu maswali ya papo kwa papo kwahili hatuwezi kuhukumu chochote Mungu ndio anejua kama ukweli kwa police au mfanya biashara daaaa jamaa kapanda baskeli 🤣🤣🤣
Kwanini analazimisha kumwambia alipe pesa za watu mbona wasimshauri kwenda mahakamani
Washapigwa tayari never pay before seeing the product.
Hawa polisi mungu anawaona wakae wakijua wanazidi kuwatengeneza akina hamza wengi mwisho wasiku wataanza kupukutishwa2
Kuna kasumba ya kuwatetemekea wageni wawekezaji hata km wanakiuka utaratibu na kuwadidimiza wazawa vijana wanaojitafuta
Sasa kesi ya madai wao wameamua vipi alipe pesa za watu na kesi ni ya mahakama hii
tatizo la wafrika atupendane
Nyinyi mahakama?? Polisi nawauliza.
oy kaka samweli umetumia hakili sana kushilikisha watu laa sihivyo ungetekwa yaani umakoswa
Huyo samweli nitapeli
Unamjua