BILIONEA SHAMY ATUPA TUHUMA NZITO NAKUKIMBIA DAR, KAMANDA MULIRO AMJIBU 'NI VICHEKESHO"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 3. 03. 2024

Komentáře • 627

  • @AhmedHassan-vl5zf
    @AhmedHassan-vl5zf Před 5 měsíci +41

    Inakuwaje polisi awe mkusanyaji deni kutoka Kwa mtuhumiwa Kwanini mtuhumiwa alivyo towa maelezo yake asiwapeleke Mahakamani au Baraza lausuluhishi la biashara

  • @user-ui4oh8gf8n
    @user-ui4oh8gf8n Před 5 měsíci +30

    Tuwe na Hofu ya Mungu. Mzee mwinyi katuhusia maisha ni hadithi. Tuache hadithi nzuri kwa wasomaj watakaohadithia

  • @josephatjordan2150
    @josephatjordan2150 Před 5 měsíci +10

    Pole sana mwanangu shammy!!Kuna kitu hauko hivyo aiseeeh!!
    Askari wanataka hela kwako

  • @user-ie2sr4fi4k
    @user-ie2sr4fi4k Před 5 měsíci +22

    Pole sana kk yameshanikuta mm hawa jamaa dah!

    • @Jackson-pj3mw
      @Jackson-pj3mw Před 4 měsíci

      Hawa sio wa kuwa zungumzia nikuwa tendea sawa sawa na matendo yao

  • @lameckbuya7569
    @lameckbuya7569 Před 5 měsíci +18

    Home boy hamzah alikuwa sahihi

    • @barbarasara4033
      @barbarasara4033 Před 3 měsíci

      😂😂😂😂😂😂😂 Alikula kishujaaa

    • @lameckbuya7569
      @lameckbuya7569 Před 3 měsíci

      @@barbarasara4033 yaana hii nchi Heri lawama 2

  • @claudiajames2003
    @claudiajames2003 Před 5 měsíci +51

    Kuna mtu wangu wa karibu ilimkuta issue km hii,pole kaka,,jeshi la polisi lazima lijirekebishe Kwa kweli

  • @bakarikayugwa3295
    @bakarikayugwa3295 Před 5 měsíci +32

    Yani hio ni chupuchupu kutekwa mwenye kisu kikali ndio anae kula nyama kapuku huna nguvu kwa mtu mwenye pesa

  • @martintv9696
    @martintv9696 Před 5 měsíci +36

    Pole broo. Shammy his very innocent.. namjua since yupo kimara.

  • @husseinmagari3245
    @husseinmagari3245 Před 5 měsíci +14

    nimejifunza kitu bro kupitia hiki swala lakonmaana binadam ss niatali mtu anakuletea pesa kwa mafungubafu anazunguka anataka yy avunje mkataba na laipwe oesa keshi weli dunia hii

  • @siamollel6051
    @siamollel6051 Před 5 měsíci +14

    Yeye anampa Oder ya kulipa kama nani,,Mbona sisi wengine tukienda police kama tunamdai mtu tnaambiwa tuende mahakamani,,Mbona leo Muniro kwawa hakimu,mwanasheria na kila kitu

  • @thobiasmarandu214
    @thobiasmarandu214 Před 5 měsíci +15

    Kwanini Huyo Kamanda Asimwambie Mdai aende Mahakamani. Anaingilia Mitandao ya Simu na Kukamata Magari na Mali kwa hukumu gani? Kama Ni Taprli Mahakama Iseme

    • @Joe-tr2vk
      @Joe-tr2vk Před 5 měsíci

      Polisi tunaotakiwa tuwakimbilie ili watulinde wanafanya uharamia😢 Mambo ya ajabu kabisa. Mahakama zipo kwa nini wasiende huko?

  • @godwinkileo7702
    @godwinkileo7702 Před 5 měsíci +38

    Police ndiyo majambazi wakubwa nchini, na kumbambikizia watu case, ila Mungu ndiyo hakimu

    • @adudeswalehe8724
      @adudeswalehe8724 Před 5 měsíci +3

      Sawa sisi ni majambazi amna noma

    • @abubakariali9848
      @abubakariali9848 Před 5 měsíci

      😂😂😂​@@adudeswalehe8724

    • @ackshuba8679
      @ackshuba8679 Před 5 měsíci

      ​@@adudeswalehe8724tena wauaji wakubwa mbwa nyie

    • @user-io1dm2kc3e
      @user-io1dm2kc3e Před 5 měsíci

      Hahaha unakubali kama Sifa​@@adudeswalehe8724

    • @ahmedalfan8075
      @ahmedalfan8075 Před 5 měsíci

      ​@@adudeswalehe8724tena ninyi sio majambazi ni wauwaji kabisa

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 Před 5 měsíci +8

    Ukiwa MASKINI nchi hii ni matatizo na ukiwa TAJIRI matatizo , ....POLISI hawana tofauti na MASHETANI..!..Huyu jamaa ameongea kitu kilichonyooka..!

  • @Kiggy22
    @Kiggy22 Před 5 měsíci +11

    Huyu Mrilo ajuwe atakuja kusitaafu haya ni maisha tu

  • @mbwanarickson5921
    @mbwanarickson5921 Před 5 měsíci +6

    Mwamba anaongea point sana

  • @unjuinkuganda1991
    @unjuinkuganda1991 Před 5 měsíci +16

    R.I.P MAGUFULI

    • @samateryusuf4345
      @samateryusuf4345 Před 5 měsíci

      Magufuli mwenyewe ndo alianza huu ujambazi

    • @mahersaid258
      @mahersaid258 Před 4 měsíci

      Hatowe pesa za watu magufur kafany nn atowe pesa bwan

  • @kudramzee5769
    @kudramzee5769 Před 5 měsíci +61

    Marehemu hamza alikuwa sahihi

  • @SenetaKilaka
    @SenetaKilaka Před 5 měsíci +13

    Doh pole sana

  • @shukranitawa4668
    @shukranitawa4668 Před 5 měsíci +16

    Pole bro Mungu yupo

  • @boscoutenga8242
    @boscoutenga8242 Před 5 měsíci +21

    Kamanda Mulilo nikushauri tuu achana na maswala haya yanakutia doa
    Mambo ya madai iachie mamlaka inayohusika ni aibu

    • @adudeswalehe8724
      @adudeswalehe8724 Před 5 měsíci

      Hujazulumiwa wewe kaa kimya

    • @anastaziamathias8861
      @anastaziamathias8861 Před 5 měsíci +1

      ​@@adudeswalehe8724kwani Nani kazirumiwa hapo? Kwenda huko

    • @adudeswalehe8724
      @adudeswalehe8724 Před 5 měsíci

      @@anastaziamathias8861 kwahiyo hizo pesa anazoambiwa alipe ni wanamuibia au alipewa ??

    • @brightsmartcleaning
      @brightsmartcleaning Před 4 měsíci

      @@adudeswalehe8724 wote tumedhulummiwa.. Taratibu zifuatwe.. mahakamani

  • @jacksonmichael799
    @jacksonmichael799 Před 5 měsíci +15

    Kwa nini Muliro akusanye hizo fedha?? ,Hapo tu kuna ukakasi wa wazi kabisaa!!

  • @georgekimasaofficial1629
    @georgekimasaofficial1629 Před 5 měsíci +8

    Wakubwa duh inchi hii.
    Kumbe wakubwa wa inchi hii niwafanya biashara wakubwa. 😢😢😢😢

    • @ahz6907
      @ahz6907 Před 5 měsíci

      Serikali ikihitaji pesa inakopa kwa hao wakubwa.

  • @arafakiloli749
    @arafakiloli749 Před 5 měsíci +5

    Pole sana ALLAH akufanyie wepesi

    • @abdallahally842
      @abdallahally842 Před 5 měsíci

      Allah hafanyi wepesi Kwa matapeli ww umepewa pesa Toka mwezi wanane mpk mwezi wa3 miezi 6 hujaleta magari gari ukiagiza miezi 2 ishafika unamhusisha mungu na wizi

  • @user-eg1pk1sw4j
    @user-eg1pk1sw4j Před 5 měsíci +10

    Pole sana kaka!

  • @user-rk9cy8gc8g
    @user-rk9cy8gc8g Před 5 měsíci +8

    Jamn maisha haya Sina hela lakn Kuna shida

  • @parishlawal3034
    @parishlawal3034 Před 5 měsíci +5

    Kmbe polisi ck iz😂😂 nd waksanyaji hela duuuh this country pole sana brother 😢

  • @samwellwiza1098
    @samwellwiza1098 Před 5 měsíci +13

    Wanasema usingizi wa maskini ni mtamu

    • @husseinjengo2350
      @husseinjengo2350 Před 5 měsíci +3

      HAhaha acha mambo yako ndg tafuta pesa umasikini ni mbaya zaidi

    • @DrMbonea
      @DrMbonea Před 5 měsíci +1

      Tafuta Pesa umaskini sio sifa

    • @minjacsd1874
      @minjacsd1874 Před 5 měsíci

      😅😅😅😅

  • @athumanjuma2772
    @athumanjuma2772 Před 5 měsíci +6

    Pole sana kaka.

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY Před 5 měsíci +3

    Hapa nimegundua kitu
    Uyu jamaa mbabaishaji
    Utajiri wake anawazulum
    Sana wafanya biashara wadogo
    Wadogo sasa siyo mchongo
    Lipa kwanza pesa za watu
    Halafu ayo magar yaliyopo chin
    Yawateja wako yatakuwa yako
    Unaonaje hapo hili hao raiya
    Walio kuagizia magar 2 au ma3
    Wasiwe wanakuriport kuwa unawazungusha kuwa unataka
    Uwazulum fanya ivyo kama
    Siyo tapeli walipe kisha wasikuzoe
    Kuwa kalibu yako ususan
    Kwenye uwagizaji wa magar
    Ya maroli na mabasi

  • @user-rk9cy8gc8g
    @user-rk9cy8gc8g Před 5 měsíci +8

    Mmmh haya maisha yako hatal

  • @user-jd5ru7dr2r
    @user-jd5ru7dr2r Před 5 měsíci +6

    Kwa sasa ni bora niwamin mgàmbo kuliko polis wa 🇹🇿

  • @user-jd5ru7dr2r
    @user-jd5ru7dr2r Před 5 měsíci +7

    Polis hawaaminiki tena tanzania%

  • @hassanhancha1413
    @hassanhancha1413 Před 5 měsíci +17

    Ila RPC unasema mnachunguzaga mambo?unamjua Mr KUKU Afande, analiza watu wa nchi hii na bado anadunda jumla ya 8billions kawapiga watu takribani 4000,sasa mbona hilo hulichunguzi mkuu.

    • @zedekiahjulius6
      @zedekiahjulius6 Před 5 měsíci

      Serikali ili chukua huo mpunga ponzi scheme zote serikali ikichukua hairudish kwa investors

    • @samuelemmanuel3400
      @samuelemmanuel3400 Před 5 měsíci

      Serekali ni matapeli

    • @zedekiahjulius6
      @zedekiahjulius6 Před 5 měsíci +1

      @@samuelemmanuel3400 hahahah maana kisheria hakuna mtu anaruhusiwa kukusanya fedha kwa umma kama hujawa registered mayb banks au capital markerts etc so mjinga mmoja akija danganya watu njooni tuweke hela tufanye hvi mtapata faida ujue kikiaribika hakuna pa kukimbilia

    • @samuelemmanuel3400
      @samuelemmanuel3400 Před 5 měsíci

      @@zedekiahjulius6 ni kweli najua but wangefanya yafatayo
      1. Wangetoa elimu kwa uma
      2. Wange zuia hizo shuguli(upati usio rasmi)
      3. Wange simamia sheria
      Sio uhuni wanaofanya maana huyo mr kuku alikuwa anatangaza kabisa kwenye media na mitandao yakijamii kwa uhuru, waliamuatu kufumbia macho iliwaje kupiga hizo hela

    • @zedekiahjulius6
      @zedekiahjulius6 Před 5 měsíci

      @@samuelemmanuel3400 unachezea akil ya binadam human stupidity will never end bongo watu washatapeliwa sana tu kuna jamaa mbongo alitoka USA katangaza fursa za wafanya biashara wanaotaka ku export bidhaa america akawajaza watu ukumbia jk nyerere wafanyabiashara wakubwa kutoka mikoa yote nchini na walitoa pesa za connection imagine kuna media house hapa kubwa nchini ililipwa mil 300 kufanya promo ya hùyo jamaa mwisho wasiku jamaa kapiga mpunga kasepa

  • @rosemarymwakitwange6257
    @rosemarymwakitwange6257 Před 5 měsíci +25

    Very Good question Kwa ni ni polisi ishufhulike na Madai ya Muhindi, Mimi namdai Suleiman Msomali mamilioni ya hela mbona Jeshi la Polisi limekataa kunisaidia?

  • @luganomwankyoko2653
    @luganomwankyoko2653 Před 5 měsíci +3

    Daaah, nimemsikikiza jamaa ameeleza vizuri sanaaa... Kuna muda watendaji ndo tuna m-let down Mama😢😢😢😢😢😢

  • @salumuismahily
    @salumuismahily Před 5 měsíci +3

    Duu pole my brother hii nchi naona niyaviongozi maana hata madeleva wanauwawa namatajili halafu jeshi la police linamtetea tajili.

  • @tumainiellyimo4657
    @tumainiellyimo4657 Před 5 měsíci +3

    Mhindi na polisi wanapenda sana na hz mambo.

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 Před 5 měsíci +6

    Hii nchi inahatari sana

  • @alexaudax-rm8sz
    @alexaudax-rm8sz Před 5 měsíci +4

    Dah awa police police 🚔 🤔 😑 wa Tanzania mungu anawaona dah vitu vya ovyo vinafanyika na wakubwa viongozi wao wamenyamaza wanasifia RIP 🙏 magufuli wanyonge wanalia

  • @user-kp3hz3qw4m
    @user-kp3hz3qw4m Před 3 měsíci

    Kaka shammy mungu akusaidie pesa yako wasiikodolee macho tunachotaka maendeleo na kutafuta kihalali tu

  • @sakomwambene5433
    @sakomwambene5433 Před 4 měsíci +1

    Kwenye kesi kama hii. Huwezi kumuamini polisi wala mfanya biashara. Polisi wahuni wapo, na wafanya biashara wahuni wapo. Ao wanajuana.

  • @BonnyMwajombe-iu7hb
    @BonnyMwajombe-iu7hb Před 4 měsíci +1

    Murilo ujue mungu anakuona!

  • @mejakimaro2773
    @mejakimaro2773 Před 5 měsíci +5

    Si kazi ya police kuendesha kesi,kwanini wasimpeleke mahakamani?

    • @dundocostantine4018
      @dundocostantine4018 Před 5 měsíci

      Matapeli yanapiga pesa watu yakitamani kupelekwa mahakamani yakalipe kidogokidogo. Hilo sio deni ni Utapeli jamaa limeshindwa kuleta magari na Na alidangaynya anafanya na Howo jama wameangapiga hogo hawalijui tapeli

  • @allyabdallahmsusa
    @allyabdallahmsusa Před 3 měsíci

    So, sad 😭😭..... Pole sana brother coz hakuna kikubwa chini ya juA

  • @amirabdallah6984
    @amirabdallah6984 Před 5 měsíci +5

    Kwann ukubar kulipa pesa wakat wamesitisha wenyewe mkataba

    • @TM.Sullusi
      @TM.Sullusi Před 5 měsíci

      Si ameshakwambia alitishiwa kwamba ni dili la kiongoz wa Serikali tena na kamanda. Kwahyo alifanya hvyo kwa uoga

  • @njiaya6833
    @njiaya6833 Před 5 měsíci +2

    Kuna sababu ya msingi ya kujua majukumu na kazi ya polisi tofauti na hapo raia mtaumia

  • @kasimramadhani4690
    @kasimramadhani4690 Před 5 měsíci +2

    Jumanne mliro Kwanini ww unasisitiza alipe ela na sio mahakama?

  • @oswardndilahomba2903
    @oswardndilahomba2903 Před 5 měsíci +3

    Kuchukua pesa za watu si mfanya biashara mkubaliano ya wateja walipe kidogo kidogo mwishowe wamegaili sasa yeye afanyeje wakati kashatoa oda China. Na anafanya kaz na kampuni lazima aendane nao vizur asijihalibie civ zake huko akakosa kuaminika

  • @starjay3052
    @starjay3052 Před 5 měsíci +15

    bongo sio nchi ya kuishi kaka

  • @claudiajames2003
    @claudiajames2003 Před 5 měsíci +13

    Ila kamanda ulikuwa unampressuarize huyu mtu amlipe huyo mfanyabiashara aletoa pesa kwani we ni mahakama?? Kwanini hukumpeleka mahakamani???

    • @ScopionScopion-zj9cd
      @ScopionScopion-zj9cd Před 5 měsíci

      we nae huna unachojua kwani kama mtu ukitapeliwa unaendal kwanza police au mahakamani

    • @claudiajames2003
      @claudiajames2003 Před 5 měsíci +2

      @@ScopionScopion-zj9cd huu ndio ukilaza tunaozungumza,kama hujui kitu nyamaza! Kazi ya polisi ni kukamata Kisha kupeleka mtuhumiwa mahakamani,sio kutoa hukumu! Kama huelewi kitu usidandie comment yangu

    • @ScopionScopion-zj9cd
      @ScopionScopion-zj9cd Před 5 měsíci

      nyinyi ndio wale anakuja mtu anakuvua nguo akubake unaona ila humzuii mpaka anakubaka unasubili upate ushahidi wakwenda mahakamani mwenyewe hajakataa amekubali kwamba kweli nimepatiwa pesa alipe2 mahakamani kufanya Nini mahakama zenyew vitu ambavyo nivyakumaliza viishie police2

    • @claudiajames2003
      @claudiajames2003 Před 5 měsíci +1

      @@ScopionScopion-zj9cd nabishana na mtu pengine la pili b,Kwa mifano hiyo ya kipuuzi inaonesha upeo wako,hivyo relax don't waste my time,bishana na la pili b wenzio tu

    • @ScopionScopion-zj9cd
      @ScopionScopion-zj9cd Před 5 měsíci

      sio lapili2 fanya bx sijasoma bx ila Nina akili zakutosha zakuchambua jambo unaweza ukiwa msomi harafu vision ukawa huna ndio mana wasomi wengi ndio wanakua mashoga

  • @user-vc1vf4uz4r
    @user-vc1vf4uz4r Před 5 měsíci +2

    Jamaa anaeleza openning sana tz ipo shida

  • @glorymungure7740
    @glorymungure7740 Před 3 měsíci

    Police police police mungu anawaona

  • @Boyhoodking
    @Boyhoodking Před 5 měsíci +1

    Hata linavyoongea tu hilo li kamanda Muliro jambazi kubwa, mbwa kabisa

  • @user-fr6rv2yb4s
    @user-fr6rv2yb4s Před 4 měsíci +1

    Africa polisi lazima wafate Sheria. Sasa kesi kama hii polisi wanaingiliya wapi..

  • @josephmtavilalo5087
    @josephmtavilalo5087 Před 4 měsíci +1

    8:45

  • @ismailwiliam385
    @ismailwiliam385 Před 3 měsíci

    Hapo kuna shida kubwa sana ,

  • @mafurumatijo8803
    @mafurumatijo8803 Před 5 měsíci +15

    Ningekuwa mkuu wa jeshi la polisi huyu mlilo ningemfukuza kazi mara moja.

  • @emanuelkilangilo5585
    @emanuelkilangilo5585 Před 5 měsíci +3

    Yee kamanda sio mahakama yee kama nan?

  • @wilsonsaghy4171
    @wilsonsaghy4171 Před 5 měsíci +1

    Pole sana brother

  • @adudeswalehe8724
    @adudeswalehe8724 Před 5 měsíci +1

    KAMANDA YUKO SAHIHI, kama hujazulumiwa huwezi kuelewa

  • @salimmbilu4524
    @salimmbilu4524 Před 3 měsíci

    Ipo siku Moja kazi hiyo kwake itaisha atende mema mulilo Apache story nzury

  • @salmajamessalma1289
    @salmajamessalma1289 Před 5 měsíci +8

    Moliro kaisha pewa hongo ndomana kesi kaisimamia anashindwa kusaidia watu dar kahongwa maliro

    • @arthurdonnietello9691
      @arthurdonnietello9691 Před 5 měsíci +1

      Kaichukulia kesi personal Sana.. Kama kampuni yake, kama hakukuwa na jinai wangeawacha waende mahakamani

  • @edwardkahembetz
    @edwardkahembetz Před 5 měsíci +1

    Sio kitu kigeni hichi, wazungu au wahindi wakishtaki wakuwa na haki hata kama wao ndio wenye makosa, tunahitaji ukombozi

  • @babazungu3180
    @babazungu3180 Před 5 měsíci +2

    Ukweli inabidii tuwasikilize upande wa 2 tujuwe nan mkweli

    • @boazmosses8204
      @boazmosses8204 Před 5 měsíci

      Upande wa pili ndo kina murilo sasa😂😂 c wamelipwa ili wawe mahakimu

  • @rabiamenshoo1988
    @rabiamenshoo1988 Před 5 měsíci +2

    Rushwa Rushwa Rushwa adui wa haki, Polisi inahusikaje na madai? badala ya mdai ndio aende mahakamani amwite Shammy kujibu shtaka la madai? na kwanini wamtishe? hizi zama tulishazipita naona akina kamanda Muliro wanataka kuturudisha nyuma wakati Mama Mh.Samia Suluhu hataki kuona wala kusikia mtu akionewa.

    • @JojiPhilemon-ge6gc
      @JojiPhilemon-ge6gc Před 5 měsíci

      Kwani nani aliyekuwa anapenda kuona na kusikia mtu kaonewa? Kila kitu Siasa tu!

  • @neemapraigory8832
    @neemapraigory8832 Před 5 měsíci +5

    Siro watu wanakukumbuka sana

  • @mbilinyiandrewhumphrey2534
    @mbilinyiandrewhumphrey2534 Před 5 měsíci +1

    murilo yeye anamadaraka gani yakusema hivyo yeye ni mahakama?sio sawa jamani

  • @elianicholaus7199
    @elianicholaus7199 Před 5 měsíci +1

    Ndani ya siku sita ushafanya hadi booking ya meli , daaaaah😂😂😂

    • @annaphi2427
      @annaphi2427 Před 5 měsíci

      Mmi sielewi aseee wakat malipo Yalikua ya kusua sua.
      Alaf SI mteja Angelina 50% Ili aagize Kwa feza zake mana ni bilionea huyu au mmi sielewi

  • @joycemkeka3769
    @joycemkeka3769 Před 5 měsíci +1

    Hii nchi rushwa kila maali jamani munatuumiza sana mungu atawalipa 😭😭🙏

  • @abednego3876
    @abednego3876 Před 5 měsíci +2

    Pole sana boss, mtafute Makonda tu atakusaidia

  • @husseinhkitambi1701
    @husseinhkitambi1701 Před 5 měsíci +1

    Pole mchizi wangu Shammy

  • @AwaziRajab
    @AwaziRajab Před 5 měsíci +1

    Kosa Kubwa Simu Zimewekwa Rekodi Kwanini Umeacha Kurekodi Ukiwa Unaongea Na Watu Kama Mfano Wa Hao Wapenda Vya Bule Kwa Kutumia Nguvu

  • @paskaziasholla7471
    @paskaziasholla7471 Před 5 měsíci +1

    Kaka hutakufa bali utaishi MUNGU mwenye mamlaka atakulinda popote usiogope vitisho

  • @annaniasbyarugaba5788
    @annaniasbyarugaba5788 Před 3 měsíci

    Dah pole sana, hapa police

  • @user-dd7ls4qg8s
    @user-dd7ls4qg8s Před 3 měsíci

    Pole sana kaka mkubwa

  • @josephmkumbwa9836
    @josephmkumbwa9836 Před 3 měsíci

    Jeshi la police ni pasua kichwa yaani ata hamza alikuwa sahii

  • @yohanaibrahim4128
    @yohanaibrahim4128 Před 5 měsíci

    You right bro pole chamy ,,kwa hiyo hawo police ndio walikuwa hiyo kampuni anadai alitoa pesa kimashinikizo ????

  • @HADSONPAUL
    @HADSONPAUL Před 5 měsíci +7

    Hiii nchi inachangamoto sana

  • @DavizJohn
    @DavizJohn Před 3 měsíci

    Hiko hivi uzifanye biashara na kampuni unayohisi ina uwezo wa kuifanya hiyo biashara yenyewe wala usichukue tenda ya serikali bila cash hawalipagi

  • @MatronaThomas-wz5si
    @MatronaThomas-wz5si Před 4 měsíci

    Mfanyabiashara na pesa ni kitu cha kawaida tafuteni suluhu wahusika msiwape tamaa wengine

  • @makutampesa-
    @makutampesa- Před 5 měsíci +4

    Soja chelewa ila naomba muni follow ❤

  • @collinsstanley6126
    @collinsstanley6126 Před 4 měsíci

    Maelezo ya yule muhundi ni sensitive na maelezo ya huyu sammy pia ni sensitive ilikuwa ni swala la kumpa muda sammy kulipa thats correct maana tiar alishaingia mkataba na wachina .

  • @amalykibondei1644
    @amalykibondei1644 Před 3 měsíci

    Kifupi jamani hapa ni hivi mnaumiza kichwa bure
    Kama pesa alizopewa kama kweli ni mfanya biashara na mi muadilifu anyooshe story liishe lakin kama ni longolongo awe wazi .
    Ila kama kapewa pesa na kalipa huko china awaambie wajue waendelee kwa sababu china ukitoa advance ndio wanaanza kutengeza wakimaliza wanakuambia malizia pesa gar iende porty hujamaliza hawapakii sasa awaachie wao wamalize

  • @allyhussein800
    @allyhussein800 Před 4 měsíci

    Hawa jamaa wanajifanya wananguv wanadhani wanaweza kufanya chochote sasa sio kila mahali kuna mahali lazim washikike

  • @user-yw5ix9gg4d
    @user-yw5ix9gg4d Před 5 měsíci +1

    Hatari sana

  • @JayJay-qc1ky
    @JayJay-qc1ky Před 4 měsíci

    Mulilo anatumika vibaya, mbona jamaa kajieleza vizuri na kaeleweka, na mpk kasema ana mikataba na hao jamaa na risiti zote za kutuma pesa hata polisi mmlipewa.. taratibu za kudaiana kisheria zifwatwe na sio kutishiana tishiana.

  • @ElizabethWamcha
    @ElizabethWamcha Před 5 měsíci +1

    Kuna mwingine amejipiga risasi kudai Mali zake kw miaka saba

  • @evaristmbuya6220
    @evaristmbuya6220 Před 5 měsíci +3

    Rushwa Rushwa Rushwa Rushwa

  • @tobiaspaul9203
    @tobiaspaul9203 Před 4 měsíci

    Polisi kama huwajui utawatetea

  • @neemabright3635
    @neemabright3635 Před 5 měsíci

    Duh 😢😢😢😢

  • @Daudifm5800
    @Daudifm5800 Před 5 měsíci +1

    PETER KIBATARA ILI UJALIONA😮😮😮😮

  • @estakapufi7582
    @estakapufi7582 Před 5 měsíci +4

    😂😂😂eti kapanda boda kapanda baskeli ivyo nivichekesho kaamua kumchekesha muandisi wa habari kamanda umenivunja mbavu zangu

    • @SmilingPlanets-yx9rm
      @SmilingPlanets-yx9rm Před 5 měsíci

      Jaman.kwelea kwelea ni wadudu wabaya sana

    • @consorathajames2693
      @consorathajames2693 Před 5 měsíci

      Kamanda mulilo unajua kujibu maswali ya papo kwa papo kwahili hatuwezi kuhukumu chochote Mungu ndio anejua kama ukweli kwa police au mfanya biashara daaaa jamaa kapanda baskeli 🤣🤣🤣

  • @danielmarwa5122
    @danielmarwa5122 Před 4 měsíci

    Kwanini analazimisha kumwambia alipe pesa za watu mbona wasimshauri kwenda mahakamani

  • @eddsonjeremiah6669
    @eddsonjeremiah6669 Před 5 měsíci +1

    Washapigwa tayari never pay before seeing the product.

  • @ISSA-up3zq
    @ISSA-up3zq Před 5 měsíci +1

    Hawa polisi mungu anawaona wakae wakijua wanazidi kuwatengeneza akina hamza wengi mwisho wasiku wataanza kupukutishwa2

  • @davidkimaro1860
    @davidkimaro1860 Před 4 měsíci

    Kuna kasumba ya kuwatetemekea wageni wawekezaji hata km wanakiuka utaratibu na kuwadidimiza wazawa vijana wanaojitafuta

  • @dreadlocksspecialist7195
    @dreadlocksspecialist7195 Před 4 měsíci

    Sasa kesi ya madai wao wameamua vipi alipe pesa za watu na kesi ni ya mahakama hii

  • @msambalamjukuu3866
    @msambalamjukuu3866 Před 5 měsíci +1

    tatizo la wafrika atupendane

  • @jamesmasome359
    @jamesmasome359 Před 5 měsíci +1

    Nyinyi mahakama?? Polisi nawauliza.

  • @MussaSelemani-wz5np
    @MussaSelemani-wz5np Před 5 měsíci +7

    oy kaka samweli umetumia hakili sana kushilikisha watu laa sihivyo ungetekwa yaani umakoswa