Kweli gudegude usimuache huyo mwamba rogeti anakusapoti poa kinoma,si kwamba huwezi kuimba bila yeye ila kuna karadha Fulani hivi amaizing,halafu njoo nzega hata kwa elfu 10 tutaingia mzee
Gude jitahidi kuwahimiza hao ma editors wako videos zako ziwe na quality angalia hizo filters, halaf niko tayari kuwa sponsor wako kuanzia mwakani lakini kwa vifaa vya digital
Mm martha nyimbo nzuri san nimeipenda san karib geita
We kaka unazid kunikosha ty ivi una mke kama huna jimbo liko waz linaka wagombea nakuelewa sana❤
Very nice 👍 sawa sawa getee ngoshaaa mziki wa wiza sanaaa hongeren
gudegude huyo jamaa lokety usije ukamuacha kabisa inafaa nyimbo zako uwe unapiga nae hakika nyimbo zinatoka za kiwango
Kweli gudegude usimuache huyo mwamba rogeti anakusapoti poa kinoma,si kwamba huwezi kuimba bila yeye ila kuna karadha Fulani hivi amaizing,halafu njoo nzega hata kwa elfu 10 tutaingia mzee
Yn hiyonyimbo inankumbusha machinbn araaa
Bonge la nyimbo aminia Sana kaka gude gude
Gude gude pamoja sana kaka na longet mumetikisa iyo nyimbo
Mwimbo mzuri SAANA..
Nipo Zambia nakusapoti na watu walioskiliza goma hili hapa Zambia wamecheza na kusifu licha ya kutokuelewa
Ulubuseke chiza batale utukoya umubhuchoji😂😂😂😂😂😂 Roget mwamba sana
Kitambo sanaaaaaaa mzigoooo ushachotwa Niite DeejaY B From Ngudu Kwimba
Bigger up sana brooo
Hata mm ninawaelewa sana Hawa jamani watoto was nyumban segese one
Wimbo
Huu
Waniguxa
Xana
Nene
Mungu
Awazidishie
Zaidi
Mzidi
Kuelimisha
Gude
Mungu akujalie
Ngoja tucheki hii kazi ilingojewa sana afu tushudie ufundi uliomo
Kwakweli collabo ya hawa jamaa iko very good
Waoo❤❤❤ faya nimekubali
Kaka Angu wa Faida Huyu
👊👋 ngoma tamu sana
Good Song mabrother zangu nainjoi sana
Mwimbo mzur sana ❤ nawapenda kaka zangu
Mko vzr sana high video
Pambanakijana meseg nzuri sanaaaaa. Bay chenge simanjiro
Uko vizuri sana kaka
Hongera bro kupitia wimbo huu umetia moyo
Hili goma linanihusu kabisa 🙌👌👌🔥🔥
Haleluya Atukuzwe MUNGU Watu Wa Nyumbani.
Utafika mbali sana, tuthamini vya kwetu. Hongera sana
Mungu akujalie maisha yenye her balaka❤❤🎉
Lembo labhuza nkoi 👍🔥🔥🔥💫
Wewe ni mwamba hakuna mwingine zaidi yako Gude Gude nakukubali saaana
Karibuni urambo tabora
Kazi kubwa
Wa kwanza mboge la nyimbo🔥🔥🔥🔥
Director anavifaa vizur quality nzuri sema Rangi Nying Sana Anatumia Video Moja Zinaumiza Macho Kila Kipande na Rangi Yake🙄 Alifanyie Kazi
Kijana loketi anasauti nzur pia mnaimba nae vizur mashair na saut yake
Kazi nzuri hongera sana mwamba
Sana sana gude nipo katoro apa nakupata
Safi mungu akutangulie kazi nzur sana❤❤
Dho
Hata mm ninawaelewa sana Hawa jamani watoto was nyumban segese one 11:35 11:40 ❤❤❤❤❤
G hongera san kaz nzur mno🔥🔥❤
Nyimbo kubwa Sana Hii, nahitaji kufnya kolabo Nawe man
Iko pw Ila madancer wamezingua maana bit Kali ila wao wamepw sana
Maua 🎉🎉🎉🎉 Yake Gude Na Roget
Roget safi sana kijana nakuamin mkuu🔥🔥
Nimekuwa wakwanza kuiona Ngoma ya Gude ft Rogeti
Ukopoa
umenitisha kaka sana2 mm nipo 2nduma lakini nakufatilia kinoma dogo nae anajuwa sana mshike mkono
Hapo sawa kamanda
Mashallah mwimbo zur ❤❤
Nakukubali sana gd gd rafiki angu, wewe ni mwamba kweli kweli 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
😊😊😊
😊
Mm dowakwaza🎉
Safii sana good reggae
Big up sanaaa gudegude na roget
ulisawa nyanda naliko ialusha tulikudegeleka
Mungu akutangulie gudegude tunakuskiliza pande zamorogoro hapa.dumila.❤❤🎉
Boss wangu💪
Mm kisukuma sikifaham lakni nyimbo zAko zitanifanya nikifaham
🎉
Daah hii Ngoma imenifanya Hadi namwaga mchozi
nyimbo nzuri gud gud
kaka unyamaaa sana kiukweli
Ichola🔥
Gude jitahidi kuwahimiza hao ma editors wako videos zako ziwe na quality angalia hizo filters, halaf niko tayari kuwa sponsor wako kuanzia mwakani lakini kwa vifaa vya digital
Nimekuerewa kaka tutawasiliana
Guid
😊😢🎉🎉09
@@gudegudetz797012:46 🎉
Wasanii wetu ongeleni maana mnakosha na kuelimisha sana pia mnatupa ujasili ongeleni sama
Safi sana Gude
Si ikatoka na nikafika pongezi sana kwako
Unajitahid kijana
Uwe unajibu comments zet unatuvunja moyo sasa
Ni unyama sana gudegude👊👊
❤❤❤❤❤❤
Tumamagi bazuna bane . Mukumbilwe sato welelo amubalade mushike kule😂😂😂
jifunze kujibu ujumbe wa mashabiki ndg yng
Niko Arusha wimbo uko na mafundisho kwa machoji
Safi sana
Sawa sawa kamanda
Tuko pamoja gude
Lundi nyaguge bado tunakuitaji
Lembo Iisoga shii
Kabunde
Gude bwana unajitaindi natamani nikutumie hata ya suti
Nashukulu sana jamaangu
Kakika wewe ni mwamba hakuna mwingine zaidi yako Gude Gude
Imenigusa Jamani 🙏🙏🙏🙏
Wmbo umenigusa by marekan mpeja kutoka tabora
Mwamba anajua
🎉🎉🎉🎉
Kazi nzuri Sana kuanzia audio hadi video yake, respect for you 🎉🎉🎉🎉🎉
💃💃💃💃💃
nimekuja kuchukua mzigo tayari nipo mpanda Katavi town apa please Follow me know
Uko poa mwamba
Halooo
Unawezs
Wimbo mzuri ila video low quality
😮
sawa ntale
Hii goma ni 🔥
Ni Motrooooooooooooooooooo
❤❤❤❤❤
😢😢
🎉🎉🎉
😅😢😅😅😮🎉🎉🎉
Ogembaga geeeetee
❤️❤️❤️
Poa kinda 1:08
💪💪💪💪💪💪