NCHI IMEJAA FADHILI ZA BWANA ( Official Video HD)
Vložit
- čas přidán 12. 09. 2024
- Wimbo: Nchi Imejaa Fadhili za Bwana
Mtunzi : S.B Mutta
Mwimbaji: Edwiga Upendo
Organist : Edwiga Upendo
Audio Production: The Galaxy Pro- Dar Es Salaam
Video Production: The Galaxy Pro - Dar Es Salaam
Sound Engineer : Villy ( Cubase Killer)
Mjukuu wangu ana umri wa miaka minne. Anaupenda sana wimbo huu na kujaribu kuuimba. Nami humfungulia hii u tube ili aweze kutamka maneno vizuri. Nakushukuru sana.
Nafurahi kusikia hivi. Baraka tele kwake. Ubarikiwe pia bibi yake kusimamia kile anatamani. Mungu atubariki sote.
🙏🙏🙏
Asanteni Edwiga ubalikiwe Sana kwa kazi nzuli ulifanya! Nyimbo zako tunazipenda sana
Wimbo umejaa utukufu! Mungu tubariki🙏🙏🙏
Madame umenifanya nipende mziki
Ohh ubarikiwe sana
Mungu Baba wa Mbinguni akulinde. daima
Hongereni kwa kazi kubwa ya uinjilishaji mnayoifanya mungu azidi kuwalinda ili utume wenu uweze kuzaa matunda mema ASANTENI 💯
Hongera Sana madam kwauinjilishaji... Upo vizuri sana Mungu akubariki.
Tumshukuru Mungu kaka...Ahsante sana
Wimbo unao upako wa Mungu Baba. Hongera sana mtumishi
Tumshukutu Mungu dear. Zidi kubarikiwa.
Wimbo huu unanipa baraka
Hongera kwa kazi nzuri kwa kumtukuza Mungu.
Ahsante sana kaka...Tumshukuru Mungu
Daaaaaah, nashindwa nisemaje kwa raha hii ninayoipata kupitia nyimbo zako, Mungu akubariki daima, natamani Sana hata siku moja tu nikuone ana kwa ana.
Tumshukuru Mungu kaka....Tuombe uzima naamini tutaonana tu
Mungu apewe sifa. Viumbe vyake viendelee ku mutukuza kupitiya nyimbo. Nyimbo nzuri hii.
Amina
Naamini kila wakati Mungu anapozisikiliza nyimbo zako hujivunia sana kazi yake ya kukuleta ulimwenguni. Baraka tele!
Tuzidi kuombeana....Nashukuru sana Amambia
Uko juu hongera
Need I say more? Hongera na asante kwa zawadi hii. Mungu alinde kipawa hiki
Asante sana dada . Unakumbusha mbali sana
Yunamshukuru mungu kwa hazina kubwa ya uinjilishaji katika kanisa katoliki. Mungu akubariki
Hongera Dada kwa kazi nzuri sana, uimbaji na kupiga kinanda. Wimbo huu ni mzuri sana na umeimbwa na mwanamuziki mzuri sana. Good
Mentor🥰🥰🥰🥰i love this
Asante sana kwa wimbo huu, na kwa sauti nyororo na muziki mzuri.
Wimbohuu unanipaupako kilichobakiunahitajika kuzaliwa marayapili
Ashukuliwe.Bwana.milele.namilele.haleluya
nice Dada edwiga hongera sauti tamu sana
Hakika tunabarkiwa kuptia nymbo nzri Mungu atukuzwe binadam tuokolewe,🙏vry nc song👊
Hongera. Dada uliitikisa mioyo
Heko kwa uimbaji mzuri wa kumtukuza mwanyezi Mungu
Amina...Tumshukuru Mungu
Waoh! Hongera sana madam kwa kazi nzuri!! Hakika Mungu atukuzwe na watu watakatifuzwe kupitia utume wako.
Amina dear....Ahsante sana mtumishi
QUITE A VERY GOOD SONG. I LIKE IT
Oh my God! That is the best golden song I have heard this year. Beautiful song, angelic voice and nice production. Much love from Kenya. Keep it up .
Thank you....Glory to God Pauline
Asante sana kwa uinjilishaji uliotukuka🙏
Tumshukuru Mungu Eva
Hongera Kwa sauti mzuri ilioshiba na umahiri Safi sana . Mungu akuzidishie uwezo.
Hongera Sana Dada angu,kwel,yesu,kafufuka nawe,moyoni syo,maigizo ,but one day nami,natamn Sana niweze kuimb but mzingra niliyopo hayaruhsu kwa,sasa,yaan,dah
Amina kaka Nicolaus...Amefufuka kweli kweli Aleluya....Usife moyo penye nia pana njia
Kazi nzuri sana Pendo!!
Wow! Nakupenda sana Dada. Hongera
Ahsante dear...Zidi kubarikiwa
Mungu aendelee kukuinua
Lovely,mungu na hawaongoze na kuwazindishia nguvu mnapo mtumikia katika nyimbo.nice vocal
I love this song... It brightens my heart daily as I listen to it🔥... Be Blessed Upendo❤️
Jaman dada napenda nyimbo zako niseme tu ukwel hongera Sana Sana kwa kutuinjilisha vzr kbsa mungu azid kukuza kipaji chako
Amina....Ahsante dear...Nashukuru pia kwa support yako
Barikiweni nyinyi nyote watumishi wa mungu kwa wimbo nzuri
Excellent! Hongera dada, Mungu amekufadhilii, na kipawa chako umekitumia vizuri kumkutukuza yeye.
Ahsante sana mpendwa...Tuzidi kumrudishia sifa, utukufu na shukrani
Upee, nimemisi hii sauti sana
Mwimbo nzuri sana barikiwa sana
Ubarikiwe na mungu dada umeongoza kwaya vizuri sana kwaya inaingia mpaka rohoni
Sikuwahi kuwaza kuwa unafikilia kufanya kitu cha tofauti kiasi hiki, maneno ya kusema sina but umefanya very great thing. Hakika umenibariki sana na nimekupenda bure. Hongera sana sana sanaaa! 😘😘😘
We used to sing this song back in high school. However, what amazes me most is how you are playing the piano with a lot of dexterity. God bless you.
Thanks be to God Kelvin
Hujawai kukosea, nazikubali kazi zako Madam🎉🎉🎉🎉🥳🥳🥳
Hongera kwa,kutumia kipaji chako kuihubiri injili
Amina
Hongera mwanangu
@@rosakarata9544 Ahsante Sr
@@simonthongori8586 Ahsante sana mpendwa...Tuzidi kuombeana
Hongera saana kwa kazi nzuri mwlm , napenda hata tungo zako
Hongera madam Edwiga
Ahsante kaka Martin
WImbo Umeimba Vizur Mtumishi Hongeara sana; Wimbo Unaleta amani, Fadhili na Tafakari ya Neno la MUNGU
Ahsante Madame wangu tunamshukuru Mungu.
Upo vizuri. HONGERA
Tumshukuru Mungu mpendwa
Unanibariki sana uimbaji wako
Hongera sana madame edwiga
Ahsante Charles
Awww 🥺🥺I still remember how our 2019 Easter eve was MARVELOUS.. with Edwiga as our choir Mistress, she's a true Masterpiece.. May God bless you ❤️❤️❤️❤️her Energy is contagious
Good...Are you a Weruweru alumni?
Mungu atukuzwe ktika kazi ya ke ya mikono yenu
Neno.la.Bwana.ni.kweli.tena.niorijino
hakika ubarikiwe dada, mbingu zilifanyika kwa neno, hakuna aliye kama Mungu
Amina kaka....Tumshukuru Mungu
upo vizuri mtumishi wa mungu
Kweli nafurahi unapocheza kinanda; unawaonyesha wasichana mfano mzuri.
Yes, kwa neno la Bwana Mbingu zilifanyika, wimbo mzuri, sauti nzuri, video nzuri. Hongera sana madame Edwiga, endelea kutuinjilisha kwa kipawa chako ulichopewa Baba wa mbinguni
Amina....Ahsante sana....Tuzidi kuombeana
I remember hearing this song from a certain catholic choir some years back.beautiful
Ujumbe mzur ubarikiwe
we dada hua ujua2 respect
Tumshukuru Mungu mpendwa
Hongera sana dada Edwiga ubarikiwe
Nashukuru sana Bibiana
Hongera dada. Asante sana kwa sauti yako nziri . ubarikiwe kwakumsifu Mungu
Ms.Edwiga mimi naomba to be a back up singer. Wimbo zako zinabariki.We love your songs in kenya
Karibu sana kaka
Amkeni Amkeni Amkeniiiii,,,,madam Upendo katoa tena kitu kinginee,,,,,,rafiki hongera sana,,,,, keep going mama
Hahahahaha.....Haki nimecheka kwa sauti.....Nashukuru sana rafki angu...Mungu akubariki kila iitwapo leo
Wimbo mzuri sana, tunamshukuru Mungu kwa kipaji chako, hongera mate
Amina
Ahsante sana kaka Aidani
Hongera kazi nzuri be blessed🙏🙏
Tumshukuru Mungu Elibariki....Ahsante sana....Zidi kubarikiwa pia
@@edwigaupendo amina
Hongera sana madame Upendo kwa uimbaji mzur. Mungu akubariki mnoo had ushangae
Amina sana kaka....Ahsante pia sana kwa support kaka
Tunafurai sana hapa Congo Kinshasa kwa kipaji yako. Lakini aupendi kutembelea inchi yetu
Nitatembelea.....Tuombe uzima na Mungu atupe kibali kaka
Nakuona katika Ubora wako Madam Edwiga Upendo, Hongera sana kwa utume huo wa Uimbaji hakika umetumwa kuhubili injili kweli kweli
Tumshukuru Mungu Anthony
Lakin naomba kuuliza ulitumia mbinu gani mpaka kufahamu kupiga kinanda nataman sana kucheza lakin sina wa kunielekeza walimu wa kinanda wa sasa hivi waongo anakwambia atakufundisha halafu sababu zinakuwa nyingi mno
Naipataje hii nyimbo
Iko hapo
pdf ipo www.swahilimusicnotes.com
Daah madam wangu naona Mungu amejibu, duh very bright video... may God bless you my lecturer.
Wimbo mtamu balaa
Tumshukuru Mungu ndugu yangu
najivunia kuwa mkatoliki
Mwenyezi Mungu akubariki pia akujalie nguvu za roho mtakatifu ili upate kumtumikia siku zote zamaisha yako amina
Amina mpendwa Patrick.....Hakika sala zako zinanitia nguvu
Kiwango cha juu sana, utukufu mpaka utukufu!.
Nakupenda sana sister unanikosha sana na nyimbo zako
Tumshukuru Mungu kaks Theodory.....Zidi kubarikiwa mtumishi
@@edwigaupendo Nataman sana sikumoja nikutane nawewe sister yangu kwakweli nikitu ninachoomba kilasiku
Mtumishi nimekupenda bule
Mungu akubariki Sana dada
Muzuri sana iyo wimbo pia maneno ya hekima na Utukufu wake Baba Mungu. Ubarkiwe sana dada Edwiga. Alphonnse Marie.
Tumshukuru Mungu kaka
Kudos my dada salamu nyingi Sana kwa dada Liz Kishinda. Mungu azidi kukingarisha katika kipaji chako Lwidiga.
Ahsante kaka....Zimefika
Nimekukubali na mungu aendelee kukubaliki kwani uimbaji nautunzi umenivutia sana
Amina....Tumshukuru Mungu mtumishi
Mungu amedhihirisha haki yake kwako kututangazia mwaka wa wokovu wetu,salute dada Edwiga
Tumshukuru Mungu kaka Gerald
@@edwigaupendo asante sana Dada ni Frt.Gerald
Hongera sana navutiwa na kipaji chako
Amina dear Frida.....Tumshukuru Mungu
@@edwigaupendo amina
Hongera sana Edwiga,wimbo umeutendea haki,kuimba na organ umeipiga kitaalam
ACHENI MUNGU AITWE MUNGU!!!!!!, Dada Edwiga na mbuta may God bless you abundantly.
Humbled kaka.....Ahsante sana.....Tumshukuru Mungu kwa kutuwezesha
@@edwigaupendo Karibu sana.
@@simonkivuva6404 Ahsante
Hongera sanaa kwa kutushirikisha upendo wa Mungu
Kazi nzuri
Tumshukuru Mungu
It's so sweet to listen. The song is rooted in scripture and bound to be relevant for a long for the reason that it's inspired by the living word of God.
Upendo alike your simplicity and modesty as an artist. May God's grace be upon you and may you inspire many through your songs. Umenibarika sana. Barikiwa
Tumshukuru Mungu mtumishi.....Glory and honor be unto God.....Thank you for courageous comment Sir....I humbly remain
its just superb like it my sr
God's WORD brought forth the universe & fashioned everything in it. A great song at Easter when Jesus Christ, *Word personified* conquers sin, darkness & death. Edwiga, your voice is angelic and the presentation exquisite. Happy Easter Alleluia 🙏🙏🙏
Thank you Fr....Glory to God
Hondera Dada Upendo wimbo umetulia upovizuri
@@philomavere1384 Tumshukuru Mungu mpendwa
Surely Edwiga well done. You have refreshed my appetite of the song I enjoyed in the early days of my formation. Thanks
Waiting for more be blessed
Tumshukuru Mungu kaka George
Hongera Sana Dada Upendo.
Kazi safi sana, Kwa kweli, kwa neno lake Bwana, kila kilafanyika duniani.....
Ahsante sana Dennis....Amina...Hakika kwa neno la Bwana kila kitu kilifanyika....Neno la Bwana lina nguvu kuu
Hongera Sana dada sauti nzr ya Malaika napenda Sana nyimbo zako
Ahsante sana Kamilius.....Tumshukuru Mungu
Hongera madam kazi nzuri sana nangependa sana kuimba nawe
I love Catholic ❤..great job Edwina
Nyimbo ni muzuri la dada
Ashukuriwe Mungu wa mbinguni mtumishi
Mbarikiwe Sana❤❤
Safi sana umenikumbusha nyimbo nzuri za zamani. Asante keep it up. Salama kutoka washington dc.
Barikiwa sana mtumishi....Nashukuru kwa support yako....Usichoke kuendelea kuisambaza kwa wapendwa wako pia.
@@edwigaupendo ninazisambaza sana . Wengi wameshangaa na kuona. Wazipenda sana ubarikiwe sana
@@bantusworshipingpraisingan4294 Ahsante sana mtumishi....Ubarikiwe sana
Kazi nzur sana, Mungu akubariki ktk kaz yako ya utume wa uimbaji, hakika tunabarikiwa sana kupitia nyimbo zako.
Tumshukuru Mungu kaka Lazaro....Zidi kubarikiwa
proud to be Roman Catholic , Jesus , lovely song
Amen....Thanks be to God
Kazi safi👌👌
Congratulations Edwiga♥️♥️♥️
Celestine you need to look for her and do a collambo. You have just beautiful voices 😂
Barikiwa sana mpendwa
Beautiful and Angelic voices. God truly manifest in human beings sometimes to bless others. I get inspired by this Lady I tell you.