Shule ya wavulana ya Chania yakubali kumsajili mtahiniwa Christian Mungai aliyekuwa amekosa karo
Vložit
- čas přidán 23. 01. 2024
- Siku mbili baada ya runinga ya Citizen kuangazia masaibu ya Christian Mungai mwanafunzi aliyepata alama 378 katika mtihani wa KCPE na kukosa kujiunga na shule ya upili kutokana na ukosefu wa karo, Mungai amepata ufadhili kutoka shule ya upili ya wavulana ya Chania.
Be blessed Mr principal bataka tele
We glorify your name God
Alhamdhulillah
Principal Gitau .. he has lit lives for many .... thank you Dad ... you're a dad to many of us out here
Good work sir,be blessed so much for your good heart, keep it up
The best school where boys are taught be good future men
Asante principal
❤❤
Be blessed
AMEN
God is merciful.
Chania my former school ❤
Be blessed always sir....may you never luck 😢😢😢😢