Shule ya wavulana ya Chania yakubali kumsajili mtahiniwa Christian Mungai aliyekuwa amekosa karo

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 23. 01. 2024
  • Siku mbili baada ya runinga ya Citizen kuangazia masaibu ya Christian Mungai mwanafunzi aliyepata alama 378 katika mtihani wa KCPE na kukosa kujiunga na shule ya upili kutokana na ukosefu wa karo, Mungai amepata ufadhili kutoka shule ya upili ya wavulana ya Chania.

Komentáře • 13