MBWADUKE: FOX IN THE BOX! GUEDE ANA BALAA/ KWA JANJA YAKE HII ATAIFUNGIA SANA YANGA/ KI, PACOME...
Vložit
- čas přidán 1. 05. 2024
- MASAHIHISHO
Kumradhi. Katika Ligi Kuu NBC Guede amefikisha mabao manne (na siyo matatu). Hiyo ni baada ya bao lake dhidi ya Coastal Union lililoipa Yanga ushindi wa 1-0.
By Mhariri Mbwaduke Stats "Spoti Next Level"
Usisahau ku-subscribe, ku-comment na ku-like...
Kweli kabisa mana wengine walimbeza hata alipo fanyiwa sabu watu walikuwa wana mbeza sasa kaanza kufanya yake na Mungu amjalie Afya ya Mwili na Roho🎉🎉🎉🎉
Unajua mpaka unakera
Embu fungua darasa uwafundishe Jemedari aka kipara, oruma na wenzie pale E Fm Oscar wote huwa hawajui wanachochambua
Hao wanamfanya Gwede anawaonyesha
Mzee wa data, kama utakumbuka vizuri huyu Joseph Guede uchezaji wake na namna anavyojiposition uwanjani ni kama alivyokuwa akicheza Zamoyoni Mogela aka Golden boy!
Mwamba huyu hapa Mzee Wa Data 🎉🎉🎉
Tambaa mtaalamu wangu kwa mm natamani niwe nakusikiliza kuliko redio yoyote tz huwa nakuelewa sana
Asante
Jamaa yuko vizuri hata miaka naona hajadanganya sana
😂😂😂. Hajadanganya sana, amedanganya kidogo
Joseph Guede Gnadu ......ongeza bidii , una kitu flani utafika mbali 🤓,
Walimbeza sana baadhi ya wachambuzi sasaivi wanamsifia🔰🟢🟩💪
BWADUKE UPEWE NINI MAANA SIYO KWA UCHAMBUZI HUU DUH
Mzee wa data Unafaa kuajiriwa crown 👑 TV Kuuchambua mpira?
Nakubaliana na Ali Kwame wewe ni Bonge la Mchambuzi Africa mashariki kati na kusini
Uchambuz wa viwango tumpe maua yake mzee wa data🎉
Mchambuzi wangu pendwa na ninaekuamibi muda wote
Tunakupa Maua yako kwa kuwa Umekuwa mkweli ktk data zako upo tofauti kabisa na wachambuzi wanaochambua mchezo kwa kuelezea ushabiki wao badala ya kueleza ukweli kama unavyofanya wewe. Endelea kuwaumbua kwani hawajitambui. Hongera sana. Lkn hata hivyo ni mwalimu wa Chuo gani?
🎉🎉🎉🎉🎉
mudy muzungu mwamba wa mbarali
Good
Mimi sijawahi kuwa na mashaka naye nilijua ni swala la mda tu!! Kuna comment moja nilicoment kwamba Azizi akizoea mazingira atakuwa tishio, kuna mtu alinikashifu na kusema hakuna kitu hapo ivi sasa mpaka Mamelod wanamuhitaji
kilichofuata lolololooo😂😂❤
Mzee wa data kwenye ligi guede ana mabao 4. Singda 2,simba1,juz coastal 1 jumla bao 4 kama hunakubaliana na mm gonga like yako hapo 🎉🎉🎉🙏🎉💚💚💚
Nimchezaji nzuri ni sualalamuda tuu
Correct. Uko sahihi. Umetisha Mkuu. Hapo juu haikuhusisha game ya mwisho dhidi ya Coastal hivyo uko sahihi. Ahsante sana kwa kuendelea kutuunga mkono.
Bao la tatu katika mchezo husika,jaribu kumwelewa mchabuzi