TENZI ZA ROHONI. JOSEPH NYUKI AAMUA KUELEZEA MAPOKEO YA NYIMBO ZA TENZI KWA WATANZANIA.
Vložit
- čas přidán 18. 02. 2020
- Aweka wazi kuwa ni nyimbo zenye upako wa namna yake.
Msikilize hadi mwisho kama unavyojua kuwa amemtumikia Mungu kwa kadri ya alivyowezeshwa naye tangu miaka kadhaa iliyopita.
Hivi ndivyo asemavyo...... - Zábava
God Bless You people of God. Jamani Raha kwa Yesu
Hakika
WEWE UNAFIKIRI TENZI HIZI ZIMEPOKEWA KWA KIASI GANI?
Mimi haswa hua zinanibariki sana. Mungu Wetu wa Mbinguni Pokea Sifa
@@tamaraeliz7114 Hakika
Kaka dino naomba sana kupata mawasiliano yako; kama hutajali waweza nitumia kwa 0758165339
Ubarikiwe sana;
@@samwelombeni6850 +255625954315
MUNGU akubariki sana nakupenda sana na huwa nafyatilia kazi unazofanya zimejaa nguvu za Mungu,;
Ubarikiwe sana;
Bwana ni mwema
Ubalikiwe sana ndugu Dinu Zeno, kwa kazi unao ifanya!
Din zeno ushaur wangu simama na huduma yako tu mungu atakutangulia na atakufanyia muujiza mkubwa sana
Bwana ni mwema
Asante sana kwa ushauri mzuri. Nimeupokea.
Bwana ni mwema
Hakika
Mungu azidi kukuinua
Amen dada