TENZI ZA ROHONI. JOSEPH NYUKI AAMUA KUELEZEA MAPOKEO YA NYIMBO ZA TENZI KWA WATANZANIA.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 18. 02. 2020
  • Aweka wazi kuwa ni nyimbo zenye upako wa namna yake.
    Msikilize hadi mwisho kama unavyojua kuwa amemtumikia Mungu kwa kadri ya alivyowezeshwa naye tangu miaka kadhaa iliyopita.
    Hivi ndivyo asemavyo......
  • Zábava

Komentáře • 17

  • @tamaraeliz7114
    @tamaraeliz7114 Před 4 lety +5

    God Bless You people of God. Jamani Raha kwa Yesu

  • @DinuZeno
    @DinuZeno  Před 4 lety +7

    WEWE UNAFIKIRI TENZI HIZI ZIMEPOKEWA KWA KIASI GANI?

    • @tamaraeliz7114
      @tamaraeliz7114 Před 4 lety +1

      Mimi haswa hua zinanibariki sana. Mungu Wetu wa Mbinguni Pokea Sifa

    • @DinuZeno
      @DinuZeno  Před 4 lety

      @@tamaraeliz7114 Hakika

    • @samwelombeni6850
      @samwelombeni6850 Před 4 lety +1

      Kaka dino naomba sana kupata mawasiliano yako; kama hutajali waweza nitumia kwa 0758165339
      Ubarikiwe sana;

    • @DinuZeno
      @DinuZeno  Před 4 lety

      @@samwelombeni6850 +255625954315

  • @samwelombeni6850
    @samwelombeni6850 Před 4 lety +1

    MUNGU akubariki sana nakupenda sana na huwa nafyatilia kazi unazofanya zimejaa nguvu za Mungu,;
    Ubarikiwe sana;

  • @vugukuritv110
    @vugukuritv110 Před 3 lety

    Ubalikiwe sana ndugu Dinu Zeno, kwa kazi unao ifanya!

  • @stephanozakaria5466
    @stephanozakaria5466 Před 4 lety +1

    Din zeno ushaur wangu simama na huduma yako tu mungu atakutangulia na atakufanyia muujiza mkubwa sana

    • @DinuZeno
      @DinuZeno  Před 4 lety

      Bwana ni mwema

    • @DinuZeno
      @DinuZeno  Před 4 lety

      Asante sana kwa ushauri mzuri. Nimeupokea.

  • @dodomaworkingmachines2635

    Bwana ni mwema

  • @estertamba6018
    @estertamba6018 Před 4 lety +1

    Mungu azidi kukuinua