Ongereni sana watoto wangu wa kigoma for changing negativity to opportunity.. usicheze na watoto wa kigoma ukicheza nao lazima utagoma tu.. niushauri tu... Watoto wa mkoa ulioleta ukombozi Tanzania.
Mwijaku na Baba Levo wanajua kutengeneza soko kwa wasanii wao...Jeshi na Mondi...hivi sasa wanafanya kazi pamoja...those who raise eyebrows on their beef are now hiding...these boys
Kukosa aibu ni mtihani mzito sana! Watu wazima mnajidhalilisha kwa vitoto vidogo sababu tu ya pesa! Ndiyo hata mkiambiwa mtoe roho za walio kuzaeni au mlio wazaa au ndugu zenu wa damu sababu ya pesa mnazitoa roho zao bila breki!
Ongereni sana watoto wangu wa kigoma for changing negativity to opportunity.. usicheze na watoto wa kigoma ukicheza nao lazima utagoma tu.. niushauri tu... Watoto wa mkoa ulioleta ukombozi Tanzania.
Akili yako hipo katika ukabila , sasa mwinyijaku na Baba Levo waikomboa Tanzania kwa mtindo gani ?
Uyo mwijaku monyew kazaliw morogor kakulia morogoro
I jus like the confidence of mwijaku, talks from the fact that he is learned the other is Just priiiii aaaah😂😂😂
Msomi anakuwa mjinga
Mwijaku na Baba Levo wanajua kutengeneza soko kwa wasanii wao...Jeshi na Mondi...hivi sasa wanafanya kazi pamoja...those who raise eyebrows on their beef are now hiding...these boys
🤣🤣😂😂😂 Baba levo umejua kunifurahisha ahahahaha😂😂😂. Umejua kunikerea huyo shoga mwijaku amekosa hata point ya kuongea 😂😂🤣
Their confidence is something else 🤣🤣🤣
Baba levo ni blue chawa ni level nyingne mwijaku na ujanja wako wote umezidiwa na levo
Kabisa be levo ba noma kwa maneno
Best interview you guys are comedians ni vile hamjui
Noma sana Hawa jamaaa 🤣🤣🤣🤣 wakiunqana kwenye mambo ya maana wanaweza kutengeneze hela za kutosha
🤣🤣🤣🤣Siamini huyu ndo mwijaku alikuwa pale tht katulia kwenye kona hachangii hata hoja, wallah nimekua nimeyaona
baba levo ameongea point kuliko mwenye diphoma/diploma ya chuo kikuu
Waha wameingia mjini😆😆😆 idea nzuri
Hawa watu wako serious sana na pesa.Big up.
This guy's are so funny
Mwija Kuku, uwe unabadilisha hiyo kofia 🤣🤣🤣🤣
I love much baba levo
Kweli pesa ni kitu kingine......wasanii wanaishi kisanii sana...mwiba big up sana kwa comedy yenu hahaahah
Kaka Mwijaku respect
hizi ela tusipoangalia zitatupeleka pabaya maana MTU anaropoka tu
These guys are really a WOW
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 this two aren’t serious can’t stop laughing 😂
Jamani nipeni kazi maana hawa watu walikuwa wehu sasa hivi ni mawakala wa makampuni.
Ila Mwijaku Ni Kama Hana mshipa wa Aibu 😂😂😂
Kwan hawa watu walikuwa serious au🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂hivi aliye waweka hawa pamoja aliwaza nn😂😂😂😂😂
Hawa Hawana ugomv ninjaa tu
Team Mwijaku 🖐
Leo Mjomba Mwijaku nakupa Big up ,umemzidi Babs Levo fundi majumba
Kwa lipi 😂
Kigoma moja aise marumbano ya nini😂😂
Mdomo ndo ugali wao hao😂😂
😂😂😂😂 Hii Mwiba tatoa Ba yangu Ubaki na Mwi yako
🤣🤣🤣🤣🙌🙌
Best interview napenda gisi munaigiza nakubishana katika maneno yenu by the way munan laugh sana 😆 😄 🤣
Baba levo🔥🔥🔥
Very funny.
Awa wajomba wanatrend kuliko ata wasanii
Guys you know what you are doing. 💪🏼💪🏼💪🏼👍
baba levo ajaanza kuongea nshaanza kucheka 😂😂😂
Nampenda sana uyu kaka
🤣🤣🤣 Hawa wanani vunja sana… Love tokea Kenya
Et nmwndikia yan mwijku ni kam mvuta bangi iv..eyes says it all🤪🤪🤪
sipati picha mwijaku angekuwa ndo spika wa bunge 🤣
😂😂😂😂baba levo🙌🙌🙌🙌
Hahahaha kumbe hawa ni Comedi sasa nimewasoma
He's not perfect although he desires to meet Diamond platnumz
🤣🤣🤣🤣duuuh jamaa hatari sana
Haha,Mwijaku nd Baba levo ni fire
Afu Hawa jamaa ni marafiki kinoma ukija kuangakia deep
huyu mwijaku kuma sana ndiyo maana famiria yake anaisha sana
KUMBE WASWAHIRI HUJUANA KWA VIREMBA, NAONA KWA SASA HIVI HAO NI ZAIDI YA MWAMBINO NA KONDE .
B levo 👍
Mwijaku 🔥🔥🔥🔥🤣🤣🤣🤣🤣
Good mwijaku
noma sana ❤️
Nimefrah sana hawa jamaa kushirikiana kufanya kaz
5:01 🤣🤣🤣
ALAFU KAMA HAMJUI HILI LIMWIJAKU NDO LINAMPOROMOTE DIAMOND
Kaz kaz
They are funny😂😂
Mwijakuu na baba levooo
Baba levo anaakili kuliko mwijaku
Hata mimi analysis yangu inaniambia hivyo
Nyinyi muko ku dili ingine munaikaliya diamond na harmonize.
Kofi anytime
millad kama video ni matangazo utuombe
Eee wapo kazini
In Kenya we say "wacha kaumane"..
Naeza toa Ba yangu ubaki na mwi yako😂😂😂😂
Watengenezee move
Kukosa aibu ni mtihani mzito sana! Watu wazima mnajidhalilisha kwa vitoto vidogo sababu tu ya pesa!
Ndiyo hata mkiambiwa mtoe roho za walio kuzaeni au mlio wazaa au ndugu zenu wa damu sababu ya pesa mnazitoa roho zao bila breki!
Jamii yetu inaanza kukubali upumbavu wa namna hii, kuwachekea hawa wajinga ni kuendeleza huu upuuzi!
Tafuteni pesa nyie vilaza.
Punguzen makasiriko
Kina nanI?
Natafuta boss Mimi chawa mzuri tu 😂🤣🤣🤣
you desrory Bongo Music
😜😂😂😂 nimependa uwepo wenu hapo mmenipa buludani sana leo bishana yenu ndo kulayenu namepata buludani sana leo
Chawa wote hawa
🤣🤣🤣🤣🤣Hawa ni wachekeshaji wanazingua sana
😃😃😃🔥🔥
Mimi huwa namsikitikia H baba
Following
Mnatisha jamani
Mwijaku moto wakuotea mbali
B levo mnyama
Hayo majigambo wekeni Yanga na sijui simba. Toeni pesa huko
Machawa Bora duniani
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🔥🔥🔥🔥🔥
ila kaka mwijaku unatembelea nyota ya baba levooo
Hahahhaah,
Toa BA ibaki MWI.
hahaaahhhaah
Oyooooooo mwite baba levo mkal wakuzabua kofiii
Mwijaku ni mwehu haya makampuni yajiangalie
😂😂😂😅😅 hawawatu wawili nikituko
weye
😄😄😄😄😄😄😄hhhhhhhh eti angejiandikia yy mwenyewe
Baba levo umeongea ujinga flan baada ya kumushukulu mung kwanza et unamshukur raise😟
Hapo wehu wamekutana😂😂
Hii nayo ni aina ya comedian aiseee
Baba lev saf sana
Hawa jamaa wa KIGOMA ni machawa wa hatari sana.
Hawajamaa kiboko💪💪💪
Nyinyi shawa tuu
😂😂😂😂😂😂😂mpige kibao huyo
Kigoma mmepata wawakilishi🤣🤣
Wote niwendawazimu😂😂😂😂
Silent Ocean, wamepoteza mzigo wangu mwaka wa Pili Sasa....hamna wanachosema! Wanajing'ata ng'ata tu
Pole
HD msasa official KITANZI gusa maandish ya blue ukasikie nilivyomfunika MBOSO KHAN czcams.com/video/Cdyxj5ymOR4/video.html
Waha machawa
😂😂😂😂🤣😂😂