NYIMBO ZA MAMA BIKIRA MARIA
Vložit
- čas přidán 6. 11. 2019
- NYIMBO zote katoliki za MAMA BIKIRA MARIA
By Elipidius Respicius
Waweza kushare kwa wakatoliki wote kwa kutumia link
👇👇👇👇👇
• NYIMBO ZA MAMA BIKIRA ...
AVE MARIA
👇👇👇
• AVE MARIA
NAVUMILIA
👇🏿👇🏿👇🏿
• Kwaya katoliki NAVUMILIA
Numekukimbilia Bwana nisiaibike Milele
👇🏻👇🏻👇🏻
• Nimekukimbilia bwana n...
Barikiwa
Wakatoliki tumebarikiwa kuwa na Mama Bikira Maria. Nani kama Mama Maria? Mama mwenye huruma na upendo kwa watoto wake. Tumwombe Mama Bikira Maria atuombee divai iliyo njema kwa Mwanaye hasa kipindi hiki kigumu cha Uchaguzi ili yeye amwombe Mwanaye Yesu atuchagulie anayeona ataongoza kondoo wake kadiri ya mapenzi ya Mungu. Mama hatuna divai wewe wajua mahitaji ya wanao.
Amina 🙏🏿
} p} pppppppppppppppppppp
🙏
AMINA
Syo mama wa wakatoliki Ni mama wa wakristo wote
Napata faraja sana kusikiliza nyimbo za mama Maria
Mama Tazama mtoto, mtoto Tazama Mama .Yesu Alisema, Ukitaka msaada wa hima tazama Mama
Namushukuru mama maria sana,muobaji wetu
DAIMA TUMPE SIFA MAMA YETU MARIA
Amina 🙏
Asante sana mama wetu kutuzalia mupendwa wetu❤❤🎉🎉
Maria mama wa Mungu utuombee.nakuamini kila wakati,
Salamu maria,salamu maria 12:05
Nyimbo nzr zinafariji
MAMA WA YESU NI MAMA WA DUNIA NZIMA TUOMBEE KWA MWANAO MAMA MPENDELEVU MWENYE UPENDO MWINGI KWETU SISI WANA WAKO
Mama Maria utuombee
Huyu Mama ananibariku sana ❤
Mama wa mungu utubarik watu wote tuvuke salama mwaka 2021
mama wa yesu tuombee kwa mwanao
Tunakuomba mama Maria utusaidie kupambana na janga hili la Corona. Amina
Amina 🙏
Amina 🙏🙏🙏🙏
czcams.com/video/OXsteQWEil4/video.html
Hasa huku ulaya ..
Amina
ASANTE SANA KWA NYIMBO ZA MAMA YETU BIKIRA MARIA. Nasikiliza nikiwa hapa Mjini London "NAOMBA tumuombee Mama yangu Apone na pia TUWAOMBEE WAGONJWA WOTE NA TUJIOMBEE WOTE MUNGU ATUEPUSHE NA MAGONJWA YOTE HATARI. HASA HUU WA CORONA uliosimamisha DUNIA" AMEN 🙏 #tupambanenasala
Najivunia kuwa mkatoliki
Nyimbo Tamu Zaidi 🙏🙏 2020 July
Tumsifu Yesu kristo..huwa nafarijika sana na nyimbo za Mama Bikira Maria. Daima tunakukimbilia wewe.
Amina 🙏
Nani ako nami siku hii ya Jumapili? Kama unaenjoy gospel hii gonga likes tukiendanga
Good job singers
Holy Mother of God pray for my daughter Lynette who is an alcoholic 🙏
Mama Maria nakukabidhi WATOTO wangu pamoja na familia yangu utuombee tuwe na amani na ushilikiano mwema
Mama Maria uniombee Mimi na familia yangu uwe msimamiziwangu Sasa na saa ya kufa kwangu Amina
Nashukuru Kwa hizi nyimbo takatifu za Bikira Maria. Zinaliwaza roho yangu. Mbarikiwe.
Pale msalabani Bwana yesu alimwambia yohana kuwa mama maria ni mama yake nasi pia ni mama yetu tumwombe atuombee.
Mama wa Dunia Nzima, Mama wa Huruma na Neema, Asante kwa kutupa, mwana wa kondoo wa Mungu?
Nabarikiwa sana na nyimbo za mama maria
Nimebarikiwa sana.
Beautiful song , mother mary full of love and caring ...pray for us dear mother and the whole world ...love you dear mama .
Can you please share me these songs via my whats app number +265 881072110. You fellow catholic based in Malawi and i like such songs so much. Anyone capable of sending me the songs can just do that i will be very grateful.
Now and ever shall be...the world without end, amen
Hongera Kwa wimbo nzuri
Napenda sana nyimbo za bikira maria, mbarikiwe sana.
Asante malia mana
Tuongeze vyema Mama Maria tufike salama,👋👋
Uzidi kutuombea Mama yetu,mpka SAA ya kufa kwetu.
Tuongoze vyema Maria mwema
Salamu Bikira mama Maria ulie jaa neema nyingi. Tuombee divai iliyo njema kwa mwanao.Amina
Amina
❤️
Huwa ninafarijika Sana Mama Bikira Maria amenisaidia sana Mimi na familia yangu hakuna kitu nimemwomba nikakosa Asante sana Mama yangu. Ninakukabidhi familia yangu ukutane na haja za mioyo yetu Mama
Kweli jamani
Nyimbo za mama maria zinanikumbusha mbali sana na kunifariji enzi nikiwa kiongozi wa kwaya na mshirika wa Mt Aloyce huko Kilema Moshi
Amina mbarikiwe mama maria
Mama utuombee
Nyimbo nzur inatutia nguvu tuombee mam ili nas tufik salam amina
Kesho tunaanza mwezi Mtakatifu wa mama Maria tujikabidhi mikononi mwake atuombee🙏🏾
Mama Bikira Maria ni Mama wa wote Duniani. tunampenda Mwombezi wetu daima.
Bwana awe nawe ktk kazi zako
czcams.com/video/OXsteQWEil4/video.html
Mam uzidi kutuombea namkabihi mdogo wangu mikononi mwako anatatizo lakuanguka mama maria muombee
Mama pray for us
Ukiwa mkatoliki ni raha sana wimbo unanifariji sana acha tu nijivunie ukatoliki wangu❤❤❤
😍😍😍😍😍mama maria
🤚🤚🤚🤚
Mimi pia
Pole unajivunia Uharibifu
Mama mwenyi neema,nisaidie kushinda vishawishi,ili siku moja niwe karibu na mwanao❤❤❤
Mama Niobe uponyaji wa pombe kwa wajuku wangu Sylvan Michael na Malcolm asante mama asante kristo Yesu
Asante sana. Nyimbo hizi za mama zinanibariki sana.
Asante kwa huruma wa Mama Maria kumtoa mwanao kutukomboa msarabani.
Mama wa waYesu Mama yangu utuombee Mimi na uzaowangu
Utuombee mama ss wanao wakosefu tnali tnaumia
Wonderful praises for my Queen.🙏🏽
Mama Maria Tuombee,
1yohan 2:1
Zinabariki sana hizi nyimbo.daima mimi mkatoliki
Mama Maria utuombee kwa Mwanao
Mother Mary pray for us 🙏
Happy Birthday Mother Mary!! Blessed be the day and stay blessed all of you!!!
mama mpendelevu,mama mwenye huruma msaada wetu wa daima utuombee
Ee Mama yetu Bikira mària niombee kwa mwanao ye
su aniponye maradhi yangu
Nice song ya mama yetu utuombe sisi wakosefu❤
Am blessed good song keep it up💓💓💓💓from saudia
Napenda nyimbo Mama Maria asanteni kwa kueneaza unjili
Nyimbo tulizo kabiisa be blessed with the presence of God
Ndugu zangu wapendwa sana, hamjambo wote? Nyimbo hizi/hizo nakupenda sana, nyimbo za Mama Bikira Maria. Mungu Baba wa mbinguni hawakubariki hasa hasa walioimba nyimbo hizo ya Mama Bikira Maria Mkatifu katika wanawake wote.
Nafarijika sana moyoni kuwa tunaye mwombezi,tusichoke kumuomba bikira mama yetu atuombee kwa mwanawe. Hajawahi kumnyima mama yake chochote anachomuomba
Mama Maria continue interceding for us coz we have fallen short of Godz Glory
pray for me mother mary
Maria mtakatifu Mama wa Mungu utuombee
Dieu soit loué,Merçi pour l'adoration
Wakati wamashaka muombezi wetu ni Mama Maria. Yes without her where would Kenya be just where would Kenya be without Christ or God? If you still breath, live, hold onto your right faith with your God it is because somebidy was struggling and holding you by hand not to fall or walk a way from that right road with God which himsrlf began in you.
mungu wetu yesu tuokowe roho zetu ziwe nawe duniani hata mbinnguni amen jinalako lisifiwe
Amen Amen
Nyimbo nzuri yenye kutia moyo a kutafakarisha juu ya Mama wetu Bikira Maria.
Utuobee sisi wanao
Maria unisaidie siku sote za maisha yangu
Nice songs for praising our loving mother VIRGIN MARY
So blessed Maria mama wa
Mungu pray for us.
Amen🙏
Upo vizuri boss kwa nyimbo hizi
Maria mama wa Mungu utuombee
Amen blessed
Asante mama wa yesu uliye na huruma uzidi kutuombea paka siku ya kufa
Amina
Mama zidi kutuombea
Nyimbo tamu sana moyo wangu wamtukuza Bwana
Umejaa neema nyingi Mama yetu
Sifa ni Kwa Mama Maria Mama wa Mungu na Mama yetu
Ave Maria gratia plena,Dominus Te cum!Benedicta Tu in mulieribus,et benedictum fructum ventris tui Iesum!Sancta Maria Mater Dei, Ora pro nobis peccatoribus nunc et in hora mortis nostræ, Amen!!!
Nasikia faraja sana nyimbo za bikira Maria mubarikiwe sana
Tangu mwezi march kulivyotangazwa lock down coz of covid 19 hapa ujerumani, hakuna cha misa wala ibada japo kwa asilimia kubwa nyimbo kama hizi zimekua faraja kubwa na hakika najivunia kuwa mkatoliki..mama Maria tuongoze vema bondeni huku tuliko ..kwa imani corona itapita salama mama hutatuacha tuangamie, amina🙏
This songs are amazing . All of them have good amazing word 👌👍👍👍💖🤩😍💋
Amazing songs amen
God is good all the time and all God bless all the needy, poor, sick, needy newborn, blind, older, children, parents, adults, friends, Sunday school, clotheless and all the world even our enemies together the name of the father and the son and the holy spirit together 👋🚼💐👍🙏💞🤑🤑😇🤑🌹💪🥰🌍❤️💟🏥👨👩👦Amen
Delicious song
Nyimbo nzuri sana,naskia kubarikiwa
Mama wa Mungu naomba msaada wa Sala zako ili nipokee kila kitu kwa Iman na matumaini na kuyaweka yote moyoni kama we ulivyoyaweka maneno yote moyoni🙏🙏🙏 Asante Mama mwema,
Namshukuru mama kwaniponya
Thanks and Praise be to God. I love this song (Tunakushukuru Mama Maria) and the Choir that recorded this song to them i say keep it up!!!!
asante saana
Amina mama
Amazing words ad encouraging words from this song mama yetu bikira maria tuombee sisi Wana wako hasa katika kipindi hiki Cha uchaguzi n pia sisi wakosefu
Yesu ndiyo njia pekee yakukufikisha mbinguni,maria atakuombeaje hata kusikia hawasikiye,munaabudu msichokijuwa, jiombeye mwenyewe Yesu ndiye anaye kusikia.
Naamin nimepona mahana naumwa sana jaman