+Thadeo Fukuda we pimbi nn?? pina ni mc mbovu ndo maana nimesema aje a town huyo pimbi wako...... kama nako 2 nako wapo dar mbona huyo boya wako hakachag chugga??? afu alioko dar ni lord eye peke yake kuz wewe!!! bunako na ibraa kitaaaa wiseeeee!!! huyu mkali wako ni mkali kwa watoto ahahahhah
kalapina nakukubal saana na pia nawakubal saana nako 2 nako na lile bifu lenu l kipind kile dahh nlkuw clpend kabsa nakuomba fany mpango w collabo n lord eyez au hata video yko awepo kuonesha peace and love kwa mziki w HIP HOP
@@KalapinaTv Unauwezo mkubwa ktk floor na uwandishi tokea nipo mdogo nakuskiza nampaka leo upo vizuri ktk misingi yako ya uwandishi na floor hujaama nabado unatisha,ila zingatia studio na uwezo wa projuza unae fanyanae kazi awe na chemical na ww, ushahidi tosha hii ngoma , hii ni the best song of the hip-hop kwa mwaka huu amini , usibadilishe floor wala uwandishi wako badilisha midundo ya beti tu kama hii hatarii.kutokana na kizazi hichi, mungu akusimamie
maniga wa ukweli kwako kwetu ni masnitch, maniga wa ukweli kwetu ni hao unaowaona kwenye hiyo video. unamuhita mtu msaliti kwani ni mumeo huyu?? au agano gani uliweka nae hadi umuite Yudai??? kama una akili timamu ipo siku utakuja kufahamu kwa nini hiyo video imejaa watoto wengi na si masnitch kama wewe!!!!!!
safi sana kalapina..kwa real swahili Hip-Hop chungulia hii inaitwa Machungu ya kuachwa by KingBidder aka swahili mafia czcams.com/video/JVGhcMtC0s4/video.html
Ngoma ina maudhui mazuri,lakini unapochanganya na hizo siasa zako za kutafuta Mheshimiwa akutunuku ajira unaboa.Unapoteza mashabiki wako bure,kwa kuingiza siasa zisizo na faida kwa muziki wako.
wabongo tatizo vichwa vimejaa mavi ndio maana mnadhani kila mtu anataka kiki. hii sio nyimbo ya kisiasa mtakufa na kasumba zenu...hakuna mwenye njaa kwa taarifa yako
njooo a town kwenye college ya n2n,
baraka mshiu college ya mateja aje nani? wao wenyewe wamehamia Dar halaf unaongea utumbo
+Thadeo Fukuda we pimbi nn?? pina ni mc mbovu ndo maana nimesema aje a town huyo pimbi wako...... kama nako 2 nako wapo dar mbona huyo boya wako hakachag chugga??? afu alioko dar ni lord eye peke yake kuz wewe!!! bunako na ibraa kitaaaa wiseeeee!!! huyu mkali wako ni mkali kwa watoto ahahahhah
mbangubangu...nawacheka hii nawacheka hiii hiii kwani mtafanya nini??? kale unga na manyoka wenzio hauna hoja
hahhahaha una hoja gan wewe labdaa??? hata maaana ya hoja yawezekana hujui... u better go to the hell nigga, hawatuwez, iko wazi @n2n college
@@barakamshiu7146 college gan, mbona wanahemea Machine. pina is wise,
Gadon fom lang tonnèw wadi c jagon wi neg yo ap pale, Anmweyyy banm kreyol mwen papa, Mmmmh merrrrde😮😅😅
Isee hatari sana!..Moto ule ule 2024🔥🔥🔥🔥
Wazaramo wapo vizuri hakika nimewakubali!!
Unajishushia heshima,unaelekea kuwa kubwa jinga muda si mrefu,kalapina wewe sio wa kufanya ngoma mbovu kama hii
Kalapina ft presedaaa,jamaa anajuaa!!
karapina hip hop na miuno wapi na wapi omba radhi kwa wana hip hop bro umezinguwa
Bado najiuliza ad saiv hivi ni kalapina kwel nnaemjua mimi au, duh! Kwel only God never change but the rest of us we always change, trust no body.
Kazi nzuri sana @kalapina waoneshe watoto hip hop ya kweli
Maisha bwana mgumu kwenye hii ngoma ana kata kiuno😂😂😂😂😂😂
Ndio King Kalapina
Daaaah kalapina hii ndio hip hop sio watoto wanalambalamba lips tu halafu wanajiita wana hip hop
Kalapinaaaaa🔥🔥🔥
Sawa nami nawacheka
safi kamanda.....nawacheck 2
Kks,B41.mo fyah
kalapina nakukubal saana na pia nawakubal saana nako 2 nako na lile bifu lenu l kipind kile dahh nlkuw clpend kabsa nakuomba fany mpango w collabo n lord eyez au hata video yko awepo kuonesha peace and love kwa mziki w HIP HOP
Hiyo kollabo ipogo tokea mda tuu tena ilitengenezwa kwasababu ya kuwafanyia suluhu Ili waweze kuelewana tena INAITWA "MACHAFUKO KWENYE FANI!!".
Nawacheka hihihi😁😁 hii ndo hiphop tunayo imiss kwenye game #salute kikosi
Kalapina wafundishe mzk
Umeua
nangoma nyingine mtumie huyo huyo projuza , yani muna mix chemical flani hivi , hii ngoma ni yakipekee kwa huu mwaka ktk hip-hop
Dude limetulia ka mkubwa tumeyamiss sana madude ya aina hii..Imekaa vyema hii Kiongozi
Ushakuwa ccm
Konkiii hii ndo hiphop sasa
Kaka nakukubali sana ngoma kaliii
Kazi nzuri big bro. Ni moto huu bredden🔥🔥🎤🎸🎺🎼🎻🎶📼🎹🎷
Dope especially Chorus
peace
Kalapina mc makini sana wanaompinga wana laana.
bongelanyimbo hip-hop.. yaukweli.. kazinzuli kalapina..
Bonge beat sihoji kuhusu mistar,hii lazma miuno imwagike💯🔥🔥😂😂
Kalapina represents real swahili hip hop
pwaaaaaa
Nomaaa umetisha sana mzee baba
mzukaa
Saf kala pina
Nice pina
goma moto sana kizazi sana kalapina
mzuka
😅😆😀😂😁😃😆 mimi pia nacheka mkuu wa kazi.
Pina acha kutudanganya hii sio hip hop
Amri Haruna we bongofleva umesanda
oi oii kazi kazi 🔥🔥❤️❤️❤️
oi oi oi
I call Good music
Bg up👍👍
Aisee MBNA kama shangazi yangu yupo hapo mwanzo
Angekua Roma angeitwa Basata muiteni nahuyo sasa maana kamuweka muheshimiwa
chorus nzuri kapiga uncle yan ni hihihii
Noma sana
asante
Verse ya pili jamaa anaflow kama Gwalu..muda unaenda sana leo Kalapina anaimbia biti za bongo fleva
Sio kama Gwalu ni Gwalu wenyewe....Kunta...Kinte.
Sasa mzee baba umerudi ktk nafasi yako hatari hii nijiwee
Abdul Rahman Hassan kweli
@@KalapinaTv
Unauwezo mkubwa ktk floor na uwandishi tokea nipo mdogo nakuskiza nampaka leo upo vizuri ktk misingi yako ya uwandishi na floor hujaama nabado unatisha,ila zingatia studio na uwezo wa projuza unae fanyanae kazi awe na chemical na ww, ushahidi tosha hii ngoma , hii ni the best song of the hip-hop kwa mwaka huu amini , usibadilishe floor wala uwandishi wako badilisha midundo ya beti tu kama hii hatarii.kutokana na kizazi hichi, mungu akusimamie
Dah bro ngoma hiko vzr asee. Hip hop the real.
kalapina ft mr magu 😂😂
GudjoB"
thanks
Daah wamempigish colabo Mr president
kitu mwambaa
kolokocho
Naona hauna sapoti ya maniga waukweli umejaza majunki tu kwenye video.. Wewe ni yuda shekhe... unataka jimbo 2020??
choko wewe
Choko wewe msaliti yuda
maniga wa ukweli kwako kwetu ni masnitch, maniga wa ukweli kwetu ni hao unaowaona kwenye hiyo video. unamuhita mtu msaliti kwani ni mumeo huyu?? au agano gani uliweka nae hadi umuite Yudai??? kama una akili timamu ipo siku utakuja kufahamu kwa nini hiyo video imejaa watoto wengi na si masnitch kama wewe!!!!!!
Diva mrembo hahahaaaaaaa mafala hao!
Fareed Ufahamu cocroaches
Kalapina ft Mr
president
Machoko wanao comments uchoko ndo hao tunao wacheka hahaha hahaa
KIKOSI
oi mzuka
Only few people will understand these yaan it's a fuckin pitty for those who do not feel these jam,(KIKOSI STILL RAPPING THAT REAL SHIT)
safi sana kalapina..kwa real swahili Hip-Hop chungulia hii inaitwa Machungu ya kuachwa by KingBidder aka swahili mafia czcams.com/video/JVGhcMtC0s4/video.html
😁😁😁😁😁😁😁
nomaa
Ngoma ina maudhui mazuri,lakini unapochanganya na hizo siasa zako za kutafuta Mheshimiwa akutunuku ajira unaboa.Unapoteza mashabiki wako bure,kwa kuingiza siasa zisizo na faida kwa muziki wako.
wabongo tatizo vichwa vimejaa mavi ndio maana mnadhani kila mtu anataka kiki. hii sio nyimbo ya kisiasa mtakufa na kasumba zenu...hakuna mwenye njaa kwa taarifa yako
Ngoma kali ila umesaliti harakati UMEHAMIA CCM kweli mwamba?
Diva mrembo hata hip hop ya kweli kasaliti,pina anakata mauno kwenye ngoma ya hip hop,kawa mlaini sahv
Diva mrembo haiwezi ikawa ngoma Kali hip hop ina kanuni na misingi yake kaka!
Fareed Ufahamu hip hop dunia nzima watu wamesaliti wale waliokuwa wanafanya zamani.hip hop is dead
Hii ni fake Hip Hop.
😂😂😂😂😂😂nawacheka
ume shek
Elisha Emanuel toa ubongofleva hapa