Velikost videa: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Zobrazit ovladače přehrávání
Automatické přehrávání
Přehrát
Eeeiiy king na simba.....wacha nijiangalie nisitoke na Kinyesi mkononi....mob love from Kenya
Kingwendu anaogopa ndege.
Noma san mmetisha niite rama d🔥🔥🔥🔥
Nimejaribu kujizuia lakini hii yako ni talanta baba.Wewe kingwendu unatosha kuwa rap muscian.Much love from Nairobi,Kenya 🇰🇪
ZayAwe
Ulikua unajizuia nini kaka
@@lavenderpauline4958 kicheko
Nyota ndogo ngoma nzuri sana nimependa sana hizo melody ujumbe pia umefika sehemu husika kikamilifu.
Man ngwash baby nango baby nango 🔥🔥🔥🔥😂😂😂
Looking clossely. Huyu sio Diamond
Aisee king nimekuoenda San jaman❤❤❤🎉🎉🎉😅
🔥🔥 more love...from +254 Naivasha Kenya
Nyie mm nampend san huy mkaka an sijuw hat nielezeeje et jmn heb nshaurin nfanyej please 😪😪😪💖💖💖💕💕💕
Nisaidien hata nimuon 2 please 😪😪😪💖💖💖💕💕💕Nitashukuru Sana yaanii🙏🙏🙏
Kingwenduu ww unanfurahsha san kwa kwel na vi2ko vyak upew maua yako please... Live long life kama namba za nidaaa....💕💕💕 Hakikaa ukifa huoz na ukioz unuk
Mwambiie ukwl wako akigoma hata me ntkupenda
Yupo maeeneo gani
If@@Lulumassawe001
Producer is awesome...that beat sio mchezo.
Unanifurahisha sana!big up jaaja kingwendu! sharif kutoka Kampala Uganda
Jamani uyu si yule pacha wa mondi jamani khaaaa
UmwA rayvann
Nice song ningependa nikutane diamond na kingwendu
Hongera kingwend uko vizur❤❤❤❤❤
Asante
Nimecheka mpk mbavu zinaniuma😂😂😂😂😂😂😂Kingwendu🙋🏽♀️❤️🥰
pascko ❤❤😊😢😅❤ hktk
we Mzee ww ni ☑️
wasafi kazi njema kushirikiana na bazee ya mungine 👍👍👍👍👍💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪🥰🥰🥰🥰🤣😂🤣🤣😂😂
Kali sana
I'm here following you daddy
Kazi njema,,Wakenya tunaipenda
😂😂😂😂diamond a good man .uwec mkozoa bana.achaimba kama wewe.mpe sound.na tune.
Unanifurahisha sana 💚💚 tangu utototoni mwangu
Mbna mm cjaonaaalchofraixhakingwendu
Mzee kigwendu namkubali kishenzi iko vizuri
Kingwendo nakubali muzehe Wang
Big up sana pg kz issa ktk moro
Mondi tunasubiri iyo mimi nipo Congo
Napenda bonge la kolabo lenu na Mond,halafu mond nakukubali wapenda watu wako..,much love from Kenya Mombasa.
Questions
Watu wake ni mzee Abdul, hampendi, apenda marafiki zake
uyo jamaa ana ac kama Dai ameshinda hahahahahaha...
Babe nang'ooo yeee ila kwa kweli 🤣🤭
Kali hiyo mgotee pacha mondi
😂😂😂kingwendu njoo nikupe Siri Kuna kitu unacho kaka😮😮
The first time i saw this man in DRC Congo i was so surprised kingwendu 🤣🤣🤦
One love from Burundi 🇧🇮🇧🇮✌️
Diamond wa mchongo huyoo😂😂😂😂😂
Baba bado unawezaaa tupe ucheshi baba
Much love from south Africa 💕
Nakubal xn baba kingwendu apo japo kuwa umri umeenda ww nategea nikiwa kenya 🇰🇪 mombasa
Sasa hawa wasindikizaji fujo za nini siwatulie jamani sipendagi mashauzi kama hivi 🤣🤣🤣🤣
Kigwendu kumbe waexa kuimba ..🤣🤣🤣🤣 tupe laha duniani🤣...Leo umesahau kusema bebi nangoo🤣🤣
Please we need your help bro and I love your video
Love kutoka MOmbasani mzee, ulituchekesha na bado watuchekesha. Kwa maisha marefu mzee endelea na kazi...
Ben
@@Hassan-cc3rz yes?
Naisha kingwendu niasha 😅😅😅😅😅😅😅
Kumbe kingwendu na hizo prukushani zako zote unaogopa kupanda ndege leo umeniweza jamani🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
From Nairobi kingwedu Mt childhood comedian
Safi sana guy's 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😮😅😅😮😢😢😢😅😮🎉🎉🎉😂😂😂😂😂
Kasameh kwenda ulaya kwa woga bora atoe wimbo daa
Hio gari nyingine mpe mzee abdul jamani diamond
K'ndu N nomaaaa♊
Wesh mkali mze kingwendu😅😅😅
😂😂😂huyu mzee kingwendu anafurahisha endelea kupambna!!! mungu mkubwa ipo cku itakua fedha
Unarecodi 😂 😂 😂.. Kalulu wauwa
Bro unaweza wivu kando 🙏🙏🙏🙏💗💗💗💗💓
😂🤣🤣🤣🤣hii colabo ni babukubwa
Namkubali huyu ni comedian afrika Rasharkin mngongwe
Mzee kingwendu we ni fireee
Kingwendu anataka kolabo kwa nguvu zote labda Diamond atamsaidia baada ya kuona hii clip sasa. Hongera Ngwendulile
Tunasuri kwa hamuuui🎉😂😂❤❤
Kazi fiti mzae
Mondi wa michongo😄😄😄😄Ila kingwendu ni mfalme wa vituko na vichekesho 😄😄😄😄
Hilarious OMG 🤣🤣🤣🤣...keep the 🔥🔥🔥🔥 burning to the world baba ...mad 💞💞💞💞 frm Kenya
C f f. Cc. C.
Tunasubiri hiyo ngoma
Kingwendu mungu akuweka.. kicheko dawa
Mbona iyo studio Giza sana🤣🤣🤣🤣💥
Yaani Jina Diamond Kwa kweli ni biaahara tosha sema watu hawajui duuh, kkkk Kingwendo eti nachana kama Mwana FA
Hahaha halloooooo,baby bang'o kingwendu
Much love from Mombasa Kenya 🇰🇪
vizur sana kuinua wazaman kweny gemu
Mzee leo umeua
Bwana kingwendo unaweza kbx
😊Tam tu saaaan niko Dubai mji wa madola
Na Diamond kana support tuu😜😜
Kwa raha zako
😂😂😂😂 ni balaa 😅
Kingwenduuu😂😂😂😂🥰🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Huyu ni rapa watoa macho waah😂😂😂😂😂🇰🇪🇰🇪
good
Salam Toka Oman mm napenda daymond Allah akufifadhi inshallah
Naomba jina la wimbo huo aliouimba kingwendu
Much love.. Kingwendu nakutambua
Ngwendu lile 😂😂😂
Kingwendu so fire, u wone proud🔥🔥👏👏
Much love from Kenya ❤❤❤mmaweza kweli
Waaah n gali bn
Nzuri tu nyimbo ya baba.
Kweli giza sana
Ivyo kweri daimond au😅😅😅😅😅😅😅
😂😂😂hahahahahha dah
nakubali kingwendu na simba Sasa bado utoe nyimbo na zuchu
Kiza sana mpiga picha
Fantastic
Kingwendo hapa burundi tunamupenda,kwasababu nidawa ya meno
Uko sawa sana
Kumbe mzee hajachoka
Bebi nang'o😂
Huyu c mond original nimatopee😂😂
More love from Mombasa kilufi
Nice 🔥 🔥🔥
Kazi safi
Nice one
Chooni lazima kopo la maji... 😅😅
Eeeiiy king na simba.....wacha nijiangalie nisitoke na Kinyesi mkononi....mob love from Kenya
Kingwendu anaogopa ndege.
Noma san mmetisha niite rama d🔥🔥🔥🔥
Nimejaribu kujizuia lakini hii yako ni talanta baba.Wewe kingwendu unatosha kuwa rap muscian.Much love from Nairobi,Kenya 🇰🇪
ZayAwe
Ulikua unajizuia nini kaka
@@lavenderpauline4958 kicheko
Nyota ndogo ngoma nzuri sana nimependa sana hizo melody ujumbe pia umefika sehemu husika kikamilifu.
Man ngwash baby nango baby nango 🔥🔥🔥🔥😂😂😂
Looking clossely. Huyu sio Diamond
Aisee king nimekuoenda San jaman❤❤❤🎉🎉🎉😅
🔥🔥 more love...from +254 Naivasha Kenya
Nyie mm nampend san huy mkaka an sijuw hat nielezeeje et jmn heb nshaurin nfanyej please 😪😪😪💖💖💖💕💕💕
Nisaidien hata nimuon 2 please 😪😪😪💖💖💖💕💕💕Nitashukuru Sana yaanii🙏🙏🙏
Kingwenduu ww unanfurahsha san kwa kwel na vi2ko vyak upew maua yako please... Live long life kama namba za nidaaa....💕💕💕 Hakikaa ukifa huoz na ukioz unuk
Mwambiie ukwl wako akigoma hata me ntkupenda
Yupo maeeneo gani
If@@Lulumassawe001
Producer is awesome...that beat sio mchezo.
Unanifurahisha sana!big up jaaja kingwendu! sharif kutoka Kampala Uganda
Jamani uyu si yule pacha wa mondi jamani khaaaa
UmwA rayvann
Nice song ningependa nikutane diamond na kingwendu
Hongera kingwend uko vizur❤❤❤❤❤
Asante
Nimecheka mpk mbavu zinaniuma😂😂😂😂😂😂😂Kingwendu🙋🏽♀️❤️🥰
pascko ❤❤😊😢😅❤ hktk
we Mzee ww ni ☑️
wasafi kazi njema kushirikiana na bazee ya mungine 👍👍👍👍👍💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪🥰🥰🥰🥰🤣😂🤣🤣😂😂
Kali sana
I'm here following you daddy
Kazi njema,,Wakenya tunaipenda
😂😂😂😂diamond a good man .uwec mkozoa bana.achaimba kama wewe.mpe sound.na tune.
Unanifurahisha sana 💚💚 tangu utototoni mwangu
Mbna mm cjaonaaalchofraixhakingwendu
Mzee kigwendu namkubali kishenzi iko vizuri
Kingwendo nakubali muzehe Wang
Big up sana pg kz issa ktk moro
Mondi tunasubiri iyo mimi nipo Congo
Napenda bonge la kolabo lenu na Mond,halafu mond nakukubali wapenda watu wako..,much love from Kenya Mombasa.
Questions
Watu wake ni mzee Abdul, hampendi, apenda marafiki zake
uyo jamaa ana ac kama Dai ameshinda hahahahahaha...
Babe nang'ooo yeee ila kwa kweli 🤣🤭
Kali hiyo mgotee pacha mondi
😂😂😂kingwendu njoo nikupe Siri Kuna kitu unacho kaka😮😮
The first time i saw this man in DRC Congo i was so surprised kingwendu 🤣🤣🤦
One love from Burundi 🇧🇮🇧🇮✌️
Diamond wa mchongo huyoo😂😂😂😂😂
Baba bado unawezaaa tupe ucheshi baba
Much love from south Africa 💕
Nakubal xn baba kingwendu apo japo kuwa umri umeenda ww nategea nikiwa kenya 🇰🇪 mombasa
Sasa hawa wasindikizaji fujo za nini siwatulie jamani sipendagi mashauzi kama hivi 🤣🤣🤣🤣
Kigwendu kumbe waexa kuimba ..🤣🤣🤣🤣 tupe laha duniani🤣...Leo umesahau kusema bebi nangoo🤣🤣
Please we need your help bro and I love your video
Love kutoka MOmbasani mzee, ulituchekesha na bado watuchekesha. Kwa maisha marefu mzee endelea na kazi...
Ben
@@Hassan-cc3rz yes?
Naisha kingwendu niasha 😅😅😅😅😅😅😅
Kumbe kingwendu na hizo prukushani zako zote unaogopa kupanda ndege leo umeniweza jamani🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
From Nairobi kingwedu Mt childhood comedian
Safi sana guy's 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😮😅😅😮😢😢😢😅😮🎉🎉🎉😂😂😂😂😂
Kasameh kwenda ulaya kwa woga bora atoe wimbo daa
Hio gari nyingine mpe mzee abdul jamani diamond
K'ndu N nomaaaa♊
Wesh mkali mze kingwendu😅😅😅
😂😂😂huyu mzee kingwendu anafurahisha endelea kupambna!!! mungu mkubwa ipo cku itakua fedha
Unarecodi 😂 😂 😂.. Kalulu wauwa
Bro unaweza wivu kando 🙏🙏🙏🙏💗💗💗💗💓
😂🤣🤣🤣🤣hii colabo ni babukubwa
Namkubali huyu ni comedian afrika Rasharkin mngongwe
Mzee kingwendu we ni fireee
Kingwendu anataka kolabo kwa nguvu zote labda Diamond atamsaidia baada ya kuona hii clip sasa. Hongera Ngwendulile
Tunasuri kwa hamuuui🎉😂😂❤❤
Kazi fiti mzae
Mondi wa michongo😄😄😄😄Ila kingwendu ni mfalme wa vituko na vichekesho 😄😄😄😄
Hilarious OMG 🤣🤣🤣🤣...keep the 🔥🔥🔥🔥 burning to the world baba ...mad 💞💞💞💞 frm Kenya
C f f. Cc. C.
Tunasubiri hiyo ngoma
Kingwendu mungu akuweka.. kicheko dawa
Mbona iyo studio Giza sana🤣🤣🤣🤣💥
Yaani Jina Diamond Kwa kweli ni biaahara tosha sema watu hawajui duuh, kkkk Kingwendo eti nachana kama Mwana FA
Hahaha halloooooo,baby bang'o kingwendu
Much love from Mombasa Kenya 🇰🇪
vizur sana kuinua wazaman kweny gemu
Mzee leo umeua
Bwana kingwendo unaweza kbx
😊Tam tu saaaan niko Dubai mji wa madola
Na Diamond kana support tuu😜😜
Kwa raha zako
😂😂😂😂 ni balaa 😅
Kingwenduuu😂😂😂😂🥰🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Huyu ni rapa watoa macho waah😂😂😂😂😂🇰🇪🇰🇪
good
Salam Toka Oman mm napenda daymond Allah akufifadhi inshallah
Naomba jina la wimbo huo aliouimba kingwendu
Much love.. Kingwendu nakutambua
Ngwendu lile 😂😂😂
Kingwendu so fire, u wone proud🔥🔥👏👏
Much love from Kenya ❤❤❤mmaweza kweli
Waaah n gali bn
Nzuri tu nyimbo ya baba.
Kweli giza sana
Ivyo kweri daimond au😅😅😅😅😅😅😅
😂😂😂hahahahahha dah
nakubali kingwendu na simba Sasa bado utoe nyimbo na zuchu
Kiza sana mpiga picha
Fantastic
Kingwendo hapa burundi tunamupenda,kwasababu nidawa ya meno
Uko sawa sana
Kumbe mzee hajachoka
Bebi nang'o😂
Huyu c mond original nimatopee😂😂
More love from Mombasa kilufi
Nice 🔥 🔥🔥
Kazi safi
Nice one
Chooni lazima kopo la maji... 😅😅