UGOMVI WA RAYVANNY NA HARMONIZE AMCHANA KUHUSU KAJALA YANGA DAY/ AINGI NA GUTA LA MADUMU NOMA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024

Komentáře • 15

  • @user-uw3wq4tg8p
    @user-uw3wq4tg8p Před měsícem

    Mumetisha sana ❤❤❤

  • @shedrackbakari6342
    @shedrackbakari6342 Před měsícem

    Ni noma iyo chuiiii umetixha kwann aujawa ktk list ya show

  • @user-it6zi7zw8y
    @user-it6zi7zw8y Před měsícem +1

    mbona show yenyewe aijawa poa au walikua wamechoka 😅😅😅😅

  • @user-qz8gn6bn6r
    @user-qz8gn6bn6r Před měsícem +1

    Kelele jingi2 hapo amna show

  • @user-yn6ic8nv7m
    @user-yn6ic8nv7m Před měsícem

    🔥🔥🔥

  • @IdrissaAmoss
    @IdrissaAmoss Před měsícem

    Namtasema kweli talh nane, show yakizembe hiyo.

  • @sonofabrahambic5747
    @sonofabrahambic5747 Před měsícem

    hawa boadyguards sio professional mtu akishakua kwa stage linda entrance ya watu wasiingie sio kumkimbiza kimbiza sasa anaperfome nini

  • @alexoswald1725
    @alexoswald1725 Před měsícem

    Tz tumesogea sana kwenye sanaaa mpaka mziki

  • @user-qv8jm2sm4k
    @user-qv8jm2sm4k Před měsícem

    Sielewi apa

  • @user-jx7fc2ej6g
    @user-jx7fc2ej6g Před měsícem

    Kiukweli mi ata siwahelewi kelele nyingi amna kitu😂😂😂

    • @octachuwa1883
      @octachuwa1883 Před měsícem

      Kwel harmo kukimbia kazingua ndo maan alichek

  • @SeiffTz
    @SeiffTz Před měsícem

    WA pili naomb like

  • @ISSASHABANI-sw7lx
    @ISSASHABANI-sw7lx Před měsícem +1

    Hawa wooooooooote ni watoto wadogo tu kwa king kiba kwenye hizi kazi mmoja hapo alipanga show moja na king kiba Canada 🇨🇦 mwisho wa siku akakimbia yakufanya show akajifanya kafanyiwa figisu na huyo mwengine ana fosi Kimba kama king akafanya show live ya kwenye mziki wa mama samia mwisho wa siku akawa anakoroma tu sauti Hana ya kuimba live na Leo hii wanapiga kelele tu kwenye show ya watu😂😂😂

    • @sonitekog6041
      @sonitekog6041 Před měsícem

      Ii ni lugha gani unaongea😂,,poor soul

  • @georgenzaikombe8367
    @georgenzaikombe8367 Před měsícem

    Wakwanza Leo naomba like zangu jamani