Hawa wooooooooote ni watoto wadogo tu kwa king kiba kwenye hizi kazi mmoja hapo alipanga show moja na king kiba Canada 🇨🇦 mwisho wa siku akakimbia yakufanya show akajifanya kafanyiwa figisu na huyo mwengine ana fosi Kimba kama king akafanya show live ya kwenye mziki wa mama samia mwisho wa siku akawa anakoroma tu sauti Hana ya kuimba live na Leo hii wanapiga kelele tu kwenye show ya watu😂😂😂
Mumetisha sana ❤❤❤
Ni noma iyo chuiiii umetixha kwann aujawa ktk list ya show
mbona show yenyewe aijawa poa au walikua wamechoka 😅😅😅😅
Kelele jingi2 hapo amna show
🔥🔥🔥
Namtasema kweli talh nane, show yakizembe hiyo.
hawa boadyguards sio professional mtu akishakua kwa stage linda entrance ya watu wasiingie sio kumkimbiza kimbiza sasa anaperfome nini
Tz tumesogea sana kwenye sanaaa mpaka mziki
Sielewi apa
Kiukweli mi ata siwahelewi kelele nyingi amna kitu😂😂😂
Kwel harmo kukimbia kazingua ndo maan alichek
WA pili naomb like
Hawa wooooooooote ni watoto wadogo tu kwa king kiba kwenye hizi kazi mmoja hapo alipanga show moja na king kiba Canada 🇨🇦 mwisho wa siku akakimbia yakufanya show akajifanya kafanyiwa figisu na huyo mwengine ana fosi Kimba kama king akafanya show live ya kwenye mziki wa mama samia mwisho wa siku akawa anakoroma tu sauti Hana ya kuimba live na Leo hii wanapiga kelele tu kwenye show ya watu😂😂😂
Ii ni lugha gani unaongea😂,,poor soul
Wakwanza Leo naomba like zangu jamani