MITIMINGI # 365 SIRI ILIYOMO NDANI YA FUNGU LA KUMI (ZAKA)

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024
  • Watu wengi sana wanatafuta kuombewa, Sabuni wamepewa, Mafuta wamepewa lakini hawajafanikiwa na magonjwa hayajatoka.
    Je? Kuna siri gani iliyomo ndani yake.
    Fungu la Kumi = Zaka ni Sehemu ya kumi ya mapato upatayo.
    By Mch na Mwl. Dr. MITIMINGI p. Senior Pastor #WCC +255 713 18 39 39

Komentáře • 56

  • @user-fs3me5sm2f
    @user-fs3me5sm2f Před 2 měsíci

    Matajiri wengi mnaowaona hawatoi zaka utoa sandaka, zaka yakupima imani,

  • @minanielikana
    @minanielikana Před 6 měsíci

    Jamani musitapeli watu. Matayo 23 :1-39nehemiya 13:1 endelea 14:8 eblania 5:1-14 eblania 7 :1-28 tunataka tujuwe zaka Ni nini.
    Mwanzo 13:13 -24 Ablahamu ilikuwa siyo Mali aliotafuta.
    Ache utapeli nagutapeliwa.
    Soma eblania 10 :1 -18.
    Tutaendelea

  • @user-ym1ns2ci7k
    @user-ym1ns2ci7k Před měsícem

    Amina

  • @nkombejonathan2858
    @nkombejonathan2858 Před rokem +3

    Fungu la kumi katika Agano Jipya ni wizi na uhuni wa wale wanaitwa Wachungaji kwa kuwa zaka au fungu la kumi liliwahusu kabila la Lawi, ambao ni miongoni mwa makabila ya wana wa Israeli.
    Paulo anasema :, Tulifanya kazi kwa mikono yetu ili tusimwelee mtu. 1 Wathesaalonije 2:7
    Hawa wa kisasa wanaelemea

  • @saadahussein8777
    @saadahussein8777 Před 6 lety +4

    napenda sana mafundisho yako ubarikiwe sana

  • @jacksonngilu6097
    @jacksonngilu6097 Před rokem +1

    Vizuri sana. Washika wa Ministry ya Neema juu ya Neema wa Mzee wa Neema, ni vizuri pia wasikie mafundisho haya

  • @jessenjiraine9851
    @jessenjiraine9851 Před 4 měsíci

    We are no longer under the law we are under the grace,huu utapeli

  • @minanielikana
    @minanielikana Před 6 měsíci

    Yesu ndio aliejitowa kuwakikumi
    Mama yake zaka.

  • @marwajosephnyabasama7559
    @marwajosephnyabasama7559 Před 5 lety +5

    Mchungaji je ukizidisha zaka pia ni kosa

    • @emmysam7938
      @emmysam7938 Před rokem +1

      Me naona Bora uzidishe kuliko upunguze

    • @user-ye1dt2eb8u
      @user-ye1dt2eb8u Před 8 měsíci

      Kama umezidishiwa, ni vizuri pia kuzidisha, ni ishara ya upendo wako na Mungu

    • @iddimngazija1957
      @iddimngazija1957 Před 7 měsíci

      Kile kinacho zidi kitukua ni sadaka,kwaiyo utakua umetoa sadaka na zaka unapata malipo zaid

  • @reveliusmuchruza7952
    @reveliusmuchruza7952 Před 8 měsíci

    R.I.P Mtumisha wa mungu na akupokee ktk mikono yake

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 Před 5 lety +2

    haha ati sabuni umepewa lakini wapi! barikiwa pastor

  • @minanielikana
    @minanielikana Před 6 měsíci

    Ndugu zanguni Mungu umupe kitu gani asicho nacho? Muache kuibiwa!!

  • @aishasasha350
    @aishasasha350 Před 3 lety

    Asante kwa hili somo nimeitafuta sana barikiwa

  • @frankevarist1928
    @frankevarist1928 Před 6 lety +2

    Very True

  • @fkam5095
    @fkam5095 Před 6 lety +2

    amen

  • @yusuphkiduko2641
    @yusuphkiduko2641 Před rokem +2

    Je ?? Nikiongeza kiwango cha Hela kwenye zaka nikosa

  • @samveya9456
    @samveya9456 Před 6 lety +2

    Good

  • @stevekweca8882
    @stevekweca8882 Před 8 měsíci

    Amen

  • @frankevarist1928
    @frankevarist1928 Před 6 lety +2

    Very Right Pastor

  • @johncharleslufunga6451
    @johncharleslufunga6451 Před rokem +1

    Hakika natoa ushuhuda nimeona nguvu ya zaka

    • @user-fs3me5sm2f
      @user-fs3me5sm2f Před 2 měsíci

      Nguvu ya zaka ni kutambua umebarikiwa, sandaka iliotimilifu na iliotosha yenye nguvu na yenyfe Baraka Yesu Kristo,,.... Malachi 3 haiongei na mkiristo,.... Fungu la kumi ni kiwango ya kumtolea Mungu, tena kutoa kwa hiari, kabla sheria Ibrahim akamtolea Mungu (melchizedek) kwa hiari not forced,.. Mungu ashakubariki tayari, Sasa omba kwa Imani, Mungu alinde Mali yako, ombea kila jambo,

  • @user-dh4pv8wu9q
    @user-dh4pv8wu9q Před rokem

    Huu ni utapeli mkubwa,Mungu hatubariki kwa kuwa tunatoa zaka Bali kwa kuwa anatupenda

  • @irenekerubo9791
    @irenekerubo9791 Před 3 lety

    Mafundisho mazuri kweli

  • @blendabenny271
    @blendabenny271 Před 6 lety +1

    nice

  • @graceful3684
    @graceful3684 Před 4 lety

    Amina.

  • @irenekerubo9791
    @irenekerubo9791 Před 3 lety +1

    Vtrue

  • @edmundnkarangu134
    @edmundnkarangu134 Před rokem

    Continue to Rest in peace Dr Mitimmingi😭😭🙏

  • @lavinealphoncebujiku9879

    Kweli kabisa

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 Před 5 lety +1

    naomba unijibu pastor je ni vema nikiwatolea watoto wangu zaka baada ya kuwafundisha umuhimu wa kutoa zaka? bado ni wanafunzi hawana kazi, jibu naomba

    • @mitimingionlinetv9896
      @mitimingionlinetv9896  Před 5 lety +2

      Judith Njunwa Bwana Yesu asifiwe. Yes ni vyema na ni sahihi kuwafundisha kutoa zaka wangali bado wadogo. Unawafundisha kwa vitendo. Hauwatolei wewe lkn unapaswa uwape na kuwaambia hii ni zaka. Kadri wanavyokuwa unaendelea kuwafundisha Zaka ni nini. Wakikuwa wazima lkn wanapewa pocket money - unawaambia na kuwafundisha katika hii elf 10 uliyopewa unapaswa kutoa zaka kiasi fulani. Hapo ndio utawaacha wao waweze kujisimamia wenyewe.
      MITIMINGI p. +255 713 18 39 39

    • @judithnjunwa6668
      @judithnjunwa6668 Před 5 lety +1

      naomba jibu pastor nimekuuliza swali

    • @judithnjunwa6668
      @judithnjunwa6668 Před 5 lety +1

      @@mitimingionlinetv9896 asante kwa jibu zuri pastor,MUNGU BABA azidi kukupa ufahamu wake ili tupone na familia zetu. nimekupenda bure

    • @geofreypila6385
      @geofreypila6385 Před 4 lety +1

      Samahan,naomba nijibu walau Biblia siifahamu vizuri naomba tusome katika kitabu Cha Ayubu 1:5 Basi Ayubu alikuwa akiwatolea zaka watoto wake alisema yamkini watoto wake huwenda wamefanya dhambi

    • @anithakihwaga760
      @anithakihwaga760 Před rokem +1

      Ni mhimu SANA kuwapa zaka wakatowe watoto wako,na ukiwafundisha,IlI hata wakikua wawe na uwezo wa kujisimamia wenyewe,na watakuwa wepesi hata kuwasaidia wengine

  • @emmanuelathuman896
    @emmanuelathuman896 Před rokem

    Ungesema Nani anatakiwa apokee fungu la kumi na Nani anatakiwa ale Hilo fungu

  • @georgefesto8455
    @georgefesto8455 Před 6 měsíci

    Utapeli mtupu

  • @jessenjiraine9851
    @jessenjiraine9851 Před 4 měsíci +1

    Kumbe hata wewe miti mingi ni tapeli?

  • @benardnjoka5359
    @benardnjoka5359 Před 5 měsíci

    Wrong all belongs to God

  • @yeremianiyonzima3461
    @yeremianiyonzima3461 Před 6 lety +1

    Good

  • @josemagasha5158
    @josemagasha5158 Před 6 lety

    amen