MAPYA! MJANE ALIYEBOMOLEWA NYUMBA TAMBAZA, FAMILIA YAIBUKA KUMJIBU "HUYU MAMA HAJIELEWI"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 09. 2024

Komentáře • 67

  • @MakameMufadhil
    @MakameMufadhil Před 20 dny +5

    Mushazulumiwaa

  • @joyceryoba4813
    @joyceryoba4813 Před 15 dny +2

    SASa ndo aseme asisaidiwe na mtu yeyote??? Roho mbaya tu Sasa unaswali nini? Mmesha mtimua acha watu wenye roho nzuri wamsaidie ww endelea kugombania ardhi

  • @musamsangi1610
    @musamsangi1610 Před 20 dny +7

    Kesi kama hii ilishatokea sehemu na alitatulika kirahisi.Huyu mama amekaa hapo Kwa miaka mingi kumbuka aliolewa na imam ambaye amesomesha watu wengi.Hilo eneo Lina thamani kubwa munaweza kuliuza na yeye kumpatia pesa aende kujenga sehemu nyingine kama mumetoa maeneo mengi hamuwezi kushindwa kumpa eneo linguine.

    • @IbniAbbas-yz3kt
      @IbniAbbas-yz3kt Před 20 dny

      Sasa wewe unazungumzia iman ya mtu binafsi sio kisheria!kumpa au kutompa kama hana ni ubinaadam tu sio lazma apewe!sawa na wewe mtu kajenga nyumba yake umeambiwa ukae tu bure baadae mwenyewe anataka kuuza na wewe utake shea,hiyo ni haki yako!?wee unaona kabisa mama anaongea mkavu kabisa na nyumba yake inabomolewa hata presha hana!

    • @IbniAbbas-yz3kt
      @IbniAbbas-yz3kt Před 20 dny

      @@musamsangi1610 Hata kama alikaa kwa miaka 100 mahakama haiwezi kumpa uhalali wa eneo hilo kwa sababu si haki yake!yeye alipewa akae tuu bure haja milikishwa chochote!huku kwetu kuna jamaa alipewa akae kwenye nyumba ambayo lina kiwanja kikubwa kama shamba ili awe analiangalia!sisi tangu tupo wadogo tulikuwa hatumjui hata mmiliki wake,sasa yule jamaa alipo ona hamna hata muhusika kuja kukagua eneo lake kwa miaka mingi akaamua kuliuza kwa mtu mwingine na kuhama ilo eneo!wenyewe walivyo pata taarifa wakamtafuta na kumkamata hadi sasa jamaa yupo Segerea!kwaiyo cha mtu mavi mjomba kusaidiwa hakukupi haki ya umiliki!!

    • @demicratia4071
      @demicratia4071 Před 20 dny

      Hayo maandishi ni ya kisasa yangekua yameandikwa kwa mkono sawa​@@musamsangi1610

    • @fettiemaganza1484
      @fettiemaganza1484 Před 20 dny

      Tamaa na njaa tu

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Před 20 dny

      ​@@musamsangi1610Ipo mikataba ya 1958 sembuse huo ndugu yangu hiyo ni copy watakua wamepata Serekalini .

  • @afiyaat6588
    @afiyaat6588 Před 20 dny +7

    Huyu mama amekaa hapo tangu 1964 kawazaa watoto wake hapo hiyo dhulma

    • @mangulimanguli3974
      @mangulimanguli3974 Před 20 dny +1

      Nyumba co yake uyo mama Mumewe alikua imam tu akapewa iyo nyumba aishi tu story tunaijua Na ayo maeneo yao kina Tambaza

    • @SafiaMohd-zi4sf
      @SafiaMohd-zi4sf Před 20 dny +1

      We unauhakika gani kama sio yake kuna makaratasi ya mwaka 80 yanakaa mapya hvy na Kama kuna makubaliano lazima sign zinakuwa zote mbili sign waoneshe na hiyo sign ya marhum sheikh mohd ally abeid haikuwa ya kiswahili wala ya kidole hapo tu ndipo allah amewaekea fumbo hao wakina msakala na hili litawageukia biidhinillah

    • @SafiaMohd-zi4sf
      @SafiaMohd-zi4sf Před 20 dny +1

      Na amekaa hapo tangu 64 na aliwaachia huko walipopewa mumewe alivyokuwa imamu ndio wakahamia hapo 64 sawa swali kama anasema alikuwa amebeba mimba ya sheikh je mtoto wake wa mwanzo kazaa mwaka gani?? Na je wao walimkuta akiwa wapi na kashazaa watoto wangapi?? Maana huyo anaeongea kumbuka ni mjukuu hawezi kushindana stry na mwenyewe aliokuwa mumewe jmn hii kitu inataka akili na sio nguvu wasitumie nguvu sana kujikandamiza wenyewe

    • @user-ye3fy9kk6r
      @user-ye3fy9kk6r Před 19 dny

      Allahu ya'lam​@@SafiaMohd-zi4sf

    • @chabunu3367
      @chabunu3367 Před 15 dny

      Kukaa sio tatizo kabisa jee umekaa hapo ni kwako ama ni mwenzako hata ukakaa mda wa miaaka mingapi

  • @denismaringo2729
    @denismaringo2729 Před 13 dny

    Huyo jamaa kule nyuma kushoto kila saa linapenga mak....afya ni muhimu sana. Unawaji mikono na kuepuka kushikana mikono bila sababu.

  • @MakameMufadhil
    @MakameMufadhil Před 20 dny +2

    Musimseme marehem jamani

  • @labunaabouna6122
    @labunaabouna6122 Před 20 dny +3

    Km mmezoea kutoa why musimsaidie na why huyo mwingine km mnaroho sawa mnasema huyo mama asisaidiwe mnaonekana nanyi vibaka fulani

    • @nurdinmfamau3493
      @nurdinmfamau3493 Před 20 dny +2

      Waliotoa Hizo Niwazee Wao. Kwahali Yawatu Wasaaa Naroho Zetu Zilivyo Hakuna Wakutoa Sehemu Watu Waishi. MOLA Awarahamu Wazee Wetu Waliotoa Mali Kwaajili Yafaida Kwa Wengine.

    • @musamsangi1610
      @musamsangi1610 Před 19 dny

      @@nurdinmfamau3493 Kabisa wazee walitoa buree wakampa imam asipate shida .

  • @omanmct135
    @omanmct135 Před 14 dny

    Jamanni mambo yaurisi nitabu kweli

  • @demicratia4071
    @demicratia4071 Před 20 dny +1

    Eti waarabu haohao😮

  • @daudymlauletv8489
    @daudymlauletv8489 Před 20 dny +5

    Sasa si mkabomoe msikiti mbn mmeacha msikiti mnamuonea mama wa watu kam mmetoa swadaqa yann muwe na roho mbya

    • @user13375
      @user13375 Před 20 dny +1

      Waislam bwana kazi Sana 😮😮😮😮

    • @user13375
      @user13375 Před 20 dny +1

      Bomowni na ikulu😮😮😮

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari Před 20 dny +1

      ​@@user13375 kumbuka hadi nabii Tito nae mkristu

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari Před 20 dny

      ​@@user13375huwezi elewa we si uko kyambankumbe Nani asie mjua Tambaza sasa kua walitoa eneo la magogoni .

    • @nancolower_8032
      @nancolower_8032 Před 20 dny

      Sio haki yake 😂

  • @PaulinaSemindu-ob3de
    @PaulinaSemindu-ob3de Před 20 dny +2

    Jmn hajaonewa kumbe masndishi yanajieleza

    • @ziddyziddy2524
      @ziddyziddy2524 Před 20 dny

      Kujitilisha huruma tuu kwa watanzania ili waonekane wabaya

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 Před 15 dny

    Libibi halina aibu,kumbe liliiba mume wa mtu tena likiwa house girl.Ulichomfanyia huyo mama mwenye nyumba,ndo kimekutokea piano Ondokaaa.

  • @omanmct135
    @omanmct135 Před 14 dny

    Subhanalllah😢

  • @abdallahkassim318
    @abdallahkassim318 Před 20 dny +1

    Vyote tutaviacha😢

  • @mangulimanguli3974
    @mangulimanguli3974 Před 20 dny +1

    Uyu mama nyumba co yake Nyumba ya kina Tambaza uyo mama Mumewe alikua imam tu akapewa iyo nyumba aishi tu

    • @hafsamohamed6035
      @hafsamohamed6035 Před 15 dny

      Fatilia vzry acha kukurupuka wewee na story za juu juu

  • @omanmct135
    @omanmct135 Před 14 dny

    Vyote tutaviyacha apaapa duniyani hatwendi nakitu

  • @RamiaMavengu
    @RamiaMavengu Před 20 dny +1

    Pesa pesa pesa wewe upo wapi umetuachia kisichoeleweka

  • @khalsasalim7930
    @khalsasalim7930 Před 19 dny

    Ila binaadamu kwahiyo kumuachia huyo mama akae astirike mmeona dhambi lkn muwape maimamu wa msikiti wakae mana wao ndio wema zaid, roho mby tuu

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl Před 20 dny +1

    Daa angejua angejiandaa maana miaka mingi. Ilamsaidieni hata vyumba2 mumtili ilitu ulafikiwa baba yake nanyie mumstili. Ndiyo uwislam. Nasio kuumbuana mpaka mamboya unzinzi mnayawekaazalani vibaya hivyo nanyiemta umbuliwa

    • @hafsamohamed6035
      @hafsamohamed6035 Před 15 dny

      Suala la kumuambia mwenzako amezini kwanza sio zury . Ili useme hv inkutaka wewee unaesem hv utoe ushahid wa uzinifu wake la wakishindwa huyu mma akafungue kesi ya madai ya udhalilishwaji wake yeye na hao watoto waliosemewa ni haramu

  • @TBCLINICKYELA
    @TBCLINICKYELA Před 20 dny +2

    Ndugu wa Tambaza ikiwa mmoja wenu atasoma hili basi ajue, si vizuri kusema aibu za marehem kama alivyofanya huyu mzungumzaji, vipi kama marehem alikuwa ni mwenye kutubia kwa kiasi cha maisha yake kilichobakia. Mcheni Allah, marehem hana hatia na hiki kinachoendelea.

    • @musamsangi1610
      @musamsangi1610 Před 19 dny

      @@TBCLINICKYELA yule mzungumzaji alikuwa anataka kuhalalisha huo ubomoaji lakini yule shekh Kwa wanaomfahamu alikuwa ni mtu wa taqwa sana na ndio maana aliweza kuishi pale miaka mingi na hakukaa Kwa Bahati ila kama wazee wao hao vijana walivyotoa maeneo makubwa Bure Kwa serikali walimpa huyo shekh eneo dogo la kuishi bureeee bila shida tatizo wamesubiri walivyoona wazee wameshatangulia mbele za haki.

    • @TBCLINICKYELA
      @TBCLINICKYELA Před 19 dny

      @@musamsangi1610 Allah anajua zaidi kuhusu hayo mengine, ila sijapenda swala la kutoa aibu za wengine.

    • @user-ye3fy9kk6r
      @user-ye3fy9kk6r Před 19 dny

      ​@@musamsangi1610hata mm naanza kupata mashaka,kama walikuwa na maeneo makubwa kiasi hicho na kuweza kutoa serikalini washindwe kumpa shepherd eneo la kuishi

    • @hafsamohamed6035
      @hafsamohamed6035 Před 15 dny

      ​@@musamsangi1610tatizo tamaaa tu ndo zinazowaponza hao ni wajukuuu . Tu .

  • @halimamfaume1925
    @halimamfaume1925 Před 15 dny

    Mbona wasema asisaidiwe kwanini?

  • @frankmugomba3484
    @frankmugomba3484 Před 20 dny +3

    Hooooo Kumbe Warabu wanataka kudhulumu So Bandari na Mbuga zetu Watatuacha salama Sikia Mzee anasema Waharabu wanataka kudhurumu Duuuu

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 Před 20 dny

    Daah mimi nilipanga enzi hizo shida ni nini sasa

  • @Mamshika
    @Mamshika Před 16 dny

    Ila waislamu hawaishiwigi migogoro tatizo ubinafs ni mwingi kwao

    • @user-rw2mm1jk6o
      @user-rw2mm1jk6o Před 16 dny

      Ww kichwa kibovu kabisa Sasa hapo uislam umeingiaje

  • @demicratia4071
    @demicratia4071 Před 20 dny

    Eti waarabu haohao😮