DARASA LA UFUGAJI BORA WA NGURUWE |SIFA 5 ZA BANDA BORA LA NGURUWE|
Vložit
- čas přidán 21. 01. 2023
- FAHAMU SIFA ZA Ujenzi wa banda au nyumba BORA ya nguruwe KUTOKA MWALAVILA FARM DODOMA
ZIJUE FAIDA ZA KUFUGA NGURUWE
MBEGU BORA YA NGURUWE
ufugaji wa nguruwe pdf
ufugaji wa nguruwe jamii forum
malafyale ufugaji wa nguruwe
ufugaji wa nguruwe whatsapp
ufugaji wa nguruwe kwa mtaji mdogo
nguruwe anakua kwa muda gani
ufugaji wa nguruwe na soko lake
ufugaji wa nguruwe morogoro
Banda la nguruwe pdf
Image of Banda la nguruwe ya kisasa
Banda la nguruwe ya kisasa
Ujenzi wa banda la nguruwe
Ujenzi wa banda la nguruwe
Image of Zizi la nguruwe
Zizi la nguruwe
NGURUWE HUTEGEMEA SANA MAMBO YAFATAYO
1 . Bada imara na rafiki kwake
2. Usafi ni muhimu sana katika bada la Nguruwe
3 Mchaganyo bora wa chakula
4. Tiba bora na kinga
5. Maji na Lishe ( access ya vyakula Muhimu kwake )
KATIKA UFUGAJI WA NGURUWE KUNACHAGAMOTO ZAKE LAKINI ZAWEZA KUTATULIWA KWA KUFATA MAMBO KADHAA.
Katika ufugaji wa nguruwe kunachagamoto ya vifo vya nguruwe wachanga ambao hupunguza faida ya biashara ya nguruwe kwa kupunguza idadi ya nguruwe wazima wa kuuzwa lakini utunzaji mzuri wa nguruwe wachanga huepusha vifo vinavyotokana na shida kama:
Matatizo ya kupumua
Ni kifo kinachosababishwa na mama anapomlalia nguruwe mchanga.chagamoto hii inaweza kutatuliwa kwa kuwatega au kuwa na mabanda makubwa ya kulelea watoto.
Baridi
Nguruwe wachanga huathiriwa na baridi haswa katika majuma mawili au matatu ya mwanzo. Hii ni kwa kuwa wana kiwango kidogo cha utando wa mafuta wa kuwakinga.
Unashuriwa kuwaweka katika hali ya joto, wape matandiko na utumie vipasha joto kama vile kuasha globu za joto kama utakuwa umewaweka kwenye mabada ya kuta au nyumba yenye sakafu baridi.
Namna bora utunzaji wa nguruwe wachanga
Nguruwe moja wa kike ana uwezo wa kuzaa watoto 12. Namna ifuatayo itasaidia kupunguza idadi ya vifo vya nguruwe wachanga:
1.Pale nguruwe awapo na kidonda nyunyizia dawa ya ayodini 5% kwenye kovu ili kuzuia kuambukizwa kwa magonjwa.
2.Wawekee matandiko (nyasi kavu au maganda ya miti) mahali pa mapumziko ili wapate joto au utumie globu za joto.
3Wadunge sindano ya madini ya chuma (iron) siku ya tatubaada ya kuzaliwa ili kuzuia upungufu wa damu.
3. Yalainishe meno ya vichaga kabla ya masaa 24 ili kuzuia uharibifu wa matiti wakati wanaponyonya.
4. Watie vibandiko au utoboe masikio ili uwatambue na uhifadhi rekodi zao kama kuna umuhimu kama vile wafanyavyo wafugaji wa ng’ombe.
5. Wapime uzani wanapozaliwa na uhifadhi rekodi hiyo itakusaidia kujua ukuaji wao na maendeleo yao
6. Wahasi wale wa kiume juma la tatu, wale ambao hawafai katika kuendeleza kizazi kwa kutumia mtindo wazi (open method) kama unaona inafaa.
7. Wapatie dawa ya kuzuia minyoo pia zipo dawa za asili kama unga wa mkaa na majivu pia zipo za kitaalamu, wasiliana na wataalamu wa mifugo
8.Waachishe kunyonya katika juma la nane au wafikapo kilo 14 hadi 20 hii itasaidia kujitegemea na kukua kwa haraka.
Nguruwe Walioachishwa Kunyonya
1.Walioachishwa kunyonya wawekwe makundi ya 10 hadi 12 kulingana na uzito au ukubwa wao kwenye eneo ambalo watajitosheleza.
2.Watenganishe wakubwa kwa wadogo ili kuzuia kupigana.
3.Wakati wa kuwaachisha kunyonya mwondoe mama yao kutoka kwa watoto ili kupunguza usumbufu.
4Watoto wa nguruwe wa mama tofauti wasiwekwe pamoja maana hii husababisha mapigano kati yao na
5.Unapowachanganya watoto wa mama tofauti wapake mafuta ya gari yaliyotumika kwenye ngozi yao au mafuta ya kula ili kuiondoa harufu ya kutambulika ili wasipigane
Ahsante kwasomo
Hongera saana kazi Yako njema saana
Nimepata ujuzi.asante
Axant Kwa ujuz
Mnauzaje
Tuma ujumbe whatsApp 0713178868
Hawa ni aina Gani ya nguruwe na zinauzwa Kwa bei gani jiki mwenye amepandwa
Nguruwe anakunywa maji kwel
ANAKUNJWA VIZURI SANA
Hayo maranda yakiwa na kinyesi mbatoaje
Naomba kazi
Kazi gan?
Una ujuz gan?
Baada ya muda gani mnabadilisha ayo Miranda
ndio baada ya wiki 3
Naomba kujua..je hawa ni mbegu gan...na kwa system ya kuacha maji ya coolin hayawez mpa magonjwa ngurue
SEHEMU ZA JOTO INAMSAIDIA NGURUWE SEHEMU ZA BARIDI INAWEZA IKALETA MADHARA
Nooo ndugu hayawez kuleta magonjwa
Pia lazima tufahamu mnyama hujua ni wakat gan awe wap
Na banda la vitoto vyake linakuaje
Munapatikaninawapi
TUMA UJUMBE WHATSAPP 0713178868