DARASA LA UFUGAJI BORA WA NGURUWE |SIFA 5 ZA BANDA BORA LA NGURUWE|

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 21. 01. 2023
  • FAHAMU SIFA ZA Ujenzi wa banda au nyumba BORA ya nguruwe KUTOKA MWALAVILA FARM DODOMA
    ZIJUE FAIDA ZA KUFUGA NGURUWE
    MBEGU BORA YA NGURUWE
    ufugaji wa nguruwe pdf
    ufugaji wa nguruwe jamii forum
    malafyale ufugaji wa nguruwe
    ufugaji wa nguruwe whatsapp
    ufugaji wa nguruwe kwa mtaji mdogo
    nguruwe anakua kwa muda gani
    ufugaji wa nguruwe na soko lake
    ufugaji wa nguruwe morogoro
    Banda la nguruwe pdf
    Image of Banda la nguruwe ya kisasa
    Banda la nguruwe ya kisasa
    Ujenzi wa banda la nguruwe
    Ujenzi wa banda la nguruwe
    Image of Zizi la nguruwe
    Zizi la nguruwe
    NGURUWE HUTEGEMEA SANA MAMBO YAFATAYO
    1 . Bada imara na rafiki kwake
    2. Usafi ni muhimu sana katika bada la Nguruwe
    3 Mchaganyo bora wa chakula
    4. Tiba bora na kinga
    5. Maji na Lishe ( access ya vyakula Muhimu kwake )
    KATIKA UFUGAJI WA NGURUWE KUNACHAGAMOTO ZAKE LAKINI ZAWEZA KUTATULIWA KWA KUFATA MAMBO KADHAA.
    Katika ufugaji wa nguruwe kunachagamoto ya vifo vya nguruwe wachanga ambao hupunguza faida ya biashara ya nguruwe kwa kupunguza idadi ya nguruwe wazima wa kuuzwa lakini utunzaji mzuri wa nguruwe wachanga huepusha vifo vinavyotokana na shida kama:
    Matatizo ya kupumua
    Ni kifo kinachosababishwa na mama anapomlalia nguruwe mchanga.chagamoto hii inaweza kutatuliwa kwa kuwatega au kuwa na mabanda makubwa ya kulelea watoto.
    Baridi
    Nguruwe wachanga huathiriwa na baridi haswa katika majuma mawili au matatu ya mwanzo. Hii ni kwa kuwa wana kiwango kidogo cha utando wa mafuta wa kuwakinga.
    Unashuriwa kuwaweka katika hali ya joto, wape matandiko na utumie vipasha joto kama vile kuasha globu za joto kama utakuwa umewaweka kwenye mabada ya kuta au nyumba yenye sakafu baridi.
    Namna bora utunzaji wa nguruwe wachanga
    Nguruwe moja wa kike ana uwezo wa kuzaa watoto 12. Namna ifuatayo itasaidia kupunguza idadi ya vifo vya nguruwe wachanga:
    1.Pale nguruwe awapo na kidonda nyunyizia dawa ya ayodini 5% kwenye kovu ili kuzuia kuambukizwa kwa magonjwa.
    2.Wawekee matandiko (nyasi kavu au maganda ya miti) mahali pa mapumziko ili wapate joto au utumie globu za joto.
    3Wadunge sindano ya madini ya chuma (iron) siku ya tatubaada ya kuzaliwa ili kuzuia upungufu wa damu.
    3. Yalainishe meno ya vichaga kabla ya masaa 24 ili kuzuia uharibifu wa matiti wakati wanaponyonya.
    4. Watie vibandiko au utoboe masikio ili uwatambue na uhifadhi rekodi zao kama kuna umuhimu kama vile wafanyavyo wafugaji wa ng’ombe.
    5. Wapime uzani wanapozaliwa na uhifadhi rekodi hiyo itakusaidia kujua ukuaji wao na maendeleo yao
    6. Wahasi wale wa kiume juma la tatu, wale ambao hawafai katika kuendeleza kizazi kwa kutumia mtindo wazi (open method) kama unaona inafaa.
    7. Wapatie dawa ya kuzuia minyoo pia zipo dawa za asili kama unga wa mkaa na majivu pia zipo za kitaalamu, wasiliana na wataalamu wa mifugo
    8.Waachishe kunyonya katika juma la nane au wafikapo kilo 14 hadi 20 hii itasaidia kujitegemea na kukua kwa haraka.
    Nguruwe Walioachishwa Kunyonya
    1.Walioachishwa kunyonya wawekwe makundi ya 10 hadi 12 kulingana na uzito au ukubwa wao kwenye eneo ambalo watajitosheleza.
    2.Watenganishe wakubwa kwa wadogo ili kuzuia kupigana.
    3.Wakati wa kuwaachisha kunyonya mwondoe mama yao kutoka kwa watoto ili kupunguza usumbufu.
    4Watoto wa nguruwe wa mama tofauti wasiwekwe pamoja maana hii husababisha mapigano kati yao na
    5.Unapowachanganya watoto wa mama tofauti wapake mafuta ya gari yaliyotumika kwenye ngozi yao au mafuta ya kula ili kuiondoa harufu ya kutambulika ili wasipigane

Komentáře • 22