Matimoni (send skiza 7582115 to 811)Padi Wubonn ft Kush Tracey - (Parody)
Vložit
- čas přidán 2. 12. 2018
- #Matimoni
#bflkenya
Matimoni parody by Padi Wubonn ft Kush tracey originally done by Jahcob ft Teknixx
Artiste: Padi wubonn
Audio: bigdreams studios
video:bigdreams films
Directed by Ricky Bekko
Edited by Mulinge Collins
scripted by Padi Wubonn
a big dreamsstudiosproduction 2018
Kali sana wadau !
Tena sana
Chokosh
we tricky na pady mko vituko
Mca tricky si unipee no yko
ehh na ujuwe tunangoja yako na padi
KushTracey's Vocals 🔥🔥🔥🔥
Padi you inspire me alot😊
Boy wetu wa chuka .😂😂😂😂nisake tutoe parody
Asanta sana bro. People like you keep us going. Thanks tena
mluhya ndii fan wao bna
One of the reasons why 🇰🇪 is a feeling, not a country... Padi 🔥
Nadai tu likes.. Zifike 100
Zita fika
Issa Mutisya zikam tu.maybe nitakuwa celeb
Unataka kubet nazo ama
@@nevilledwayne 😂😂😂 itabidi umeweka deposit ya mahari before ulete likes home.
Lauryn Nakitare si waona hapa ndo mtu hujishindia mke,,thank you paddy..huyu nishapata.. Contact me asap Kwa whatsapp
Ati "hii si ni kichungi ya machani chai"😂😂😂😂
kila kitu nje,,uliskia ukifunika itaoza,,heheee hii n kali
Hahaha padi ile bhangi unatumia aki haiko diluted.....noma sana
So interesting.... Padi we're waiting Ile na VERA SIDIKA....... Kali..... Npe lyk ukiscroll down.. 😀😀
Nice work ulikuwa umetulia sana, mpaka umama umenifunza ikaisha hadi nikastyle up... 😌😌😌
"Kila kitu nje,ulsikia ukifunika itaoza"... Padi u killed it.my best parody maker
🤣🤣🤣🤣 eko poa💃💃💃💃👍👍💞✌
Kila kitu nje ulisikia ukifunika itaoza. To the tops💖. Matimoni haaa matimoni shuuu
2024 anyone who wants paddy to come back to music
Karee sana morefire huku chini utaamsha madimoni!!😂😂😂😂 like kama imeweza
Utaamusha lidimoni
😂😂😂😂😂
For two years nimekuwa nikiiskiza hii ngoma but Leo ndio nimepelekwa matimoni ni Niki ..padi upewe sifaaa broo
hahahaha umemaliza Padi hehe big up bro
padi nyasaye akhuloli sana..... kali sana napenda hio
🔥🔥 🔥🔥 🔥 pady kali
Yani kila kitu ukiona padii unafikiria n chakula heheee kali sana 💯 ✅ 🔥 🔥 🔥
Ati nguo ya class three😂😂, eeh padi bana👏👏🔥
Noma sana
Noma sana, nimecheki hii ina message
Hii kweli ni matimoni. .....kali sanar! !
big tune... kush tracey so you can sing?? wonderful
Hii si ni kichungi ya majani chai 😂😂😂☕🙆🤣👑💯👌
Noma sana... Padi
Kiboko inakungonja jehenamu iko kwa charger😹😹😹😹😹😹,bena ameweza hapo kwa kutouch na kurombosewa,nimekubali wazito 🔥🔥🔥🔥🔥
Kiboko inakungoja jehanamu iko kwa charger Walai😂😂😂🤣🤣🤣🤣
heeeheeee kila kitu nje uliskia ukifunika zitaoza heeheee waaaaaaa you guys are ma dfor real heeheeee
Mit aduwa haha omera.uliskia ukifunika zitaoza hehe mko juu
Padi padi that's my guy, ety kwani ikifunikwa itaonza 😂😂😂😂
Wewe ata bila maombi umebarikiwa😅😅😅😅😅😅😅ati kila kitu nje uliskia ukifunika itaoza🤣🤣am done with Paddy 🤣🤣🤣
hii c ni kichungi ya majani chai ..lit!!!!!!!!!!!!&*
hahahahhahah ,,ati nin iko kwa charger ,,ukifunika itaoza ,,i die hahahahahha
Hahahaha HAPO KWA POOL WALAAIII PADDY AMENYONJII YA UKWELI
Mbona sikukuja hapa mapema ....
Hii nayo ni mootoooo💥💥💥💥💥💥💥
mwotoo sana
Kama umeikubali ekelea like kakisonga isio design
Kila kitu nje Kwani ukificha zitaoza 😂😂😂😂😂
Heheheheheh Padi chizi sana.... Ati uku chini utaamsha matimoni
Hii ni kali sana sichoki kuirudia😂😂🔥🔥
Padi ameweza hii mbaya sana.. Huku chini utaamsha rudimoni
Napenda high class ujinga
Ati kiboko inakungoja jehanam iko kwa charge😂😂😂😂😂
Kushy and padi its lit
Enyewe anybody can do anything and get money.... Sasa padi si ametoboa akifanya ufala.... Do what you look and it will pay eventually... #kudos
Who else likes Paddy's video before viewing
I won't lie.. I got this on replay
Huku chin utaamsha li #demon😃
ati kila kitu inje , uliambiwa ukificha itaoza😂😂
😂😂😂😂😂ati ulisikia ukifunika itaoza😂😂😂😂😂padi wah
🤣🤣🤣🤣🤣Kali
Unafikiria ukifunika zitaoza 😀😀....si hi ni kichungi ya chai 😀😀😀Padi
Wooow nyc colabo padi fiiiiiireeeee
Tutaandika P3 juu hizi matimoni zinaamsha maG3 !!! DEEEEAAAAAD !!! 10/10
paddy you never disappoint. hii imenimaliza. Nipe maji na nyasi nifukuze matimoni. 😂😂😂🙏
Ati gurudumu na shock absorber 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
tracey anafaa kuimba more that voice😍😍
hahaha kichungi ya majani chai
hahaha... huku chini utaamsha lidimoni
kampuni kani ya nairropi natengeesa nguo kama hii tuikemeeee!!!LOL!!!
🔥🔥🔥🔥 hii ni kali sana
"omwana efwe akiwacha uku chini utaamsha li-demoni" 😂😂😂😂😂😂
akina Sakaria...walimufuata Maaaria wakamchungulia,wakamfuatilia,wakamumwakilia,wakamuekelea..
story kutufikia tulisherekea bila kufiiikiria
Padi wee ni ngory wish for a colabo ur my inspiration man u rock man
czcams.com/video/t8UuuzuKOqo/video.html
😂😂😂😂😂😂😂😂kweli ni litimoni,fukusa matimoni... always entraining at padii ,Kush Tracy on point
😂😂😂..ngori juu ya ngori 🔥 🔥🔥🔥
Waluyha wenzangu mko wapi... 😂😂 iyo introduction was epic
Aki
wahlahi Kush Tracey and Padi Wubonn you have appliead alot of creativity...
Padi hehehe hyo kiboko ya kwa chaja 🚶
Noma sana ,loving this padman😘😍😋😂😂😁😀
Aki yaooo imeweza hahahaha padi you gonna kill me one day na vicheko
Hii nayo ni Kali padi
Hii si ni kichungi ya chai 😂😂🔥🔥day made brother 💯💯
Padi that's very creative... that's real men....woooolan
#PADI Eti huku chini utaamsha LIDIMONI... kubwa.. kiboko yako iko kwa charger
Gwaaaan 👏 pandisha matimoni
funny man living. "KIBOKO INAKUNGOJA JEHANAMU IKO KWA CHARGER!" Padi hii ndo gani😂😂
Padi 😂😂niite lotto moto one day na nitaimba hii wimbo
Eti kira kitu nje kwani ulisikia itaoza hahaha wooooiii
🤣🤣🤣🤣litimoni limeamka huko chini
Ubarikiwe Padi 🤗🔥
kush tracy vocals on top....salute
😂😂😂😂 pitisha kitu munaseti
Noma sana😂😂😂😂👊
Hii si ni kichungi ya majani chai😂😂😂😂
Kiboko inakungoja jehenamu iko kwa charger aki a Mungu
heeeheeee kiboko inakungoja jehanamu iko kwa charger heeheee waaaa hii ni serious waaa heheheheheh
Kiboko inakungoja jihanamu iko kwa charger.😂😂😂😂
God bless you padi good work
😂😂😂😂kazi Safi fanya collabo na pozee
padii ulirukaa kichwa ama hii niya laakutoka kwa wazee juu ata mimi hiii madimon ninataka kufukuza
padi you always make my day..
aty stokin ni kichungi ya chai
Ngoriiiii
Manie Q i was here
Its so nice...i love this guy, very hilarious and creative...
Chehofa Wa nyo nyi!!😂😂😂😂
Hizi ni ma timoni,,,,,fire pady fire....
Big up kwa sanaaa
Kali sanaa 💯💯🔥🔥
Hii kweli ni matimoni😂😂😂😂😂😂😂
"kila kitu nje ukifunika kwani zitaoza...... unatuvalia mshipi ati ni skirt" ... ehh I kif Up
Pwaaaaadi,. Hiii ni 🔥🔥🔥
First one to acknowledge this fine work.... Big up pardy😊😊😊