🚨YANGA V/S IHEFU FC YATAWALA RUSHWA KIONGOZI YANGA AKUTWA KAMBI PINZANI YA TEAM PINZANI
Vložit
- čas přidán 10. 03. 2024
- YANGA V/S IHEFU FC YATAWALA RUSHWA KIONGOZI YANGA AKUTWA KAMBI PINZANI YA TEAM PINZANI
#ihefu
#yanga
#ligikuutanzania
#simba
#ahmedally
#usajilimpya
#alikamwe
#hajimanara - Sport
Tena huyo mdhamini wa Yanga alitembelea kambi ya simba fc, simba wakala tano,
Ndiyo tatizo wasiojuwa soka wanaingia kwenye soka tumekwisha siasa ndani ya soka la tanzania
Hao wamezoea rushwa yanga kiongozi huyo kafuata nini kwenye kambi ya ihefu
T F F walichunguze hili na kulipeleka takukuru kwa hat
Yanga anashinda hiyo nitimu b
hana mda atapumzika katika madaraka kwa jinsi anakoelekea
Nyie mlimuonaj kam ham kua nae kaz zitawashinda kaz ndg zangun
Yawezekana hatakatimukako unakokashabiki kameshakula 3g 4g aukono la NYANI leohiiunataka ihefu akusaidie Ngoja nayeye alezakutosha hakuna chakisingizio chakiongozi wa Yanga
Sikweli
Ligi inaanza kupoteza mvuto tff mpo
Nyie mli muonaje kama hamkuwa nae
Wakwanza naombeni like zangu❤❤❤❤❤❤
YIYI D JSPORTSHD MTASEMA KWA KUTUMIA UJIGAWENU MPAKA MTACHOKA YANGA INA OGOZA MBONA HAMSEMI KULIZA BABA MZAZI NI WAHALALI
Wewe utopolo hujui hata kuandika mbwa wewe
Hivi ninyi watu huwa mnakosa maneno yenye mashiko ya kuongea ili kuendeleza soka LA nchi yetu.kwa mini mnaongea habari ya rushwa kwa mini mnaongea hayo .simba alifungwa na yanga bao tano.he aliuza mechi.ni aibu MTU mkubwa kuandika mambo ya kijinga katika media.tukubali huu ni wakati wa yanga wengine tuongeze bidii. Tumiendekeza maneno lko cku yanga atamfunga MTU goli kumi watasema ksnunua.