ANAMTESA MKE WAKE, KILICHOMTOKEA MBELENI NI AJABU, TAZAMA | HEALING ENERGY
Vložit
- čas přidán 10. 07. 2024
- Movie Name : HEALING ENERGY
Year : 2024
Genre : Drama
NB: CREDITS
WATCH FULL MOVIE HERE: • HEALING ENERGY - CLINT...
⚠️DISCLAIMER
Copyright Disclaimer: - Under section 107 of the copyright Act 1976, allowance is made for FAIR USE for purpose such a as criticism, comment, news reporting, teaching, scholarship and research. Fair use is a use permitted by copyright statues that might otherwise be infringing. Non- Profit, educational or personal use tips the balance in favor of FAIR USE.
IF YOU FEEL YOUR RIGHTS ARE VIOLATED EMAIL ME AT "lifelakitaa@gmail.com" AND I WILL KINDLY TAKE DOWN
THE VIDEO.
Book Us Now Via Email: lifelakitaa@gmail.com
Hit Us Up: +255624944364
Follow Us On Socials :-
Facebook Page: profile.php?...
Twitter: x.com/izkonka/status/15454891...
Instagram: e7bits?igsh...
Tiktok: tiktok.com/@e7bits
Telegram Channel: t.me/E7BITS
Follow KONKA on Socials :-
Instagram- izkonka?igs...
Tiktok- tiktok.com/@izkonka
Snapchat: Izkonka
Twitter: x.com/izkonka/status/15454891...
#zeelakutune #zeelatown #e7bits - Krátké a kreslené filmy
Jaman toka nianze angalia hamjawah nipa like naomben bas
Zitakusaidia nini ndugu
anaempenda konka aweke like juu apo❤❤❤
LEO NIMECHELEWA SANA LAKINI NAOMBA ATA LIKE 5 TYU
Moyo wa mwanamke ukichoka na ukisema bac ujue ni basi hiyo hauwez kurudi nyuma karii na inafundisha kitu❤🎉
Woooiye vizuri sana
Malipo ni hapa hapa duniani 🙏
Safi sana hata mimi pia nisingemsamehe kwa dharau alizonionyesha
Nakubali sana master ngoma kali sana 🎉🎉🎉is a 😮😅😅😊😂😂
Haya kila siku ooh mimi wa kwanza naomba like...haya sasa mimi wa mwisho leo naomba like zangu🙄
Imeisha vzr nimependa
konka bwata man,
asante kwa kigongo mzee🎉🎉🎉
Bra alipokuw hajmsamh mbn yy hajamsamh kwa lawam zke za kijng kil ck kmpg mwenzk umefny maamuz mazr san ❤❤
Mzigo ni wamoto sanaa mkuu mpaka unaunguza umetisha babu💪💪💪
Asante MUNGU kwa kumpigania Mebel❤❤❤
Hiyo mafunzoaxuri naipenda xana❤❤ nipe nyingine tafadhali
Nimekuwa wa kwanza jaman❤❤❤
Mnajua maumiv ya kuachwaa kuletewa mwanamke mwngne ndan na mates yot yalee weeeeh alaf unasema umsamehe nyiiiee ebu Achen kusema Muv imeisha Vibay imeisha vizuri tuuuu😅😅😅
Hii kazi nikubwa
Kali sana inafaa kwa wanaume wanaotesa wanawake zao nimependa kinyama yani hallooo 😂😂😂
Iko poa sana hii❤
Fi sanaaaa wanaume wa shenzi kma Hawa hii ndio sawa Yao kazi nzur bro❤❤❤
Kwenye kusimulia you are de best
oyaa eeh. leo kweny daladala nmekutan na jamaa flan ivii nae anachek mzigo wa E7bits..
asee nmefrah sana kuona mtu mwngne anapenda smuliz za jamaa hapa kama mm nilvyoo asee.. ebu tupia comment yako hapo chn kama na wew ishakutokeag ktu kama hicho. 😊😊
Upendo ni mwingi❤️🙏
Funzo kubwa sana 🎉🎉
Oya vip mbona ivi unajuwa unakawa sana inatukera broth km mu week unaachia ata bi 2
E7bits forever ❤
Mzigo wa motoooo
Mwamba unachelewa sana jamaniii tumekumis hatariii 😂😂😂wa Oman tujuane hapa 😂😂😂
Nimeliya sana 😢😢😢😢😢😢
Sema nini mwanangu unazipatia Sanaa 🎉🎉🎉
Muvi haijaisha vzr
Wow jmn nilimmiss sn huyu jamaa
Wakwanza jamani, naomba like zangu,hii niya moto 🎉🎉💥💥🔥
Tupoo pamoja zee la mipinduko ushindi babaahh from Dodoma
Ebwanaa EEEH!! Hu mzigo safi sana sound Tuned well
Hii movie ni kali kinoma 🔥🔥
Nizurisana tu❤❤❤
Inasimumua wallah, machozi yananitokaa 😭😭😭
Mwishoni nimependaa bhn 😂😂😂😂😂 chezea elaa wewee 😂😂😂
N
Aaf
O
Dad
La o
Funzo kwa wanaotesa wake zao. Mpanda ngaz hushuka. Na alie juu msubir chin.
Kipenz konkaa mauwa yako hayo 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉.
Mwaaahh 😘😘😘
Cjapenda kwann ajamsamee wakti alisha mpa funzo la kutosha 😢
Naomba tupitiane
Ni funzo Kwa wanandoa jamani ila unatutenga sana izkonka 😢😢
Nimeipenda bro I love this
Wakwanza mie from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Haujaixhia vizuri, Ila iko bomba KAZI nzuri
hii story ina funza ndani yake 🙌🏽🔥✊🏽
Kazi nzur ila usiwe unachelewa kutulete move jmn 😭😭😭
Simba ☠️🇱🇷🎉
Uyo ND mwanamke ubaya analipa mala mia zaidi 😅
Mama mwenye nyumba akiuliza swali usijicheleweshe kujibu 😂😂😅😅
💯👏👏kali kinoma
Nimetoka tik tok nimekuja uku ni tamu mnooooooo
kabla sijaangalia ole wako nisikute busu la kuwaleta kati kati 😮😮
KaZi nzurii sanaa
Ila nimemuonea huruma jmn😢
Me Leo ndo wa kwanza naitaji like 👍 nyingi leo
Nimechelewa kinom ila naomba like
Kaz nzuri
All the way from Zenji#Marashi ya Karafuu❤🔥❤
Mzigo wa maana
Wewe ni mtu na nusu.🙌
Izkonka nakupenda sana ❤
🤣🤣🤣🤣nimependa hii Stella kiboko ya malay1
Unyama mwanangu ✌
Chuma Kali sana 😅
Sema Stella wa moto mnoo
Niliiona jana ni nzuri sn naomba mniletee nyengine ❤❤❤❤❤❤
Usilopenda kufanyiwa ucmfanyie mwenzio
ahh kubabake mwanamke asishike nyumba walahiiii ni tabu tupu 😢😢
Nipitie 😊
Nakukubaliiii sanaaaaa❤❤❤❤❤❤❤❤
😂😂😂😂😂😂😂😂. Yan dawa ya moto ni moto pumbavu kabisa 😂😂😂😂
Kali sanaaa konka ❤️❤️❤️
Noma sanaa
wah iko poa .saana.
Funzo kubwa sana
Umetisha🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
🤗🤗🤗🤗 TATIZO UNACHELEWA KUTOA MOVIES
Safi sanna 😢ila angemsamehe bana
Safi sana brother
Konkaa uwe unamtumia sana uyu jamaa tunamkubali sana
Safi sana ila sikuizi unachelewa
Nmependa ilivyoisha sio unasamehe kishamba kishamba
😂😂😂aahh Auco
Umetisha
Move nzuriii sanaa
Nikweli mwanaume alikosra lakin mungu ametuumbia kusamee atupasa kusamee kwa Kila wanaotukosea
Jamn konkaaaaa 🎉🎉🎉🎉
Nkbl konka ontime❤
Mwanaume mwenye ujasir wa kuleta mwanamke ndan na mkewe yupo sio wa kusameheqa
Wakwanza hapa like zangu
Mnaaaomba like na nyie mnalike muv au mnaomba omba 2
Nilikua nikichelew leo nimewah like zang jmn
Bora amemkataa kwa mambo aliuomfanyia astaili kusamehewa kabisa
Anafaa kusamehewa ndo ili iwe ndoa
@@elvismasinde5476 hat akisamehew Ila sio mwanaume wa kuendelea kuishi nae kwa sababu mtu mwenye hizo tabia sidhan Kama ni rahis kuziacha
@@user-ip1cw5iw7wAtaziacha tu sababu na yeye alikuwa na kisasi na mwanamke wake, Maisha ndivyo yalivyo amsamehe tu.
Nimeipenda hiyo
❤🎉😢ila napenda simulizi zako na sauti yako 😊
🎉🎉
Superb🎉❤
We Jamaa unajua sana vitu hot sana 🔥
Iko mbele ya muda 🔥
Mpumbavu hulipa kisasi
Ila mwelevu husamehe
Riho ya mwanamke alieumizwa kugeuka kuwa ya kawaida ni Kazi ngumu sana
Mwendelezo tafazali brother iko vizuri prs🎉❤🎉❤🎉❤🎉
😂😂😂😂😂😂 uyu ndo mwanamke nangai sasa I