wimbo:DUNIA YOTE SHANGWE mtunzi: KAPUMPA BJ waimbaji: KWAYA YA MT.ALOYCE GONZAGA CHUO CHA MIPANGO DODOMA kinanda: GC GABRIEL studio: CGen Pro mawasiliano:+255765449914
Kinachonifurahisha zaidi nikiwa kama kiongoz wa kamati ya IT nikuona juhudi mnazozifanya yan siku3 mko na 1.5k viewers hii ni speed njema sana ongezeni juhudi mtafika mbali hadi wengine washangae
Nice song karibuni tuimbe kwa pamoja
Karibu sana parokia ya salama ya wagonjwa muhimbil _ kwaya Agustino tujimuike kwa pamoja kumsifu yeye.
Hongreni wanakwaya kutoka chuo Cha mipango dodoma hakika mmependeza
Hongereni Sana NYIMBO NZURI SANA MUNGU AWE DAIMA NANYI TUMSIFU YESU KRISTO
Milele Amina ,,, tunashukuru sana kwakweli
Hongereni sana 🎉wanachuo cha mipango 👏👏👏
Kazi nzuri sana🎉🎉
Amina sana kaka mkubwa
Nyimbo nzuri, sauti safi ❤ hakika Mbarikiwe sana
Hongera sana dada ang Diana umetoa tabasamu la Wimbo bora😂😂😂😂
Kazi nzry😇.
.mbarikiwee🤗🤗
Mbarikiwe sana kwa utumie huu... Nawaona ndugu zangu sauti ya nne mmeupiga mwingi😮❤
Aiseeee Amina sana
Hongereni Sana vijana wa mipango kwa kuinjilisha vizuri
Asante sana mkuu
Bravo Mt. Aloyce Gonzaga 🙌🙌🙌🙌🙌🥂🥂🥂🥂
Hakika mko vizur✊
Wow mbarikiwe sanaa
Kazii nzuriiii vijanaa Go! Go! Gonzaga
Safi sana hiii, mbarikiwe vijana,❤❤
Amina sana Likanyata
@@GodfreyMpunza-fj7fikijana upoooo
KWAYA NZURI DODOMA SIJAONA NA NYIMBO NZURI SANA HONGERENI SANA WANAMIPAMGO WAKATOLIKI WAIMBAJI💯💢💥😇
Asante sana Mungu akubariki pia
Asante
Ongelen sana kwa uinjilishaj irdp wimbo mzur mungu awabarik❤❤ proud of catholic 🙏🙏
Kaz nzur
Hongereni sana, hongera pia organist ameumudu wimbo vizuri...kongoreee Wanachuo wa Mipango
Hongereni sana wana mipango nyimbo nzuri sanaaa
Kongolo sana réunissons-nous pour louer DIEU, c'est très joyeux
Hahaha 😂kaka shukrani wazili wa elimu hahaha
Merci
Kazi nzuri Gonzaga family gari limewaka sasa n moto tyuu
🔥🔥🔥
Safi sana Mungu azidi kuwapa maarifa zaidi na zaidi, ni nyimbo nzuri hakuna lisilowezekana mbele ya Mungu
Asantee Sana😊😊🙏🙏🙏
Njooni watu wote,kutoka pande zote za dunia🙌🙌🥰🥰
Hongereni sanaa
Asante sana
Wimbo mzuri sana MUNGU AWABARIKI
Pamoja sana katika uijilishaji, hongereni sana wimbo mzuri sana
Hongeren Sana mipango hakika hampo nyuma kiutume
Kazi nzuri Mwenyezi mungu naimani atawabariki kwa Kila hatua mnayopiga Mungu ni Mwema awatangulie kwa Kila jambo
Amina
🎉vijana wa mipango mmetisha hatari!!!🎉❤
Waoooo inapendeza 🎉🎉🎉🎉
Mmewaka sana, nyimbo nzuri Sana na mungu awatakase katika kristo
Amina sana
Mbarikiwe sana kwa utume wanagonzaga❤
Hii kwaya n fire 🔥🔥 nawapenda sana😍
Big up wanagonzaga👏👏👏
Hii nyimbo fire 🔥
Hongera sana mtunzi na waimbaji kwa ujumla nakuona Aunt yangu God safi sana kwa uinjilishaji kwa njia ya uimbaji
Waooooo nafarijika sana Aunt yangu ,,,,,, tunaomba utuombee tufanye vizuri zaidi ya hapa😅
Mungu azingi kukuza vipaji vyenu hakika mmeimba vzur
Asantee sana😊🙏🙏
❤❤❤ hongeren sana. Majiran zetuuu hakikaaa umefanya vzr sanaa mungu azid kuwaongozaaa
Waoooo Amina sana
Haki Mungu azidi kuwainua kwa viwango vya juu Sanaa.Nimetamani kurudi Mipango..Ni zaidi ya fire 💪🏾💪🏾❤️
Rudi dada level hazijaisha mipango bado kuna masters 😂
From Agustino wa hippo coed UDOM nawakilisha hakika mmefanya vyema sana nazidi kubarikiwa sana.
Nice song ❤
Mmeupiga mwingi vijana wa mipango nawapenda sana
Tunakupenda pia❤
Asante sana tunashukuru na tunakupenda piaa
Cu siguranță Dumnezeu a înviat. Mulțumesc frumos pentru melodia frumoasă 🙏🙏💙🙌
Asantee Sana 😊😊🙏🙏
Waohhhhh 🌹🌹🌹 hongereniiii Sana jamani 🥰❤️❤️❤️❤️❤️ nawapenda mnoooo aloyce Gonzaga
Amina sana kaka
Asantee sana😊
Waooóoh mmetuheshimisha sana ❤❤🎉🎉hongereni
🙏🙏
Mko live sana hongereni sana
Amazing song with good voices from Gonzaga singers .Gob bless all
🙏
Hongereni san nyimbo nzr sana❤
Asante sana
Hongeren sanaaa!
Hongereni sana Na awabariki sana Mzidi kumtumikia yeye kwa njia ya uimbaji
Nafurahi kuona muendelezo mzuri wa kwaya hongereni sana
❤️🔥🔥🔥
Kinachonifurahisha zaidi nikiwa kama kiongoz wa kamati ya IT nikuona juhudi mnazozifanya yan siku3 mko na 1.5k viewers hii ni speed njema sana ongezeni juhudi mtafika mbali hadi wengine washangae
Sifa kwa mungu kazi nzuri wapendwa
Ongereni kazi nzurii mungu azidi kukuza vipaji venu
Tumwimbie bwana…
hii kazi ni nzuri sana hongereni sanaaa…
Incredible Song 🔥🔥🔥
Thanks much
Mko vizur hongeren sana kwa kazi nzuri
🎉🔥🔥
❤🔥🔥🔥
Waohhhhhhhbhb❤🎉❤🎉❤❤❤❤ kaz nzuri sanaa watumishi🙏🙏
Nimewaona vijana wangu,
Endeleeni kumtumikia Mungu
Nice work God bless you 🥰🥰
Amen🙏
Mungu awabariki Sana muendelee kumtumikia kwa kuimba na kulitangaza neno lakee🙏🙏
Congratulation Mungu awabariki🎉🎉
Love❤❤ from kwaya ya mt.secilia (CBE)
Ongeleni sana kwa uinjilishaji mzur wimbo mzuri sana
Beautiful ❤
🎉🎉🎉so adorable 🙏🙏Mungu azidi kuwabariki
Amina
🔥🔥🔥🔥❤❤❤
Wimbo mzuri xan ❤❤" very attractive song"
Mbarikiwe waimbaji
Hongereni sana kazi ni nzuri
Nice mbarikiwe sana........ndugu yang paul
Hongereni sanaaa
🙏
❤❤🎉🎉
Hongeren san
kazi nzuriiii sanaaa🙏🙏🙏
God did🙏 kazi ni nzuri mno halafu kuna mwanya wa mnyiha mmoja umetawala humu hatari😂 #videoqueen 🎉
😂😂😂😂mwanya lazima uonekane ili video ipambeee
@@modestermkondya7431 🔥🔥
Hahahahha eti mwanyaa😅😅😅
@@GodfreyMpunza-fj7fi 😅
Hongereni sana. Kazi nzuri
Hongereni wimbo mzuri sanaaa
Kazi nzur sana wapendwa
❤
Kazi nzuriii vijana
❤❤✊🤝
Congratulations my love kwaya at home planners dodoma🎉🎉🎉
Namwona Best yangu Idda , hongeren sana
Nice😊
👏👏👏 Kazi zuri
Wapi dadaa Egraa🤩
❤❤❤🎉🎉
Kaz nzr ❤❤❤
Wimbo mzuri na una ujumbe mnzuri sana. Changamoto ninayoona kwangu ni quality ya video imefifia sanaa. Kazi ijayo tuweke sawa hapo
Noted boss 🙏🙏🙏
😊
Much congratulations👏👏👏
Hongeren sana 🎉
🙏
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Hongereni sana planners kwaya
❤❤❤❤❤