RAIS MAGUFURI - PAULO SIRIA
Vložit
- čas přidán 13. 09. 2024
- Sio maamuzi rahisi kwa Rais wa nchi kuruhusu ibada ziendelee kwenye nyakati ambazo tunakabiliwa na janga la Corona.
Inahitaji misuli ya imani kufanya maamuzi haya.
Tunamuomba MUNGU asimame na Tanzania, asimame na Rais wetu na viongozi wetu katika kipindi hiki kigumu.
Tuliyo Rudi kuangaliya Tena tukiwa na majozi baada ya kumpoteza kipenzi ya watanzania gonga like tujuwane
Rudi uwabud Mungo masai
Juhudi uwabudu mungu
from kenya here i am,msininyime like za kufunga makanisa na misikiti kenya..
🇰🇪kenya tunakupenda paul,Tanzania our brothers and sisters we love you,mungu awabariki
🇹🇿
Hongera Sana kaka kwa kututia moyo kwa muda mchache tu nimependa nyimbo zako naomba rais magufuli akutazame kwa jicho la pili barikiwa Sana🙏🙏🙏🙏🙏
Asanat Sana kaka
Mungu akusaidie ktk huduma ya kumtukuza ungu
barikiwa bro, utaenda mbali
Am Paul from Kenya 🇰🇪 and I'm blessed with your grace
Nyimbo imenigusa kwa kweli Mungu akikabidhiwa Nchi vipepo havina maskani tena ktk Nchi ,yote ni kwa jina la Yesu kristo tunaomba na kupokea
Pongezi Sana paullo wimbo huu unabariki Sana barikiwa sana likes from🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Jamani nyimbo nzr 💖💗💖
Nampenda San nyimbo zake
Uko vizuri sana mtumishi wa Mungu Mungu akubariki sana
Ubarikiwe sana mtu wa mungu nyimbo zako nakubali sana mungu yupo hili janga la corona litaisha 2
Wewe utakwenda mbinguni tu hongera sana mwezetu nuru ije kwako🧚♂️🧚♂️🙏🙏🙏🙏🙏
Thanks
Asante kwa wimbomuzuri
Utukufu kwa mungu ,mungu uamidiwe milele
Much love 💕 from Kenya napenda nyimbo zako sana🙏🙏🙏♥️♥️
Safiiii saaan mtanii wangu 💋💋💋💋💋💋💋💋💋
Nilikuwa sikufaham kabisa kupitia nyimbo hii nimekufaham na kukuelewa hongera sana
I'm a Malawian but I love this song it's really powerful and I like your voice may good Lord bless you brother Paulo Siria keep it up🛐🛐
Hongera San Paulo kwa nyimbo nzuri,, hakika rais wetu ni mungu katupa bahati ,,mungu ampe miaka nyingi rais wetu
Nice song
Am Paul from Kenya 🇰🇪 pongezi sana
It's a very nice song, mungu akubariki Paul
Ubarikiw Mr Paulo njimbo zako zote hua zinatuinua kiroho na kimwili Be blesse brother
Be bladed brother
Hakika Mungu ana watu kwa Kila kabila , Mungu akuinue zaidi ubarikiwe
zaidi na zaidi
The best of Paul Siria. I like this song 10000k....
Ntimi Frank mikitamayana engay akupe kipaji
Ntimi Frank mikitamayana engay akupe kipaji
Nakupenda sanaa mungu akuzidishie
Hongera sana Paul,ni Wimbo wenye ujumbe mzuri kwa kipindi hiki cha ugonjwa wa COVID -19 Ili tumrudie Mungu wetu.
Paul mungu akubariki Sana kaka. Umetutia moto
Mubarikiwe sana mungu awajaze nguvu
Representing 254🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
🙄🙄
Kwani lazima mibendera yenu mtie
Okay nimebadilisha mawazo....
Best song wa Magufuli huu hapa alafu anafuata Kiba then either Harmonize/Diamond
Mbarikiwe sana
Mungu ibariki Tanzania 😍😍😍😍
Hongera Masai uko vizuri nyimbo zako ziko vizuri karibu songwe kwetu
Kazi nzuri sana Kaka. Mungu akubariki sana
Representing 254.....GOD bless Tanzania....God bless paulo🙌🙌🙌
Mungu akubariki sana kwa huduma hiyo nzuri ya uimbaji
Mimi ninapenda nyimbo zako wewe ndugu yangu na uyo rais mungu ambariki sana kwasababu amesema twendelee kuwomba
I love your voice😍😍😍😍
Tanzania be blessed God is with you people from Kenya.
Good mdogo wangu uko powaaaa xanaaaaaaaa
Wow nice song ,mungu uabudiwe
Napenda sana wanavyo cheza kimasai hadi natamani ningekua na mmi najua kucheza songi zuri sana
nakukubali sana mtumishi wa mungu kwa kazi unayo fanya mungu asidi kukuinua na kukuongesea vipaji zaidi
mungu umbariki rais wetu john pombe maguful
Mungu akubariki xana.nyimbo nzuri xana
Wa kwanza jamani naombeni like za kutosha tukionyesha umoja wetu kama watanzania, na tuzidi kuliombea taifa letu Mungu atuepushe na janga hili la corona
Me naombaa unitumiee huu wimbo WhatsApp nimelod nimeshndwaa namba 0789135779
Kazi nzuri njele
Wimbo mzuri
@@lomnyaklaizer6903 unataka wimbo
Amina mbarikiwe Sana nimewapenda sana
Asante Sana Paulo kwa wimbo wako mzuri Sana ,,,pia sisi uku Kenya imetutia moyo
ITS UNFOTUNATE THAT WE'VE LOST PRESIDENT MAGUFULÎ😰😭😭.Rais magufuli Rest in Peace.
Wah really blessing 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪in kenya
Mungu akubari mkuuu
Wimbo mzuri sana mwnynz mungu akubariki
Amina kwa wimbo mzuri unatuleta pamoja watanzania, umoja , upendo na amani ndio nguzo yetu
Hiyo wimbo yako nimeitazama Kwa siku mbili na ,Niko Kenya na sitosheki balikiwa sana
Nice song mungu uinuliwe Kila wakati
i really like the song from tz
Huna mpinzani nyimbo zako zinaujumbe mzuri ubalikiwe sana
Santee mungu kwakuipenda Tanzania yangu inailindee nakuendelea kuibariki nainchi zadunia nzima ilindee ee we yessu
Mungu akubariki sana
Sooo touching, may lord keep and watch you silus,may the favour of the lord be With you
Hatari iyo kajitahidi sana dogo paul
Imagine magufuli alivyo pendwa leo atupo nae tenaa jamaniii leo hatunae tenaa jamanii kweli rais wetu tulikupenda kapumzike kwa amanii baba yetu 😭😭💔💔💔💔💔💔💔😭😭😭
Kwa kweli daaàh bado siamin Yan Kama utani hiv Ila tujivunie tulikuwa na kiongozi mshupavu mzalendo mcha mungu mnyenyekevu mjasiri naamin mungu hatatuacha ndugu zangu tumwamin mungu
daah
Hallelujah 👏🙌🙌🙌 good message kazi nzuri utukufu umrudiye Mungu congratulations my brother 🎤🎤🎤🎤
Mungu akuinue kiwango Cha juu
Ashia like yako hapa kama umemkubali paulo na tuungane kwa pamoja kuliombea taifa letu
Ashe name ng.
Hakika mnaburudisha na mnatupa ujumbe mzuri sana ambao unatufudisha mbarikiwe sana
I
Ubarikiwe sana
Barikiwe Sana brother Paul,,, Mungu zaidi kuinua karama yako. Amen!
Pumzka babba😭😭baba tunakukumbka wanaoooo endeleaaa kumpumzika umeeacha kivuli kinaish baba Dua zetu juu yako baba,😭😭🙌🤲🙏
I rilly like ua songs brother...God bless u always
Amina sana paulo mungu akubariki sana aendelee kukuinua
Barikiwa sana ndugu Mungu wa mbinguni azidi kuku inua katika huduma yako kaka
barikiweni sana. wimbo unabariki sana mungu atupe amani dunia nzima kilio aki.
Ubarikiwe Osotua. The song is so powerful and blessing
Mungu Mwema ubarikiwe sana tuzidi Kumwinua Bwana Atusaidie zaidi na Raisi wetu Bwana Amsaidie saaana
Safi sana ndugu wimbo wako una ujumbe mkubwa sana hadi nimestaajabu kwanza.
Mungu ni mkubwa kisichowezekana kwa mwanadam kwake kinawezekana mbarikiwe wote na tanzania nzima🙏🏻
Hongera sana lalashe kwa nyimbo nzr
I really like this song from Tanzania, praise be to God Almighty
I love 💕 the song
Wow nice song 💃🏻💃🏻💃🏻💃🏻💃🏻💃🏻💃🏻
Napenda nyimbo zako kaka ,,endelea vivo hivyo na mungu akuonekanie katika maisha yako
Unajuwa boy nyimbo zako zinagonga hisia mojakwamoja ila kila mtu mda wake wa kufanya kito tofauti
Ubalikiwe sana kijana
Mungu awabariki sana
Asante Sanaa ubarikiwe na Mungu wimbo umepenya ndani yetu
I really miss Magufuli, I wish he could have reigned Kenya for only 2 yrs
Mungu akubariki kaz nzur
Nice song mtu wa mungu
Hongera sana paulo siria kwa nyimbo nzuri mungu akubariki sana
Uko sawa mtumishi
Hongera Sana kiongozi mungu akujalie neema..Press on
Wow I am a Kenyan and I am really proud of you. Be blessed 🙏 🙏 🙏
Continue rip magufuli🙏🙏
Mungu akubariki sana Paulo Siria wimbo unabariki
Asante sana kwa ujumbe mzuri, hakuna ubishi juu ya raisi Magufuli Wa Tanzania sifa na utukufu ni kwa Mungu.
Wooo 💯💯💯🎤🎶🎧🎺🎸📸💃💃💃💃🕺🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Hongera sana maneno na sauti nzuri sana
Kbx Mungu uabudiwe peke Yoko.
💞❤💕❤❤💞💞❤💕safi sana kaka Uko Vizury sana Mungu akubariki zaid
Am new in this paulo's channel...
Wow nyimbo tamu zabariki sana.. ndugu yangu barikiwa
Mungu akusimamiye kwa kila hatuwa akulinde daima....Nice song
Mungu akubariki saana ndugu kwa ujumbe mzuri ❤💕
The song is very good and enjoyable keep it up brooo💙💙💙💓💓💓💘👏👏👏
Nyimbo ya Paulo inanigusa sana wala hamu ya kumsikiliza hainiishi
Barikiwa sana msanii Paulo
It hurts that magufuli is no more. Rip shujaa. Tuko pamoja our brothers from tz. Chema hakidumu
Safi sana,,,,Ubarikiwe nyimbo mzuli sana
Mungu azidi kukuinua osinga le Jesus
Penda sana poul nabarikiwa nyimbo zako