RAIS MAGUFURI - PAULO SIRIA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 13. 09. 2024
  • Sio maamuzi rahisi kwa Rais wa nchi kuruhusu ibada ziendelee kwenye nyakati ambazo tunakabiliwa na janga la Corona.
    Inahitaji misuli ya imani kufanya maamuzi haya.
    Tunamuomba MUNGU asimame na Tanzania, asimame na Rais wetu na viongozi wetu katika kipindi hiki kigumu.

Komentáře • 550

  • @innocentwilliam1669
    @innocentwilliam1669 Před 3 lety +24

    Tuliyo Rudi kuangaliya Tena tukiwa na majozi baada ya kumpoteza kipenzi ya watanzania gonga like tujuwane

  • @evansbesa5903
    @evansbesa5903 Před 4 lety +15

    from kenya here i am,msininyime like za kufunga makanisa na misikiti kenya..

  • @fridahkarimi3457
    @fridahkarimi3457 Před 4 lety +19

    🇰🇪kenya tunakupenda paul,Tanzania our brothers and sisters we love you,mungu awabariki

  • @betricejohn5933
    @betricejohn5933 Před 4 lety +50

    Hongera Sana kaka kwa kututia moyo kwa muda mchache tu nimependa nyimbo zako naomba rais magufuli akutazame kwa jicho la pili barikiwa Sana🙏🙏🙏🙏🙏

  • @MuriukiPaul
    @MuriukiPaul Před 2 měsíci

    Am Paul from Kenya 🇰🇪 and I'm blessed with your grace

  • @dicksonkilupa2258
    @dicksonkilupa2258 Před 4 lety +32

    Nyimbo imenigusa kwa kweli Mungu akikabidhiwa Nchi vipepo havina maskani tena ktk Nchi ,yote ni kwa jina la Yesu kristo tunaomba na kupokea

  • @sylviahslyelvo7942
    @sylviahslyelvo7942 Před 4 lety +51

    Pongezi Sana paullo wimbo huu unabariki Sana barikiwa sana likes from🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @MondesWilson-jr7rr
    @MondesWilson-jr7rr Před 10 měsíci

    Jamani nyimbo nzr 💖💗💖

  • @NusuraFabianoleomotokwetu
    @NusuraFabianoleomotokwetu Před 8 měsíci

    Nampenda San nyimbo zake

  • @johnlekishon9612
    @johnlekishon9612 Před 3 lety

    Uko vizuri sana mtumishi wa Mungu Mungu akubariki sana

  • @iddb2658
    @iddb2658 Před 4 lety +7

    Ubarikiwe sana mtu wa mungu nyimbo zako nakubali sana mungu yupo hili janga la corona litaisha 2

  • @silingonjokorde154
    @silingonjokorde154 Před 4 lety +13

    Wewe utakwenda mbinguni tu hongera sana mwezetu nuru ije kwako🧚‍♂️🧚‍♂️🙏🙏🙏🙏🙏

  • @MutawalaNkundayesu
    @MutawalaNkundayesu Před 2 měsíci +1

    Asante kwa wimbomuzuri

  • @danielmulinge9884
    @danielmulinge9884 Před 3 lety

    Utukufu kwa mungu ,mungu uamidiwe milele

  • @d0rcassilas
    @d0rcassilas Před rokem +1

    Much love 💕 from Kenya napenda nyimbo zako sana🙏🙏🙏♥️♥️

  • @mwanahamis5487
    @mwanahamis5487 Před 4 lety +1

    Safiiii saaan mtanii wangu 💋💋💋💋💋💋💋💋💋

  • @bathromeobalisimula7166
    @bathromeobalisimula7166 Před 4 lety +4

    Nilikuwa sikufaham kabisa kupitia nyimbo hii nimekufaham na kukuelewa hongera sana

  • @manuelmalunga8763
    @manuelmalunga8763 Před rokem +3

    I'm a Malawian but I love this song it's really powerful and I like your voice may good Lord bless you brother Paulo Siria keep it up🛐🛐

  • @josephmolel3934
    @josephmolel3934 Před 4 lety +7

    Hongera San Paulo kwa nyimbo nzuri,, hakika rais wetu ni mungu katupa bahati ,,mungu ampe miaka nyingi rais wetu

  • @MuriukiPaul
    @MuriukiPaul Před 2 měsíci

    Am Paul from Kenya 🇰🇪 pongezi sana

  • @elizabethngina6083
    @elizabethngina6083 Před 2 lety +2

    It's a very nice song, mungu akubariki Paul

  • @hellenashely2167
    @hellenashely2167 Před 4 lety +14

    Ubarikiw Mr Paulo njimbo zako zote hua zinatuinua kiroho na kimwili Be blesse brother

  • @happyelias9465
    @happyelias9465 Před 3 lety +1

    Hakika Mungu ana watu kwa Kila kabila , Mungu akuinue zaidi ubarikiwe

  • @ntimifrank2770
    @ntimifrank2770 Před 4 lety +13

    The best of Paul Siria. I like this song 10000k....

  • @beatricemndeme1993
    @beatricemndeme1993 Před 3 lety

    Nakupenda sanaa mungu akuzidishie

  • @ezraplubwaza1538
    @ezraplubwaza1538 Před 4 lety +2

    Hongera sana Paul,ni Wimbo wenye ujumbe mzuri kwa kipindi hiki cha ugonjwa wa COVID -19 Ili tumrudie Mungu wetu.

  • @lilianmasaki962
    @lilianmasaki962 Před 3 lety

    Paul mungu akubariki Sana kaka. Umetutia moto

  • @NgeneyeDavid-di5fr
    @NgeneyeDavid-di5fr Před rokem

    Mubarikiwe sana mungu awajaze nguvu

  • @wykerztv9069
    @wykerztv9069 Před 4 lety +26

    Representing 254🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @janeyoj8228
    @janeyoj8228 Před 4 lety +1

    Okay nimebadilisha mawazo....
    Best song wa Magufuli huu hapa alafu anafuata Kiba then either Harmonize/Diamond
    Mbarikiwe sana
    Mungu ibariki Tanzania 😍😍😍😍

  • @musakajela4187
    @musakajela4187 Před 4 lety

    Hongera Masai uko vizuri nyimbo zako ziko vizuri karibu songwe kwetu

  • @kaundasutikaunda7769
    @kaundasutikaunda7769 Před 3 lety

    Kazi nzuri sana Kaka. Mungu akubariki sana

  • @zipporahmutheu3577
    @zipporahmutheu3577 Před 4 lety +8

    Representing 254.....GOD bless Tanzania....God bless paulo🙌🙌🙌

  • @saidjulius7311
    @saidjulius7311 Před 4 lety

    Mungu akubariki sana kwa huduma hiyo nzuri ya uimbaji

  • @abiliobeneditomalelia2863

    Mimi ninapenda nyimbo zako wewe ndugu yangu na uyo rais mungu ambariki sana kwasababu amesema twendelee kuwomba

  • @lornartlugano5512
    @lornartlugano5512 Před 3 lety +4

    I love your voice😍😍😍😍

  • @roerickodemba1889
    @roerickodemba1889 Před 4 lety +5

    Tanzania be blessed God is with you people from Kenya.

  • @limbuyalemacomtz7370
    @limbuyalemacomtz7370 Před 3 lety

    Good mdogo wangu uko powaaaa xanaaaaaaaa

  • @paulinemutiso6767
    @paulinemutiso6767 Před 4 lety +2

    Wow nice song ,mungu uabudiwe

  • @inathimid9979
    @inathimid9979 Před 4 lety

    Napenda sana wanavyo cheza kimasai hadi natamani ningekua na mmi najua kucheza songi zuri sana

  • @youngjanjamasaitz8774
    @youngjanjamasaitz8774 Před 4 lety +1

    nakukubali sana mtumishi wa mungu kwa kazi unayo fanya mungu asidi kukuinua na kukuongesea vipaji zaidi

  • @rizikimgonja1691
    @rizikimgonja1691 Před 4 lety

    mungu umbariki rais wetu john pombe maguful

  • @juliasmmollel6527
    @juliasmmollel6527 Před 4 lety +2

    Mungu akubariki xana.nyimbo nzuri xana

  • @miltonstephano3246
    @miltonstephano3246 Před 4 lety +42

    Wa kwanza jamani naombeni like za kutosha tukionyesha umoja wetu kama watanzania, na tuzidi kuliombea taifa letu Mungu atuepushe na janga hili la corona

  • @marrymazengo1002
    @marrymazengo1002 Před 3 lety

    Amina mbarikiwe Sana nimewapenda sana

  • @edwinarusei4249
    @edwinarusei4249 Před 4 lety +2

    Asante Sana Paulo kwa wimbo wako mzuri Sana ,,,pia sisi uku Kenya imetutia moyo

  • @mutisyamutiso1620
    @mutisyamutiso1620 Před 3 lety +4

    ITS UNFOTUNATE THAT WE'VE LOST PRESIDENT MAGUFULÎ😰😭😭.Rais magufuli Rest in Peace.

  • @mwambinguphilip55
    @mwambinguphilip55 Před 4 lety +8

    Wah really blessing 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪in kenya

  • @shafilema5077
    @shafilema5077 Před 4 lety +1

    Wimbo mzuri sana mwnynz mungu akubariki

  • @africayetutv329
    @africayetutv329 Před 4 lety +9

    Amina kwa wimbo mzuri unatuleta pamoja watanzania, umoja , upendo na amani ndio nguzo yetu

  • @lydiawangechi5292
    @lydiawangechi5292 Před 4 lety +20

    Hiyo wimbo yako nimeitazama Kwa siku mbili na ,Niko Kenya na sitosheki balikiwa sana

  • @gracechichi472
    @gracechichi472 Před 4 lety +1

    Nice song mungu uinuliwe Kila wakati

  • @felixkyumwa4412
    @felixkyumwa4412 Před 2 lety

    i really like the song from tz

  • @salmahoperi9783
    @salmahoperi9783 Před 2 lety

    Huna mpinzani nyimbo zako zinaujumbe mzuri ubalikiwe sana

  • @elizabethejohn8127
    @elizabethejohn8127 Před 4 lety +1

    Santee mungu kwakuipenda Tanzania yangu inailindee nakuendelea kuibariki nainchi zadunia nzima ilindee ee we yessu

  • @angeliqueaime3524
    @angeliqueaime3524 Před 7 měsíci

    Mungu akubariki sana

  • @lydiarono212
    @lydiarono212 Před 4 lety +3

    Sooo touching, may lord keep and watch you silus,may the favour of the lord be With you

  • @calvinjohn4428
    @calvinjohn4428 Před 3 lety

    Hatari iyo kajitahidi sana dogo paul

  • @wahiduitsverycommentmane5421

    Imagine magufuli alivyo pendwa leo atupo nae tenaa jamaniii leo hatunae tenaa jamanii kweli rais wetu tulikupenda kapumzike kwa amanii baba yetu 😭😭💔💔💔💔💔💔💔😭😭😭

    • @tiodorysafary7682
      @tiodorysafary7682 Před 3 lety

      Kwa kweli daaàh bado siamin Yan Kama utani hiv Ila tujivunie tulikuwa na kiongozi mshupavu mzalendo mcha mungu mnyenyekevu mjasiri naamin mungu hatatuacha ndugu zangu tumwamin mungu

    • @MeshackLukanda
      @MeshackLukanda Před měsícem

      daah

  • @marykibali7568
    @marykibali7568 Před 4 lety +1

    Hallelujah 👏🙌🙌🙌 good message kazi nzuri utukufu umrudiye Mungu congratulations my brother 🎤🎤🎤🎤

  • @jacklinelimo3610
    @jacklinelimo3610 Před 4 lety

    Mungu akuinue kiwango Cha juu

  • @juliaslengai3323
    @juliaslengai3323 Před 4 lety +121

    Ashia like yako hapa kama umemkubali paulo na tuungane kwa pamoja kuliombea taifa letu

  • @fatumabakari1480
    @fatumabakari1480 Před 2 lety

    Pumzka babba😭😭baba tunakukumbka wanaoooo endeleaaa kumpumzika umeeacha kivuli kinaish baba Dua zetu juu yako baba,😭😭🙌🤲🙏

  • @bentadiane4617
    @bentadiane4617 Před 4 lety +2

    I rilly like ua songs brother...God bless u always

  • @gracemartine9124
    @gracemartine9124 Před 4 lety

    Amina sana paulo mungu akubariki sana aendelee kukuinua

  • @pendaelidavid7189
    @pendaelidavid7189 Před 4 lety

    Barikiwa sana ndugu Mungu wa mbinguni azidi kuku inua katika huduma yako kaka

  • @kamutua6376
    @kamutua6376 Před 4 lety

    barikiweni sana. wimbo unabariki sana mungu atupe amani dunia nzima kilio aki.

  • @johnoledokolo8679
    @johnoledokolo8679 Před 4 lety +4

    Ubarikiwe Osotua. The song is so powerful and blessing

  • @tumainimwanyonga6601
    @tumainimwanyonga6601 Před 3 lety

    Mungu Mwema ubarikiwe sana tuzidi Kumwinua Bwana Atusaidie zaidi na Raisi wetu Bwana Amsaidie saaana

  • @GervasiBalthazary-du9qz
    @GervasiBalthazary-du9qz Před 7 měsíci

    Safi sana ndugu wimbo wako una ujumbe mkubwa sana hadi nimestaajabu kwanza.

  • @martinmhomi5687
    @martinmhomi5687 Před 4 lety +2

    Mungu ni mkubwa kisichowezekana kwa mwanadam kwake kinawezekana mbarikiwe wote na tanzania nzima🙏🏻

  • @lemomomakingada7924
    @lemomomakingada7924 Před 4 lety

    Hongera sana lalashe kwa nyimbo nzr

  • @felixnchimiye7019
    @felixnchimiye7019 Před 4 lety +11

    I really like this song from Tanzania, praise be to God Almighty

  • @susanwambui5012
    @susanwambui5012 Před 4 lety +1

    Wow nice song 💃🏻💃🏻💃🏻💃🏻💃🏻💃🏻💃🏻

  • @josephbariti3788
    @josephbariti3788 Před 4 lety +1

    Napenda nyimbo zako kaka ,,endelea vivo hivyo na mungu akuonekanie katika maisha yako

    • @francongoloma9909
      @francongoloma9909 Před 4 lety +1

      Unajuwa boy nyimbo zako zinagonga hisia mojakwamoja ila kila mtu mda wake wa kufanya kito tofauti

  • @daviessikasula703
    @daviessikasula703 Před 4 lety +1

    Ubalikiwe sana kijana

  • @muziranengerakiri9693
    @muziranengerakiri9693 Před 3 lety

    Mungu awabariki sana

  • @irenepallangyo8455
    @irenepallangyo8455 Před 4 lety +1

    Asante Sanaa ubarikiwe na Mungu wimbo umepenya ndani yetu

  • @zilpahcharlotte3856
    @zilpahcharlotte3856 Před 3 lety +2

    I really miss Magufuli, I wish he could have reigned Kenya for only 2 yrs

  • @marthamkumbwa4916
    @marthamkumbwa4916 Před 4 lety

    Mungu akubariki kaz nzur

  • @eliusmosses8688
    @eliusmosses8688 Před 4 lety +1

    Nice song mtu wa mungu

  • @danielelia4919
    @danielelia4919 Před 4 lety

    Hongera sana paulo siria kwa nyimbo nzuri mungu akubariki sana

  • @emmatv1778
    @emmatv1778 Před 4 lety

    Hongera Sana kiongozi mungu akujalie neema..Press on

  • @katenaomy7930
    @katenaomy7930 Před 4 lety +4

    Wow I am a Kenyan and I am really proud of you. Be blessed 🙏 🙏 🙏

  • @kamutua6376
    @kamutua6376 Před 3 lety

    Continue rip magufuli🙏🙏

  • @emmanuelkipkemoi3468
    @emmanuelkipkemoi3468 Před 4 lety

    Mungu akubariki sana Paulo Siria wimbo unabariki

  • @kalingaamos5526
    @kalingaamos5526 Před 4 lety

    Asante sana kwa ujumbe mzuri, hakuna ubishi juu ya raisi Magufuli Wa Tanzania sifa na utukufu ni kwa Mungu.

  • @mzeeniwewe136
    @mzeeniwewe136 Před 4 lety +2

    Wooo 💯💯💯🎤🎶🎧🎺🎸📸💃💃💃💃🕺🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @farahanafarer7588
    @farahanafarer7588 Před 4 lety

    Hongera sana maneno na sauti nzuri sana

  • @dominiqueharerimana5536
    @dominiqueharerimana5536 Před 3 měsíci

    Kbx Mungu uabudiwe peke Yoko.

  • @faizaahamd2052
    @faizaahamd2052 Před 4 lety

    💞❤💕❤❤💞💞❤💕safi sana kaka Uko Vizury sana Mungu akubariki zaid

  • @mirriammawia7595
    @mirriammawia7595 Před 4 lety +1

    Am new in this paulo's channel...
    Wow nyimbo tamu zabariki sana.. ndugu yangu barikiwa

  • @fatumahassan8212
    @fatumahassan8212 Před 4 lety

    Mungu akusimamiye kwa kila hatuwa akulinde daima....Nice song

  • @winfridaphilemon8165
    @winfridaphilemon8165 Před 4 lety +1

    Mungu akubariki saana ndugu kwa ujumbe mzuri ❤💕

  • @evelynsaiyianet8109
    @evelynsaiyianet8109 Před 3 lety +1

    The song is very good and enjoyable keep it up brooo💙💙💙💓💓💓💘👏👏👏

  • @noahnyondo912
    @noahnyondo912 Před rokem

    Nyimbo ya Paulo inanigusa sana wala hamu ya kumsikiliza hainiishi
    Barikiwa sana msanii Paulo

  • @siuzanntanywa5436
    @siuzanntanywa5436 Před 3 lety +1

    It hurts that magufuli is no more. Rip shujaa. Tuko pamoja our brothers from tz. Chema hakidumu

  • @leonardmrope9528
    @leonardmrope9528 Před 4 lety

    Safi sana,,,,Ubarikiwe nyimbo mzuli sana

  • @amanikilesi1378
    @amanikilesi1378 Před 4 lety

    Mungu azidi kukuinua osinga le Jesus

  • @magdalena7223
    @magdalena7223 Před 4 lety

    Penda sana poul nabarikiwa nyimbo zako