Video není dostupné.
Omlouváme se.

Mjue Sheikh Walid Feki Imamu Mkuu Wa Kichangani / Wizi Ndani Ya Misikiti / Sheikh Walid Alhad Omar

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 3. 08. 2021
  • Mjue Sheikh Walid Feki Imam Mkuu Wa Kichangani / Wizi Ndani Ya Misikiti / Sheikh Walid Alhad Omar
    Mashaa Alllah Bingwa Sheikh Walid Alhad Omar akieleza kwa uzur na ubora wa hali ya juu ya wizi ndani ya misikiti ukiwemo msikiti wa kichangani na pia imaam walid feki ambaye anawaibia watu kwa kutumia jina la imaam mkuu wa kichangani tizama video zetu mpaka mwisho usisahau kushare
    Support us DARSA TV
    M-PESA +255 765100906
    Paypal 👇👇👇👇
    paypal.me/Dars...
    Get MORE of DARSA TV:
    ► WATCH MORE: • Swala za Mtume Zinazop... ​
    ► FOLLOW DARSA TV on Instagram: / ​
    ► LIKE DARSA TV on Facebook: / ​
    Subscribe
    Comment
    Like
    And
    Thanks

Komentáře • 10

  • @abdulrazaktayeb
    @abdulrazaktayeb Před 7 měsíci

    Mashallah
    Jazakallah
    Hawakuweziiiiiiii......hatawakafanya nini

  • @abdallahabbas2516
    @abdallahabbas2516 Před 3 lety +1

    Masha'allah

  • @bimumaulid1171
    @bimumaulid1171 Před 3 lety +1

    mashallah

  • @somoelipunjaje1033
    @somoelipunjaje1033 Před 3 lety

    Innaa lillah wa innaa ilayhi rajiuon

  • @achanifumos1093
    @achanifumos1093 Před 3 lety +3

    As.alykum..mbona sijaelewa????? Mbona tunatukaniwa shaikh wetu mzuri ama kwa vile anaomba mchango? Basi ht Mtume s.a.w aliku anachangisha kukitokea tukio la haja ya fedha...pesa haziteremki kutoka mbinguni wala miskiti haizai pesa.. ni watu kuchangia miskiti na madrasa ndio uislamu uendelee kwa kujengwa mahala pa kusoma na pa ibada ...afuan

    • @ramadanismail3052
      @ramadanismail3052 Před 3 lety +2

      Waaleiku salam pia mm nashangaa mbona anatusiwa

    • @herson9343
      @herson9343 Před 3 lety +1

      Angalieni mpaka mwisho mtaelewa. Shekhe hajatukanwa Ila katoa kisa Cha watu wanaotapeli kupitia Jina lake

  • @abuuazhar3738
    @abuuazhar3738 Před 3 lety +1

    Hawa mashekhe wa Bidda ni mtihani sana, yani udhu wa miaka 40! Kwahiyo alikua hanyi wala akojoi? Je alikua hali? Tuache visa vya bid'daa.. wakulla biddatin dhwalala wa kullu dhwalalati fi nnari jahannam..

    • @abuubakariamiri1037
      @abuubakariamiri1037 Před 3 lety +1

      Mungu akuepushe na ubishani na akujaalie.. uwe ni mtu mwenye kusoma na siyo kusikia kwa masheikh ...Allah akuongoze

    • @achanifumos1093
      @achanifumos1093 Před 3 lety +4

      Hapo yataka utumie AKILI sio kukosoakosa tu...ht akienda haja atakua anarudi kutawadha na kuendelea na ibada zake...afadhali ungeuliza halali? Na hilo la kula kuna kulala bila ya kuvundika udhuu...ni kulala kwa kukaa...watu waling'ang'ana na ibada sio km sisi kubishanabishana ovyo