Agape Gospel Band - Bwana ni Mchungaji Wangu ( Official Music Video )
Vložit
- čas přidán 4. 05. 2024
- Zaburi 23:1-2,4,6
[1]BWANA ndiye mchungaji wangu,
Sitapungukiwa na kitu.
[2]Katika malisho ya majani mabichi hunilaza,
Kando ya maji ya utulivu huniongoza.
[4]Naam, nijapopita kati ya bonde la uvuli wa mauti,
Sitaogopa mabaya;
Kwa maana Wewe upo pamoja nami,
Gongo lako na fimbo yako vyanifariji.
[6]Hakika wema na fadhili zitanifuata
Siku zote za maisha yangu;
Nami nitakaa nyumbani mwa BWANA milele.
Wakwanza Leo naomba liké ata kumi
Team Kenya chapa like tukisonga🇰🇪❤️🎉
From Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Tanzania 🇹🇿🇹🇿 wapi like za agape bad weka hapa like zote za agape 🎉🎉🎉🎉
Following closely from Kenya. I'm a drummer na napenda sana kazi ya Agape. Nimefanya drum covers za nyimbo zenu mingi sana Kwa CZcams. More blessings 🙏🏻
Muzik wa rumba gospel ulikuwa unazingua apa bongo ila awa jamaa wameuweza knoma asee
❤❤❤kweli Agape mmejuwa kunikamata akili# ogopa Sana mziki ukiwa kama kilevi kwa mtu🤦🏻♂️🤦🏻♂️ yaan sjuwi nifurahi ama nilie# kaka wa solo guitar MUNGU ANAKUONA 🙌🙌🙌
Indeed the Lord God Almighty is my shepherd ( Mungu wangu Asante Sana kwamaisha yangu na Familia)😢
Kenya we are proud of you Agape Tunawapenda sana ❤❤❤
Wewe ni mwema maishani mwangu ❤❤❤❤🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 huu usiku ulkuwa usku wa baraka dabo dabooo😂😂😂😂😂
Wewe ni mwema maishani mwangu nyimbo tamu sana
Tulio na uhakika kwamba BWANA ni Mchungaji wetu na hatutapungukiwa na kitu tuseme Amina kwa Ishara ya👍👍🇰🇪🇰🇪
Introoo 🔥 ❤❤❤❤❤❤❤❤
zimbabwe is represented guys bring it on
On it from Eldoret Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🔥🙏🔥🙏🔥
I waited for this release for long! At last mmeiachia Agape Gospel Band. From
Agape gospel band wanatambulika sana KENYA 🇰🇪 kuliko kwao TZ 🇹🇿
Great...but i expected the drummer to do something at the climax...he is relaxed....the other drumer does it wooow
At first they weren't comfortable ministering whilst sitting they love dancing a lot till they stood up 😄😄 I really love your dance moves watching you from Zambia🇿🇲 continue praising and exalting the name of the LORD! God bless you people🙏
Barikiwa sana,
in behalf of zimbabwe I am gladly waiting