upande wa mungu wa kwel ndiko hushinda,utajiandaa mpaka utazeeka lkn mwsh we hutashinda,mungu na karate ,ugaid, wap na wap,yesu anasema aman na iwe kwenu.
Jamani,hapa hatuangalii dini yoyote.Tatizo hapa ni kujiingiza katika vitendo vya kigaidi.Watu wakisikia majina ya dini yao wanaona kuwa wanaonewa,hakuna wa kuonewa nchi hii bwana.Kama watu wamekamatwa na vigezo vipo vinavyoashiria uhatarishi wa amani,no way out sheria ifuate mkondo wake,awe ni Juma au John lazima sheria imfuate hukohuko.
uisilamu nidini ilio kuwa najaziba kubwa ndiyo maana manake hata ukiona mtu akitoka uisilamu wanamuuwa kwanini umuuwe mwezio so inawezakana nidini ya vita sana Kikubwa wamwamini Yesu wawe na moyo wahuruma. ..
kiukweli mimi nasikitika sana kwa haya yanayotokea kwa sisi waislamu kwann ssi tuuu naliomba jeshi la polisi lifanye uchunguzi vzr siyo kuwatuhumu waislamu bila hatia
Sasa Kama Wameshikwa Asikali Wanangojea Kitu Gani Wapelekwe Polini Wapigwe Risasi Mchezo Uishe Kuliko Kusema Eti Watoto Gaidi Nisawa Na Mchawi Awezi Kuwa Na Uruma Hata Kwa Mama Au Mama Kwa Mtoto Akiwa Gaidi Maliza Mchezo Uko Uko
Hakuna dini isiyo ya amani na huo ndo msingi mkubwa wa dini.Kila siku misikitini na makanisani wanahubiri amani amani.Sisi wote wa amani tu,Vita hatuitaki nchini mwetu.Hongera kiongozi kwakufichua nyumba hiyo iliyo porini na jeshi la polisi kwa ujumla.
kwakweli saiv kila kitu waislamu yani tunaonekana watu wabaya lakini wao wao ndo wanatumia chaka na jina la ugaidi kuwashutumu waislamu MUNGU NUSURU WAJA WAKO WA KISLAM NA WASIYO KUA WAISLAMU HAKIKA WEWE NDO MTOA HUKUMU ALLAH TUSAIDIE
we muislamu mwenyekiti lakini mungu atakuwazibu Kwa vile unavyo stahili kabisa wewe si muislamu kabisa mana hakuna Muislamu aliye ruhusiwa kuwa na pia kuvaaa hijabu ni lazima na nistara ya kila mwanamke , usizalau dini yako yani kweli unastahili kusema majinguo ya ajabu Inalilahi waina lilahi rajiuna , NATUMA HAKUNA MUISLAMU MUUWAJI NAMINI HIVYO
Hata taarifa mtusaidie zfike kwa rais kuna madudu sana mbunge mwenyewe tangu tumchague haonekan tumpe nani kero letu sasahivi ushuru sh 30000 kutoka kwenye 15000 hatuna wakututete MKUU wa mkoa hatumjui naombeni hata no ya makonda.
Kwa watu wakifanya jambo fulani hapa Tanzania hujulikana kama ni magaidi na vile uislamu ulifanywa ugaidi tangu kipindi yesu (issa ) yuduniani yaani alizuliwa ugaidi na maadui kama hii haitoshi MUSA na Haruni alikadhalika hawa wote walikua Muslim dalili ya haya someni quruani pale Allah anaposema enyi mlioamini mufaradhishiwa saumu kama alivyo faradhishiwa waliokuwepo kabla yenu inamaana uislamu ndio diini ya mitume wote lakini hawakuwachwa hivi hivi na ndio maana Paulo aliwauwa watakatifu wa yesu (Issa bin Mariam )kwa kuwazulia mambo mengi mabaya kama ugaidi na mengineyo hawatakua radhi mayahudi na manaswala mpaka mfuate mila zao za kutembea uchi kunywa pombe za kila aina mpaka kuziita baadhi yake ni halali hakuna muyahudi au mkristo anaekemea pombe au nightclub hizi ndio njia zao hapa duniani ikiwa ndio pepo yao na baadhi ya waislamu wanaiga lakini nakukumbusha muislam inna li insaana lafiighusri ila aladhiina amanu waamiru swalihat watawasaubil haq watawasaubi sabil
magaidi wenyewe wapi wapi?acheni sanaa nyinyi au ndio mnatafuta kiki coz kichwa cha habari kingine Picha nyingine na habari haifanani na Picha hovyo kweli nyie.
Daaah, hebu watanzania wenzangu tujiulilize kwanini wanafanya haya yote,! maana labda kuna hayo waliofanyiwa labda wanalipa kisasi! maana nchi yenye hii kwa rushwa, huenda kuna watu walinyimwa hakizao mbele ya mahakama au kituo cha police, ndo wanaamuwa kulipa! ,lakini mungu anawaona, ipo siku watagundulika tu! Pombe hatataki utani na mtu!
HUU usanii tu KILA MTU ANAEKAMATWA MSITUN HATA KAMA ANATAFUTA KUNI TAYARI GAIDI ILI MRADI MNAMUULIZA JINA TU AKIWA MUISLAM BASI GAIDI MNATAKA MUISHI PEKEENU DUNIA HII?
nahamin mungu alisema ataulinda uislamu mpaka kihama naakasema dini yaiislamu niyake kumbuka kisa cha mtume cha alkaba sis wavivu wakuomba duwa tumlilie allah muujiza upo sis tumeamini usipoteze muda kubishana nakafiri ivi jiulize gadafi au sadam au osama kosa lipi kama co wanafiki sis tunadin yetu nawao wanaukafiri wao awawezi kumuabudu tunaemuabudi sis nawala sis atuwezi kuabudu shetwani lahana tulah wanaemuabudu wao
nahamin mungu alisema ataulinda uislamu mpaka kihama naakasema dini yaiislamu niyake kumbuka kisa cha mtume cha alkaba sis wavivu wakuomba duwa tumlilie allah muujiza upo sis tumeamini usipoteze muda kubishana nakafiri ivi jiulize gadafi au sadam au osama kosa lipi kama co wanafiki sis tunadin yetu nawao wanaukafiri wao awawezi kumuabudu tunaemuabudi sis nawala sis atuwezi kuabudu shetwani lahana tulah wanaemuabudu wao
Acheni uwongo ni vigezo gani vimethibitisha kuwa hao ni magaidi? Kwani mwislamu akifanya mazoezi ya ngumi basi kawa gaidi kwahiyo mnataka mfanye nyie tu. Au mnataka dunia nzima mbaki madhehebu mengine waislamu wote tufe?
na hiyo jihad hao wanawake ktk jihad wanafanya nn jihad sio kwa wanawake pia mh aliye sema kulazimishwa wavae maguo ya ajabu hzo n vaz kama gaun tofaut n shart za uvaaj wa maguo hayo. maguo hyo yavaliwa lakn sio kwamba yalisemwa yavaliwe ili yatumike kuua watu wasio na hatia
Ndo tukome kujichukulia madaraka kwenye account za watu unajingiza tu sehemu ya MTU mkitiiwa wezi mnalia tena aliekupeleka pale nani mpaka uitiwe mwizi ungekaa mbali haya yote yasingekupata kubalini yote mtakayoambiwa ndani ya kuhaki account za watu
upande wa mungu wa kwel ndiko hushinda,utajiandaa mpaka utazeeka lkn mwsh we hutashinda,mungu na karate ,ugaid, wap na wap,yesu anasema aman na iwe kwenu.
Tumeelewa. Lengo Ni kuchafua uislamu. Wakiristo mmefeli.
Mungu irehemu Tanzania
Wananchi wote tuiilinde amani ya nchi yetu
duu dunia imeisha jamani watoto!! tena
sio ukiwa mwislam kunakundi ktk uwislam wanatuaribia dini yetu
ingekuwa siodini ya mwenyezi mungu isingekuwepo lakini kwa uwezo wa mwenyezimung inakuwa na watu wanaelewa
mungu hawaogoze...Tanzania
wanaofundisha watoto wetu ugaidi wamelaaniwa
Jamani,hapa hatuangalii dini yoyote.Tatizo hapa ni kujiingiza katika vitendo vya kigaidi.Watu wakisikia majina ya dini yao wanaona kuwa wanaonewa,hakuna wa kuonewa nchi hii bwana.Kama watu wamekamatwa na vigezo vipo vinavyoashiria uhatarishi wa amani,no way out sheria ifuate mkondo wake,awe ni Juma au John lazima sheria imfuate hukohuko.
Magaidi wanatumia kivuli cha mavazi ya dini ili kujificha na kufanya yao kisha unaonekana Uislam ni ugaidi Inna lillah wa Inna lillah rajiun
Asante global tv sana,
Mungu kaweka miguu bongo so never happen any war
tutazungumza mengi mwisho wa siku ukweli upo wazi dunia yote inajua uislam ni tatizo
Tatizo kubwa mnooo
mheshimiwa ana taki wa awajiibishe wanao wafundisha watoto ugaidi
SUBHUHANAALLHA.yani huunimtihani laitikama kungelikuwa nauwezekano wangeli usoma uisilamu wakautambua bs wangelijiona kuwa waondio magaidi.uisilamu nidini yaamani sana.
asante kwa taarifa
mnauhakika au mnachuki tu na waislam Allah at a was high uplinks siku ya kiama haya yote mapoto tu
Wewe chizi Tanzania hututaki Mambo ya udini kila mtu ana haki ya kumwabudu Mungu wake.
daaah hii ni chuki tuu hakuna kitu cha ugaidi hapo pori likwapi watoto mbona wanasoma kawaida tofauti za kidin hizi
furusix
tunakoelekea usalama ni mdogo sana jamani
Taifa linaenda pabaya pia huyo mwenye kiti nae angedakwa coz hayo Maelezo yake inaonekana anajua issue mwanzo mwisho ila anaogopa kuweka wazi
Ooh my God
ntaarifa hii ni ya kwelii? au,hayo mahojiano sijayaelewa vizuri
Okay
wanajisema suuni lakn hakuna sunnah ya hvyo hao wataadhibiwa kwa makosa yao hayo ya kuua watu bila sababab
Chuki zenu dhidi ya uislamu zitawarudia wenyewe sisi waislamu tunakaa kwa amani kazi kwenu munaotafuta kiki za uongo.
in kweli.
iz not sure
haya shaur zenu
uisilamu nidini ilio kuwa najaziba kubwa ndiyo maana manake hata ukiona mtu akitoka uisilamu wanamuuwa kwanini umuuwe mwezio so inawezakana nidini ya vita sana Kikubwa wamwamini Yesu wawe na moyo wahuruma. ..
kiukweli mimi nasikitika sana kwa haya yanayotokea kwa sisi waislamu kwann ssi tuuu naliomba jeshi la polisi lifanye uchunguzi vzr siyo kuwatuhumu waislamu bila hatia
Waislamu hao
shukrn kwa habr
dude mtihani kwa kweli
duuh! niqabu ni vazi la ajabu? wewe mwenyekiti muogope mungu wako....
Sasa Kama Wameshikwa Asikali Wanangojea Kitu Gani Wapelekwe Polini Wapigwe Risasi Mchezo Uishe Kuliko Kusema Eti Watoto Gaidi Nisawa Na Mchawi Awezi Kuwa Na Uruma Hata Kwa Mama Au Mama Kwa Mtoto Akiwa Gaidi Maliza Mchezo Uko Uko
Mm nadhani tusubir tu, ila everything is possible.
Watu wa 'media' lazima muwe na aibu katika kutuhabarisha baadhi ya habari.Huu ni uwongo mliotuletea na hayo ni maigizo tu.
Uongo gani kitu cha kweli kabisa
Hakuna dini isiyo ya amani na huo ndo msingi mkubwa wa dini.Kila siku misikitini na makanisani wanahubiri amani amani.Sisi wote wa amani tu,Vita hatuitaki nchini mwetu.Hongera kiongozi kwakufichua nyumba hiyo iliyo porini na jeshi la polisi kwa ujumla.
Allah tunusuru wote waislam kwani maadui qanatuchukia sana
Ruqaiya Ibrahim mmejichukia wenyewe mungu wenu hana nguvu mpaka mjilipue
david mbilinyi haujajitambua ww mungu wko ni yupi huyo mwenye nguvu kumshinda Allah?
david mbilinyi weewe kafiri tuliaz makalio yako
@@mussaamour9216 Allah maana yake Mungu kwa kiswahili so musichanganikiwe
kwakweli saiv kila kitu waislamu yani tunaonekana watu wabaya lakini wao wao ndo wanatumia chaka na jina la ugaidi kuwashutumu waislamu MUNGU NUSURU WAJA WAKO WA KISLAM NA WASIYO KUA WAISLAMU HAKIKA WEWE NDO MTOA HUKUMU ALLAH TUSAIDIE
we muislamu mwenyekiti lakini mungu atakuwazibu Kwa vile unavyo stahili kabisa wewe si muislamu kabisa mana hakuna Muislamu aliye ruhusiwa kuwa na pia kuvaaa hijabu ni lazima na nistara ya kila mwanamke , usizalau dini yako yani kweli unastahili kusema majinguo ya ajabu Inalilahi waina lilahi rajiuna , NATUMA HAKUNA MUISLAMU MUUWAJI NAMINI HIVYO
Al shabaab 💪💪💪💪
🏴⚔️🏳
Wewe pia ni muislam gaidi mwenzao umbwa kabisa
Daaaa Hawa wauliwe woteee
Hata mchukie uisilam Allah ndiye muazi wa kila jambo
si muislam tu akiwa unaipinga tu serikal unapewa kes ya ugaidi au unatekwa na kupotezwa kabisaaaaa
mbona munaficha sura huu uwongo kama mumeamuwa kufichuwa basi wekeni hadhaharani
Hao waeslamu ndo wanaaribu TANZANIA chunguzeni vizuri mnaenda pabaya kabisa
hivi unajifunza ugaidi ukusaidie Nini?
wanajtahd sana kutuaminisha kua ugaid upo ili mashekhe waendelee kusota jela hekoo!!!Ibila kuangalia hatma ya usalam wa taifa
Hamna ktu chochote ni chuki za uislam tu lakn na amin kama alivyosema Allh ataulinda uislam ndivyo hvyo
asante
Poleni watanganyika
Kumbe kunawatu hawana akili unatetea ujinga kamani magaidi wanafaidagani sasa wa uwawetu
Huo ni uchonganishi tu Kufanya mazoezi ya kareti nikosa? Mungu yupo Uislamu ataulinda tu
Global TV acheni ushoga
jaman story iyo yazaman.tunaitaji new story sio kbadili kichwa cha habari.global achen Ku copy na kupest
Balaa
hatuwaelewi bhana ninyi achen chuki za kidn watanzania cc tu wamoj mlichoandka n nn na mnachoongea n nn
duu hatari wapi tunaelekea
Hata taarifa mtusaidie zfike kwa rais kuna madudu sana mbunge mwenyewe tangu tumchague haonekan tumpe nani kero letu sasahivi ushuru sh 30000 kutoka kwenye 15000 hatuna wakututete MKUU wa mkoa hatumjui naombeni hata no ya makonda.
mtauchukia muislam but hamtawezi
Yaan ukiwa muislam ni shda achen uchochez uso kua na maana
kila mtu gaidi sasa watoto wadogo wawe magaidi kwa silaha gani walizonazo
Hivi kwenye ugaidi mkiua mnapata faida gani? wakati na wewe unakufa??????❓❓❓
Mnahalalisha mauji kwa Waislam ila siku mtajutia washenzi nyie!!
tumechoka kila siku wimbo kuhsu WAISILLAM. ss tumemewasea nn KAMA SIO chuki za kidini acheni chuki za kidini.
Sio kuchoka ndo mlivyo nn kipyaaa hapo ,,, si ndio nyie wa JIhad au wakujipuluwa kwenda mbinguni
MBNA majina ya hao watoto baba yao mmoja tu shabani uenda ilikua family tu hiyo jmni
global kama hamuna habari katafuteni mabasha wawafire. musilete habari za uwongo
Kwa watu wakifanya jambo fulani hapa Tanzania hujulikana kama ni magaidi na vile uislamu ulifanywa ugaidi tangu kipindi yesu (issa ) yuduniani yaani alizuliwa ugaidi na maadui kama hii haitoshi MUSA na Haruni alikadhalika hawa wote walikua Muslim dalili ya haya someni quruani pale Allah anaposema enyi mlioamini mufaradhishiwa saumu kama alivyo faradhishiwa waliokuwepo kabla yenu inamaana uislamu ndio diini ya mitume wote lakini hawakuwachwa hivi hivi na ndio maana Paulo aliwauwa watakatifu wa yesu (Issa bin Mariam )kwa kuwazulia mambo mengi mabaya kama ugaidi na mengineyo hawatakua radhi mayahudi na manaswala mpaka mfuate mila zao za kutembea uchi kunywa pombe za kila aina mpaka kuziita baadhi yake ni halali hakuna muyahudi au mkristo anaekemea pombe au nightclub hizi ndio njia zao hapa duniani ikiwa ndio pepo yao na baadhi ya waislamu wanaiga lakini nakukumbusha muislam inna li insaana lafiighusri ila aladhiina amanu waamiru swalihat watawasaubil haq watawasaubi sabil
Eti Ata kama ni mama yako,, asiposwali usimpe chakula! Watch out!
Global mnazngua unaleta ujinga sasa tutawahama.. Msilete unafk
waisIam achaani ugaidi jamn
magaidi wenyewe wapi wapi?acheni sanaa nyinyi au ndio mnatafuta kiki coz kichwa cha habari kingine Picha nyingine na habari haifanani na Picha hovyo kweli nyie.
mmhhhh
Ivi wewe kwani siye mwenye kipindi chetu pendwa cha tiki tivi
no need to blame for ??? maybe ndo misimamo yao coz even you consult alqueda, alshababu, Islamic States, and more
Stephen Mligo ju
vichwa vya story zenu vingi vya uongo vinatoafautiana na story tutaacha kutazama
Daaah, hebu watanzania wenzangu tujiulilize kwanini wanafanya haya yote,! maana labda kuna hayo waliofanyiwa labda wanalipa kisasi! maana nchi yenye hii kwa rushwa, huenda kuna watu walinyimwa hakizao mbele ya mahakama au kituo cha police, ndo wanaamuwa kulipa!
,lakini mungu anawaona, ipo siku watagundulika tu! Pombe hatataki utani na mtu!
Hawa watu hawanaga sababu ni umbwa hawa
sipendi na ninachukia wanao chafua uislam
uhu udini sasa utatufanya watu tuwe wakiristo mana ukiwa muisalam ni shida Tanzania tuna elekea wapi
sasa kujifunza carate na judo ni ujambazi acheni hizo
Wewe Mzeee hujielewi kabisa ugaidi ukiingia Tz utauweza kweli mbona kila kukicha mwataja ugaidi au mwautamu uingie Tz waulize nchi jirani kenya nini wanacho kutana nacho
iv kwel ukijilipua unaenda wapi?
HUU usanii tu KILA MTU ANAEKAMATWA MSITUN HATA KAMA ANATAFUTA KUNI TAYARI GAIDI ILI MRADI MNAMUULIZA JINA TU AKIWA MUISLAM BASI GAIDI
MNATAKA MUISHI PEKEENU DUNIA HII?
inamana mmalekani naye muisilam au figisu tuu
#udini dhidi ya #uislamu
kama hamkutaka kutuonesha taarifa na sura za hao msinge post hiyo habar nyie global tv
nahamin mungu alisema ataulinda uislamu mpaka kihama naakasema dini yaiislamu niyake kumbuka kisa cha mtume cha alkaba sis wavivu wakuomba duwa tumlilie allah muujiza upo sis tumeamini usipoteze muda kubishana nakafiri ivi jiulize gadafi au sadam au osama kosa lipi kama co wanafiki sis tunadin yetu nawao wanaukafiri wao awawezi kumuabudu tunaemuabudi sis nawala sis atuwezi kuabudu shetwani lahana tulah wanaemuabudu wao
nahamin mungu alisema ataulinda uislamu mpaka kihama naakasema dini yaiislamu niyake kumbuka kisa cha mtume cha alkaba sis wavivu wakuomba duwa tumlilie allah muujiza upo sis tumeamini usipoteze muda kubishana nakafiri ivi jiulize gadafi au sadam au osama kosa lipi kama co wanafiki sis tunadin yetu nawao wanaukafiri wao awawezi kumuabudu tunaemuabudi sis nawala sis atuwezi kuabudu shetwani lahana tulah wanaemuabudu wao
Abulkharim Msanga muujiza gani zaidi ya kujilipua na kuchinja watu
We mtangazaji jifunze kunyoa vizuri bana huo mnyoo wako unaonekana km mbwia sembe tu hufanani na journalist....
Wasiwasi wenu ndio maradhi yenu
dini izo
waislam wapo wanafiki wasubirie siku ya mwisho
tatizo lenu amujasoma dini kzi yenu shule2
waongo kabiisa
Acheni uwongo ni vigezo gani vimethibitisha kuwa hao ni magaidi? Kwani mwislamu akifanya mazoezi ya ngumi basi kawa gaidi kwahiyo mnataka mfanye nyie tu. Au mnataka dunia nzima mbaki madhehebu mengine waislamu wote tufe?
na hiyo jihad hao wanawake ktk jihad wanafanya nn jihad sio kwa wanawake
pia mh aliye sema kulazimishwa wavae maguo ya ajabu
hzo n vaz kama gaun tofaut n shart za uvaaj wa maguo hayo.
maguo hyo yavaliwa lakn sio kwamba yalisemwa yavaliwe ili yatumike kuua watu wasio na hatia
Naona mauzauza
Ndo tukome kujichukulia madaraka kwenye account za watu unajingiza tu sehemu ya MTU mkitiiwa wezi mnalia tena aliekupeleka pale nani mpaka uitiwe mwizi ungekaa mbali haya yote yasingekupata kubalini yote mtakayoambiwa ndani ya kuhaki account za watu
trump
Hizi Propaganda Za Mfumo Kristo , Endereeni Mnachokitaka Mtakipata.
#global chuki zenu dhidi ya#uislamu tuna ziona nawambia waislamu #susini magazeti ya #kafiri huyi
TUTANUNUA
Wece Chiko kafiri mwenzao nunua tu
Upuuzi tu na chuki
Mtangazaj ww ni mchochez hata kamanda hajaongea kama ni magaid Hao acha kuchochea ubaya