SAKATA LA MKURANGA: Kukamatwa kwa watoto kwa tuhuma za ugaidi, mengi yaibuka

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 21. 11. 2016
  • SAKATA LA MKURANGA: Kukamatwa kwa watoto kwa tuhuma za ugaidi, mengi yaibuka

Komentáře • 207

  • @geraldmwanakatwe6237
    @geraldmwanakatwe6237 Před 7 lety +2

    upande wa mungu wa kwel ndiko hushinda,utajiandaa mpaka utazeeka lkn mwsh we hutashinda,mungu na karate ,ugaid, wap na wap,yesu anasema aman na iwe kwenu.

  • @barakarama9541
    @barakarama9541 Před 5 lety +2

    Tumeelewa. Lengo Ni kuchafua uislamu. Wakiristo mmefeli.

  • @geofreyuswege9148
    @geofreyuswege9148 Před 7 lety +2

    Mungu irehemu Tanzania

  • @fungayiemmanuel9747
    @fungayiemmanuel9747 Před 2 lety +2

    Wananchi wote tuiilinde amani ya nchi yetu

  • @rebeccamziray7180
    @rebeccamziray7180 Před 7 lety +2

    duu dunia imeisha jamani watoto!! tena

  • @anwarmohamed4154
    @anwarmohamed4154 Před 7 lety +6

    sio ukiwa mwislam kunakundi ktk uwislam wanatuaribia dini yetu

  • @shuwehaharunaomariikwena233

    ingekuwa siodini ya mwenyezi mungu isingekuwepo lakini kwa uwezo wa mwenyezimung inakuwa na watu wanaelewa

  • @princessjosekanini665
    @princessjosekanini665 Před 7 lety +2

    mungu hawaogoze...Tanzania

  • @geraldtv8517
    @geraldtv8517 Před 7 lety +1

    wanaofundisha watoto wetu ugaidi wamelaaniwa

  • @sabinamashauri1112
    @sabinamashauri1112 Před 7 lety +2

    Jamani,hapa hatuangalii dini yoyote.Tatizo hapa ni kujiingiza katika vitendo vya kigaidi.Watu wakisikia majina ya dini yao wanaona kuwa wanaonewa,hakuna wa kuonewa nchi hii bwana.Kama watu wamekamatwa na vigezo vipo vinavyoashiria uhatarishi wa amani,no way out sheria ifuate mkondo wake,awe ni Juma au John lazima sheria imfuate hukohuko.

  • @musaedwardcpo1593
    @musaedwardcpo1593 Před 7 lety +1

    Magaidi wanatumia kivuli cha mavazi ya dini ili kujificha na kufanya yao kisha unaonekana Uislam ni ugaidi Inna lillah wa Inna lillah rajiun

  • @janewacera7812
    @janewacera7812 Před 7 lety +1

    Asante global tv sana,

  • @kharidyblauda7046
    @kharidyblauda7046 Před 7 lety +2

    Mungu kaweka miguu bongo so never happen any war

  • @vancesolomon6298
    @vancesolomon6298 Před 7 lety +3

    tutazungumza mengi mwisho wa siku ukweli upo wazi dunia yote inajua uislam ni tatizo

  • @gerrybrowsyoweke4070
    @gerrybrowsyoweke4070 Před 7 lety

    mheshimiwa ana taki wa awajiibishe wanao wafundisha watoto ugaidi

  • @fatwimasalim1691
    @fatwimasalim1691 Před 7 lety

    SUBHUHANAALLHA.yani huunimtihani laitikama kungelikuwa nauwezekano wangeli usoma uisilamu wakautambua bs wangelijiona kuwa waondio magaidi.uisilamu nidini yaamani sana.

  • @josephatharajick6997
    @josephatharajick6997 Před 7 lety

    asante kwa taarifa

  • @ruqaiyaibrahim1865
    @ruqaiyaibrahim1865 Před 7 lety +6

    mnauhakika au mnachuki tu na waislam Allah at a was high uplinks siku ya kiama haya yote mapoto tu

    • @lulanjamd3886
      @lulanjamd3886 Před 3 lety

      Wewe chizi Tanzania hututaki Mambo ya udini kila mtu ana haki ya kumwabudu Mungu wake.

  • @Dakingyasta
    @Dakingyasta Před 7 lety +4

    daaah hii ni chuki tuu hakuna kitu cha ugaidi hapo pori likwapi watoto mbona wanasoma kawaida tofauti za kidin hizi

  • @lembrislemilya5321
    @lembrislemilya5321 Před 7 lety +1

    tunakoelekea usalama ni mdogo sana jamani

  • @saulmwakyusa1001
    @saulmwakyusa1001 Před 7 lety +2

    Taifa linaenda pabaya pia huyo mwenye kiti nae angedakwa coz hayo Maelezo yake inaonekana anajua issue mwanzo mwisho ila anaogopa kuweka wazi

  • @elizabethnafunae863
    @elizabethnafunae863 Před 7 lety

    Ooh my God

  • @hasanimohamed1915
    @hasanimohamed1915 Před 7 lety +2

    ntaarifa hii ni ya kwelii? au,hayo mahojiano sijayaelewa vizuri

  • @EcoEssence_wellness
    @EcoEssence_wellness Před 7 lety

    Okay

  • @ibnbakr2298
    @ibnbakr2298 Před 7 lety +1

    wanajisema suuni lakn hakuna sunnah ya hvyo hao wataadhibiwa kwa makosa yao hayo ya kuua watu bila sababab

  • @hamdounkhamis9542
    @hamdounkhamis9542 Před 7 lety +1

    Chuki zenu dhidi ya uislamu zitawarudia wenyewe sisi waislamu tunakaa kwa amani kazi kwenu munaotafuta kiki za uongo.

  • @josephkajinga5114
    @josephkajinga5114 Před 7 lety

    in kweli.

  • @johnmicky2572
    @johnmicky2572 Před 7 lety

    iz not sure

  • @frenkithomas3973
    @frenkithomas3973 Před 7 lety

    haya shaur zenu

  • @sara.wanjalaalipoyesuyotey3613

    uisilamu nidini ilio kuwa najaziba kubwa ndiyo maana manake hata ukiona mtu akitoka uisilamu wanamuuwa kwanini umuuwe mwezio so inawezakana nidini ya vita sana Kikubwa wamwamini Yesu wawe na moyo wahuruma. ..

  • @mbarakashomary8675
    @mbarakashomary8675 Před 7 lety

    kiukweli mimi nasikitika sana kwa haya yanayotokea kwa sisi waislamu kwann ssi tuuu naliomba jeshi la polisi lifanye uchunguzi vzr siyo kuwatuhumu waislamu bila hatia

  • @samuelminja6590
    @samuelminja6590 Před 2 lety

    Waislamu hao

  • @babyh8882
    @babyh8882 Před 7 lety +1

    shukrn kwa habr

  • @hassanimbwana4158
    @hassanimbwana4158 Před 7 lety +3

    duuh! niqabu ni vazi la ajabu? wewe mwenyekiti muogope mungu wako....

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 Před 10 měsíci

    Sasa Kama Wameshikwa Asikali Wanangojea Kitu Gani Wapelekwe Polini Wapigwe Risasi Mchezo Uishe Kuliko Kusema Eti Watoto Gaidi Nisawa Na Mchawi Awezi Kuwa Na Uruma Hata Kwa Mama Au Mama Kwa Mtoto Akiwa Gaidi Maliza Mchezo Uko Uko

  • @loner_wolf
    @loner_wolf Před 3 lety

    Mm nadhani tusubir tu, ila everything is possible.

  • @gonelahassakwa6650
    @gonelahassakwa6650 Před 7 lety +3

    Watu wa 'media' lazima muwe na aibu katika kutuhabarisha baadhi ya habari.Huu ni uwongo mliotuletea na hayo ni maigizo tu.

  • @sabinamashauri1112
    @sabinamashauri1112 Před 7 lety

    Hakuna dini isiyo ya amani na huo ndo msingi mkubwa wa dini.Kila siku misikitini na makanisani wanahubiri amani amani.Sisi wote wa amani tu,Vita hatuitaki nchini mwetu.Hongera kiongozi kwakufichua nyumba hiyo iliyo porini na jeshi la polisi kwa ujumla.

  • @ruqaiyaibrahim1865
    @ruqaiyaibrahim1865 Před 7 lety +5

    Allah tunusuru wote waislam kwani maadui qanatuchukia sana

    • @davidmbilinyi4198
      @davidmbilinyi4198 Před 7 lety +3

      Ruqaiya Ibrahim mmejichukia wenyewe mungu wenu hana nguvu mpaka mjilipue

    • @mussaamour9216
      @mussaamour9216 Před 7 lety

      david mbilinyi haujajitambua ww mungu wko ni yupi huyo mwenye nguvu kumshinda Allah?

    • @hassanihussein4479
      @hassanihussein4479 Před 7 lety

      david mbilinyi weewe kafiri tuliaz makalio yako

    • @ericalexandre2166
      @ericalexandre2166 Před 4 lety

      @@mussaamour9216 Allah maana yake Mungu kwa kiswahili so musichanganikiwe

  • @mussaomari1218
    @mussaomari1218 Před 7 lety

    kwakweli saiv kila kitu waislamu yani tunaonekana watu wabaya lakini wao wao ndo wanatumia chaka na jina la ugaidi kuwashutumu waislamu MUNGU NUSURU WAJA WAKO WA KISLAM NA WASIYO KUA WAISLAMU HAKIKA WEWE NDO MTOA HUKUMU ALLAH TUSAIDIE

    • @mussaomari1218
      @mussaomari1218 Před 7 lety

      we muislamu mwenyekiti lakini mungu atakuwazibu Kwa vile unavyo stahili kabisa wewe si muislamu kabisa mana hakuna Muislamu aliye ruhusiwa kuwa na pia kuvaaa hijabu ni lazima na nistara ya kila mwanamke , usizalau dini yako yani kweli unastahili kusema majinguo ya ajabu Inalilahi waina lilahi rajiuna , NATUMA HAKUNA MUISLAMU MUUWAJI NAMINI HIVYO

  • @hemedytengu5718
    @hemedytengu5718 Před 3 lety +1

    Al shabaab 💪💪💪💪

  • @omegawilliamu5911
    @omegawilliamu5911 Před 7 lety

    Daaaa Hawa wauliwe woteee

  • @saudakimaro999
    @saudakimaro999 Před 6 lety

    Hata mchukie uisilam Allah ndiye muazi wa kila jambo

  • @kajanjaahamadi7550
    @kajanjaahamadi7550 Před 5 lety

    si muislam tu akiwa unaipinga tu serikal unapewa kes ya ugaidi au unatekwa na kupotezwa kabisaaaaa

  • @ajuxman9382
    @ajuxman9382 Před 7 lety

    mbona munaficha sura huu uwongo kama mumeamuwa kufichuwa basi wekeni hadhaharani

  • @thereseuwezo4608
    @thereseuwezo4608 Před 6 lety

    Hao waeslamu ndo wanaaribu TANZANIA chunguzeni vizuri mnaenda pabaya kabisa

  • @arafatimjungu2510
    @arafatimjungu2510 Před 7 lety +1

    hivi unajifunza ugaidi ukusaidie Nini?

  • @nassoroamani1148
    @nassoroamani1148 Před 7 lety

    wanajtahd sana kutuaminisha kua ugaid upo ili mashekhe waendelee kusota jela hekoo!!!Ibila kuangalia hatma ya usalam wa taifa

  • @mahmoudkibwana5048
    @mahmoudkibwana5048 Před 7 lety

    Hamna ktu chochote ni chuki za uislam tu lakn na amin kama alivyosema Allh ataulinda uislam ndivyo hvyo

  • @fatumamasudi365
    @fatumamasudi365 Před 7 lety +1

    asante

  • @sirilimichaelpamojasana2033

    Kumbe kunawatu hawana akili unatetea ujinga kamani magaidi wanafaidagani sasa wa uwawetu

  • @santyhassan4186
    @santyhassan4186 Před 7 lety

    Huo ni uchonganishi tu Kufanya mazoezi ya kareti nikosa? Mungu yupo Uislamu ataulinda tu

  • @ididmsangi8216
    @ididmsangi8216 Před 3 lety

    Global TV acheni ushoga

  • @gesusgegangphray7689
    @gesusgegangphray7689 Před 7 lety

    jaman story iyo yazaman.tunaitaji new story sio kbadili kichwa cha habari.global achen Ku copy na kupest

  • @EcoEssence_wellness
    @EcoEssence_wellness Před 7 lety

    Balaa

  • @faudhiasaid93
    @faudhiasaid93 Před 7 lety

    hatuwaelewi bhana ninyi achen chuki za kidn watanzania cc tu wamoj mlichoandka n nn na mnachoongea n nn

  • @i.dclassic116
    @i.dclassic116 Před 7 lety

    duu hatari wapi tunaelekea

  • @daudbernad9459
    @daudbernad9459 Před 7 lety

    Hata taarifa mtusaidie zfike kwa rais kuna madudu sana mbunge mwenyewe tangu tumchague haonekan tumpe nani kero letu sasahivi ushuru sh 30000 kutoka kwenye 15000 hatuna wakututete MKUU wa mkoa hatumjui naombeni hata no ya makonda.

  • @masseanadir2904
    @masseanadir2904 Před 7 lety

    mtauchukia muislam but hamtawezi

  • @salmadashlaquimanelaquiman4427

    Yaan ukiwa muislam ni shda achen uchochez uso kua na maana

  • @ashurasakinamnyoti2366

    kila mtu gaidi sasa watoto wadogo wawe magaidi kwa silaha gani walizonazo

  • @burtonsatshop2061
    @burtonsatshop2061 Před 7 lety

    Hivi kwenye ugaidi mkiua mnapata faida gani? wakati na wewe unakufa??????❓❓❓

  • @HassanHassan-sn5cj
    @HassanHassan-sn5cj Před 3 lety

    Mnahalalisha mauji kwa Waislam ila siku mtajutia washenzi nyie!!

  • @ARFIddy
    @ARFIddy Před 7 lety +1

    tumechoka kila siku wimbo kuhsu WAISILLAM. ss tumemewasea nn KAMA SIO chuki za kidini acheni chuki za kidini.

    • @babarebecca304
      @babarebecca304 Před 7 lety +1

      Sio kuchoka ndo mlivyo nn kipyaaa hapo ,,, si ndio nyie wa JIhad au wakujipuluwa kwenda mbinguni

  • @allymmtuta5096
    @allymmtuta5096 Před 7 lety

    MBNA majina ya hao watoto baba yao mmoja tu shabani uenda ilikua family tu hiyo jmni

  • @ajuxman9382
    @ajuxman9382 Před 7 lety

    global kama hamuna habari katafuteni mabasha wawafire. musilete habari za uwongo

  • @iddymwingamno6891
    @iddymwingamno6891 Před 7 lety

    Kwa watu wakifanya jambo fulani hapa Tanzania hujulikana kama ni magaidi na vile uislamu ulifanywa ugaidi tangu kipindi yesu (issa ) yuduniani yaani alizuliwa ugaidi na maadui kama hii haitoshi MUSA na Haruni alikadhalika hawa wote walikua Muslim dalili ya haya someni quruani pale Allah anaposema enyi mlioamini mufaradhishiwa saumu kama alivyo faradhishiwa waliokuwepo kabla yenu inamaana uislamu ndio diini ya mitume wote lakini hawakuwachwa hivi hivi na ndio maana Paulo aliwauwa watakatifu wa yesu (Issa bin Mariam )kwa kuwazulia mambo mengi mabaya kama ugaidi na mengineyo hawatakua radhi mayahudi na manaswala mpaka mfuate mila zao za kutembea uchi kunywa pombe za kila aina mpaka kuziita baadhi yake ni halali hakuna muyahudi au mkristo anaekemea pombe au nightclub hizi ndio njia zao hapa duniani ikiwa ndio pepo yao na baadhi ya waislamu wanaiga lakini nakukumbusha muislam inna li insaana lafiighusri ila aladhiina amanu waamiru swalihat watawasaubil haq watawasaubi sabil

  • @khamardmgoi9983
    @khamardmgoi9983 Před 7 lety +1

    Eti Ata kama ni mama yako,, asiposwali usimpe chakula! Watch out!

  • @aminaahamad5417
    @aminaahamad5417 Před 3 lety

    Global mnazngua unaleta ujinga sasa tutawahama.. Msilete unafk

  • @frenkithomas3973
    @frenkithomas3973 Před 7 lety

    waisIam achaani ugaidi jamn

  • @kingosman9311
    @kingosman9311 Před 7 lety

    magaidi wenyewe wapi wapi?acheni sanaa nyinyi au ndio mnatafuta kiki coz kichwa cha habari kingine Picha nyingine na habari haifanani na Picha hovyo kweli nyie.

  • @estacharles7315
    @estacharles7315 Před 7 lety

    mmhhhh

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 Před 2 lety

    Ivi wewe kwani siye mwenye kipindi chetu pendwa cha tiki tivi

  • @stephenmligo7179
    @stephenmligo7179 Před 7 lety

    no need to blame for ??? maybe ndo misimamo yao coz even you consult alqueda, alshababu, Islamic States, and more

  • @utongaemmanuel9061
    @utongaemmanuel9061 Před 7 lety

    vichwa vya story zenu vingi vya uongo vinatoafautiana na story tutaacha kutazama

  • @Mbugokilonda
    @Mbugokilonda Před 7 lety

    Daaah, hebu watanzania wenzangu tujiulilize kwanini wanafanya haya yote,! maana labda kuna hayo waliofanyiwa labda wanalipa kisasi! maana nchi yenye hii kwa rushwa, huenda kuna watu walinyimwa hakizao mbele ya mahakama au kituo cha police, ndo wanaamuwa kulipa!
    ,lakini mungu anawaona, ipo siku watagundulika tu! Pombe hatataki utani na mtu!

  • @johnmaduka1098
    @johnmaduka1098 Před 7 lety

    sipendi na ninachukia wanao chafua uislam

  • @sashababy1321
    @sashababy1321 Před 7 lety +2

    uhu udini sasa utatufanya watu tuwe wakiristo mana ukiwa muisalam ni shida Tanzania tuna elekea wapi

  • @ashurasakinamnyoti2366

    sasa kujifunza carate na judo ni ujambazi acheni hizo

  • @hassanihussein4479
    @hassanihussein4479 Před 7 lety

    Wewe Mzeee hujielewi kabisa ugaidi ukiingia Tz utauweza kweli mbona kila kukicha mwataja ugaidi au mwautamu uingie Tz waulize nchi jirani kenya nini wanacho kutana nacho

  • @sammabula7359
    @sammabula7359 Před 7 lety +1

    iv kwel ukijilipua unaenda wapi?

  • @drmsouthsmalltrader1138

    HUU usanii tu KILA MTU ANAEKAMATWA MSITUN HATA KAMA ANATAFUTA KUNI TAYARI GAIDI ILI MRADI MNAMUULIZA JINA TU AKIWA MUISLAM BASI GAIDI
    MNATAKA MUISHI PEKEENU DUNIA HII?

  • @yazidumakeo4032
    @yazidumakeo4032 Před 7 lety

    inamana mmalekani naye muisilam au figisu tuu

  • @binmoshi3449
    @binmoshi3449 Před 7 lety

    #udini dhidi ya #uislamu

  • @cleverlandmusicbyshakur423

    kama hamkutaka kutuonesha taarifa na sura za hao msinge post hiyo habar nyie global tv

    • @abulkharimmsanga8832
      @abulkharimmsanga8832 Před 7 lety +1

      nahamin mungu alisema ataulinda uislamu mpaka kihama naakasema dini yaiislamu niyake kumbuka kisa cha mtume cha alkaba sis wavivu wakuomba duwa tumlilie allah muujiza upo sis tumeamini usipoteze muda kubishana nakafiri ivi jiulize gadafi au sadam au osama kosa lipi kama co wanafiki sis tunadin yetu nawao wanaukafiri wao awawezi kumuabudu tunaemuabudi sis nawala sis atuwezi kuabudu shetwani lahana tulah wanaemuabudu wao

    • @abulkharimmsanga8832
      @abulkharimmsanga8832 Před 7 lety +1

      nahamin mungu alisema ataulinda uislamu mpaka kihama naakasema dini yaiislamu niyake kumbuka kisa cha mtume cha alkaba sis wavivu wakuomba duwa tumlilie allah muujiza upo sis tumeamini usipoteze muda kubishana nakafiri ivi jiulize gadafi au sadam au osama kosa lipi kama co wanafiki sis tunadin yetu nawao wanaukafiri wao awawezi kumuabudu tunaemuabudi sis nawala sis atuwezi kuabudu shetwani lahana tulah wanaemuabudu wao

    • @vancesolomon6298
      @vancesolomon6298 Před 7 lety

      Abulkharim Msanga muujiza gani zaidi ya kujilipua na kuchinja watu

  • @josephstephen2047
    @josephstephen2047 Před 7 lety

    We mtangazaji jifunze kunyoa vizuri bana huo mnyoo wako unaonekana km mbwia sembe tu hufanani na journalist....

  • @ummusamira3518
    @ummusamira3518 Před 7 lety

    Wasiwasi wenu ndio maradhi yenu

  • @suleimanmarcelo287
    @suleimanmarcelo287 Před 7 lety

    dini izo

  • @ruqaiyaibrahim1865
    @ruqaiyaibrahim1865 Před 7 lety +5

    waislam wapo wanafiki wasubirie siku ya mwisho

  • @dickyally7038
    @dickyally7038 Před 7 lety

    tatizo lenu amujasoma dini kzi yenu shule2

  • @behonest9964
    @behonest9964 Před 7 lety

    waongo kabiisa

  • @santyhassan4186
    @santyhassan4186 Před 7 lety +4

    Acheni uwongo ni vigezo gani vimethibitisha kuwa hao ni magaidi? Kwani mwislamu akifanya mazoezi ya ngumi basi kawa gaidi kwahiyo mnataka mfanye nyie tu. Au mnataka dunia nzima mbaki madhehebu mengine waislamu wote tufe?

  • @ibnbakr2298
    @ibnbakr2298 Před 7 lety

    na hiyo jihad hao wanawake ktk jihad wanafanya nn jihad sio kwa wanawake
    pia mh aliye sema kulazimishwa wavae maguo ya ajabu
    hzo n vaz kama gaun tofaut n shart za uvaaj wa maguo hayo.
    maguo hyo yavaliwa lakn sio kwamba yalisemwa yavaliwe ili yatumike kuua watu wasio na hatia

  • @machinjashabani361
    @machinjashabani361 Před 7 lety

    Naona mauzauza

  • @famffamf40
    @famffamf40 Před 7 lety

    Ndo tukome kujichukulia madaraka kwenye account za watu unajingiza tu sehemu ya MTU mkitiiwa wezi mnalia tena aliekupeleka pale nani mpaka uitiwe mwizi ungekaa mbali haya yote yasingekupata kubalini yote mtakayoambiwa ndani ya kuhaki account za watu

  • @luganokapula6267
    @luganokapula6267 Před 7 lety

    trump

  • @asadickislamu1928
    @asadickislamu1928 Před 7 lety

    Hizi Propaganda Za Mfumo Kristo , Endereeni Mnachokitaka Mtakipata.

  • @binmoshi3449
    @binmoshi3449 Před 7 lety +2

    #global chuki zenu dhidi ya#uislamu tuna ziona nawambia waislamu #susini magazeti ya #kafiri huyi

  • @IbnuAlly-cg2gn
    @IbnuAlly-cg2gn Před 6 měsíci

    Upuuzi tu na chuki

  • @majaliwahamad4053
    @majaliwahamad4053 Před 5 lety

    Mtangazaj ww ni mchochez hata kamanda hajaongea kama ni magaid Hao acha kuchochea ubaya