LIVE: SHEIKH OTHMAN MAALIM - ADUI YETU NI UFUKARA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 28. 08. 2024
  • Follow Ktv Tz Online
    Facebook | KTV TZ ONLINE
    INSTAGRAM |@ktv_tz_online
    #ijitimai_zanzibar_2019,
    #tabligh_FIYSABILLAH

Komentáře • 101

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 Před 9 měsíci +1

    Mashallah, Jazakallahu kher shekhe Othman Maalim, Nakupenda kwaajili ya Allah 🙏Allah akubariki sana 🙏

  • @FrancisRichard-vs1yp
    @FrancisRichard-vs1yp Před rokem +1

    Mashaallah!!shekh wewe ni fundi wa daawah!!mwenyez Mungu akulinde na akujaalie malipo makubwa ambayo hukutaraji

  • @sahimalbatawy3372
    @sahimalbatawy3372 Před 5 lety +25

    ww shekh Othman fund mungu akupe wepes uzid ufund ww ndo miongon mwa warith Wa mitume niombeee dua na mm Allah snipe nguvu na snipe wepes Wa kutoa ili tuupoteze umasikn .ukiikubal hii gonga like .

    • @humudmmanga6483
      @humudmmanga6483 Před 3 lety +1

      Katika haya mawaidha musitutilie miziki hii ni mawaidha ya dini .lazima muheshimu mawaidha .

  • @rackymayugi6815
    @rackymayugi6815 Před 5 lety +7

    Mashaa Allah. Sheikh Allah akulipe kila laheri na akuepushe na kila lashari. Ameen yarabil alameen

  • @ashurarashid418
    @ashurarashid418 Před 7 měsíci

    Maashallah sheikh othman maalim allah akuzidi shie yenye hp duniani na kesho akhera unatuelimisha Alhamdulilah Allah atakulipa

  • @almassoud3109
    @almassoud3109 Před 4 lety +3

    Mashallah. Wallah raha ilioje hii Allah ampe maisha marefu sheikh Othman azidi kutupa ukumbusho

  • @almassoud3109
    @almassoud3109 Před 5 lety +2

    Faida ilioje. Raha ilioje. Elimu ilioje aliyokupa jallla fiy ulaaa. Allah akupe afya na umri wa kufikisha zaid na zaid ya haya

  • @fatumaramadhanmashaallahal9966

    Shukran ya ustad ana isma bin qatar wajazaka Allahu heri Allah ya hidiki wayahad umatul Muhammad salalahu alay wasalam

  • @user-dx5lz6du4y
    @user-dx5lz6du4y Před 5 lety +8

    Shehe Othman maalem niombee dua mtto wangu nayy apate elimu kama yakwako

  • @solangeirakoze1289
    @solangeirakoze1289 Před 2 lety +1

    My favorite sheikh ever MashaAllah. Allah akuhifadhi duniani n akhera amiin

  • @nawawiitara7909
    @nawawiitara7909 Před 5 lety +1

    Jazaaka llahu sheikh othman maalim
    Kheir kubwa hii ktv nawashukur sana kwa Kazi kubwa hii safi sana namuomba allah awalipe kher
    Km kuna mtu anamchukia Sheikh Othman maalim basi mtu huyo achunguze nafsi yake vizuri

  • @fatmamsafiri2763
    @fatmamsafiri2763 Před 4 lety +1

    Mashallah shekh Othman nataman siku moja uje nikuone Ana kwa Ana nataman wallah namuomba Allah anijalie nikuone

  • @zabibunyirasafali852
    @zabibunyirasafali852 Před 4 lety +2

    Allah azidi kuongezea maisha mema Othman maalim

  • @OmanOm-wy5wj
    @OmanOm-wy5wj Před 4 měsíci

    Shukrani sàna shehe yaani tunàfarijikà sànà kiroho❤❤

  • @mams1892
    @mams1892 Před 5 lety +6

    Allah akuhifadhi Sheikh wetu Othman

  • @jamalkishangu
    @jamalkishangu Před 9 měsíci

    Sheikh umeeleza mambo mazito sana, na yatabaki juu katika mizani mpaka siku ya kiama.

  • @XYZHome
    @XYZHome Před 5 lety +13

    This man is chosen, Tabaarakallah.
    May Allah acceptance be showered on him,and I ask Allah for forgiveness .

    • @angeljax296
      @angeljax296 Před 3 lety

      you all prolly dont care at all but does someone know of a trick to get back into an instagram account??
      I stupidly lost my account password. I love any help you can offer me!

    • @jonahfinn6852
      @jonahfinn6852 Před 3 lety

      @Angel Jax instablaster :)

    • @angeljax296
      @angeljax296 Před 3 lety

      @Jonah Finn i really appreciate your reply. I found the site thru google and im in the hacking process atm.
      Takes quite some time so I will get back to you later when my account password hopefully is recovered.

    • @angeljax296
      @angeljax296 Před 3 lety

      @Jonah Finn it worked and I now got access to my account again. I am so happy!
      Thanks so much you saved my account!

    • @jonahfinn6852
      @jonahfinn6852 Před 3 lety

      @Angel Jax happy to help :)

  • @alimohamedalisaid7040
    @alimohamedalisaid7040 Před 5 lety +2

    Mashallha nice darasa mungu akuzidisia ameen thuma ameen and good life ameen thuma ameen

  • @salmatalhiyn3225
    @salmatalhiyn3225 Před 5 lety +8

    Assalam Alaykum Warahmatullah Wabarakatuh...Shukran Ktv tz Online Kwa Kutufikishie Kheri Hizi Namuomba Allah Awazidishie Rizki Zenu Na Awaruzuku Afya Njema Na Uhai Mrefu Wenye Kheri...Pia Naomba CD Ya Haya Mawaidha In Shaa Allah Zinapatikana Wapi Naomba Unisaidie

  • @hdhdhdhdhdhd6933
    @hdhdhdhdhdhd6933 Před 5 lety +2

    Allah akujaalie kila lahery shekh wetu nauzid kutuelekeza

  • @kamilaabdi2310
    @kamilaabdi2310 Před 3 lety +1

    Jazakallakheiran, my favourite sheikh of all tym....

  • @OmarAli-ev4cn
    @OmarAli-ev4cn Před 5 lety +2

    Mashallah! ! Othuman malim ALLAH akupe umr mrefu wenye her nawewe!

  • @adamzdamz6592
    @adamzdamz6592 Před 5 lety +8

    thanks othman maalim listening from qatarx
    allah akupe more and more sababu twapata mafunzo bora zaidi

  • @ambestambest9165
    @ambestambest9165 Před 4 lety +2

    I love othuman maalim

  • @mudimaarifa9394
    @mudimaarifa9394 Před 5 lety +6

    Mungu atufanyie wepesi kwa kila hatua waislamu🤲🏻

    • @leyouthaaljabri4949
      @leyouthaaljabri4949 Před 5 lety

      Shukran Shekhe kwa ukumbosho
      Allah akuhifadhi kwa kila hatua
      Allah akupe umri mrefu uzidi kutufindi uislamu

  • @alhajrahassan89
    @alhajrahassan89 Před 4 lety +1

    Allah bariq sheikh wetu Othman maalim

  • @fatmaaly9686
    @fatmaaly9686 Před 5 lety +4

    Mashaallah atupe mwisho mwema sisi pamoja na wazazi wetu na waislamu kwa ujumla 🕋

  • @nureyna629
    @nureyna629 Před 5 lety +2

    Maasha-Allaah sheikh Othmaan Allah akupe umri mrefu waje kufaid na watoto wetu Inshaa-Allah... Mwenyezi Mungu atujaalie tuwe wepesi ktk kutowa Mali zetu ktk mambo ya kheri Inshaa-Allah..

  • @samirnaty8774
    @samirnaty8774 Před 5 lety +1

    Masha Allah shehe umetufungua na mengi ambayo tulikua na was was nayo in sha Allah mungu akulipe kwa ujira wako

  • @jokhanassor3507
    @jokhanassor3507 Před 5 lety +3

    Naam uasafi ni faradhi sheikh Othman 🌷☺

  • @mubirirashidi
    @mubirirashidi Před rokem

    Mashaaallah ❤️❤️❤️ shkh wetu othman Maalim i love you allah azidi kukubaarik

  • @ahmedhamisi328
    @ahmedhamisi328 Před 3 lety

    Masha Allah shekh othuman mwenyezi mungu kuzidishie umri ili Yazidi mutual nasaa

  • @hilalisaidseif8483
    @hilalisaidseif8483 Před 4 lety +1

    Hazina ya umma Masha Allah

  • @yassinsenge3675
    @yassinsenge3675 Před 4 lety

    Sheikh Othman Maalim Allah akubarik ktk utoaji wa mawaidha na Darsa zenye tija kwetu na atufanyie wepesi sisi wapokeaji hakika tusiishie ktk kusikiliza pasi kuyafanyia kazi kwa yakini tutapiga hatua Inshaallah

  • @zoharimohammed1569
    @zoharimohammed1569 Před 5 lety +3

    wageita tuko pamoja nimeumia saana kukosa shughuri hii Allah awape kheri

  • @fatmarashid1843
    @fatmarashid1843 Před 3 lety

    Mansha allah shekhe othumani
    Mawaidha mazuri sanaaa
    Yakweli kabisa mansha allah Allah akupe umri

  • @aishajeaninejeanine8934
    @aishajeaninejeanine8934 Před 5 lety +1

    shukran sheikh watu Allah akujalie kila la heri.

  • @ashooraashoora1180
    @ashooraashoora1180 Před 5 lety +3

    Jazzakumllah Khery

  • @mams1892
    @mams1892 Před 5 lety +2

    Jazzakallahu kheir

  • @myoutubecom-gg7sb
    @myoutubecom-gg7sb Před 3 lety +2

    MashaAllah

  • @muhsinmahamba2629
    @muhsinmahamba2629 Před 5 lety +1

    masha Allah shekhe mungu akupe umri mrefu

  • @aminamhina9129
    @aminamhina9129 Před rokem

    Masha Allah

  • @jokhanassor3507
    @jokhanassor3507 Před 5 lety +1

    Maashallah tupo pamoja kma niko kidoti vile 🌷🌷🌷

  • @shabanimarijani662
    @shabanimarijani662 Před 5 lety +1

    Mwenyezi mungu atakuongoza inshaallah.

  • @faizasaid8262
    @faizasaid8262 Před 5 lety +3

    Mashallah

  • @fatmaamour5103
    @fatmaamour5103 Před 5 lety +3

    mashallah

  • @saeedsaeed7381
    @saeedsaeed7381 Před 5 lety +3

    Mashallah mawaidha mazuri

  • @abdinuraden1806
    @abdinuraden1806 Před 9 měsíci

    ❤very interesting

  • @jasminamani3828
    @jasminamani3828 Před 5 lety +1

    Masha Allah mungu akuzidishie

  • @abeidaadiseif4781
    @abeidaadiseif4781 Před 3 lety

    Allah atuaafikiishe kutokuzipa uzito ikhtilafu isiwe sababu ya kufariqiana.

  • @jimjam4162
    @jimjam4162 Před 5 lety +2

    MASHA ALLAH sh. Othman Maalim.

  • @salehsuleyman933
    @salehsuleyman933 Před 5 lety +1

    Thnk my maalim we love you

  • @salehzz290
    @salehzz290 Před 5 lety +1

    MA SHA ALLAH

  • @rkenea4262
    @rkenea4262 Před 5 lety +1

    Masha Allah ya Othman

  • @alshukilialshukili9610
    @alshukilialshukili9610 Před 5 lety +1

    Allah awape kheri

  • @asmmaasmma1172
    @asmmaasmma1172 Před 5 lety +1

    Man sha Allah

  • @faulatafahmi7733
    @faulatafahmi7733 Před 5 lety +1

    Nimewapata Alhamdulillah...muko Tamaaman kabisa

  • @yasirahmed3515
    @yasirahmed3515 Před 3 lety

    Maashaallah Tabaarakallahu

  • @sabraham5308
    @sabraham5308 Před 5 lety +3

    Ihtilafu zinakubalika katika wananazuoni wote,na Allahu yaalamu,kwa sasa mambo yamo kwenye vitabu na faridhatu ilmu alla kulli muslimu,tusiwe na jazba,tuache hawaa za nafsi zetu, bidaa itabakia kuwa bidaa,na haitokubalika,kufuatwa ni upotevu tu,tusije tukapotea,ya kufuatwa aliyotuelekeza mtume Muhammad SAW na Quran kwa mujibu wa mtume alivyoshushiwa,Juu ya wote na hao aliowataja,walihitifiana ,ihtilafu ndogo ndogo na katika wote hawa hawakupata kufanya bidaa kubwa ya maulidi,na sote tunampenda tunamsalia mtume katika kila sala,za fardhi na sunna,na kila tunapomuomba Allah subhana wataala,tuache kujitukuza kupita kiasi,mtukufu ni Allah,tumtukuze Allah subhana wataala na tumfuate mtume aliyotuelekeza.Barakallahu feequm.

    • @aliyomar9140
      @aliyomar9140 Před 5 lety

      Saad Mohammed wew bwegee....kwani yametajwa maulid.....wew ugonjwa wako maulid......wew hufanyi bidaa?hebu soma kwnza........wew mwenyeo bidaaaa tupu........

    • @aishahamadi9605
      @aishahamadi9605 Před 5 lety +2

      Saad Mohammed Allah akupe ufahamu..Ama kwa hakika Sheikh Othman ameeleza kwa ufasaha sana walakin kutokamana na comment yako inaonekana una gonjwa la dhanna kiilmu huenda ukawa humuelewa ndio maana umeingiza mada ya maukid hapa usilolijua na nina imani sheikh Othman alieleza kiufasaha kuhusu suala zima la maulid walakin yako no chuki....ondoa hilo akhui sote ni wamoja

    • @adamzdamz6592
      @adamzdamz6592 Před 5 lety

      @@aishahamadi9605
      htilafu zinakubalika katika wananazuoni wote,na Allahu yaalamu,kwa sasa mambo yamo kwenye vitabu na faridhatu ilmu alla kulli muslimu,tusiwe na jazba,tuache hawaa za nafsi zetu, bidaa itabakia kuwa bidaa,na haitokubalika,kufuatwa ni upotevu tu,tusije tukapotea,ya kufuatwa aliyotuelekeza mtume Muhammad SAW na Quran kwa mujibu wa mtume alivyoshushiwa,Juu ya wote na hao aliowataja,walihitifiana ,ihtilafu ndogo ndogo na katika wote hawa hawakupata kufanya bidaa kubwa ya maulidi,na sote tunampenda tunamsalia mtume katika kila sala,za fardhi na sunna,na kila tunapomuomba Allah

    • @aishahamadi9605
      @aishahamadi9605 Před 5 lety +2

      @@adamzdamz6592 akhui Allah akuzidishie ilmu na akuongoze ila nakushauri sikiza faswaha alizoziongea sheikh...mada imehusu adua yetu ni Ufukara na akarambaramba kwenye ikhtilaaf...maadamu wewe chuki unayo juu ya msimamo wa Sheikh othmaan kuhusu maulid wataka msimamo wako ndio usikizwe...yeye anayo sababu ya kusherehekea maulid...walakin nyinyi ndio munaojiona wema kuwapa wenzenu moto na pepo...nikikwambia nitajie uharamu wa Maulid huna hata sababu moja na utakazozitaja hazitoshabahiana na maulid tunayoyajua sisi bali utatafuta viasbab vidogovidogo ambavyo hata sisi twapingana navyo katika kusherehekea maulid...Maulid hakuna bid'aa ndani yake na pepo haingii yeyote ila kwa Rahma za Allah....ikiwa umeshindwa na ilmu ya "mujtahidun" katika kueleza mambo haya usitumie CZcams pia wewe maana ni BID'AA hakuna mtume wala swahaba wala tabieeen alietumia CZcams...Tafakari na utambue kuna ilmu za mujtahideen usiwe shabiki wa shekhe flani mukawa mwawapa watu majina yasiyostahili mukiwaingiza na kuwatoa watu kwenye uislamu munavyotaka nyinyi haifai sote ni wamoja na bid'aa za wazi pia sisi twazijua na twazipinga. ASSALAMU ALAIKUM

    • @adamzdamz6592
      @adamzdamz6592 Před 5 lety +2

      kila siku nasikiza mawaidha ya otman from qatar hakika maalim is profosional in islam kila darasa,
      allah ampe kekhma zaidi
      @@aishahamadi9605

  • @khamisrubea5083
    @khamisrubea5083 Před 5 lety +6

    Inahitaji kutumia akili sana kutafahamu haya nawaidha ya sheikh othman vyenginevo utahisi kakosea

  • @safilarose6247
    @safilarose6247 Před 2 lety

    Assalamu Walaikum Warahmatuh Wabarakatuh.

  • @keiazizi5746
    @keiazizi5746 Před 3 lety

    Allah akuzidishie elimu

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 Před 5 lety +4

    Asalaam aleykum, mbona mmewasahau mashehe wetu ambao wako jela wa UAMSHOy?

    • @faulatafahmi7733
      @faulatafahmi7733 Před 5 lety

      Kweli

    • @fatmaaly9686
      @fatmaaly9686 Před 5 lety

      Kweli lkn kila mwaka hawasemi kwa7bu maneno yote wanapangiwa na serekali hawawezi kutaja mashekhe roho zinauma kila mtu anasemakwanini maada ya mashekhe inaachwanyuma

  • @neemagambere9987
    @neemagambere9987 Před 5 lety +1

    mashallah.malimu

  • @zulekhaabdalla7408
    @zulekhaabdalla7408 Před 4 lety +1

    Thakbir

  • @faulatafahmi7733
    @faulatafahmi7733 Před 5 lety +2

    Alhamdulillah nafurahi

    • @ummuraw6372
      @ummuraw6372 Před 5 lety

      M.Mungu awalipe kheri daima watumishi wote wa KTV hii ni sadaka kwenu kwa ssi tulio mbali tunahisi tupo ktk viwanja kwa kweli tunafarajika pia ALLAH awalipe kheri wahadhiri wote. Amiin

    • @abdukhamis436
      @abdukhamis436 Před 5 lety

      Mashallah Allah awadumishe mashekhe wetu Na maamiri wetu WA markaz akiwemo amiri mkuu amir Ali khamis mwinyi Kwa kuifanikisha ijtimai Allah awajaze kheri nyingi

  • @shelinswai3926
    @shelinswai3926 Před 4 lety

    This year Hakuna hutba mpya za shekh

  • @hamisally5850
    @hamisally5850 Před 5 lety +1

    Pamoja san

  • @laylisaid9563
    @laylisaid9563 Před 5 lety +1

    👏👏👏💖👑💝🤲🙏

  • @halimamsafiri1532
    @halimamsafiri1532 Před 5 lety +2

    Naomba kwa aliokuwa nayo video hii anitumie 0717195547

  • @mudimaarifa9394
    @mudimaarifa9394 Před 5 lety +2

    Allah akuweke akupe maisha marefu

  • @mumys7999
    @mumys7999 Před 5 lety +2

    Masha Allah