Sheikh Yusuf Abdi - Baadhi Ya Shida Wanazopata Vijana Wanaotaka Kuoa

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 30. 09. 2014

Komentáře • 28

  • @salumalawi3434
    @salumalawi3434 Před 6 lety +4

    mawazo yangu Mimi wazee Mrudi kwenye mafundisho ya Mtume Wetu ili watoto wetu waishi maisha yenyekuridhiwa na Allah s. u. t. kwasababu wawo watakua niwenye kufuata muongozo aliokuja nao sayd na Muhammad s. W. a. acheni kujali fedha za mtu angalieni dini
    dini hii ya kiislam ndio iliokuja kuondoa ya kharam na ikaleta ya halali pesa sio kitu kikubwa wala fakhari Bali kitu kikubwa na fakhari nikua muislam na ukafuata muongozo wakislam aliokuja na wetu kipenzi mtume swalla llahu'alaihi wasalam
    je, mtazamaji wa comment hii wewe unaushauri gani?

  • @jafaryyusufu2993
    @jafaryyusufu2993 Před rokem

    Mashaallah Allah akuhifadh shekh wetu yusufu abdi

  • @jamalathman6219
    @jamalathman6219 Před 3 lety

    Mashallah sheikh sadakta

  • @abdallahalkindy6579
    @abdallahalkindy6579 Před 8 lety +2

    Allah awabarik kwa fikra nzuri kama hiyo, huenda Hawa vijana wanaokataliwa katika nyumba hizo hakuna kheri kwao, kwa vile hao wazazi au walezi wanapozikataa posa za waowaji wenye muelekeo wa uislamu na tabia njema,

  • @abdulhalimmire5328
    @abdulhalimmire5328 Před 9 lety +3

    ألسلام عليكم وجزاك الله خيرا بارك الله فيك شيخنا

  • @mwanasitiseif700
    @mwanasitiseif700 Před 8 lety +1

    masha allah..ukwel.mtupu shekh...

  • @sabriyasuluh3002
    @sabriyasuluh3002 Před 2 lety

    Mashaallah

  • @halimamariri5210
    @halimamariri5210 Před 4 lety

    Jazakallahu khayran sheikh ,,Allah akulipe badal dunian na akhera kwa ukumbusho utupayaoo

  • @nusralilobwa4752
    @nusralilobwa4752 Před 6 lety

    Allah atujalie tuwe na nyoyo za kusikia za ukumbusho kutoka kwa kwa masheikh wetu

  • @rahmahassan2365
    @rahmahassan2365 Před 8 lety +1

    Asalam aleikum warahmatullah wabarakatu...jazakallahu sheikh

  • @salmakhamis8181
    @salmakhamis8181 Před 5 lety

    Swadakta shekh Yussuf

  • @sabrinadahir8000
    @sabrinadahir8000 Před 6 lety

    Masha Allah baraka allah

  • @ashaali5773
    @ashaali5773 Před 5 lety

    mashallah ujumbe uzito tufuwate waliyoamurushw I shall

  • @faruoqramadhan2829
    @faruoqramadhan2829 Před 9 lety +4

    MashaAllah wa jazakAllahu sheikh, Hakika suala la ndoa ni jambo la msingi ambalo lafaa kupewa uzito, Dini yetu tukufu imeturahishia jambo hili ilobaki ni sisi kutekeleza yanayo tupasa kwa minajil ya kupunguza mashakil yaliokithiri katika mujtamaa na vile vile kuwa mfano bora kwa vijzazi vijavyo. changamoto ni kwa wazazi kuakikisha kwamba yale yalioamrishwa yafuatwa na wala si yale wanayotaka wao.

    • @SheikhYusufAbdi
      @SheikhYusufAbdi  Před 9 lety

      Asante ndugu Farouq kwa mchango wako mzuri sana.

    • @ilhamaman8324
      @ilhamaman8324 Před 4 lety

      wanatukwamisha kwamahari pia wanatubagua sisi maskini, labda wanapenda hiv vijana tukikamatiwa na watoto wao.

    • @ImraanSaeed
      @ImraanSaeed Před 2 lety

      @@ilhamaman8324 hahahaaha

  • @farajikashaba3707
    @farajikashaba3707 Před 7 lety

    BARAKA LLAHUFIK

  • @majdahmohamed5462
    @majdahmohamed5462 Před 9 lety +2

    jazakillahu kheir sheikh, walah hii ni shida kubwa sana kwa vijana.yasikitisha wazazi ndio wanaochangia sana kwa kuchelewesha mabinti kuolewa, wanataka harusi kubwa, mahari mengi.hawaelewi muhimu ni tabia, dini ya yule kijana wala sio mali.

    • @SheikhYusufAbdi
      @SheikhYusufAbdi  Před 9 lety

      watakuwa katika msimamo wa Sawa.. biidhnillaah.
      tujitahidni kuwaelimisha.

    • @abdulbasitsaid8395
      @abdulbasitsaid8395 Před 3 lety

      @@SheikhYusufAbdi assalam alaykum naomba nmba yko uwe unanipa ushaur

    • @faridaikussi
      @faridaikussi Před rokem

      @@abdulbasitsaid8395 naam km alikupa namba namie nahitajia kwaushauri zaidi

  • @smithmoha2688
    @smithmoha2688 Před 7 lety

    InshaAllah

  • @nabilamaashaallahmaashaall6977

    Kweli shekh maneno yako mazbut

  • @mahsinkhaturush9620
    @mahsinkhaturush9620 Před 4 lety

    Nlienda kuposa nikaa mbiwa laki 6 kwasababu msichana alikuwa na asili ya mgunya mhindi hakuwa yuwanishinda kumtongoza kumlaghaii ilanilitaka kufuata Sheria basi nikaowa kwengine

  • @salumalawi3434
    @salumalawi3434 Před 6 lety +1

    before tulijua nihuku kwetu Zanzibar tu kumbe ni all most dunia mzima

    • @abdullyhassan3644
      @abdullyhassan3644 Před 5 lety

      Asslam aleykum ndoto zangu niwe kama shekh Yusuf Abdi shekh ktk kuisoma dini inshaalh

    • @abdullyhassan3644
      @abdullyhassan3644 Před 5 lety

      Shekh naomba unitumie namba yako alfaja