mawazo yangu Mimi wazee Mrudi kwenye mafundisho ya Mtume Wetu ili watoto wetu waishi maisha yenyekuridhiwa na Allah s. u. t. kwasababu wawo watakua niwenye kufuata muongozo aliokuja nao sayd na Muhammad s. W. a. acheni kujali fedha za mtu angalieni dini dini hii ya kiislam ndio iliokuja kuondoa ya kharam na ikaleta ya halali pesa sio kitu kikubwa wala fakhari Bali kitu kikubwa na fakhari nikua muislam na ukafuata muongozo wakislam aliokuja na wetu kipenzi mtume swalla llahu'alaihi wasalam je, mtazamaji wa comment hii wewe unaushauri gani?
Allah awabarik kwa fikra nzuri kama hiyo, huenda Hawa vijana wanaokataliwa katika nyumba hizo hakuna kheri kwao, kwa vile hao wazazi au walezi wanapozikataa posa za waowaji wenye muelekeo wa uislamu na tabia njema,
MashaAllah wa jazakAllahu sheikh, Hakika suala la ndoa ni jambo la msingi ambalo lafaa kupewa uzito, Dini yetu tukufu imeturahishia jambo hili ilobaki ni sisi kutekeleza yanayo tupasa kwa minajil ya kupunguza mashakil yaliokithiri katika mujtamaa na vile vile kuwa mfano bora kwa vijzazi vijavyo. changamoto ni kwa wazazi kuakikisha kwamba yale yalioamrishwa yafuatwa na wala si yale wanayotaka wao.
jazakillahu kheir sheikh, walah hii ni shida kubwa sana kwa vijana.yasikitisha wazazi ndio wanaochangia sana kwa kuchelewesha mabinti kuolewa, wanataka harusi kubwa, mahari mengi.hawaelewi muhimu ni tabia, dini ya yule kijana wala sio mali.
Nlienda kuposa nikaa mbiwa laki 6 kwasababu msichana alikuwa na asili ya mgunya mhindi hakuwa yuwanishinda kumtongoza kumlaghaii ilanilitaka kufuata Sheria basi nikaowa kwengine
mawazo yangu Mimi wazee Mrudi kwenye mafundisho ya Mtume Wetu ili watoto wetu waishi maisha yenyekuridhiwa na Allah s. u. t. kwasababu wawo watakua niwenye kufuata muongozo aliokuja nao sayd na Muhammad s. W. a. acheni kujali fedha za mtu angalieni dini
dini hii ya kiislam ndio iliokuja kuondoa ya kharam na ikaleta ya halali pesa sio kitu kikubwa wala fakhari Bali kitu kikubwa na fakhari nikua muislam na ukafuata muongozo wakislam aliokuja na wetu kipenzi mtume swalla llahu'alaihi wasalam
je, mtazamaji wa comment hii wewe unaushauri gani?
Mashaallah Allah akuhifadh shekh wetu yusufu abdi
Mashallah sheikh sadakta
Allah awabarik kwa fikra nzuri kama hiyo, huenda Hawa vijana wanaokataliwa katika nyumba hizo hakuna kheri kwao, kwa vile hao wazazi au walezi wanapozikataa posa za waowaji wenye muelekeo wa uislamu na tabia njema,
ألسلام عليكم وجزاك الله خيرا بارك الله فيك شيخنا
masha allah..ukwel.mtupu shekh...
Mashaallah
Jazakallahu khayran sheikh ,,Allah akulipe badal dunian na akhera kwa ukumbusho utupayaoo
Allah atujalie tuwe na nyoyo za kusikia za ukumbusho kutoka kwa kwa masheikh wetu
Asalam aleikum warahmatullah wabarakatu...jazakallahu sheikh
Swadakta shekh Yussuf
Masha Allah baraka allah
mashallah ujumbe uzito tufuwate waliyoamurushw I shall
MashaAllah wa jazakAllahu sheikh, Hakika suala la ndoa ni jambo la msingi ambalo lafaa kupewa uzito, Dini yetu tukufu imeturahishia jambo hili ilobaki ni sisi kutekeleza yanayo tupasa kwa minajil ya kupunguza mashakil yaliokithiri katika mujtamaa na vile vile kuwa mfano bora kwa vijzazi vijavyo. changamoto ni kwa wazazi kuakikisha kwamba yale yalioamrishwa yafuatwa na wala si yale wanayotaka wao.
Asante ndugu Farouq kwa mchango wako mzuri sana.
wanatukwamisha kwamahari pia wanatubagua sisi maskini, labda wanapenda hiv vijana tukikamatiwa na watoto wao.
@@ilhamaman8324 hahahaaha
BARAKA LLAHUFIK
jazakillahu kheir sheikh, walah hii ni shida kubwa sana kwa vijana.yasikitisha wazazi ndio wanaochangia sana kwa kuchelewesha mabinti kuolewa, wanataka harusi kubwa, mahari mengi.hawaelewi muhimu ni tabia, dini ya yule kijana wala sio mali.
watakuwa katika msimamo wa Sawa.. biidhnillaah.
tujitahidni kuwaelimisha.
@@SheikhYusufAbdi assalam alaykum naomba nmba yko uwe unanipa ushaur
@@abdulbasitsaid8395 naam km alikupa namba namie nahitajia kwaushauri zaidi
InshaAllah
Kweli shekh maneno yako mazbut
Nlienda kuposa nikaa mbiwa laki 6 kwasababu msichana alikuwa na asili ya mgunya mhindi hakuwa yuwanishinda kumtongoza kumlaghaii ilanilitaka kufuata Sheria basi nikaowa kwengine
before tulijua nihuku kwetu Zanzibar tu kumbe ni all most dunia mzima
Asslam aleykum ndoto zangu niwe kama shekh Yusuf Abdi shekh ktk kuisoma dini inshaalh
Shekh naomba unitumie namba yako alfaja