MNAENEZA BIDAA TU KWA WATOTO ALLAH AKUONGEZENI KTK HAQ NJIA SAHIHI YA WEMA WALIO TANGULIA KWANI HIKO MNACHO KIFANYA KINGEKUWA NI KTK DINI NA JAMBO ZURI LINALO PENDEZA KWA ALLAH BAC MASWAHABA WA MTUME WANGETUTANGLIA KTK KHERI HIYO
mm kanikimbusha enzi za ujahili wangu dah Allah anisamehee na wenzangu pia ckujua la umuhimu mda uleee ila dogo apelekwe chuon akasome din yake aachane na hayo mambo
Haya masauti yangeamia kwenye kuadhini au kusoma qur an ingependeza si kwenye dufu haya masihala yalishwa pitwa na wakati walifanya wazee wetu walikuwa na uchache wa elimu
Mashallah. Ila kichwa cha habari si sahihi. Hili si balaa. Neema hii
Masha allah mungu amzidishiyee
Badala ya kuweka kichwa cha habari kizuri unasema balaa mtoto kasoma vizuri mashalla
Mungu amjaalie awe mpenzi wa bw mtume muhammad 's.a.w
Mohamed Nassor amij
Awe mpenzi wa Hilo Ngoma au?
Mtume s.a.w yupo mbali sana na ngoma na miziki na vinanda
Machozi yangu tulieniiii msitokeeee
Sheikh masha alla ila tafadhali toa msiki kwenye quruani
Hio Qur'an iko wapi uliyosikia ww
ما شاء الله عليك أخي
حفظك الله ورعاك
Kuna wat wanaugawa sana uislamuu kwan hapo s anatajwa mtumee na ni bongo fleva hyoo mnajifanya unajuwa lakn hamna kituuu
mashallah BABDEO tupe kwa fujo mana ivi vitu nihatareeee sana kwa tunavyovijua
Ma sha allah
Safi sana hatari Maa Shaa Allahh
Mashallah Tabaraka llah
Ila afundishwe na masomo muhimu ili apate kuijua diniyake asiishie kula mipunga tuu
Naam kabisa uko sawa na Mashaa Allah Allahumma Barik
Barabara apo ndo tunapokwama asijue kughani tu na masaail ya dini ayajue vzr
Mashaalah
MNAENEZA BIDAA TU KWA WATOTO ALLAH AKUONGEZENI KTK HAQ NJIA SAHIHI YA WEMA WALIO TANGULIA KWANI HIKO MNACHO KIFANYA KINGEKUWA NI KTK DINI NA JAMBO ZURI LINALO PENDEZA KWA ALLAH BAC MASWAHABA WA MTUME WANGETUTANGLIA KTK KHERI HIYO
Hata mm kanikumbusha enzi zangu kwenye sector hyo, nikipiga, razd, bayat, siqa, majaz, nah-wand dah!!
Bayat kuld, nahwandi dah miaka imepita sana
Zigidi hadi huku upo
Mashaallah mashaallah mashaallah mashaallah ❤❤hii ni neema hii
Maashallah
Mashaallah
Mrithi wa muhiya uyo
Yani badala muwape watoto elimu mnawafundisha kuimba
mm kanikimbusha enzi za ujahili wangu dah Allah anisamehee na wenzangu pia ckujua la umuhimu mda uleee ila dogo apelekwe chuon akasome din yake aachane na hayo mambo
Inawezekana kauli yako ikakuingiza kuwa mmoja wa majahili
Hapo ulipk bado jahili mkubwa na hujielewi
Ety jaili .laana weweee
Uislamu unapinga madufu hayo na vinanda
Dah Rahaaaaaaa
Dogo amenikumbusha enzi zangu aise.... Nikiwa na umri wake huo nilikuwa na vita balaaa.
sauti hiyo nzuri ungetumia ktk kusoma quran ingekua nzur
Hata ivo inavosoma ni vizri tena sana mashaallah mashaallah
Maa shaa Allah
mashaallah kijana amajuwa sana
Mashaallah jazakallah kheir
Someni waislaam haya mambo hayapo kwenye dini
Ebu fyata mkia wako wewe
Mashallah
Tusome jamani izo so filibi hatali
Ata me ananikumbusha mbali kweli yan nilikuwa nikipasuka atariiiii
Masha Allah
mashallah
Wanao kejeli haya Mambo hamkulazimishwa kuaangalia napia unaowanao wewe wapeleke unakooba nisahihi huyo siomwanao bhana msivimbe macho buree
Haya masauti yangeamia kwenye kuadhini au kusoma qur an ingependeza si kwenye dufu haya masihala yalishwa pitwa na wakati walifanya wazee wetu walikuwa na uchache wa elimu
Naaam naam namm duu enz zang naghma nimeisha ilaa DOGO yupo vizur
Mumtaaaz
MashAllah
Hamna maana nyinyi
Mashaallah...
bidaa hiyo haifai kabisa mtume alifanya wapi pamoja na masahaba wake
Maashallah
Mashaallah
Maa Sha Allah
Mashallah
Masha Allah
Msomesheni dini aijuwe na ahifadhi Qu,ran sio kumuimbisha kasida na Kula ubwabwa Kwa wingi mitihani hiiJamaa tusome dini yeti.
mashallah
Mashaallah
Huyu alikuwa wamuhifadhishe Qur,an sio kumpotezea time yake Kwa kumuhifadhisha kasida
Mitihani hii dini imefanywa Burudani.
Maashallah
Mashallah
Mashallah
Mashaallah
Mashallah
mashallah
mashallah
Mashaalah