Halaf hii ni tabia ya maibadhi wanawatia mimba watoto wa kiswahili halaf wakienda mahkaman wanasema wao ahli istiqama hawaowi mwanamke ambae ametembea nae subuhana allah
Ukizungumza usitaje madhehebu kwa kuacutakwenda kusimamishwa siku ya kiama utoe ushahidi wa ilo dhehebu ambalo umrlihukumu kufanya iyo dhambi kwa kua umesema maibadhi umewahukumu wote kazi kwako
Wakati unatiwa mimba ni kwa hiari au nguvu na isitoshe kila mimba anayotiwa mtu katiwa na maibadhi au maibadhi ndio watia mimba tu au wao ndio wanaosimika tu
Sheikh hapo kuna mas'ala inafaaa kuzingatiaa jumhuri inasema haifai kuolewa Sawa Sawa aliemtia mimba aunt hata mwengine mpaka ajifungue nayo hii ni kauli ya imam Malik na Ahmad bin hanbali na abuu Yusuf al hanafi na waliosema afaa kuolewa ni imam sharing na Abu hanifah ila imam abuu hanifah akashurutisha lazima aliemtia mimba ndio amuoe. Halafu Sheikh min fadhlika zingatia hii hadithi mtume swalla llahu alayhi wasallam asema ' تضع لاتوطأ حامل حتى
Hivi kuna mimba ya haramu, vitendo au kitendo cha haramu, kama ya kharamu na mtoto atakaezaliwa nae atakua haramu au, naomba ufafanuzi sheikhe vipi kitu cha kharamu kinafaa kuingia msikitini au
Asaallam aleykum wallehmatullah wabarakatuh swal sheink mwanamke alie Olewa akiwa na Mimba ya zinaa na Hakuna Sema ulikuwa kama siri je hukum yake nn??
shekhe wangu unaponikera mm ni pale nnapokufata whatsap kuuliza swali hlf hunijibu sasa hiyo namba yako ulitoa ya nnaan mtu unashida unataka kusaidiwa ili upate mwongozo lkn mtu anakuona km mwandawazimu vile cyo pw kbs ni mtu umjibu kuwa ctaki,au labda cna mda atakueleaa vile vile kuliko kumnyamazia na sms umesoma inauma kuona nyie ndowakutusaidia cc lkn hamtujali sasa tukamuulize nani??
Naona umempa makavu ustadhi. Uyo usimlaumu nimtu mkubwa sana na anawatu wengi na anamajukumu mengi. mi naona umaarufu wake unamfanya awe bize. Usikate tamaa ipo siku utampata tu.
Bwana kwa maana ya mume, akiikataa mimba aliyonayo mwanamke akiwa mkewe hiyo ndoa imevunjika pia. Haiwezekani umeshakaa na mke mwaka 1 halafu ukatae mimba mke abakie ni wako. Ila umeowa miezi kidogo kuliko ukubwa wa mimba hii SIO kuikataa BALI sio yako tena hata kama ulitia weye mwenyewe.
Mi ngoja niwauliz3 maibadhi na km hayo madhehebu yenu yamemkataza mzinifu asiolewe na mtu muhusika je hayo madhehebu yenu yamemruhusu kumtia mimba ????!!!!
Kwanza kabisa ujue hili ni suala la kifiqhi kwa hiyo kila mtu hulipwa kwa ijtihaad yake,kama maibadhi wamepatia katika hili watapata ujira mara mbili na kama wakikosea watapata mara moja,pili lengo la ibadhi juu ya suala hili ni kuufunga mlango wa zinaa usipitike kabisa,vijana watakuwa waangalifu juu ya matendo yao.wallahu aalam
Ahmed. Sasa unataka kusema km hao maibadhi wako wanaijuwa zaid dini kuliko ally ibn abby twalib na mama yetu aisha au wao wana hirsi kubwa juu ya watu kuacha uzinifu kuliko maswahaba wa mtume s.a.w ????? Kwani we hujuw km hawa waliulizwa na wakatoa fatwa juuu ya kujuzu wewe hujuw km fatwa zao zinapewa hukmu za raff ????hebu someni dini yenu halaf ndo muwe vinanda
Atae toa mimba siharamu sana hanamzigo mazito mbele ya mungu Lakin atakae zaa mwanaharam ana dhambi nyingi kuliko anae uwa sikweli hatakama hatuku Soma kuquan
Haram kuoa uliemzini so ulie mtia mimba sasa mawahabi halalisheni mimba za zinaa ili ukikataliwa kumuoa binti mtie mimba halafu umuoe kwakusingizia mimba yako lakini kumbuka sharia mtoto si wako aslan !!!
@@aminaabdul1574 Hajaelewa kabisa kabisa kumuoa mwanamke mwenye mimba bila kujali katiwa na nani ni ndoa HALALI ila mtoto sio wa MUME bila kujali yeye ndio aloitia au la. Naomba kuwakumbusha Waislam kuwa Mwenyezi Mungu anakwenda kutugawa makundi 72 na kati ya hayo la kwake ni 1 tu na litaundwa na madhehebu yote kwa hiyo epuka sana kudhani dhehebu lako ni bora kuliko jingine. Mungu atuwafikishe tuwe kwenye kundi aliloritidhia. Amin.
kuwa na hikma bac hata kama umeona amekosea bnadam c mkamilifu sheikh amefikisha alichojaaliwa nawe kama wajua fikisha co kuangalia wa2 wamekosea wap ww uwe mkosoaji maisha hàyend hvyo ndugu
@@balotelingalundangalunda1338 Kukosoa hata mnyama anaweza kama ana hoja alete hoja ajibiwe kulingana na hoja. Suala likiwa halina pingamizi halihitaji aya au hadithi, ukilete hoja ndio aya na hadithi hutumika.
Alafu kunahabari ninazozisikia kuhusu mwanamke aliewahi kutembea namwanaume kabla yakuolewa inasemekana. Heti hataakijakumuoa nikama wanaendeleza dhinaa. Hii imekaaje shehe
mimi ni tabibu kwamujib wa sayansi mtoto aanza kucheza tumbon mwamama yake afikapo miezi mitano na ukipga hesab zle ktk aya za qur an kiumbe had kutiwa roho ni miez mi5
Ni muda tu ambao sheria imewekwa kwa vile hata hatari ya kupoteza uhai wa mama kwa kutoa mimba inaongezeka, lakini roho ni kitu kipo toka kwenye manii kwa sababu kisayansi kiumbe kinaanza cell + cell (sperm + yai) = tissue (labda tuite pande la nyama), tissue + tissue = organ,(kiungo) organ + organ = organism (kiumbe kamili). Na cell is a unit of life.
Shukran shekhe wetu ya Allah akupe afya njema siku zote na umri mrefu atujaaliye kila lenye kher akuepushie kila lenye Shari Amin yaraby 🤲🙏
Allah akupe barka na uzima sheikh IZUDIN katika maisha yako tuzidi kupata masomo na mwenendo katika hukmu za ALLAH (SW). Wabillah Tawfiq.
Mungu atuhifadhi inshaallah na vizazi vyetu na vya wenzetu kwa mas-alah inayohusiana na haramu ya kuzini na kuzaa pia.
Shukran sheikh izudin ALLAH akujaalie kila la kher hapa dunian na kesho Akhera sheikh wetu
أسلم عليكم شيخ ,
Mashaa Allah , Allah akuifadhi na akuzidishie elmu yenye gheri ,
Ndio musome msitegemee shekh tuu peke yake ili msije kumlaumu siku ya kiama
Shekhe shukurani Allah akulipe kheri
Subhanallah. Kwakeli sisi binadam hatujakamilika. Allah atusitiri Ameen
Mwenyezi mungu atunusuru
Amiin
Amiin
@@ismailsultan5436 Amiin
ila haya matatizo wanawake huwa tunayasababisha wenyewe kwa kujirahisisha wallahi #Astaghfirullah
@Amiri Khatibu ndio hujamuowa atiii
Mnajirahisiha wenyewe angalau kwa kujua
Alhamdulillah sheikh umetuzindua ❤
Alhamdulilah umetutosheleza mada hii Maalim Allwah akubarikie
Mashallah shukuran
Swallallahu alayhi wa alihi wa asw,habihi wasallama
Mashall-Allah Allah akuzidishie elim yenye manufaa uzidi kutuelimisha akupe umri mrefu Amin
Je Mume kama kakukibia haujuwi unaishije hapo unafanyaje?
Halaf hii ni tabia ya maibadhi wanawatia mimba watoto wa kiswahili halaf wakienda mahkaman wanasema wao ahli istiqama hawaowi mwanamke ambae ametembea nae subuhana allah
Ukizungumza usitaje madhehebu kwa kuacutakwenda kusimamishwa siku ya kiama utoe ushahidi wa ilo dhehebu ambalo umrlihukumu kufanya iyo dhambi kwa kua umesema maibadhi umewahukumu wote kazi kwako
@@nassirhussein6908 ni kweli hajasema uongo maibadhi hawaowi wanawake walozini nao
Wakati unatiwa mimba ni kwa hiari au nguvu na isitoshe kila mimba anayotiwa mtu katiwa na maibadhi au maibadhi ndio watia mimba tu au wao ndio wanaosimika tu
Waambie maibadhi wanaaribu watoto wa watu hawawaoi kwasungizia walishazini
Kweli kabsa
Nikweli kbsa maibadh wanatabia hiyo
Waambie
Allah atuifadhi na atuongoze insha,Allah
Allahummah Aamin
Amen
Jazakaallah khair Allah akulipe kwa darsa
Subhanallah, Allah atunusuru na zinaa
Ameen
mashaallah, nakupenda xna sheikh kwaajili ya Allah.
Jazakallah kheyr
Ustadhi naomba namba shekh. Ninashida nawewe Shekh
Na haya mambo yakuolewa bila kukaa eda yamekithiri sana baadhi y wanawake wanaolewa hvy
Shukran jazaka Allah Khairاللهم ارحم تحت الارض و فوق الأرض و يوم العرض عليك يارب العالمين
SubhanaAllah
Jazaqa Allah kheir Sheikh
Quran
4 : 24
"""Ndoa pasi na zinaa, """
Naomba ufafanuzi kuhusu hii aya
jazzakah allah khair
Ya Allah saidia mabinti wa kislamu
Sheikh hapo kuna mas'ala inafaaa kuzingatiaa jumhuri inasema haifai kuolewa Sawa Sawa aliemtia mimba aunt hata mwengine mpaka ajifungue nayo hii ni kauli ya imam Malik na Ahmad bin hanbali na abuu Yusuf al hanafi na waliosema afaa kuolewa ni imam sharing na Abu hanifah ila imam abuu hanifah akashurutisha lazima aliemtia mimba ndio amuoe.
Halafu Sheikh min fadhlika zingatia hii hadithi mtume swalla llahu alayhi wasallam asema ' تضع لاتوطأ حامل حتى
Hivi kuna mimba ya haramu, vitendo au kitendo cha haramu, kama ya kharamu na mtoto atakaezaliwa nae atakua haramu au, naomba ufafanuzi sheikhe vipi kitu cha kharamu kinafaa kuingia msikitini au
MASHALLAH
JAZAKALLAHU KHAIR
Mash kuura sana sheh....
Jazakallahu kheir
Asaallam aleykum wallehmatullah wabarakatuh swal sheink mwanamke alie Olewa akiwa na Mimba ya zinaa na Hakuna Sema ulikuwa kama siri je hukum yake nn??
Subhana Allah
Mashallah
Asalam alaykum naomba nmba yko au km kun group la wsp naomba ili ntk kujifunza ktuu hpo
Sheikh pengine mm nimefikwa na maradhi ya tumbo alafu daktari aseme nikatwe kizazi je itakua ni sawa au c sawa
Allah atunusuru
shekhe wangu unaponikera mm ni pale nnapokufata whatsap kuuliza swali hlf hunijibu sasa hiyo namba yako ulitoa ya nnaan mtu unashida unataka kusaidiwa ili upate mwongozo lkn mtu anakuona km mwandawazimu vile cyo pw kbs ni mtu umjibu kuwa ctaki,au labda cna mda atakueleaa vile vile kuliko kumnyamazia na sms umesoma inauma kuona nyie ndowakutusaidia cc lkn hamtujali sasa tukamuulize nani??
Naona umempa makavu ustadhi. Uyo usimlaumu nimtu mkubwa sana na anawatu wengi na anamajukumu mengi. mi naona umaarufu wake unamfanya awe bize. Usikate tamaa ipo siku utampata tu.
Naziluna 2555 nakama mwanamke haind hedhi EDA yakuachwa akaa
Akaa EDA au hakaiii akiwahaingii mwezin
Jazzallahu khayra kwa ukumbusho
Asalamu aleykum, naomba kujuwa mzazi mkirisro anaweza kuwa wali
sheikh nisaidie na number zako za whatapps.kutoka qatar
Asalaamaleikum warahmatullahi wabarakatu, umeipata number ya huyu sheikh?kama uko nayo naomba unisaidie tafadhali.shukran
Yasalaam
Ahsate kwabukumbusho
Mashallah shukran
Ameen ya Allah
Shukran sheikh
Asnt kw ukumbsh indhllh mung akulip kheiri
Assalam alykum...
Sheikh watutatiza unaposema mimba ya haram haina mwenyewe
Je wewe wadhani mwenyewe ni nani?
Mtot wa zinaa hana baba ni wa mama kwasabab haijahalalishwa na Allah (s.a.w)
MashaAllah.
Shuklani sheikh
Asante kwa ukumbusho
JazzakaAllah khery
Je mimba imekataliwa na bwana ni halali kutoa au haramu
Bwana kwa maana ya mume, akiikataa mimba aliyonayo mwanamke akiwa mkewe hiyo ndoa imevunjika pia. Haiwezekani umeshakaa na mke mwaka 1 halafu ukatae mimba mke abakie ni wako. Ila umeowa miezi kidogo kuliko ukubwa wa mimba hii SIO kuikataa BALI sio yako tena hata kama ulitia weye mwenyewe.
Shekh umeongea kitu ktk pakt leo
قريبا سيأتي ردي عليكم قاسية في الكتاب (قول المرضية في كشف مذهب الاباضية )
Shukran
Samahan sheikh mm nataka kuulza je mwanamke kama kasuka nywele zake jee anapokoga janaba je vp atatoharka
Kutoharika ni kuenea maji mwilini kama huo msuko utaruhusu maji kuingia hakuna tatizo.
masha allah
KWAHIYO NIKICHUKUA TONE LA POMBE NIKIDONDOSHEA KWENYE MAJI MAJI YATAKUWA HALALI AU HARAMU
😂sasa ww pombe kwan ni haramu au najisi katika kulinganisha na maji? Usichanganye mafaili
Shukran sana
shukran
Na mungu Ana hukum Kwa nia sasa wewe toa useme sheikh ndio amesema
Mi ngoja niwauliz3 maibadhi na km hayo madhehebu yenu yamemkataza mzinifu asiolewe na mtu muhusika je hayo madhehebu yenu yamemruhusu kumtia mimba ????!!!!
zuheor salim
Madhehebu ambayo inaruhusu kuoa baada ya zinaa ndio madhehebu inayochochea uzinifu
Faisal Suleiman
Chunga mdomo wako kijana hapa unawazungumzia wanabyuwoni makubwa sana bali ni waislam wote kasoro maibadhi na mashia tu
zuheor salim
Ukitaka kulijua jambo lisome na ulifaham zama za kufata mkumbo zimeisha
Kwanza kabisa ujue hili ni suala la kifiqhi kwa hiyo kila mtu hulipwa kwa ijtihaad yake,kama maibadhi wamepatia katika hili watapata ujira mara mbili na kama wakikosea watapata mara moja,pili lengo la ibadhi juu ya suala hili ni kuufunga mlango wa zinaa usipitike kabisa,vijana watakuwa waangalifu juu ya matendo yao.wallahu aalam
Ahmed. Sasa unataka kusema km hao maibadhi wako wanaijuwa zaid dini kuliko ally ibn abby twalib na mama yetu aisha au wao wana hirsi kubwa juu ya watu kuacha uzinifu kuliko maswahaba wa mtume s.a.w ????? Kwani we hujuw km hawa waliulizwa na wakatoa fatwa juuu ya kujuzu wewe hujuw km fatwa zao zinapewa hukmu za raff ????hebu someni dini yenu halaf ndo muwe vinanda
Shehe ww kwako siharamu kutoa mimba Lakin mwanaharam unamsema sana kuliko kuuwa
Atae toa mimba siharamu sana hanamzigo mazito mbele ya mungu Lakin atakae zaa mwanaharam ana dhambi nyingi kuliko anae uwa sikweli hatakama hatuku Soma kuquan
Haram kuoa uliemzini so ulie mtia mimba sasa mawahabi halalisheni mimba za zinaa ili ukikataliwa kumuoa binti mtie mimba halafu umuoe kwakusingizia mimba yako lakini kumbuka sharia mtoto si wako aslan !!!
Kwa Hyo akaolewe na ambaye hajazini...kuna usawa hapo.. Tumia akili
Zainb hujaelewa ww
Azzany la yankihu illa zany.
@@aminaabdul1574 Hajaelewa kabisa kabisa kumuoa mwanamke mwenye mimba bila kujali katiwa na nani ni ndoa HALALI ila mtoto sio wa MUME bila kujali yeye ndio aloitia au la.
Naomba kuwakumbusha Waislam kuwa Mwenyezi Mungu anakwenda kutugawa makundi 72 na kati ya hayo la kwake ni 1 tu na litaundwa na madhehebu yote kwa hiyo epuka sana kudhani dhehebu lako ni bora kuliko jingine. Mungu atuwafikishe tuwe kwenye kundi aliloritidhia. Amin.
Mawahhabi ndio wakina ndugu yangu?!
🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Je kama aliempa mimba ikiwa haitaki na mwengine ywataka kumstiri akiwa na uja uzito bado
Usubiri azae then akisha zaa unamuowa
mimi nauluzaswali anaejuwaanijibu shekhe samhn je. mtu akiwaame kutana namuchunba wakikutankimwili kabula hawajfuga doa je nizinaa
Ndio ni zinaa. Tendo la ndoa hufanywa baada ya ndoa kufungwa.
Hatakama ni mchumba wako ikiwa hamjafunga ndoa basi hio ni zinaa.
Asha Ali jibu ni zibaa hiyo dada japo mm sio sheikh kwa sababu nyinyi hamjafunga ndoa
ni zinaa hiyo dada!!
ndio haramu
Haifai HIYO DEAR ndoa,, kwasbbu Tayari ushazini nae
Shekhe mbona unaongea mambo pasi na dalili tuelezee AYA AU HADIDHI USITUAMBIE MAIMAMU TU WAPI WAMECHUKUA DALILI KUA MAKINI
Kjhj chizi wewe
kuwa na hikma bac hata kama umeona amekosea bnadam c mkamilifu sheikh amefikisha alichojaaliwa nawe kama wajua fikisha co kuangalia wa2 wamekosea wap ww uwe mkosoaji maisha hàyend hvyo ndugu
@@balotelingalundangalunda1338 Kukosoa hata mnyama anaweza kama ana hoja alete hoja ajibiwe kulingana na hoja. Suala likiwa halina pingamizi halihitaji aya au hadithi, ukilete hoja ndio aya na hadithi hutumika.
@@hajihassan5433 10x kaka
Alafu kunahabari ninazozisikia kuhusu mwanamke aliewahi kutembea namwanaume kabla yakuolewa inasemekana. Heti hataakijakumuoa nikama wanaendeleza dhinaa. Hii imekaaje shehe
Hapana walichofanya (kuzini) ni haram lakini ndoa ni HALALI na sio zinaa. Haram haitazuwia halali.
Kwaiyo nisiolewe na yule nilozini Naye? Je nifanyaje
Na kama c sawa hukmu yake ni nn
nani ajua siku ipi allah atia roho kwa kilicho tumboni mwa mwanamke? na je roho ni nini?
mimi ni tabibu kwamujib wa sayansi mtoto aanza kucheza tumbon mwamama yake afikapo miezi mitano na ukipga hesab zle ktk aya za qur an kiumbe had kutiwa roho ni miez mi5
Ni muda tu ambao sheria imewekwa kwa vile hata hatari ya kupoteza uhai wa mama kwa kutoa mimba inaongezeka, lakini roho ni kitu kipo toka kwenye manii kwa sababu kisayansi kiumbe kinaanza cell + cell (sperm + yai) = tissue (labda tuite pande la nyama), tissue + tissue = organ,(kiungo) organ + organ = organism (kiumbe kamili). Na cell is a unit of life.
Suleiman @usiseme awaambie maibadh elm kwa sasa inapotoshwa sana si kweli haram ikahalalisha huyu shekh kaihalalisha kharam
Salma Hilaly
Labda tukuulize haramu gani aliyoihalalisha?!!!!!
ndio nizinaa
Bahat yako we ni mjinga kinyume na hapo bas ungesikia maneno mazito mno
Shukran
shukran
Shukran
Shukran
shukran
Nura Abdulkadir
MASHALLAH
Shukurani sheh.ila mimi ninaswali ivi naona kunawatu wanaolew na mimba je niharam au ni halali