NDOA BAADA YA ZINAA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024

Komentáře • 140

  • @mariamyoyote8172
    @mariamyoyote8172 Před 2 lety +5

    Shukran shekhe wetu ya Allah akupe afya njema siku zote na umri mrefu atujaaliye kila lenye kher akuepushie kila lenye Shari Amin yaraby 🤲🙏

  • @salehbaluchsaleh2017
    @salehbaluchsaleh2017 Před 4 lety +3

    Allah akupe barka na uzima sheikh IZUDIN katika maisha yako tuzidi kupata masomo na mwenendo katika hukmu za ALLAH (SW). Wabillah Tawfiq.

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 Před 3 lety +3

    Mungu atuhifadhi inshaallah na vizazi vyetu na vya wenzetu kwa mas-alah inayohusiana na haramu ya kuzini na kuzaa pia.

  • @yusufseifu4967
    @yusufseifu4967 Před 2 lety +1

    Shukran sheikh izudin ALLAH akujaalie kila la kher hapa dunian na kesho Akhera sheikh wetu

  • @omaryurasa2961
    @omaryurasa2961 Před rokem +2

    أسلم عليكم شيخ ,
    Mashaa Allah , Allah akuifadhi na akuzidishie elmu yenye gheri ,

  • @ilhamprecious8816
    @ilhamprecious8816 Před 6 lety +13

    Ndio musome msitegemee shekh tuu peke yake ili msije kumlaumu siku ya kiama

  • @RahmahDuah-gn8xm
    @RahmahDuah-gn8xm Před 8 měsíci +1

    Shekhe shukurani Allah akulipe kheri

  • @shammoha5297
    @shammoha5297 Před 6 lety +4

    Subhanallah. Kwakeli sisi binadam hatujakamilika. Allah atusitiri Ameen

  • @tinivanny7562
    @tinivanny7562 Před 6 lety +10

    ila haya matatizo wanawake huwa tunayasababisha wenyewe kwa kujirahisisha wallahi #Astaghfirullah

    • @hawa4968
      @hawa4968 Před 4 lety

      @Amiri Khatibu ndio hujamuowa atiii

    • @AnkallyPandu
      @AnkallyPandu Před měsícem

      Mnajirahisiha wenyewe angalau kwa kujua

  • @HawagutuWachu
    @HawagutuWachu Před 6 měsíci

    Alhamdulillah sheikh umetuzindua ❤

  • @FatmaFatma-fm5od
    @FatmaFatma-fm5od Před 6 lety

    Alhamdulilah umetutosheleza mada hii Maalim Allwah akubarikie

  • @faizasaid8262
    @faizasaid8262 Před 4 lety +2

    Mashallah shukuran

  • @najmaomar6262
    @najmaomar6262 Před 6 lety +1

    Swallallahu alayhi wa alihi wa asw,habihi wasallama

  • @muniramohamed8887
    @muniramohamed8887 Před 4 lety

    Mashall-Allah Allah akuzidishie elim yenye manufaa uzidi kutuelimisha akupe umri mrefu Amin

    • @najmayuda3437
      @najmayuda3437 Před 4 lety

      Je Mume kama kakukibia haujuwi unaishije hapo unafanyaje?

  • @zuheorsalim7759
    @zuheorsalim7759 Před 6 lety +5

    Halaf hii ni tabia ya maibadhi wanawatia mimba watoto wa kiswahili halaf wakienda mahkaman wanasema wao ahli istiqama hawaowi mwanamke ambae ametembea nae subuhana allah

    • @nassirhussein6908
      @nassirhussein6908 Před 5 lety

      Ukizungumza usitaje madhehebu kwa kuacutakwenda kusimamishwa siku ya kiama utoe ushahidi wa ilo dhehebu ambalo umrlihukumu kufanya iyo dhambi kwa kua umesema maibadhi umewahukumu wote kazi kwako

    • @khadijamahmoud4365
      @khadijamahmoud4365 Před rokem

      @@nassirhussein6908 ni kweli hajasema uongo maibadhi hawaowi wanawake walozini nao

    • @SuleAhmad-lt5qc
      @SuleAhmad-lt5qc Před 4 měsíci

      Wakati unatiwa mimba ni kwa hiari au nguvu na isitoshe kila mimba anayotiwa mtu katiwa na maibadhi au maibadhi ndio watia mimba tu au wao ndio wanaosimika tu

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 Před 6 lety +10

    Waambie maibadhi wanaaribu watoto wa watu hawawaoi kwasungizia walishazini

  • @ukhtysakinaa7664
    @ukhtysakinaa7664 Před 6 lety +4

    Allah atuifadhi na atuongoze insha,Allah

  • @aishayahya7687
    @aishayahya7687 Před 5 lety

    Jazakaallah khair Allah akulipe kwa darsa

  • @maryamkhamfar4029
    @maryamkhamfar4029 Před 5 lety +3

    Subhanallah, Allah atunusuru na zinaa

  • @saidijuma6859
    @saidijuma6859 Před 6 lety +2

    mashaallah, nakupenda xna sheikh kwaajili ya Allah.

  • @abdiali2842
    @abdiali2842 Před 4 lety

    Jazakallah kheyr

  • @shaibahkmwangoto8089
    @shaibahkmwangoto8089 Před 5 lety +1

    Ustadhi naomba namba shekh. Ninashida nawewe Shekh

  • @reemiiomar9386
    @reemiiomar9386 Před 6 lety +3

    Na haya mambo yakuolewa bila kukaa eda yamekithiri sana baadhi y wanawake wanaolewa hvy

  • @diyaosman8992
    @diyaosman8992 Před 6 lety

    Shukran jazaka Allah Khairاللهم ارحم تحت الارض و فوق الأرض و يوم العرض عليك يارب العالمين

  • @ummusalim1991
    @ummusalim1991 Před 2 lety

    SubhanaAllah

  • @issahblack
    @issahblack Před 4 lety

    Jazaqa Allah kheir Sheikh

  • @hassansingano1150
    @hassansingano1150 Před rokem

    Quran
    4 : 24
    """Ndoa pasi na zinaa, """
    Naomba ufafanuzi kuhusu hii aya

  • @ashasadiki7825
    @ashasadiki7825 Před 6 lety +1

    jazzakah allah khair

  • @HawagutuWachu
    @HawagutuWachu Před 6 měsíci

    Ya Allah saidia mabinti wa kislamu

  • @muhammad-Swaabir
    @muhammad-Swaabir Před 5 lety

    Sheikh hapo kuna mas'ala inafaaa kuzingatiaa jumhuri inasema haifai kuolewa Sawa Sawa aliemtia mimba aunt hata mwengine mpaka ajifungue nayo hii ni kauli ya imam Malik na Ahmad bin hanbali na abuu Yusuf al hanafi na waliosema afaa kuolewa ni imam sharing na Abu hanifah ila imam abuu hanifah akashurutisha lazima aliemtia mimba ndio amuoe.
    Halafu Sheikh min fadhlika zingatia hii hadithi mtume swalla llahu alayhi wasallam asema ' تضع لاتوطأ حامل حتى

  • @AnkallyPandu
    @AnkallyPandu Před měsícem

    Hivi kuna mimba ya haramu, vitendo au kitendo cha haramu, kama ya kharamu na mtoto atakaezaliwa nae atakua haramu au, naomba ufafanuzi sheikhe vipi kitu cha kharamu kinafaa kuingia msikitini au

  • @abrarabgao
    @abrarabgao Před 6 lety

    MASHALLAH
    JAZAKALLAHU KHAIR

  • @zamzamluwanja1525
    @zamzamluwanja1525 Před 6 lety

    Mash kuura sana sheh....

  • @cuteisheroman764
    @cuteisheroman764 Před 6 lety

    Jazakallahu kheir

  • @drishittz3270
    @drishittz3270 Před 4 lety

    Asaallam aleykum wallehmatullah wabarakatuh swal sheink mwanamke alie Olewa akiwa na Mimba ya zinaa na Hakuna Sema ulikuwa kama siri je hukum yake nn??

  • @shakilamasoud8979
    @shakilamasoud8979 Před 6 lety

    Subhana Allah

  • @abughatimsalim7047
    @abughatimsalim7047 Před 6 lety

    Mashallah

  • @mekaalaba567
    @mekaalaba567 Před 4 lety

    Asalam alaykum naomba nmba yko au km kun group la wsp naomba ili ntk kujifunza ktuu hpo

  • @marirokinono3272
    @marirokinono3272 Před 6 lety

    Sheikh pengine mm nimefikwa na maradhi ya tumbo alafu daktari aseme nikatwe kizazi je itakua ni sawa au c sawa

  • @rehemahusseni4936
    @rehemahusseni4936 Před 6 lety +1

    Allah atunusuru

  • @Naziluna-en7lj
    @Naziluna-en7lj Před 6 lety +3

    shekhe wangu unaponikera mm ni pale nnapokufata whatsap kuuliza swali hlf hunijibu sasa hiyo namba yako ulitoa ya nnaan mtu unashida unataka kusaidiwa ili upate mwongozo lkn mtu anakuona km mwandawazimu vile cyo pw kbs ni mtu umjibu kuwa ctaki,au labda cna mda atakueleaa vile vile kuliko kumnyamazia na sms umesoma inauma kuona nyie ndowakutusaidia cc lkn hamtujali sasa tukamuulize nani??

    • @shaibahkmwangoto8089
      @shaibahkmwangoto8089 Před 5 lety

      Naona umempa makavu ustadhi. Uyo usimlaumu nimtu mkubwa sana na anawatu wengi na anamajukumu mengi. mi naona umaarufu wake unamfanya awe bize. Usikate tamaa ipo siku utampata tu.

    • @halimahamisi5554
      @halimahamisi5554 Před 4 lety

      Naziluna 2555 nakama mwanamke haind hedhi EDA yakuachwa akaa

    • @halimahamisi5554
      @halimahamisi5554 Před 4 lety

      Akaa EDA au hakaiii akiwahaingii mwezin

  • @nusralilobwa4752
    @nusralilobwa4752 Před 6 lety

    Jazzallahu khayra kwa ukumbusho

  • @aminaabdi618
    @aminaabdi618 Před rokem

    Asalamu aleykum, naomba kujuwa mzazi mkirisro anaweza kuwa wali

  • @aminamuhamad897
    @aminamuhamad897 Před 6 lety +2

    sheikh nisaidie na number zako za whatapps.kutoka qatar

    • @rehemakembi3552
      @rehemakembi3552 Před 3 lety

      Asalaamaleikum warahmatullahi wabarakatu, umeipata number ya huyu sheikh?kama uko nayo naomba unisaidie tafadhali.shukran

  • @mariamomran6144
    @mariamomran6144 Před rokem

    Yasalaam

  • @asheyroja590
    @asheyroja590 Před 6 lety

    Ahsate kwabukumbusho

  • @001mombasa7
    @001mombasa7 Před 6 lety

    Mashallah shukran

  • @benjaminlaglise3140
    @benjaminlaglise3140 Před 6 lety

    Ameen ya Allah

  • @a.856
    @a.856 Před 6 lety

    Shukran sheikh

  • @teefahbaby352
    @teefahbaby352 Před 6 lety

    Asnt kw ukumbsh indhllh mung akulip kheiri

  • @saiedsuleiman1837
    @saiedsuleiman1837 Před 6 lety +3

    Assalam alykum...
    Sheikh watutatiza unaposema mimba ya haram haina mwenyewe

    • @mutomubaya
      @mutomubaya Před 5 lety

      Je wewe wadhani mwenyewe ni nani?

    • @saidasaidjuma3505
      @saidasaidjuma3505 Před 3 lety

      Mtot wa zinaa hana baba ni wa mama kwasabab haijahalalishwa na Allah (s.a.w)

  • @maisaalawi644
    @maisaalawi644 Před 6 lety +1

    MashaAllah.

  • @hamisamaundi5661
    @hamisamaundi5661 Před 4 lety

    Shuklani sheikh

  • @zakiamaungazakia720
    @zakiamaungazakia720 Před 6 lety

    Asante kwa ukumbusho

  • @chunafetty6737
    @chunafetty6737 Před 6 lety

    JazzakaAllah khery

  • @monnyselly2317
    @monnyselly2317 Před 5 lety +2

    Je mimba imekataliwa na bwana ni halali kutoa au haramu

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 Před 4 lety

      Bwana kwa maana ya mume, akiikataa mimba aliyonayo mwanamke akiwa mkewe hiyo ndoa imevunjika pia. Haiwezekani umeshakaa na mke mwaka 1 halafu ukatae mimba mke abakie ni wako. Ila umeowa miezi kidogo kuliko ukubwa wa mimba hii SIO kuikataa BALI sio yako tena hata kama ulitia weye mwenyewe.

  • @zuheorsalim7759
    @zuheorsalim7759 Před 6 lety

    Shekh umeongea kitu ktk pakt leo

  • @zuheorsalim7759
    @zuheorsalim7759 Před 6 lety +1

    قريبا سيأتي ردي عليكم قاسية في الكتاب (قول المرضية في كشف مذهب الاباضية )

  • @moridohome4790
    @moridohome4790 Před 3 lety

    Shukran

  • @mohdally4655
    @mohdally4655 Před 4 lety

    Samahan sheikh mm nataka kuulza je mwanamke kama kasuka nywele zake jee anapokoga janaba je vp atatoharka

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 Před 4 lety

      Kutoharika ni kuenea maji mwilini kama huo msuko utaruhusu maji kuingia hakuna tatizo.

  • @abalkassim729
    @abalkassim729 Před 5 lety

    masha allah

  • @samyspesho1698
    @samyspesho1698 Před 8 měsíci

    KWAHIYO NIKICHUKUA TONE LA POMBE NIKIDONDOSHEA KWENYE MAJI MAJI YATAKUWA HALALI AU HARAMU

    • @coolvoices6608
      @coolvoices6608 Před měsícem

      😂sasa ww pombe kwan ni haramu au najisi katika kulinganisha na maji? Usichanganye mafaili

  • @zahrakazungu5026
    @zahrakazungu5026 Před 6 lety

    Shukran sana

  • @hanifaabuobakar3636
    @hanifaabuobakar3636 Před 6 lety

    shukran

  • @ilhamprecious8816
    @ilhamprecious8816 Před 6 lety

    Na mungu Ana hukum Kwa nia sasa wewe toa useme sheikh ndio amesema

  • @zuheorsalim7759
    @zuheorsalim7759 Před 6 lety +5

    Mi ngoja niwauliz3 maibadhi na km hayo madhehebu yenu yamemkataza mzinifu asiolewe na mtu muhusika je hayo madhehebu yenu yamemruhusu kumtia mimba ????!!!!

    • @faisalsuleiman3806
      @faisalsuleiman3806 Před 6 lety

      zuheor salim
      Madhehebu ambayo inaruhusu kuoa baada ya zinaa ndio madhehebu inayochochea uzinifu

    • @zuheorsalim7759
      @zuheorsalim7759 Před 6 lety +1

      Faisal Suleiman
      Chunga mdomo wako kijana hapa unawazungumzia wanabyuwoni makubwa sana bali ni waislam wote kasoro maibadhi na mashia tu

    • @faisalsuleiman3806
      @faisalsuleiman3806 Před 6 lety +1

      zuheor salim
      Ukitaka kulijua jambo lisome na ulifaham zama za kufata mkumbo zimeisha

    • @maryoomm8359
      @maryoomm8359 Před 6 lety +4

      Kwanza kabisa ujue hili ni suala la kifiqhi kwa hiyo kila mtu hulipwa kwa ijtihaad yake,kama maibadhi wamepatia katika hili watapata ujira mara mbili na kama wakikosea watapata mara moja,pili lengo la ibadhi juu ya suala hili ni kuufunga mlango wa zinaa usipitike kabisa,vijana watakuwa waangalifu juu ya matendo yao.wallahu aalam

    • @zuheorsalim7759
      @zuheorsalim7759 Před 6 lety

      Ahmed. Sasa unataka kusema km hao maibadhi wako wanaijuwa zaid dini kuliko ally ibn abby twalib na mama yetu aisha au wao wana hirsi kubwa juu ya watu kuacha uzinifu kuliko maswahaba wa mtume s.a.w ????? Kwani we hujuw km hawa waliulizwa na wakatoa fatwa juuu ya kujuzu wewe hujuw km fatwa zao zinapewa hukmu za raff ????hebu someni dini yenu halaf ndo muwe vinanda

  • @fatumaramadhanmashaallahal9966

    Shehe ww kwako siharamu kutoa mimba Lakin mwanaharam unamsema sana kuliko kuuwa

    • @fatumaramadhanmashaallahal9966
      @fatumaramadhanmashaallahal9966 Před 5 lety

      Atae toa mimba siharamu sana hanamzigo mazito mbele ya mungu Lakin atakae zaa mwanaharam ana dhambi nyingi kuliko anae uwa sikweli hatakama hatuku Soma kuquan

  • @zainbalmasrory8024
    @zainbalmasrory8024 Před 5 lety +2

    Haram kuoa uliemzini so ulie mtia mimba sasa mawahabi halalisheni mimba za zinaa ili ukikataliwa kumuoa binti mtie mimba halafu umuoe kwakusingizia mimba yako lakini kumbuka sharia mtoto si wako aslan !!!

    • @bakaribakari6444
      @bakaribakari6444 Před 5 lety +1

      Kwa Hyo akaolewe na ambaye hajazini...kuna usawa hapo.. Tumia akili

    • @anwaryabdallah7782
      @anwaryabdallah7782 Před 5 lety

      Zainb hujaelewa ww

    • @aminaabdul1574
      @aminaabdul1574 Před 4 lety

      Azzany la yankihu illa zany.

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 Před 4 lety

      @@aminaabdul1574 Hajaelewa kabisa kabisa kumuoa mwanamke mwenye mimba bila kujali katiwa na nani ni ndoa HALALI ila mtoto sio wa MUME bila kujali yeye ndio aloitia au la.
      Naomba kuwakumbusha Waislam kuwa Mwenyezi Mungu anakwenda kutugawa makundi 72 na kati ya hayo la kwake ni 1 tu na litaundwa na madhehebu yote kwa hiyo epuka sana kudhani dhehebu lako ni bora kuliko jingine. Mungu atuwafikishe tuwe kwenye kundi aliloritidhia. Amin.

    • @ntopangonyani6964
      @ntopangonyani6964 Před 4 lety

      Mawahhabi ndio wakina ndugu yangu?!

  • @issasuluta3003
    @issasuluta3003 Před 6 lety

    🙏🏽🙏🏽🙏🏽

  • @allysaidhy2255
    @allysaidhy2255 Před 4 lety

    Je kama aliempa mimba ikiwa haitaki na mwengine ywataka kumstiri akiwa na uja uzito bado

    • @hawa4968
      @hawa4968 Před 4 lety

      Usubiri azae then akisha zaa unamuowa

  • @ashaali5773
    @ashaali5773 Před 6 lety

    mimi nauluzaswali anaejuwaanijibu shekhe samhn je. mtu akiwaame kutana namuchunba wakikutankimwili kabula hawajfuga doa je nizinaa

    • @kiokofrancis9962
      @kiokofrancis9962 Před 6 lety

      Ndio ni zinaa. Tendo la ndoa hufanywa baada ya ndoa kufungwa.
      Hatakama ni mchumba wako ikiwa hamjafunga ndoa basi hio ni zinaa.

    • @jumamwenda5729
      @jumamwenda5729 Před 6 lety

      Asha Ali jibu ni zibaa hiyo dada japo mm sio sheikh kwa sababu nyinyi hamjafunga ndoa

    • @jumamwenda5729
      @jumamwenda5729 Před 6 lety

      ni zinaa hiyo dada!!

    • @seifissa7194
      @seifissa7194 Před 5 lety

      ndio haramu

    • @sprettysalim4659
      @sprettysalim4659 Před 4 lety

      Haifai HIYO DEAR ndoa,, kwasbbu Tayari ushazini nae

  • @kjhjcvn9598
    @kjhjcvn9598 Před 4 lety +1

    Shekhe mbona unaongea mambo pasi na dalili tuelezee AYA AU HADIDHI USITUAMBIE MAIMAMU TU WAPI WAMECHUKUA DALILI KUA MAKINI

    • @daressalaamtanzania2736
      @daressalaamtanzania2736 Před 4 lety

      Kjhj chizi wewe

    • @balotelingalundangalunda1338
      @balotelingalundangalunda1338 Před 4 lety

      kuwa na hikma bac hata kama umeona amekosea bnadam c mkamilifu sheikh amefikisha alichojaaliwa nawe kama wajua fikisha co kuangalia wa2 wamekosea wap ww uwe mkosoaji maisha hàyend hvyo ndugu

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 Před 4 lety

      @@balotelingalundangalunda1338 Kukosoa hata mnyama anaweza kama ana hoja alete hoja ajibiwe kulingana na hoja. Suala likiwa halina pingamizi halihitaji aya au hadithi, ukilete hoja ndio aya na hadithi hutumika.

    • @balotelingalundangalunda1338
      @balotelingalundangalunda1338 Před 4 lety

      @@hajihassan5433 10x kaka

  • @kijolysahaly1323
    @kijolysahaly1323 Před 4 lety

    Alafu kunahabari ninazozisikia kuhusu mwanamke aliewahi kutembea namwanaume kabla yakuolewa inasemekana. Heti hataakijakumuoa nikama wanaendeleza dhinaa. Hii imekaaje shehe

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 Před 4 lety

      Hapana walichofanya (kuzini) ni haram lakini ndoa ni HALALI na sio zinaa. Haram haitazuwia halali.

    • @mariamm2724
      @mariamm2724 Před 4 lety

      Kwaiyo nisiolewe na yule nilozini Naye? Je nifanyaje

  • @marirokinono3272
    @marirokinono3272 Před 6 lety

    Na kama c sawa hukmu yake ni nn

  • @samakisamaki3226
    @samakisamaki3226 Před 4 lety

    nani ajua siku ipi allah atia roho kwa kilicho tumboni mwa mwanamke? na je roho ni nini?

    • @balotelingalundangalunda1338
      @balotelingalundangalunda1338 Před 4 lety

      mimi ni tabibu kwamujib wa sayansi mtoto aanza kucheza tumbon mwamama yake afikapo miezi mitano na ukipga hesab zle ktk aya za qur an kiumbe had kutiwa roho ni miez mi5

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 Před 4 lety

      Ni muda tu ambao sheria imewekwa kwa vile hata hatari ya kupoteza uhai wa mama kwa kutoa mimba inaongezeka, lakini roho ni kitu kipo toka kwenye manii kwa sababu kisayansi kiumbe kinaanza cell + cell (sperm + yai) = tissue (labda tuite pande la nyama), tissue + tissue = organ,(kiungo) organ + organ = organism (kiumbe kamili). Na cell is a unit of life.

  • @salmahilaly9708
    @salmahilaly9708 Před 6 lety +1

    Suleiman @usiseme awaambie maibadh elm kwa sasa inapotoshwa sana si kweli haram ikahalalisha huyu shekh kaihalalisha kharam

    • @zuheorsalim7759
      @zuheorsalim7759 Před 6 lety

      Salma Hilaly
      Labda tukuulize haramu gani aliyoihalalisha?!!!!!

    • @ismailjuma3692
      @ismailjuma3692 Před 6 lety

      ndio nizinaa

    • @zuheorsalim7759
      @zuheorsalim7759 Před 6 lety

      Bahat yako we ni mjinga kinyume na hapo bas ungesikia maneno mazito mno

  • @taabohosain3849
    @taabohosain3849 Před 6 lety

    Shukran

  • @aminamuhamad897
    @aminamuhamad897 Před 6 lety

    shukran

  • @kadaraabdullah5817
    @kadaraabdullah5817 Před 6 lety

    Shukran

  • @chrispinelwoga4182
    @chrispinelwoga4182 Před 6 lety

    Shukran

  • @nuraabdulkadir9098
    @nuraabdulkadir9098 Před 6 lety

    shukran