#breakingnews

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024

Komentáře • 24

  • @Adrianolaurian
    @Adrianolaurian Před měsícem

    Wazee hatuwataki 💪

  • @amosleonard7359
    @amosleonard7359 Před měsícem

    Hao wazee watulie

  • @hawambeho9984
    @hawambeho9984 Před měsícem

    Wazee wananyimwa hela hao ndio maana wanachalika mtu anafanya vizuri wao hawamtaki kweli

  • @johanesdeogratias5106
    @johanesdeogratias5106 Před měsícem

    Nlikuwaga najua Wazee wanaakil kumbe wngine n maku, maku,makuziiii

  • @FabiolaSommy
    @FabiolaSommy Před měsícem +1

    Hiv hao ni wazee gani

  • @FabiolaSommy
    @FabiolaSommy Před měsícem +1

    Siamini ata

  • @user-bn6iz2ve1n
    @user-bn6iz2ve1n Před měsícem

    Hao wazee wanataka kufa au hii nchi bana uzalendo umezidi tutaandamana

  • @joshuasamson9618
    @joshuasamson9618 Před měsícem

    👉🐸🐸🐸🤣🤣🤣🤣🔥🔥🔥✍✍🤳 Weee waaaa Ubaya Ubwela

  • @malkikidiwa3008
    @malkikidiwa3008 Před měsícem

    Acha mvua inyeshe tuone panapovuja

  • @user-nh5wn4dj1b
    @user-nh5wn4dj1b Před měsícem +1

    Wazee waende wakae nyumbani wasituchafue maana tutatoka kama kenya

    • @joshuasamson9618
      @joshuasamson9618 Před měsícem

      Nyie sio wasomi mnakumbuka maneno ya FEI Toto Alisema Injinia akitoka yanga hata kesho narundi mnapigana Mahakama kuu ya Muungano wa Tanzania Kisutu police wa Tanzania sio wa Kenya Tanzania unapingwa katafunua Kofi juu hukaa sawa ngumi acha kuchezea maisha Umwa Roho tu

  • @zahiruhamisi4162
    @zahiruhamisi4162 Před měsícem +1

    Wahuni tu hao wakitak kuharibu ligi yetu tu.We umeona wap mzamini m1anazamin zaidi ya team6?

  • @AffectionateBaseball-ib8dv
    @AffectionateBaseball-ib8dv Před měsícem +1

    Hao wazee tutachoma moto nyumba zao na familia zao wanacho kitaka watakipata

  • @mariammbwana9018
    @mariammbwana9018 Před měsícem

    Acha uongo wwe hiyo hukumu inayosema hersi aondoke iko wp elezea kesi ilivyo au hiki chombo chako hakina chanzo kina copy na kupesty

  • @RehemaAmos-pv7nx
    @RehemaAmos-pv7nx Před měsícem

    Hatoki mtu apa

  • @JovianRichard-i5n
    @JovianRichard-i5n Před měsícem

    Ubaya ubweraaaaa😢😢😢

  • @proisolution7166
    @proisolution7166 Před měsícem

    NINYI VIJANA WHY ALWAYS JUMA MAGOMA hata hao wanamshabikia wapumbavu,na always huyo jamaa huwa anakwenda huko(the same mahakama)bt iam sure huyo jamaa siyo mwanachama wa yanga bt also hizi mahakama za Tanzannia huwa tunazijua.alwys MAGOMA JUMA toka over 30yrs

  • @allydaud612
    @allydaud612 Před měsícem +1

    Mmeanza choko choko zenu yani waandishi ws habari wa vyombo ichwara hamuitakii timu meme waliopeleka mahakamani wataaindrsha timu

    • @Citymedia25
      @Citymedia25 Před měsícem

      Umefatiliaaaaa sikiliza habari

  • @user-rd6qq8mm1t
    @user-rd6qq8mm1t Před měsícem

    Wewe mwenyewe na tv yako unatoa taarifa kama haikuwahi kwenda Shure hata aisieingia darasani anajua kua wewe unatafuta comment

  • @user-zx3db2eg9v
    @user-zx3db2eg9v Před měsícem

    Wataje hao wazee

  • @geoffreymathiasmakingili8303

    Funga ofis yako uongo tuu

    • @Citymedia25
      @Citymedia25 Před měsícem

      Fatiliaaa habari achaa mapenzi