Hatua za Kufuata Kupata Udhamini (Scholarships) Kusoma Ulaya, Marekani, Canada, nk
Vložit
- čas přidán 10. 05. 2021
- Kupata udhamini wa elimu ya juu ughaibuni 9scholarships overseas) inabidi ujue hatua gani au vitu gani muhimu kuvifuata kuweza kujihakikishia kupata udhamini.
Unaweza kupata kitabu bure cha SCHOLARSHIPS kwa kwenda kwenye link hii www.ebmscholarships.com/2021/...
Thanks 🙏 a lot very supportive
Always welcome
Asante sn sn sn umenisaidia
Mh. EBM asante kwa elimu hii Be blessed Tanzanian🙏🤝
Asante sana, tunaendlea kujuzana mambo kadhaa
Ahsante sana kaka kwa kunifumbua macho
Asante kiongozi!!
Thanks
Natafuta musahada kwenu plz, kuna mama amalipa pesa zote za shule ya secondary lakini wanafukuza mtoto wake nyumba tafathali usahidizi anaitaji na vile kupata pesa za Saudi Arabia ni shinda tupu yy ndiye baba tena mama plz help her to get this root of the problem.
Samahani vipi je ukiwa umemaliza form 4
Je Naweza kupata scholarship ughaibuni baada ya form six course ya software engineering
Ela ya kushangaa shangaa 😁😁
Good content, naomba contacts zako kaka.
Je washindi wa green card wanaweza pata fursa za kuendelea kusoma Masters na phD marekani ??
Na je kama unaenda kuanziq diploma nje .
Unahitjika kuwa na vigezo gani ?
Kk ernest hujambo...mm ni jonas madua kutok Tanga Tanzania...nimefurah sana kuona hii..nipo udom now third year nataman mwakan nami niwe huko Mungu akipenda.
Je kupata scholarship nilazima uwe umemaliza diploma au unaweza kwenda kuanza diploma nje?
Unaweza kuelezea kwa waliomaliza form 6 wanapataje scholarship nje?
Hella ya kushangaa shangaa🤣🤣🤲🏼
Namimi nilipapenda hapoooo🤣🤣🤣
Nimecheka sanaaa😂😂😂
Na je vipi kuhusu Diploma kuna udhamini?
Budha umeongea binafsi nimekusikia hadi moyoni
Na nimekuelewa sana..naomba contact yako
Vp ww ulipata scholarship