#live
Vložit
- čas přidán 20. 05. 2024
- USISAHAU KUTUFATILIA KILA SIKU
#taifastars#yanga#simba
#Dotomagari#hajimanara
#tetesizausajilileo #yanga #simba
#azamfc #yangasc #simbasc
#simbasc #yanga #wananchi
#aslay #bentvmedia
#Chinowanaman#bentvmedia#interview
#yangasc #yanga #caf
#simbasc #usajilisimbaleo #simba
#simbasc #usajilisimbaleo #caf
#feisalsalum#yangasc#simba
#yanga#simba#caf
#simba #yanga #hajimanara
#simba #yanga #hajimanara
#tff #hajimanara #feisalsalum
#yanga #simba #caf
#simbasctanzania #wydad_casablanca #caf
#simbasc #wydad_casablanca
#mandonga #feisalsalum #yangasc
#yanga#simbasc#caf
#simbasc#raja#caf
#yanga #simba #simbasctanzania#hajimanara#usajili #ireneuwoya#mayele #simba
#yanga
#kariakooderby
#Uchambuziwaazamtv
#cafclcc
#Mashabikiwaalhilal
#Hajimanara
#Winnermedia
#Kochanabi
#Golilamayele
#Klabuboraafrika
#Top5media
#klabubingwaafrika
#Hajimanara
#Enghersi
#Yanga
#Alhilal
#mayele
#Azamatv
#Ibenge
#Caf
#cafconfiderationcup
#Tff
#Kikosichayanga
#morrison
#Yangatv
#Yanga
#Caf
#Mayele
#Tff
#Hajimanara
#Klabubingwaafrika
#Yangasc
#Kisinda
#Enghersi
#Yanga
#Tff
#Caf
#Hajimanara
#caf
#Tff
#enghersi
#Yanga
#Simba
#Hajimanara
#Josephatgwajimarudishatv
#Simba
#Yanga
#Hajimanara
#Wakristo
#Simba
#Yanga
#Tundaman
#Ahmedally
#Yanga
#Simbasc
#Hajimanara
#Jezimpyazasimba
#Simba
#Yanga
#Tff
#enghersi
#Yangasc
#Hajimanara
#Enghersi
#Yanga
#Tff
#Breakingnews
#Diamondplatnumz
#Harmonize
#Msamaha
#Azizki
#Yanga
#Richsports
#Simbasc
#Kagele
#Mayele
#Simba
#Yanga
#morrison
#Mayele
#Simbasc
#yanga
#Simbaleo
#Yangaleo
#Kikosichayanga
#tetesizausajilileo
#Azizik
#Stephenazizk
#Azizkikusajiliwasimba
#Usajilisimbaleo
#Usajiliyangasc
#Dirishakubwalausajili
#Kochampyawasimba
#Tetesizausajilileo
#YangaSc
#mechiyasimbalive
#mechiyayangalive
#ccmkirumba
#Mwanza
#Yangaleo
#Geitagoldleo
#Wasafitv
#Msimamowaligikuunbc
#gsm
#caf
#wasafifm
#wasafimedia
#Cafconfiderationcup
#Usajilisimbasc
#Usajiliyangasc
#Usajili
#Dirishakubwalausajili
#Azamtv
#Dudysports
#Millardayo
#Globaltv
#Mbiusautitv
#Wasafitv
#Sportsarena
#fifa
#Hajimanara
#Cas
#Modewji
#Yusuphmanji
#Usajili
#Kikosichasimbaleo
#Simbaleo
#Ligikuutanzania
#Simba
#Usajiliyangasc
#yanga
#ligikuu
#tanzania
#Simba
#Yangaleo
#Usajilisimbaleo
#Ligikuu#tetesizausajilileo#simba #simbasctanzania#hajimanara#usajili #ireneuwoya#mayele #simba
#yanga
#kariakooderby
#Uchambuziwaazamtv
#cafclcc
#Mashabikiwaalhilal
#Hajimanara
#Winnermedia
#Kochanabi
#Golilamayele
#Klabuboraafrika
#Top5media
#klabubingwaafrika
#Hajimanara
#Enghersi
#Yanga
#Alhilal
#mayele
#Azamatv
#Ibenge
#Caf
#cafconfiderationcup
#Tff
#Kikosichayanga
#morrison
#Yangatv
#Yanga
#Caf
#Mayele
#Tff
#Hajimanara
#Klabubingwaafrika
#Yangasc
#Kisinda
#Enghersi
#Yanga
#Tff
#Caf
#Hajimanara
#caf
#Tff
#enghersi
#Yanga
#Simba
#Hajimanara
#Josephatgwajimarudishatv
#Simba
#Yanga
#Hajimanara
#Wakristo
#Simba
#Yanga
#Tundaman
#Ahmedally
#Yanga
#Simbasc
#Hajimanara
#Jezimpyazasimba
#Simba
#Yanga
#Tff
#enghersi
#Yangasc
#Hajimanara
#Enghersi
#Yanga
#Tff
#Breakingnews
#Diamondplatnumz
#Harmonize
#Msamaha
#Azizki
#Yanga
#Richsports
#Simbasc
#Kagele
#Mayele
#Simba
#Yanga
#morrison
#Mayele
#Simbasc
#yanga
#Simbaleo
#Yangaleo
#Kikosichayanga
#tetesizausajilileo
#Azizik
#Stephenazizk
#Azizkikusajiliwasimba
#Usajilisimbaleo
#Usajiliyangasc
#Dirishakubwalausajili
#Kochampyawasimba
#Tetesizausajilileo
#YangaSc
#mechiyasimbalive
#mechiyayangalive
#ccmkirumba
#Mwanza
#Yangaleo
#Geitagoldleo
#Wasafitv
#Msimamowaligikuunbc
#gsm
#caf
#wasafifm
#wasafimedia
#Cafconfiderationcup
#Usajilisimbasc
#Usajiliyangasc
#Usajili
#Dirishakubwalausajili
#Azamtv
#Dudysports
#Millardayo
#Globaltv
#Mbiusautitv
#Wasafitv
#Sportsarena
#fifa
#Hajimanara
#Cas
#Modewji
#Yusuphmanji
#Usajili
#Kikosichasimbaleo
#Simbaleo
#Ligikuutanzania
#Simba
#Usajiliyangasc
#yanga
#ligikuu
#tanzania
#Simba
#Yangaleo
#Usajilisimbaleo
#Ligikuu
#Chama
#Caf
#SIMBASC
#YANGASC
#SIMBA
#LIGIKUUTANZANIA
#Ligiyamabingwaafrica
#Africa
#Tanzania
#Rockmedia
#Sokatv
#Mavalatv
#Wizarayamichezo
#Kochapitso
#Yanga
#Yangaday
#yangasc
#Plantamedia
#Azammedia
#Fifa
#Kambole
#Zalanfc
#uwamjawaalhilal
#Chama
#Caf
#SIMBASC
#YANGASC
#SIMBA
#
#Ligiyamabingwaafrica
#Africa
#Tanzania
#Rockmedia
#Sokatv
#Mavalatv3
#Wizarayamichezo
#Kochapitso
#Yanga
#Yangaday
#yangasc
#Plantamedia
#Azammedia
#Fifa
#Kambole
#Zalanfc
#uwamjawaalhif - Sport
Mo Hamia yanga
Yanga oyeee
Bado ujasema mpaka useme
Hamjafeli bhana mko pazuri sana tena mna viongozi makini kweli kweli namsibadilishe maneno endeleeni na msimamo wenu ule ule wakuwaona waliokuwa wakiukosoa uongozi ni mamluki nanyinyi ndo mliokuwa bora na mashabik wenye mvuto hapo
Mmeanza kujielewa hongereni makolo 🎉
Ngoja apokee bahasha atageuka tena ,vinamuda basi.
Unazungumza kutoka kigoma ama dar..hivi yule alietoa ahadi ya kutoa hekari 4.na huyu Jamaal ni mapacha...!!malachi...!!! Nauliza tu
Ndio wenzenu WA tp mazembe kujifunza
Wewe ni Afisa habari. Unataka cheo
Si Ahmed ally kasema mnamnunua Aziz k na mayele?
Wana simba tuamke tuamke huyu muhindi anatuibia timu yetu kama tungemsikiliza mzee kilomoni na wazee wengine leo tusingefika hapa tulipo bado hatujachelewa wanachama tuipiganie simba yetu.. Simba nguvu moja
Mlijitahid sana kuukataa ukweli lakin sasa yamewafika shingoni lazima ukweli usemwe alf wew na wale wenzio mmechangia pakubwa sana kuaminisha watu kuwa simba iko vizuri wakati syo kweli ukitaka kutatua tatizo ni lazima kwanza ukubali kuwa tatizo lipo
Kwan huyu ninan simba mpaka ananguvu za kuitisha press 😂😂😂😂
Ally Kamwe kawafundishe makolo jinsi ya kuongoza timu ya mpira wa miguu
Huyu si ndio alisema atatuma email kwa Infantini Fantino? 🤣🤣🤣
Akili inarudi sasa
Niwaambie tu watani zangu wala msihangaike na uwongozi wenu nyinyi mnaviongozi bora, timu bora, muwekezaji bora bila kusahau nyinyi mashabiki bora isipokuwa Hersi amewazidi kete kwa kununua mechi😂😂
Moo dewj jamani unasababisha ndoa za watu zinavunjika watu nguvu za kiume zinahamia midomoni huku uwiiiiiiiii😂😂😂😂😂😂😂
Yaani ukikuta dunduka linavyolalamika unaweza kudhani linahisa kwenye klabu😢
Umetumwa na nani? Una nafasi gani katika uongozi wa club?Timu ziko 16.ya kwako isipokuwa ya kwanza ni kosa?
wameanzaaa
kuelewanaaa
Kumbe madunduka wote hamna ubingwa! 🤣🤣
Mnajikwamisha wenyewe mdhamini hatakiwi kuwa mo pekee yake tatizoni hilo mi hataki wawekezaji wengine. Katiba ni mbovu
Mmeanza kuwa na akili sasa
Na wakati umesha watupa mkono wao ndio wanazinduka mweee😂
Wewe siulikua una tetea viongozi leo imekuaje
Kanyimwa fungu la kukaa kimya kaamua kumwaga ugali, Sasa wengine wamwage Mboga
Timu ya Simba inaendeshwa KIHUNI....na mashabiki WAHUNI...! YANGA hawawezi mashabiki kuitisha press kama hizi kwani wanajua ni wapi kwa kupeleka malalamiko; Hapo atapata majibu gani? Nani amjibu? Huo ni kama umbea tu!
Uwekezaji wa kitapeli. Mhindi ni kigeugeu sana. Eti mtu anasema anatoa pesa kwa hisani halafu anakugeuka anasema eti alikupa kwa mkopo 😂😂😂
Hamto fanikiwa kama hamjagundua tatizo liko wapi. Yaani mnajua tatizo harafu mna uma maneno
Simba fc haina wanachama inamashabiki
😂
haya ndo mamb ya kuhoji na kuongea sasa watani
Huyu dr wa mihogo akiambiwa ukweli anajifanya yeye anajuwa kila kitu kweli mfa maji haachi kutapatapa
Kwani ni lazima mtu aongee hata kama ni pumba?
Mkumbusheni huyo kasema mwanzo wa smimu huyu kasema kwamba simba isipo twaa ubingwa anaaca kushabikiya mpira je inakuwaje mpaka sasa anashabikiya? kuweni na akiba ya maneno😂
Mashabiki paka Leo viongozi wako madarakani harafu mlikua mnawasifia tu wakikosoa mnawaona wazinga maboya tu
Wewe ni shabiki wa yanga tu hamana lolote
Interview yooote pumba mtupu..unajiita mwanachama halafu hujui nini kimekwamisha transformation ya klabu yako😢. Wewe ni Dr. wa utabibu au wa filosofia? Miaka 3 unalalamika hivi ushawahi kuwaza kuhusu Azam ambao wako serious kwenye mpira hawajabeba kombe miaka mingapi sembuse hiyo timi yako🤔. Asee kwa mashabiki wa aina hii basi kina Mangungu kazi wanayo🤣🤣🤣
Wewe nimjinga sana .umetowa wewe shilingi ngapi kama hujatumwa huna maana yoyote
Mbona Unaonekana Mkubwa Alafu Unakosa Akili
Vinamuda basi unavyoongea utafikiri kweli unamaanisha, ngoja bahasha ikufikie hayo yote unayoongea utayageuka tena😂.
Posho imekata 😂😂 akili ndo inawarudia
Wakiingiziwa wanasahau tena
😅😅😅😅 wameshtuka sasa wanakumbuka shuka kumepambazuka
@@joycemmassi5046 kifupi wamechelewa🤣🤣⚽