Doto nakupenda Sana bro aunaubaya na mtu dazaini kama unamuombea msamaa mshikaji Yani inaonyeshakama aunachukinae wewe ni mcheshi Sana sio wakuja awanaadabu Tena malimbukeni wamaisha Asante kaka endelea kutetea wanyonge
Kama doto magari anavyosema huyu jaama ni mtu wa ajabu sana kunawakati alionywa na Mimi nilitaka kumuonya sikufanikiwa alinizarau ila kwa kweli inatakiwa iwe mfano maana bado inaonekena bado hana utulivu wa kuomba radhi kweli
Mwijaku kakosea hapo kutusi Kipanya .ila huyo Kipanya atuache na pombe zetu sisi ndio starehe yetu tafadhali .kila binadamu ana starehe zake na muache watu wafuate mioyo ya starehe zao
Dotto Magari nampenda bure jamaa hajui unafki anaongea kilichokua ndani yake big up bro
Zima tv inanimalizia Ume🤣🤣🤣🤣
Amezidi mwijaku amlipe masud anamdhalilisha sana hata diamond tena akome kumtaja mola hapo katika upumbavu wake.
Mwijako ana mdomo mchaff sana
Mimi shabiki wa dotto from europe
Doto nakupenda Sana bro aunaubaya na mtu dazaini kama unamuombea msamaa mshikaji Yani inaonyeshakama aunachukinae wewe ni mcheshi Sana sio wakuja awanaadabu Tena malimbukeni wamaisha Asante kaka endelea kutetea wanyonge
Mwijaku bila kufungwa gavana /kidhibiti mwendo hata kuwa na adabu wacha ashikishwe adabu kwanza Masudi fika naye mwisho huyo mpuuzi
Ametaja hadi majina yake ya NIDA
Sasa dotto unatutukana sisi unamtukana mwijaku au unatukana TV😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂simueelewi
Doto nakukubali Sana,pia umenichekesha sana😂😂😂😂
Mwijaku atiwe adabu, bundi huyu
Anataka contanti huyooo ila doto wee kiboko 🙌🙌🙌 hii contanti lazima ipandee🤣🤣🤣
Mwijaku anampenda sana kuongelea watu na kuwatukana
Nimecheka mbavu zangu jamani, Mwijaku kayatimba
🤣🤣🤣
Mpe ukweli kabisa Mwijaku ana tabia mbaya sana.Alishamtukana Hadija Kopa na Mke wa Ally Kiba na Maua Sama ashikishwe adabu ili awe na nidhamu
Mwijaku ana mdomo mchafu sana
Bora kweli mwijaku ni ana mdomo sana Bora atiwe Adabu
Hata mimi nimefurahi kushitakiwa Mwijaku. Huyu Mwijaku atabidi afungwe miaka sita gerezani
Heeeeee
Mwijaku anakera sana mbwa huyu akome
Mwijaku anatangaza kamari then anasema Pessac zahalali humm
Blaza anabishana na TV 😅😅😅😅
Amezidi!
Diamond naelianjishee amtime mwijaku anazinguaaa 😂😂😂
Apelekwe mahakamani tu huyo maana kazowea sana kuchafua watu. Kila mara anamsema vibaya Diamond na haieleweki kamkosea nn! Kaingia pabaya
Diamond na mwijaku wanajuana wote wanatoka sehemu moja kigoma😂
Dotto magar yuko sahihi kabisa big up
Safi Sana dotto
Alipe tu 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Hasa sana kwa diamond platnumz
Doto nakupenda sana wewe ndugu yangu
Kama kweli tz kuna sheria basi mwijaku afungwe kwanza kwa sababu hanayo ongea zidi ya wezake ni mbaya zaidi
Watching this from germany but i hate mwijaku and you should leave dotto alone cuz we love Dotto magari
Atoe tu mkono WA Nyan maana inaonekana Hua anatupa matango Pori nawaza siku mond aseme nazima data😅
Na yeye anataka kuingia kwenye mtego uleule. Hajui mwenzake anatafuta kila chanzo cha kulipia faini
😂😆😆
😂😂😂
Dotooooo mbavu sina
Nakukubali doto magari
Sio milioni ni billion tano
Wamezoea kumtukana Diamond 😅😂
Doto, kesi ya kudhalilisha itakugeukia na wewe kutoka Kwa Mwijaku 😂😂
Kwani aliyeanza siyy? Mwijaku
Nyie nanyi mna shadadikia vitu vya hovyo
Duuuun!! Doro!! umetapka aisee
Doto ww ninoma sana mpaka nachekatu
Dotto bwana
Doto nakupendaga bureeee
Hahaha ila dotto unanifany nicheke kila siku
Mwijaku lopo lopo
Kama doto magari anavyosema huyu jaama ni mtu wa ajabu sana kunawakati alionywa na Mimi nilitaka kumuonya sikufanikiwa alinizarau ila kwa kweli inatakiwa iwe mfano maana bado inaonekena bado hana utulivu wa kuomba radhi kweli
Mimi napenda comments tuu dotto nampenda kwajiri yeye ni Really
Kipanya usimuache hy faraaaaa
Hana mood ya kidunia 😂😂😂😂😂
Mwijaku anafikiri Uhuru wake ni mpaka kuwadhalirisha watu.Masoud give him a lesson.
et unamtaja Mola wa nini kwenye ujinga wako huo😂😂
Ila hawa machawa Wana kaz😂😂😂😂😂😂
Nimefurahi jinsi anavyobishana Na TV
😂😂😂😂😂Atoa machungu😂😂😂
😂😂😂
Malapa oyeeeee
Et bichwa km box jmn doto😂😂😂😂😂😂😂
Hili nalo litapita salama.
Eti bichwa kama box😂😂😂
Mwijaku kakosea hapo kutusi Kipanya .ila huyo Kipanya atuache na pombe zetu sisi ndio starehe yetu tafadhali .kila binadamu ana starehe zake na muache watu wafuate mioyo ya starehe zao
Ni kweli ameyatimba doto umenichekesha mdomo uliponza kichwa
Amezid
Doto huna mbamba
Tuko na doto hadi mwijaku afungwe
Mwijaku hapelekwi popote, subiri utaona😂😂
Hata asipo pelejwa kokote ila jasho la kwapani litatoa povu la njano. Masoud ni bilonea.😂😂😂
Watu😂😂😂
😅😅😅😅 kaikanyagaaa mzeee waaaa migebukaaa
Mwinjaku akomeshwe kbsa anamuoneaga daimond ivi smears wasawa yke
Kumbe mwijaku anaitwaga baton😅😅
Anamalza umeme😂😂
unatumalizia umeme
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Tena uyo ndo afunge mdomo...elimu hana kichwani,,kimungu mungu...na huu wakat wenu msipokaza nyie hii dunia ndogo sana....
Mwijaku kampa prom Doto Magari
Mwaka wake
( Machawa WA Tanzanian )
Ila dotto bwana 😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂maaanina dotto
Oy dotto anakera acheni masihara
Mwijaku kayatimba
Bundi kweli hilo
kayatimba sana
amemdhalilisha kiukweli,mi nadhani iwe dunzo maana hana mipaka ya kuongea
Na jambo km hili linamchafua kipanya maana jamii inamuheshimu.
Contanti😂😂😂😂dotto niache mimi😂😂
Mwijaku mkewe ni advocate lazima amemshauri kua hakufanya vizuri na atapatwa na mkono wa Sheria ndio mana amepatikana 😂
Kipanya kiongozi
😂😂😂Tina December mimi hoi doto😂😂😂😂
Anamaliza umeme😂😂😂😂😂
Jaman ebu mwangalie mdomo unaponza kichwa...asije mwa fulan akaja kutafuta sababu na mtu Ili apoze machungu yaaaaaaake
atakoma huyo fara
Kaka doto bhana
Mwijaku inabidi uombe msamaha kwa dotto magari na sisi wanaichi
😂😂😂😂 dotto magari
Mwijaku amezid jmn afu hajifunzi tu huyu toka alipata ajar akaumia kichwa kuna nati zilikatika sio bure
9 disemba ,mtu yupo anachola vikatuni wewe uogopi
Mmeandika kipanga
Unamaliza umeme 😂😂😂😂😂😂
Sakokwabako
Jama leo amekubali wasomi 🫣 vijana muechimiye kusoma kwa kisasa ✌🏿🇺🇬👏🏿😂😂😂😂
Eti "Unanimalizia Umeme"🤣🤣🤣🤣
Ajifunze kukesha kuchafua watu muda wote
Hamsa 🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️😂😂
Doto kiboko😅😅😅😅
Sasa doto ivyo vidole vp kaka😅
Aya SKY umejisikia sauti yako ilivyokuwa ni moto wa kuotea mbali kwa utangazaji ???utafika mbali sana broo utafika mbali
Watu wa bukavu