Video není dostupné.
Omlouváme se.
Zitto: Nimeachiwa Huru, Naisubiri Serikali Mahakamani
Vložit
- čas přidán 30. 10. 2017
- Subscribe / uwazi1
Zitto Aachiwa kwa Dhamana, Aisubiri Serikali Mahakamani
KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe ameachiwa kwa dhamana leo Jumanne jioni baada ya kushikiliwa na polisi akihojiwa jijini Dar es Salaam.
Zitto baada ya kuhojiwa katika Kituo cha Polisi cha Chang’ombe mkoani Temeke sasa alihamishiwa Kituo Kikuu cha Polisi cha Kanda Maalumu ya Dar es Salaam.
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho, Ado Shaibu amesema baada ya Zitto kuhojiwa kuhusu aliyozungumza kwenye mkutano wa uzinduzi wa kampeni za udiwani zilizofanyika Kijichi Jumapili Oktoba 29,2017 aliachiwa kwa dhamana.
Shaibu amesema Zitto aliyewakilishwa na wanasheria Venance Msebo na Steven Mwakibolwa alidhaminiwa na watu wawili na alitakiwa kurudi kituoni hapo Jumatatu Novemba 6,2017. Hata hivyo, amesema alikamatwa tena.
Subscribe / uwazi1 FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1 Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM:
Naichukua sana siasa ktk maisha yangu ila napenda kiongozi yoyote yule anayefanya vzr ktk kazi za ujenzi wa taifa bila kujali chama chake wanasiasa kazi kwenu
Mungu mbariki Zitto
Pambana kwa sasa tunakutengemea kwa upizan huku tukisubili jembe letu liimalike
Dah nihatali jamani m yangu macho zitto usiludi nyuma endelea mbele
pole zito
Tanzania eeeee nchi yanguuu
duuuh kujipendekeza kwer
watz bna, ,,, saiv n hongera kwa zto yakimpata magum zaid , apambane na hali yake...... ,,,,,politician mkiskiliza maneno ya waandshi wa habar mtaumbuka
Taifa la watu wasio hoji limekufa!
Viva Zitto Zuberi Kabwe wewe ni Mshindi tu kaka
Saf zitto hata sisi wananchi tunalaani vikali mambo yanayofanywa na serikali ya sasa.mungu akutie nguvu
Aisee
Pole zitto
Atar sn
sio Kama hivyo
Acha nikae kimya
KUIWA NA UFUNGUZI WA MIRADI YA KIMAENDELEO CAMELA ZA KUHESABU,LAKINI KWENYE USHILAWADU HAPATOSHI NANI KATULOGA WTZ.
Pambana Hall yako zto unabwabwanga nn mdomon mwako kazi kuongea uongo tu.
lakini mimi toka nimeanza kusikia kutazama haya mambo mbona wa chama tawala hawakamatwi nahuwa wanamakosa tu
zitto usirudi nyuma pambana nimechoka udkiteta
usikwamishwe mheshimiwa ni mbinu tu za kukuogopesha
Nimekuona kilungi Emili kilungi
Pambana kaka
Zitto usiogope na usirudi nyuma hizi ni mbio za vijiti tu
zto ongeza nguvu kwa kurudi nyumbani chadema
Hivi zitto nae bado ni mpinzanzani tumesahau kama ni msariti tulimfukuza chadema na mm ninavyo jua zito anafanya kazi za ccm
Hahahaha hawajiamini tu kila siku kukamata upinzani
we uliye sema zitto apambane kwa sababu lisu yuko hospital ujielewi lisu awezi kufanana na mamuluki kama huyo tena msituchanganye mme sahau bungeni hata wapinzani wa kweli walivyo kuwa wanatoka inje kupinga mambo ya kifisadi zito alikuwa hatoki leo amebadilika nini acheni kuzuga nyie zito ni wenu tu wana ccm mimi simukubali hata kidogo wala hajabadilika kitu
Kanyika Kanyika EET!!! Unajua kwamba mbowe anamkubali zito, kama huamini subiri siku 5 kabla ya uchaguzi mkuu 2020 zito ataungana tena rasmi na kafulila. Zito ni mtoto tu amenyea mkono mbowe hawezi kuukata atauosha mambo yataendelea
Hujui siasa ikoje,na intelligence yako katika siasa inaitwa ushabika,nitatizo
Huyu ZITO si ndio CHADEMA MBOWE NA LISU WALITUAMBIA MSALITI ANATUMIWA NA USALAMA WA TAIFA
Abdulatif Said Ni kweli Na Ndio kiss Cha Kufukuzwa Chadema
Shabby Makapane sasa kama msaliti iweje leo aonekane shujaa kuichachafya serikali
Abdulatif Said Hahaha Ndio Ujue Wapinzani Hamna kitu
Abdulatif Said kwanza Huyo jamaa Mi Simuelewi Chadena walimfukuza Kwa Kumuona Msaliti Lakini Leo Hii Anajipendekeza Kwa Hao Hao wanaomwita au Kumuona Msaliti
sasa unashaangaaa ya Zitto halafu huachi kushangaaa ya LOWASA waliyemsma FISADI kwa miaka tisa mfululizo mpaka akanuka Tanzania nzima kwa UFISADI na tena wakasema wana ushahidi wa kutosha kuonesha ufisadi wake, na magazeti yao yakamuandika namna alivyo FISADI ghafla u mara akawa lulu na dhahabu, na akapewa bendera ya ukombozi wa taifa na mabadiliko, na watu woote wakashangilia bila kuhoji.
MIMI NINACHOONA KWA WATU WOOTE CHADEMA NA CCM Wote hawa hawataki watuwanaohoji, ukiwa mwanachama wa CHADEMA basi kila atakaloseam MBOWE na wenzie usihoji, UKIHOJI UNAKUWA MSALITI, na hivuo hivyo ukiwa CCM kila atakachosema RAISI unatakiwa usihoji, ukihoji unakuwa MSALITI.
Sasa ka mtu kama Zitto lazima aonekanwe ni msaliti kwa vyama vyoote hivi, na atakuwa lulu pale tu atakaapounga mkono hoja zao, ila akihoji tu basi haraka sanaaa huitwa MSALITI NA WOTE WAWILI CHADEMA NA CCM
zitto zitto...... ebu imarisha chama chako ebu jaribu kuwa tofauti...... umekuwa kama shoga achana naujinga huo wakutafuta kiki...... tazama chama chako kwa mapana zaidi.............
Mbona mh. zitto anaokenana kama amefulia hivi? shati limeenda uvinza, sura imetelemka toka kwenye fremu yake! Ahaaaaaaaaaaaaa, na bado! Mtanyoooka tu!