Video není dostupné.
Omlouváme se.

Zitto: Nimeachiwa Huru, Naisubiri Serikali Mahakamani

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 30. 10. 2017
  • Subscribe / uwazi1
    Zitto Aachiwa kwa Dhamana, Aisubiri Serikali Mahakamani
    KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe ameachiwa kwa dhamana leo Jumanne jioni baada ya kushikiliwa na polisi akihojiwa jijini Dar es Salaam.
    Zitto baada ya kuhojiwa katika Kituo cha Polisi cha Chang’ombe mkoani Temeke sasa alihamishiwa Kituo Kikuu cha Polisi cha Kanda Maalumu ya Dar es Salaam.
    Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho, Ado Shaibu amesema baada ya Zitto kuhojiwa kuhusu aliyozungumza kwenye mkutano wa uzinduzi wa kampeni za udiwani zilizofanyika Kijichi Jumapili Oktoba 29,2017 aliachiwa kwa dhamana.
    Shaibu amesema Zitto aliyewakilishwa na wanasheria Venance Msebo na Steven Mwakibolwa alidhaminiwa na watu wawili na alitakiwa kurudi kituoni hapo Jumatatu Novemba 6,2017. Hata hivyo, amesema alikamatwa tena.
    Subscribe / uwazi1 FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1 Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM:

Komentáře • 41

  • @user-gi1ez6fc1y
    @user-gi1ez6fc1y Před 6 lety +1

    Naichukua sana siasa ktk maisha yangu ila napenda kiongozi yoyote yule anayefanya vzr ktk kazi za ujenzi wa taifa bila kujali chama chake wanasiasa kazi kwenu

  • @dennisollomy401
    @dennisollomy401 Před 6 lety

    Mungu mbariki Zitto

  • @jisephmaganiko3859
    @jisephmaganiko3859 Před 6 lety +3

    Pambana kwa sasa tunakutengemea kwa upizan huku tukisubili jembe letu liimalike

  • @sunzuhasani3709
    @sunzuhasani3709 Před 6 lety +2

    Dah nihatali jamani m yangu macho zitto usiludi nyuma endelea mbele

  • @consolatamaarufu6762
    @consolatamaarufu6762 Před 6 lety

    pole zito

  • @zeelamipango
    @zeelamipango Před 6 lety +1

    Tanzania eeeee nchi yanguuu

  • @thomasmhindi1469
    @thomasmhindi1469 Před 6 lety

    watz bna, ,,, saiv n hongera kwa zto yakimpata magum zaid , apambane na hali yake...... ,,,,,politician mkiskiliza maneno ya waandshi wa habar mtaumbuka

  • @wilbroadsiyonga5889
    @wilbroadsiyonga5889 Před 6 lety +2

    Taifa la watu wasio hoji limekufa!

  • @katulitsajacob1107
    @katulitsajacob1107 Před 6 lety

    Viva Zitto Zuberi Kabwe wewe ni Mshindi tu kaka

  • @obedwilliam5906
    @obedwilliam5906 Před 6 lety

    Saf zitto hata sisi wananchi tunalaani vikali mambo yanayofanywa na serikali ya sasa.mungu akutie nguvu

  • @babsule8904
    @babsule8904 Před 6 lety

    Aisee

  • @nestorymalekela1823
    @nestorymalekela1823 Před 6 lety

    sio Kama hivyo

  • @victorienadebayor818
    @victorienadebayor818 Před 5 lety

    Acha nikae kimya

  • @nicholausnchimbi1599
    @nicholausnchimbi1599 Před 6 lety +1

    KUIWA NA UFUNGUZI WA MIRADI YA KIMAENDELEO CAMELA ZA KUHESABU,LAKINI KWENYE USHILAWADU HAPATOSHI NANI KATULOGA WTZ.

  • @wilhemmwashambwa1065
    @wilhemmwashambwa1065 Před 6 lety +1

    Pambana Hall yako zto unabwabwanga nn mdomon mwako kazi kuongea uongo tu.

  • @lukasmaige5575
    @lukasmaige5575 Před 6 lety

    lakini mimi toka nimeanza kusikia kutazama haya mambo mbona wa chama tawala hawakamatwi nahuwa wanamakosa tu

  • @christophersimon823
    @christophersimon823 Před 6 lety +3

    zitto usirudi nyuma pambana nimechoka udkiteta

  • @shaurikiyanga6033
    @shaurikiyanga6033 Před 6 lety

    usikwamishwe mheshimiwa ni mbinu tu za kukuogopesha

  • @santyhassan4186
    @santyhassan4186 Před 6 lety

    Nimekuona kilungi Emili kilungi

  • @shufaamohameed2603
    @shufaamohameed2603 Před 6 lety

    Pambana kaka

  • @festomeshack8581
    @festomeshack8581 Před 6 lety

    Zitto usiogope na usirudi nyuma hizi ni mbio za vijiti tu

  • @yesgood3491
    @yesgood3491 Před 6 lety

    zto ongeza nguvu kwa kurudi nyumbani chadema

  • @stephanokanyika6988
    @stephanokanyika6988 Před 6 lety

    Hivi zitto nae bado ni mpinzanzani tumesahau kama ni msariti tulimfukuza chadema na mm ninavyo jua zito anafanya kazi za ccm

  • @ramadhaniathumanimlenge6641

    Hahahaha hawajiamini tu kila siku kukamata upinzani

  • @stephanokanyika6988
    @stephanokanyika6988 Před 6 lety +1

    we uliye sema zitto apambane kwa sababu lisu yuko hospital ujielewi lisu awezi kufanana na mamuluki kama huyo tena msituchanganye mme sahau bungeni hata wapinzani wa kweli walivyo kuwa wanatoka inje kupinga mambo ya kifisadi zito alikuwa hatoki leo amebadilika nini acheni kuzuga nyie zito ni wenu tu wana ccm mimi simukubali hata kidogo wala hajabadilika kitu

    • @martinshedafa1300
      @martinshedafa1300 Před 6 lety

      Kanyika Kanyika EET!!! Unajua kwamba mbowe anamkubali zito, kama huamini subiri siku 5 kabla ya uchaguzi mkuu 2020 zito ataungana tena rasmi na kafulila. Zito ni mtoto tu amenyea mkono mbowe hawezi kuukata atauosha mambo yataendelea

    • @mindy8337
      @mindy8337 Před 6 lety

      Hujui siasa ikoje,na intelligence yako katika siasa inaitwa ushabika,nitatizo

  • @manyotaskipper5765
    @manyotaskipper5765 Před 6 lety

    Huyu ZITO si ndio CHADEMA MBOWE NA LISU WALITUAMBIA MSALITI ANATUMIWA NA USALAMA WA TAIFA

    • @shabbymakapane3212
      @shabbymakapane3212 Před 6 lety

      Abdulatif Said Ni kweli Na Ndio kiss Cha Kufukuzwa Chadema

    • @manyotaskipper5765
      @manyotaskipper5765 Před 6 lety

      Shabby Makapane sasa kama msaliti iweje leo aonekane shujaa kuichachafya serikali

    • @shabbymakapane3212
      @shabbymakapane3212 Před 6 lety

      Abdulatif Said Hahaha Ndio Ujue Wapinzani Hamna kitu

    • @shabbymakapane3212
      @shabbymakapane3212 Před 6 lety

      Abdulatif Said kwanza Huyo jamaa Mi Simuelewi Chadena walimfukuza Kwa Kumuona Msaliti Lakini Leo Hii Anajipendekeza Kwa Hao Hao wanaomwita au Kumuona Msaliti

    • @abujamalaalghammawiy7470
      @abujamalaalghammawiy7470 Před 6 lety

      sasa unashaangaaa ya Zitto halafu huachi kushangaaa ya LOWASA waliyemsma FISADI kwa miaka tisa mfululizo mpaka akanuka Tanzania nzima kwa UFISADI na tena wakasema wana ushahidi wa kutosha kuonesha ufisadi wake, na magazeti yao yakamuandika namna alivyo FISADI ghafla u mara akawa lulu na dhahabu, na akapewa bendera ya ukombozi wa taifa na mabadiliko, na watu woote wakashangilia bila kuhoji.
      MIMI NINACHOONA KWA WATU WOOTE CHADEMA NA CCM Wote hawa hawataki watuwanaohoji, ukiwa mwanachama wa CHADEMA basi kila atakaloseam MBOWE na wenzie usihoji, UKIHOJI UNAKUWA MSALITI, na hivuo hivyo ukiwa CCM kila atakachosema RAISI unatakiwa usihoji, ukihoji unakuwa MSALITI.
      Sasa ka mtu kama Zitto lazima aonekanwe ni msaliti kwa vyama vyoote hivi, na atakuwa lulu pale tu atakaapounga mkono hoja zao, ila akihoji tu basi haraka sanaaa huitwa MSALITI NA WOTE WAWILI CHADEMA NA CCM

  • @julianamasunga4147
    @julianamasunga4147 Před 6 lety

    zitto zitto...... ebu imarisha chama chako ebu jaribu kuwa tofauti...... umekuwa kama shoga achana naujinga huo wakutafuta kiki...... tazama chama chako kwa mapana zaidi.............

  • @simbadume3126
    @simbadume3126 Před 6 lety

    Mbona mh. zitto anaokenana kama amefulia hivi? shati limeenda uvinza, sura imetelemka toka kwenye fremu yake! Ahaaaaaaaaaaaaa, na bado! Mtanyoooka tu!