Kama jina lake lilivyo," mbuzi" ndivyo alivyo. Mwisho wa siku mbuzi kazi yake ni kuliwa. Yeye na anaowasemea tutawanywa SUPU tunaposherekea ubingwa 2024/2025 !
Uyu Isa Mbuzi ni shabiki wa Yanga damu nimesomanae Nguruma sec.... Anaonge ayo maneno moyon akifahamu kuwa Yanga yake ni bora sana na apo alipo moyon anafuraa sana
Mpeleke mirembe huyoooo Mbuzi....
Katika jitu jinga hilo pumbavu kwelikweli, wameshindwa klabu bingwa afrika mashariki mmetutia aibu sana
Ama huyu jamaa kweli mbuzy😂
Anatafuta umaarufu tu huyu. Kaona msemaji wa VitalO katrend naye anatafuta watu wamjue tu
Aujitambui ww
Huyu dogo choko was
Kijana unatolewa kafara.....gutuka.
Kama jina lake lilivyo," mbuzi" ndivyo alivyo.
Mwisho wa siku mbuzi kazi yake ni kuliwa. Yeye na anaowasemea tutawanywa SUPU tunaposherekea ubingwa 2024/2025 !
Haya tutakuona kwenye NBC
Shida baada ya mechi,utabadilisha maneno --- ila tu nikukumbushe kuwa " Yanga kila inakokwenda ktk Nchi hii ni mwenyeji " unaota ndoto za alasiri.
KWA MWAKA MMOJA SIMBA ISHAPIGWA BAO 8 NA YANGA NDIO UKUBWA HUO ? ALAFU HUYU KWELI MBUZI
Hivi huyu dogo anajua anachokisema au anatafuta umaarufu Kama Arsene Bucuti wa Vital'o.😂😂
Duh babu wenzio wana toa maneno afu baada ya mech wanakimbia camera koo kua makin jaangu
Inamaana asaivi awa wasemaji wanatafutaga njia yakujulikana eti😂😂
Uy ashaona yanga ndo pakutafutia kiki
Unakicha au unatafta kki
Dogo angalia maneno unayatupa hayo wenzio walisema hivyo hivyo wewe utapigwa wiki kwakua unamatusi
Maneno yatakuponza mdogo wetu ww, ongea na mengine uweke akiba
Kaka usitafute umaarufu shamba wewe wakuzodoa yanga kwanza nakuona hujui mpira
Dogo naona umevuta bangi wewe
Uyu Isa Mbuzi ni shabiki wa Yanga damu nimesomanae Nguruma sec.... Anaonge ayo maneno moyon akifahamu kuwa Yanga yake ni bora sana na apo alipo moyon anafuraa sana