Watu watatu wafariki huku mmoja akiendelea kuuguza majeraha kufuatia ajali ya barabarani Kakamega
Vložit
- čas přidán 10. 05. 2024
- Watu watatu wamefariki huku mmoja akiendelea kuuguza majeraha baada ya kuhusika katika ajali ya barabarani huko Kakamega katika soko la isulu barabara ya Musoli - Sigalagala. Watatu hao ambao walikuwa kwenye bodaboda walifariki papo hapo walipogongana ana kwa ana na lori, walipokuwa katika msafara wa mazishi.