Hiki ndio kinawafelisha madem wa ck hz,,,,wanapenda sana kutokea benchi kucheza first eleven hawataki,,wenzao wamecheza mpk dk 88 halafu wenyewe wanataka waingie wamalizie dk 90 nani kakuambiaaaaaaa ,,,,kwendraaaaa
Joti anatufundisha tujue Wanawake wa kuoa,alafu wale wa kuomba likes kwenye video za watu tafuteni za kwenu,apa likes za joti pekee, comment from ±25🇰🇪flow
Jamani jamani me sijawahi kupata likes naombeni hata 100
"sehem za siri zingekuwa ufutio zingeisha" 😂😂😂
Kuna watu wasingekuwa nazo kabisa is a 😂😂😂😂
cedric maina haaa
Mbn ivyo lkn
@@cuteme4870 hapo kati patamu mno 😂
🤣🤣🤣🤣😭😭😭😭
Kama Nyani na ngedere wangekuwa na pesa...*
*Trust me Kuna wanawake wangekuwa wanaishi misituni mda huu.....*
*Wanavyopenda hela*
Ilo neno
Hahaha
Haahaaa
Kweli kabisa hahaah
😂
wallah wabillah Joti weye utakuja kuniuwa😁😁from Buja 🇧🇮🇧🇮
Huyo dada mweusi is so attractive....even her voice is so amaizing!
Ana makalio mazuri sana
Kulaleki n😁😁😁nimependa apo
Ndio madem walivyo.yaani maslahii.akikuona full hela anababaika akikuona kavu anageuza sura.kama kweli gonga like.
ally mwanza zari kasikiya misada inatolewa. kanza vijembe kwa ex wake na karegeza kamba 🤣🤣
@@uwimanauwimana7303 ebanaweeeeeee wadudu sana hawa watu
Yani hawajawahi kuwa wema
Kama unaomba janga ili la coronavirus lipite nipe like apo chini
😂😂😂😂😂😂😂😂daah jot ni Nouma.... Kama unamkubari huyu jamaa gonga like hapa😂😂😂😂😂
Aaafu huenda hiyo range ikawa ya Joti Kikweli kweli sema kuigiza tu
Fact kabisa ni yake.
Ni ya kwake bro nlishamuona nayo mlimani city
Ni ya kwake bro nlishamuona nayo mlimani city
AWOTEE 😂😂😂
Nyie wengine kaeni nyuma Kama majani ,, joti mpuuz Sana hahahahhahahah
Wanawake awana huruma jamani kapendeza..handsome sametime🤣🤣🤣🤣
Joti is really soo funny 😂 from Kenya 🇰🇪
Ha haaaaaa awooooteee
254 tupo
😂😂😂😂nipeni tu likes zang niondoke joti kanishinda tabia😂😂😂
Vicheken
Likes zinakisaidia nini? Fala sana
Upewe like kwa kazi gani?acha ushamba
Kaen nyuma kama majan
Hiki ndio kinawafelisha madem wa ck hz,,,,wanapenda sana kutokea benchi kucheza first eleven hawataki,,wenzao wamecheza mpk dk 88 halafu wenyewe wanataka waingie wamalizie dk 90 nani kakuambiaaaaaaa ,,,,kwendraaaaa
Kabisa aiseee
Joti hakiri hunakabisa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Joti Muhuni Sanaa.. " Eti Nimewasalimia Lakini Nawashangaa VP munapiga Teke Fuko La Hela..😂🤣😅🏃♂️🏃♂️🏃♂️
hv nyie waomba like mnazipelekaga wapi kenge nyie ?
😂😂😂😂😂tena unakuta mtu anaomba likes 100😂
Range yakwangu mm,wacheni kunitafutia dhambi watoto wakike nyie 😂😂
Leo mapema Sana'a mkininyima like ase itakua uong
Wadau mnakexha nin!???😀😀😀😀😀😀
Dume zima
Likes za joti pekee tafuta video zako upewe likes
Kijana Hodari ok pzzpsp we see p do pld contaminated xlllslspo,
Joti ....Pendaaa wewe xana
Much love frm 254
Broo your number 1 EAST AFRICA TUKO JUUUH
Wale wakusoma coment kabla ya tukio tujuane apa ata kwa Like 5
Tupo
Tupo kama kawaida
😪😪😔
Tupo
HAHAHAHHAH tupo weng mbonaa, mm hapaa
Mmoja akae mbele,wengine kaeni nyuma ka majani... 😂😂😂😂
Joti anatufundisha tujue Wanawake wa kuoa,alafu wale wa kuomba likes kwenye video za watu tafuteni za kwenu,apa likes za joti pekee, comment from ±25🇰🇪flow
Dah izo back to back yani kitambo sanaaaaa mtulize kabla ajakutuliza
😂😂😂😂😂😂
Hahaa et sehem za siri zngekua ufutio zngexhaixha😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣 Joti we falaa sana et wengne wakae nyuma kama majan
Joti uko vizuri sana. Hongera kwa commedy show zako. Nakukubali sana kaka. Big up,endelea kupambana kaka. One love👏👏👏
Safi sana da Leah nimeona kazi yako
Navipata v2 live nikiwa south Africa cep town salute maniger swahili joti 🤣🤣🤣🤣🤣
Fara sana we jamaa umesababisha nimepaliwa na chai😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mi nikajua AAAH WOTEEEEEEE 🤣🤣🤣🤣🤣
Weka like kwa Kwioo wakeeee😂😂😂
Vigagulaaaaaaaa!!!!!!!
Thank You! For the subtitles. Your #1 Fan from TORONTO.
Nimekubali hamna comedy kama joti
Mm Leo wamwisho naombeni laik zenu
hhahaha sehem za siri zingekua ufutio zingeishaa leo
😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣Funga yangu leo itaenda salama kabisa kwa hizi mbavu 😂😂😂
Aiseee jot uko vzr sana
Wewe kaa mbele,nyinyi wengne kaeni nyuma kama majani 😂😂🤣🤣🤣🤣🤣
Wa nne leo kwan izi lakes zapatwa wapi ata cku moja😁😁😁😁
Joti kaka🤣🤣🤣🤣 usichelewe sana kutoa vibonzo hivi. Si wengine tushakuwa walevi
Hehehehe Range Rover inaoa mjini....
Tena yaeza kuoa ukoo mzima!
unatisha snaa Big sound aka nishai uko vzr sna tu ❤❤😂
Duuh n0wmah umeuwa mzee j0ti🤣😂🤣
By putting English subtitles will make us know what's going on best comedian from Tanzania #Joti
Hello
True next level
Gari kubwa honi🔉ndigo🤣nilistuka kumbe kirikuu
Mm nkajua Awoooteeer😂😂😂😂😂
Umewaweza kweli mapaka shume 😂😂😂
Joti ungempiga busu hata mmoja kabla hawakiona kirikuu 🤣🤣🤣🤣🤣
Pesaa kwelii nomaa sanaa
5:06 hii ni talanta. Daaah
🤣🤣🤣🤣🤣ujawahi kuniangusha nishai,nakukubali sana mwamba
Hahahahaha Kali yamwaka hii hahaha keep it up bro love and support from Burundi to UAE
We noma joti
Nimecheka Km mwehu ucku wote huu
Sasa nikung'utie hapa si matairi yangeng'oka hahahahahahahaha
Nakuelewa sana
Hyo ni jinc gan wadada wa kibongo mlivyo na shobo na vitu vizuri
😂😂Kiboko ya madem wapenda pesa😂😂
DaaaH izi mbili za mwisho umeua sana 😂😂🙏😂
Ingieni kwenye kirikuuu achani ujinga 😂😂😂
Dah😂😂😂😂nimechek kha sasa wao walijua anamilik mkoko Wa maan au
Aaaahh wooooooooteeeee😂😂😂
Wana wake ndo maana tuna dangnywa sana 😀😀😀😀 tunapendaga vizuri wakati hatukubitafuta
Nice joti leo asubuhi asubui 😍
Joti ni best comedian Tanzania
Wakwaza leo
🇹🇿🇹🇿🇹🇿 ❤️❤️❤️ilove your tanzania
Eti sehemu zangu za Siri zingekuwa ufutio, zingekuwa zimeisha 😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
@@documentariestvshow rr
No love without money at this moment
Hahahaha 🤣😂🤣 ety unapiga teke soko la Hela
Mumejipiga wenyewe haoooo🤣🤣🤣joti kiboko
Noma sana nakubali sana kazi zako kaka
Hahahahahahhaahahahahhaahaha Joti nakutukana haki we ni mweh kabisa
Nami Leo mapema tuu😆
Joti tuna kuangalia kila siku paka 2023
Range ya kwangu mimi.. Msinitafutie dhambiiii
🤣🤣🤣kweli huku kutafutiana dhambi bureee
Unauwaaa madaNga awoooooteeee
Nishai nakupenda bure 🤗🤣
Duh JOTI ni noma kinoma
wadada wa namna hii wamejaa kila kona😂😂
KACHAPIA HUYO ..
PIGA KELELE KWA KWIO WAKE ETIII NA YEYE KWIOOOO .. 😂😂
Aawwwwwooooteeee😂😂😂
Hhhh wanawake shida wanapenda pesa awapendi mutu
Hahahahahaha!!!! Kilanga kimeisha apoooo🤗🤗🤗🤗🤗
Joti wewe 🙌🙌🙌🔥🔥🔥😂😂😂👍🤝💪🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Top fan from Kenya
Joti mshenzi sanaaaa ♨️
Mbona kama unanchimba mtot #joti bhana
Umetisha
Daaah joti et aaah wooteeee😂😂😂😂
😂😂😂 Usiombe yakukute haya. kwakweli ni balaa sana
Madanga wa mjini ukiwa na gari ..... habari yao kwisha 😂😂😅
Njooni uku😃😃😃
Nyooo mnataka magari mazuri😂😂😂
Joti unaniachaga hoi hahahahaaaaa
Jotii munguu anakuonaa 😂😂😂
Hehehe mombasa nafatilia
Wanawake wa kibongo mnaongoza Sanaa.. Kwa dharau
Aaah woteeee, Jotiii falaaa sasa ah ah ah ah
Me nakupa ufalme wa comedy tz we ni noma